Huyu bwana inavyoonekana anamtaka wema anashindwa jinsi ya kumwingia sasa anatumia njia ya unabii mungu akikutuma hakutumi mitandaoni umtangaze anakutuma kwake muhusika
Halo! kweli. nimekumbuka ilikuwa mwaka 2000 alipinga vikali habari za Yesu, kibaya alikuwa anatukana kabisa. sas da! nashangaa ameokoka na ni askofu? kweli Yesu mweza. mim ndo Melkizedek Wiliam tulikuwa Tegeta site. sas mim mchungaj. hengera kwa kubadilishwa na Yesu.
ULIANZA VIZURI UNAMALIZIA PUMBA.ULIANZA BARAKA ZINATOKA KWA WAZAZI NA TUWAESHIM OK NIVIZURI.SASA UNAPOSEMA MUNGUALIKWAMBIA UMUOMBEE WEMA APO SASA NI UONGO MUNGU ANAK AZI HIO BROO
34:10 vigumu sana kujua unampa nani ilo fungu la kumi, kuna matapeli, lakini imani yetu imepotea wapi, Je Roho mtakatifu akujibukama ukiwa na swali……..sema mi naona maskini wapo wengi, na wachungaji wananenepa tu, kwasababu ya fungu la kumi,nyie mnao taka kutoa fungu la kumi, toeni wasaidieni maskini sio kwakuwapa pesa, ila kwa kwajengea msingi mzuri, kama kuchota maji ni mbali, vuteni maji karibu, ata lala mtu na njaa, kwasababu mnatumia fungu la kumi vizuri.lakini ukimuuliza nabii au mchungaji kitu gani kafanya kwa kusaidia na mkoa gani…...hapo ndio utajua wengi wao ni fake
Jamaa anapoongea zinatoka sauti mbili!!!! Ila kulingana na Biblia, kuinga mkono tu pasaka ya kidunia (ya mwezi wa 4) ambayo kiukweli ni upagani kama ilivyotoka kwenye upagani basi inanidhilishia wewe ni nabii wa uongo.
Fungu ya kumi ni yamuchungaji tu zaka ni ya matumizi ya kanisa, kujenga,kulipa umeme, kusaidiya, yatima na wajane, muchungaji kasema kweli.
mchungaji umeongea vizuri sana ila mwisho hapo kuhusu magufuri,umeharibu sana
Mtangazaji upo vizuri nowadays bigup keep it and pool your socks
Hilo jasho vipi
Kile unapanda ndio kile unavuna kwako huo ndio ukweli
Ni kweli hakuna Nabii wala Mtume awezaye kutoka Baraka ya Siku nyingi duniani mwana isipokuwa ni mzazi tu
Mtumishi uko sawa Sana mashimo
Huyu bwana inavyoonekana anamtaka wema anashindwa jinsi ya kumwingia sasa anatumia njia ya unabii mungu akikutuma hakutumi mitandaoni umtangaze anakutuma kwake muhusika
Halo! kweli. nimekumbuka ilikuwa mwaka 2000 alipinga vikali habari za Yesu, kibaya alikuwa anatukana kabisa. sas da! nashangaa ameokoka na ni askofu? kweli Yesu mweza. mim ndo Melkizedek Wiliam tulikuwa Tegeta site. sas mim mchungaj. hengera kwa kubadilishwa na Yesu.
Daaaah...inaonekana unamfahamu vizuri sana
Hongera maana ulimuonyesha njia.
