SABABU ZA WANAWAKE KUWA KANISANI WENGI/ SHEPU NI SIKU 90 TU/ NGUVU ZA KIUME KWENYE NDOA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 10. 2021
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24news@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24Tz
    ⚫️ Facebook: @dar24news
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #mchungaji #kanisa #taarifabilamipaka

Komentáře • 65

  • @hamisisaid7606
    @hamisisaid7606 Před 2 lety +4

    Hiki kichwa cha uyu mzee ni noma

  • @dorissaivoiye687
    @dorissaivoiye687 Před 2 lety +4

    Mch.wetu huyu mzuri sana namkumbuka alivyokua msasani Lutheran kama mwinjilisit alivyohama nilimiss sana mafundisho yake...asante kwa social media imesaidia sana tunamsikia tena kwa uzur...Mungu akutunze mchj.

  • @aminarajabu3954
    @aminarajabu3954 Před 2 lety +2

    Sichoki kukusikiliza mchungaji your talented

  • @-KINKAU
    @-KINKAU Před 2 lety +2

    Namkubari sana huyu mchungaji🔥🙏🏿🙏🏿

  • @christopherkivuyo8590
    @christopherkivuyo8590 Před 2 lety +1

    Hakika mchungaji unanibariki saaana, Mungu akubariki.

  • @apostlejoachimeliya6089
    @apostlejoachimeliya6089 Před 2 lety +1

    Ahsante sana Pastor Mungu akubariki sanaaa

  • @Bwenge-minecraft
    @Bwenge-minecraft Před 2 lety

    mchungaji mungu akupe maisha marefu ili tuendelee kujifuza mungu akubariki sana. asante

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 2 lety +2

    Hongera sana mchungaji elmu yako MWENYEWE madini tanzanite ya ukweli.umenena baba. Barikiwa uzeeni pia.

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 Před 2 lety

    Mungu akubariki zaidi mtumishi akupe umri mrefu zaidi ili uokoe baadhi ya watu

  • @jackobgalish5742
    @jackobgalish5742 Před 2 lety +2

    Daaaaaah! Huwa sichoki kumskiliza hananja aisee😂😂

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume4425 Před 2 lety +1

    Thanks pasta

  • @pilimusa3217
    @pilimusa3217 Před 2 lety +1

    Huyu mchungaji poa sana

  • @peehmuki7271
    @peehmuki7271 Před 2 lety

    Wonderful one frm God's general

  • @mkijilukali2010
    @mkijilukali2010 Před rokem

    Duuu mchungaji upo sawa Mimi nimuislamu lakini unanivutia sana ktk maubili y'ako mungu akubaliki sana

  • @jamesngowifamilytvcomprehe2249

    Mchungj yuko pw..may GOD 🙏 bless him..

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 Před rokem

    Mpk mandazi road ya msasani anaijua😊 kiboko. Ila nashukuru anafundisha vizuri sana

  • @martinkipenya4592
    @martinkipenya4592 Před rokem +1

    Huo ndio utumishi wa ukweli mchungaji

  • @oscarlemamaringo8081
    @oscarlemamaringo8081 Před 2 lety +4

    Yaani huyu ndio mtumishi namkubali sana

  • @kapelotz9967
    @kapelotz9967 Před rokem +1

    Axante mtumixhi nimeondoka na point kadhaa

  • @k.kswitzerland4168
    @k.kswitzerland4168 Před 2 lety +3

    Great pastor😍

  • @tunsumemwajumba7149
    @tunsumemwajumba7149 Před rokem

    Nakukubali sana mchungaji

  • @fredrickmichael2317
    @fredrickmichael2317 Před 2 lety +3

    Mchungaji yuko vinzur

  • @michaelramadhan9466
    @michaelramadhan9466 Před 2 lety +1

    Isaya 22:22
    Na ufunguo wa nyumba ya Daudi nitauweka begani mwake; yeye atafungua wala hapana atakayefunga; naye atafunga wala hapana atakayefungua.

  • @mkudembeteni7667
    @mkudembeteni7667 Před 2 lety

    Mchungaji Hananja ubarikiwe sana

  • @juliusharweri6787
    @juliusharweri6787 Před rokem

    Kazi nzuri muongozaji wa kipindi

  • @godfreyomollo9844
    @godfreyomollo9844 Před rokem

    Yuko vizurii sana

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 Před 2 lety +3

    Hakika Hananja lazima umsikilize kwa umakini maana Kichwa Hii sio ya ulimwengu hii

  • @wilbard
    @wilbard Před 2 lety

    Dah! Mchungaji anatema madini #tuachemigogorobinafsi

  • @aludomakori4230
    @aludomakori4230 Před 2 lety +2

    Hananja jmn, maneno unayatoaga wapi?

  • @otavinamsigala1794
    @otavinamsigala1794 Před 2 lety +1

    Wanawake kweli kabisa

  • @sadickd_knuckle5456
    @sadickd_knuckle5456 Před rokem

    Genius

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 Před rokem

    Kumbe wanawake wanapenda faraja

  • @biggieelias4960
    @biggieelias4960 Před 2 lety +1

    Mchungaj yuko vzur

  • @josejoseph464
    @josejoseph464 Před 2 lety +1

    Good mtumishi

  • @robartifabiani
    @robartifabiani Před 2 lety

    Daaah

  • @hassanmbonde4391
    @hassanmbonde4391 Před rokem

    Hubalikiwe mtumishi

  • @erastomwakalukwa3946
    @erastomwakalukwa3946 Před 2 lety

    Madini Sana hayo

  • @rasheedkhalifa8482
    @rasheedkhalifa8482 Před 2 lety +1

    🙏🙏🙏

  • @benedictarweyemamu9531

    Mch.kafanana king majuto

  • @lwicheworkshoplimited305

    Mtumishi unatema KITO kuliko Tanzanite safi.

