Historia ya MCHUNGAJI Mashimo : Kufukuzwa Kanisani/Utapeli na Kuvuruga Wanawake

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 54

  • @Sifam634
    @Sifam634 Před 5 lety +4

    Fungu ya kumi ni yamuchungaji tu zaka ni ya matumizi ya kanisa, kujenga,kulipa umeme, kusaidiya, yatima na wajane, muchungaji kasema kweli.

  • @niccolomachiavelli6057
    @niccolomachiavelli6057 Před 5 lety +2

    mchungaji umeongea vizuri sana ila mwisho hapo kuhusu magufuri,umeharibu sana

  • @josephndaki8003
    @josephndaki8003 Před 5 lety +1

    Mtangazaji upo vizuri nowadays bigup keep it and pool your socks

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 Před 5 lety +5

    Ni kweli hakuna Nabii wala Mtume awezaye kutoka Baraka ya Siku nyingi duniani mwana isipokuwa ni mzazi tu

  • @zakariangese3826
    @zakariangese3826 Před 5 lety +1

    Mtumishi uko sawa Sana mashimo

  • @sharonmasawe5381
    @sharonmasawe5381 Před 5 lety +1

    Huyu bwana inavyoonekana anamtaka wema anashindwa jinsi ya kumwingia sasa anatumia njia ya unabii mungu akikutuma hakutumi mitandaoni umtangaze anakutuma kwake muhusika

  • @melkizedekiwiliam5533
    @melkizedekiwiliam5533 Před 5 lety +6

    Halo! kweli. nimekumbuka ilikuwa mwaka 2000 alipinga vikali habari za Yesu, kibaya alikuwa anatukana kabisa. sas da! nashangaa ameokoka na ni askofu? kweli Yesu mweza. mim ndo Melkizedek Wiliam tulikuwa Tegeta site. sas mim mchungaj. hengera kwa kubadilishwa na Yesu.

  • @suleimanhassan3604
    @suleimanhassan3604 Před 5 lety +3

    Hii station yenu ina makelele ya kama king'ora hivi inasikika. jaribuni ku tune hizo mitambo zenu sauti itokee loud and clear

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 Před 5 lety +3

    ULIANZA VIZURI UNAMALIZIA PUMBA.ULIANZA BARAKA ZINATOKA KWA WAZAZI NA TUWAESHIM OK NIVIZURI.SASA UNAPOSEMA MUNGUALIKWAMBIA UMUOMBEE WEMA APO SASA NI UONGO MUNGU ANAK AZI HIO BROO

  • @edithamosha4109
    @edithamosha4109 Před 5 lety

    I LOVE YOU MAN OF GOD

  • @magdalenamatiko9995
    @magdalenamatiko9995 Před 5 lety +1

    Mch yupo sawa,anawatafuta walopotea,wengine wanasaka pesa kwa watu.

  • @mwandumazaoidrossa1702
    @mwandumazaoidrossa1702 Před 5 lety +1

    mashimo ole nsammbo😃😃😃

  • @pindabutter2736
    @pindabutter2736 Před 5 lety +1

    34:10 vigumu sana kujua unampa nani ilo fungu la kumi, kuna matapeli, lakini imani yetu imepotea wapi, Je Roho mtakatifu akujibukama ukiwa na swali……..sema mi naona maskini wapo wengi, na wachungaji wananenepa tu, kwasababu ya fungu la kumi,nyie mnao taka kutoa fungu la kumi, toeni wasaidieni maskini sio kwakuwapa pesa, ila kwa kwajengea msingi mzuri, kama kuchota maji ni mbali, vuteni maji karibu, ata lala mtu na njaa, kwasababu mnatumia fungu la kumi vizuri.lakini ukimuuliza nabii au mchungaji kitu gani kafanya kwa kusaidia na mkoa gani…...hapo ndio utajua wengi wao ni fake

  • @joshuaibrahim6691
    @joshuaibrahim6691 Před 5 lety +1

    Nyakati hizizamwisho tutaona laana,vituko na rohozakufuru hadi kinyaa!!!

