SABABU ZA WANAWAKE KUWA KANISANI WENGI/ SHEPU NI SIKU 90 TU/ NGUVU ZA KIUME KWENYE NDOA
Vložit
- čas přidán 19. 10. 2021
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mchungaji #kanisa #taarifabilamipaka
Hiki kichwa cha uyu mzee ni noma
Mch.wetu huyu mzuri sana namkumbuka alivyokua msasani Lutheran kama mwinjilisit alivyohama nilimiss sana mafundisho yake...asante kwa social media imesaidia sana tunamsikia tena kwa uzur...Mungu akutunze mchj.
Sichoki kukusikiliza mchungaji your talented
Namkubari sana huyu mchungaji🔥🙏🏿🙏🏿
Hakika mchungaji unanibariki saaana, Mungu akubariki.
Ahsante sana Pastor Mungu akubariki sanaaa
mchungaji mungu akupe maisha marefu ili tuendelee kujifuza mungu akubariki sana. asante
Hongera sana mchungaji elmu yako MWENYEWE madini tanzanite ya ukweli.umenena baba. Barikiwa uzeeni pia.
Mungu akubariki zaidi mtumishi akupe umri mrefu zaidi ili uokoe baadhi ya watu
Daaaaaah! Huwa sichoki kumskiliza hananja aisee😂😂
Thanks pasta
Huyu mchungaji poa sana
Wonderful one frm God's general
Duuu mchungaji upo sawa Mimi nimuislamu lakini unanivutia sana ktk maubili y'ako mungu akubaliki sana
Mchungj yuko pw..may GOD 🙏 bless him..
Mpk mandazi road ya msasani anaijua😊 kiboko. Ila nashukuru anafundisha vizuri sana
Huo ndio utumishi wa ukweli mchungaji
Yaani huyu ndio mtumishi namkubali sana
Axante mtumixhi nimeondoka na point kadhaa
Great pastor😍
Nakukubali sana mchungaji
Mchungaji yuko vinzur
Isaya 22:22
Na ufunguo wa nyumba ya Daudi nitauweka begani mwake; yeye atafungua wala hapana atakayefunga; naye atafunga wala hapana atakayefungua.
Mchungaji Hananja ubarikiwe sana
Kazi nzuri muongozaji wa kipindi
Yuko vizurii sana
Hakika Hananja lazima umsikilize kwa umakini maana Kichwa Hii sio ya ulimwengu hii
Dah! Mchungaji anatema madini #tuachemigogorobinafsi
Hananja jmn, maneno unayatoaga wapi?
Wanawake kweli kabisa
Genius
Kumbe wanawake wanapenda faraja
Mchungaj yuko vzur
Good mtumishi
big up mtumishi wa mungu.
Daaah
Hubalikiwe mtumishi
Madini Sana hayo
🙏🙏🙏
Mch.kafanana king majuto
Mtumishi unatema KITO kuliko Tanzanite safi.
Saafiiiiiiiii
Nampenda sana mchungaj
.
Hala 10:21
Huyu Mchungaji ana maneno magumu sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣😅
Mchungaji mgogo mpumbavu namba moja, uwezi kumwambia mwanamke mlikuwa amuachiki sababu mlikuwa akuna pa kwenda sasa mchungaji kweli yule
Simba mbona unatukana? Kanusha hoja kwa hoja siyo kwa tusi.Kutukana watu kunaonyesha ulivyopoteza maadili walivyokufunza wazazi wako.
@@machoguhameri7757 Hatahivyo yapasa kujulikana Hawa wachungaji maana biblia haijaacha neno.wapo wa mshahara.pia wapo wema ambao wana Mzigo na kondoo wa Bwana .pia wapo manabii na wakristo wa uongo nao wote huongea kwa utamu na utaalam wa maneno ktk kupangilia kama vile walio ktk kweli lkn YESU kasema kwa matendo yao mtawatambua sasa usifikiri matendo ni uzinzi au ulevi tu wapo wanga ambao pia sio walevi lkn yule anaelishika Neno la Bwana huyo ndie mwanafunzi wake.kuna watu wengi Leo wanajiita wakristo lakini ubatizo wa Yesu wanaukataa wanashikilia mabatizo ya dini za wazee wao.Roho wa kristo kwao ni upuuzi Wala kumpokea hawawezi
Halafu mtofautishe Mgogo na Hananja! Nadhani hata elimu ya duniani wana tofautiana! Angalia Mtoto aliyesoma Sunday school na yule ambae hajasoma Sunday school, wanatofauti kubwa sana! Vile vile hata hawa watumishi.
Wapo walianza utumishi kwenye misingi mizuri, na wengine waliingia kwenye utumishi bila wito, walikuja kutafuta pesa! Nao usiwatukane ila waombee tu mpendwa.
Mtumishi nisaidie mimi, kunywa bia moja mbili ni dhambi?
kwani ukinywa moja au mbili unahisi inakuwa juice?
@@lamlameck9720 nijibu tu vizuri mpendwa Ili nisimuudhi muumba! Na kama hujui na wewe kama mimi! Basi!
Mimi sina hakika Sana mana biblia kuna maandiko hayaruhusu pombe na kuna maandiko yanaruhisu kama vile mpe pombe masikini asahau shida zake, na.mvinyo kuwa kama sehemu ya dawa . Ila kila mahala ambapo Mungu alitaka kupitisha kitu kitakatifu hakuruhusu pombe. Mfano mke WA Manoah alipopata mimba , etc na ujumbe wa kukatazwa ulitolewa na malaika.
Pombe uzinzi uongo uasherati nidhambi sna mno my dear
@@eliasadrian5026 sulenan aliyekuwa na wake na masuria kibao, ilikuwaje Mungu akambariki? Hakuwa mzinzi? Pls!
Saaf mchungaji wa kufurahisha
🙏🙏🙏
Hongera Mchungaji kwa somo zuri ,hakika nimevuna kitu.
Ana kipaji na akili nyingi na uwezo mkubwa wa kuunda sentensi fupi lakini zenye hoja na maana mpana na ni mchochezi wa kuibua hoja nzito za kujenga majadiliano na anajua maisha na vitu vingi na hoja nzito na za haraka ambazo huwezi zielewa haraka sana muda ule ule anaongea