  • @masterke536
    @masterke536 Před 2 lety

    Saafiiiiiiiii

  • @samsonmahelo3336
    @samsonmahelo3336 Před rokem

    Nampenda sana mchungaj

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Před 2 lety +1

    .

  • @paskalimallya5294
    @paskalimallya5294 Před rokem

    Hala 10:21

  • @geraldfelician8435
    @geraldfelician8435 Před 2 lety +1

    Huyu Mchungaji ana maneno magumu sana

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Před 2 lety +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @gabrielbahat9107
    @gabrielbahat9107 Před 2 lety +2

    🤣😅

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před 2 lety +1

    Mchungaji mgogo mpumbavu namba moja, uwezi kumwambia mwanamke mlikuwa amuachiki sababu mlikuwa akuna pa kwenda sasa mchungaji kweli yule

    • @machoguhameri7757
      @machoguhameri7757 Před 2 lety +2

      Simba mbona unatukana? Kanusha hoja kwa hoja siyo kwa tusi.Kutukana watu kunaonyesha ulivyopoteza maadili walivyokufunza wazazi wako.

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 Před rokem

      @@machoguhameri7757 Hatahivyo yapasa kujulikana Hawa wachungaji maana biblia haijaacha neno.wapo wa mshahara.pia wapo wema ambao wana Mzigo na kondoo wa Bwana .pia wapo manabii na wakristo wa uongo nao wote huongea kwa utamu na utaalam wa maneno ktk kupangilia kama vile walio ktk kweli lkn YESU kasema kwa matendo yao mtawatambua sasa usifikiri matendo ni uzinzi au ulevi tu wapo wanga ambao pia sio walevi lkn yule anaelishika Neno la Bwana huyo ndie mwanafunzi wake.kuna watu wengi Leo wanajiita wakristo lakini ubatizo wa Yesu wanaukataa wanashikilia mabatizo ya dini za wazee wao.Roho wa kristo kwao ni upuuzi Wala kumpokea hawawezi

    • @lindajohansen9220
      @lindajohansen9220 Před rokem

      Halafu mtofautishe Mgogo na Hananja! Nadhani hata elimu ya duniani wana tofautiana! Angalia Mtoto aliyesoma Sunday school na yule ambae hajasoma Sunday school, wanatofauti kubwa sana! Vile vile hata hawa watumishi.
      Wapo walianza utumishi kwenye misingi mizuri, na wengine waliingia kwenye utumishi bila wito, walikuja kutafuta pesa! Nao usiwatukane ila waombee tu mpendwa.

  • @lindajohansen9220
    @lindajohansen9220 Před 2 lety +1

    Mtumishi nisaidie mimi, kunywa bia moja mbili ni dhambi?

    • @lamlameck9720
      @lamlameck9720 Před 2 lety

      kwani ukinywa moja au mbili unahisi inakuwa juice?

    • @lindajohansen9220
      @lindajohansen9220 Před 2 lety +2

      @@lamlameck9720 nijibu tu vizuri mpendwa Ili nisimuudhi muumba! Na kama hujui na wewe kama mimi! Basi!

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před rokem +2

      Mimi sina hakika Sana mana biblia kuna maandiko hayaruhusu pombe na kuna maandiko yanaruhisu kama vile mpe pombe masikini asahau shida zake, na.mvinyo kuwa kama sehemu ya dawa . Ila kila mahala ambapo Mungu alitaka kupitisha kitu kitakatifu hakuruhusu pombe. Mfano mke WA Manoah alipopata mimba , etc na ujumbe wa kukatazwa ulitolewa na malaika.

    • @eliasadrian5026
      @eliasadrian5026 Před rokem +1

      Pombe uzinzi uongo uasherati nidhambi sna mno my dear

    • @lindajohansen9220
      @lindajohansen9220 Před rokem

      @@eliasadrian5026 sulenan aliyekuwa na wake na masuria kibao, ilikuwaje Mungu akambariki? Hakuwa mzinzi? Pls!

  • @goodluckjoely1979
    @goodluckjoely1979 Před 2 lety +2

    Saaf mchungaji wa kufurahisha

  • @rubensamson8681
    @rubensamson8681 Před 2 lety

    🙏🙏🙏

    • @emmanuelmasele8734
      @emmanuelmasele8734 Před 2 lety

      Hongera Mchungaji kwa somo zuri ,hakika nimevuna kitu.

    • @kalamesikalamesi5292
      @kalamesikalamesi5292 Před 2 lety

      Ana kipaji na akili nyingi na uwezo mkubwa wa kuunda sentensi fupi lakini zenye hoja na maana mpana na ni mchochezi wa kuibua hoja nzito za kujenga majadiliano na anajua maisha na vitu vingi na hoja nzito na za haraka ambazo huwezi zielewa haraka sana muda ule ule anaongea