  • @sakisibazaa5597
    @sakisibazaa5597 Před 5 lety +1

    Washa kiyoyozi Mchungaji anaumia jashoo uhuni

  • @sakisibazaa5597
    @sakisibazaa5597 Před 5 lety +1

    Washa kiyoyozi Mtumishi Wa Mungu anajasho huoni?

  • @pindabutter2736
    @pindabutter2736 Před 5 lety +1

    wachungaji wanatetea wasanii sana

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 Před 5 lety +2

    Siyo kosa lake , malezi,na maisha ndiyo yanamfanya kuwa hivyo alivyo

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 Před 5 lety +2

    Mch mashimo kanisa lako liko wapi?

  • @fredrickmatonange1345
    @fredrickmatonange1345 Před 5 lety +1

    Serikali mbona inaachia haya mambo yaendelezwe kuharibu amani nchini: huyu hamupendezei Bwana na kuliweka pabaya jina la Bwana.

  • @dianamalingumu4516
    @dianamalingumu4516 Před 5 lety +1

    huyu ni msema kweli

  • @petercosmas4376
    @petercosmas4376 Před 5 lety +2

    mbna yuko bize kuchat

  • @michaelkafyulilo7433
    @michaelkafyulilo7433 Před 5 lety +1

    Kanisa lipo wap mtu wa mungu

  • @magdalenamatiko9995
    @magdalenamatiko9995 Před 5 lety +1

    Ndo maana Yesu hajarudi,kumbe kuna watu hawajui hata maana ya sadaka,zaka hadi kwa waislam IPO.

  • @manjalejuniorlg7024
    @manjalejuniorlg7024 Před 5 lety +1

    huyu jamaa mbona anashet sana kama anapigana ngumi tatizo ni nn

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga7062 Před 5 lety +1

    Makondo anafanya mambo kwa kutafuta sifa, hilo ndo tatizo. Na wewe unamsifia kwa sababu ni poti wako tu.

  • @johalisemalima6979
    @johalisemalima6979 Před 3 lety

    Sasa mbona anatoka jasho hivyo????

  • @jeidamgimba557
    @jeidamgimba557 Před 5 lety +1

    Edsson Nzingo baba yako angepata urais angefanya nn cha pekee tofauti na JPM

  • @nebathkalolo723
    @nebathkalolo723 Před 5 lety +3

    hili ni mbumbumbu shetani mkubwa ww

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 Před 5 lety +1

    Safi sana

  • @alexchungu8823
    @alexchungu8823 Před 5 lety +1

    Kumbe alikuwa muigizaji

  • @joelrugano6517
    @joelrugano6517 Před 5 lety

    Hivi huyu kichwani kukoje na mhisi au namwona kama kuna nati imefyatuka.

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 Před 5 lety +1

    Mbona huoi mtumishi gani hujaoa

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    Jamaa anapoongea zinatoka sauti mbili!!!!
    Ila kulingana na Biblia, kuinga mkono tu pasaka ya kidunia (ya mwezi wa 4) ambayo kiukweli ni upagani kama ilivyotoka kwenye upagani basi inanidhilishia wewe ni nabii wa uongo.

  • @piterlaiza5576
    @piterlaiza5576 Před 4 lety +1

    Hahahaha Sasa Kama wewe hujasomea au ulizarau kusomea? Ulikuaje kuaje sasa kiongozi wa mitume na manabii??

  • @chimwanakasanda3952
    @chimwanakasanda3952 Před 5 lety +2

    Jamani mpaka yesu anarudi watu nivichaa

  • @evaristmandilindi6147
    @evaristmandilindi6147 Před 5 lety +1

    Hivi TBC AC ZIPO??

  • @saulmwakyanjala5449
    @saulmwakyanjala5449 Před 5 lety +1

    LEO NIMEKWELEWA NI KWELI MAKONDA NI MTUMISHI WA MUNGU KABISA

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 Před 5 lety +3

    Hili jitu ni pumbavu kweli