Melkizedeki Wiliam Mungu akubariki mtumishi wa mwaminifu
Melkizedeki Wiliam Mungu akubariki sana
Hii station yenu ina makelele ya kama king'ora hivi inasikika. jaribuni ku tune hizo mitambo zenu sauti itokee loud and clear
ULIANZA VIZURI UNAMALIZIA PUMBA.ULIANZA BARAKA ZINATOKA KWA WAZAZI NA TUWAESHIM OK NIVIZURI.SASA UNAPOSEMA MUNGUALIKWAMBIA UMUOMBEE WEMA APO SASA NI UONGO MUNGU ANAK AZI HIO BROO
I LOVE YOU MAN OF GOD
Mch yupo sawa,anawatafuta walopotea,wengine wanasaka pesa kwa watu.
mashimo ole nsammbo😃😃😃
34:10 vigumu sana kujua unampa nani ilo fungu la kumi, kuna matapeli, lakini imani yetu imepotea wapi, Je Roho mtakatifu akujibukama ukiwa na swali……..sema mi naona maskini wapo wengi, na wachungaji wananenepa tu, kwasababu ya fungu la kumi,nyie mnao taka kutoa fungu la kumi, toeni wasaidieni maskini sio kwakuwapa pesa, ila kwa kwajengea msingi mzuri, kama kuchota maji ni mbali, vuteni maji karibu, ata lala mtu na njaa, kwasababu mnatumia fungu la kumi vizuri.lakini ukimuuliza nabii au mchungaji kitu gani kafanya kwa kusaidia na mkoa gani…...hapo ndio utajua wengi wao ni fake
Nyakati hizizamwisho tutaona laana,vituko na rohozakufuru hadi kinyaa!!!
Washa kiyoyozi Mchungaji anaumia jashoo uhuni
Washa kiyoyozi Mtumishi Wa Mungu anajasho huoni?
wachungaji wanatetea wasanii sana
Siyo kosa lake , malezi,na maisha ndiyo yanamfanya kuwa hivyo alivyo
Hakuna nabii hapo
Sulleyson Sulley njaa to hiyo
Sauti hiyo mbona unagazba vp wenabii
Mch mashimo kanisa lako liko wapi?
Serikali mbona inaachia haya mambo yaendelezwe kuharibu amani nchini: huyu hamupendezei Bwana na kuliweka pabaya jina la Bwana.
huyu ni msema kweli
mbna yuko bize kuchat
Kanisa lipo wap mtu wa mungu
Ndo maana Yesu hajarudi,kumbe kuna watu hawajui hata maana ya sadaka,zaka hadi kwa waislam IPO.
huyu jamaa mbona anashet sana kama anapigana ngumi tatizo ni nn
Makondo anafanya mambo kwa kutafuta sifa, hilo ndo tatizo. Na wewe unamsifia kwa sababu ni poti wako tu.
Sasa mbona anatoka jasho hivyo????
Edsson Nzingo baba yako angepata urais angefanya nn cha pekee tofauti na JPM
hili ni mbumbumbu shetani mkubwa ww
Safi sana
Kumbe alikuwa muigizaji
Hivi huyu kichwani kukoje na mhisi au namwona kama kuna nati imefyatuka.
Mbona huoi mtumishi gani hujaoa
Jamaa anapoongea zinatoka sauti mbili!!!!
Ila kulingana na Biblia, kuinga mkono tu pasaka ya kidunia (ya mwezi wa 4) ambayo kiukweli ni upagani kama ilivyotoka kwenye upagani basi inanidhilishia wewe ni nabii wa uongo.
Hahahaha Sasa Kama wewe hujasomea au ulizarau kusomea? Ulikuaje kuaje sasa kiongozi wa mitume na manabii??
Jamani mpaka yesu anarudi watu nivichaa
Hivi TBC AC ZIPO??
Zipo nyingi tu
Sasa mbona mchungaji ana vuja jasho hivyo, maji yataisha mwilini
😀😀😀😀
@@tugesyegemwakatumbula8125 ataongezewa maji tu asijar
LEO NIMEKWELEWA NI KWELI MAKONDA NI MTUMISHI WA MUNGU KABISA
Hili jitu ni pumbavu kweli
sasa unamtukana kwa sababu gan? jaman! hiz hasira bila sababu?
muulize basi habari za simba na yanga
Mashimo hivi mshipa wa aibu ulienda wapi muonekano wako wewe ni mgambo acha kujipa vyeo ambavyo huna