TABIA ZA MAFANIKIO
Vložit
- čas přidán 15. 11. 2020
- Jifunze kitu juu ya tabia za mafanikio katika video hii iliyorekodiwa wakati Ezden Jumanne akiwa mgeni katika kipindi cha KIVUKONI, Times Fm 100.5
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
Kama unapendelea video fupi za motivation, tafadhali subscribe kwenye channel ya
EZDEN SHORT CLIPS click hapa
/ channel
.
TUFUATE INSTAGRAM:
SPN CHANNEL: / successpath_network
EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
#Tabia #Mafanikio #TimesFM
Bro ezden alhamdulillah tupe Mambo hayo yamafanikio Ila tunashukuru tunamuomba Allah atujaalie tuyafanyie kazi
Nimechelewa kiasi ila bado nimewahi,Unaweza 💪 Alhakhi daima Allah afanikishe kila chema ufikiliacho ili tuvune zaidi maarifa yako
Nakupenda kaka
Ubarikiwe sana brother
Jamaa anaakili mingi sana
Asante Sana
Allah akubarik
Nceee
Kipindi kizur jaman
Mbona kifup tuletee bas part2
MashaAllah hubby
Kila nikikusikiliza, najihisi km nimekuja duniani leo. Aisee thanx much, Jazakallahu khaira.
Asante sana yahya shaaban kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
@@successpathnetwork thanx
@@successpathnetwork br nikifatilia speech zako huwa naona badle langu linaenda kwa haki thank you bro
Mimi nashindwa kulala mapema ata nikijilazimish nikifika kitangani nafiklia sana maisha mbeleni alafu asubuhi nashindwa kuamka mapema.
Bro shukran Sana ,be blessed 🙏
Kwel
Bro..!!! I see changes through your speech
Asante sana kaka
MashaAllah kipindi kipo good✌
Asante sana Dott Natt kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
Good idea
Asante sana August ryann kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
Asalam alaykum jumanne sikupati ktk simu nahitaji kitabu elimu ya msingi wa fedha by Amani Makirita.
Thanks kaka Ezden ,, blessing nyingii kwako mkuu 👏
I h
Perfect
Thanks brother ezden juma ine ❤ mungu akupe kila lakheri huwa mm na penda sana videos zako sana na jifundisha kwako kitu muhimu ambao ita ni saidia kwa maisha yng.tangu niaze kufuatilia videos zako kuna cheleng moja enya ime ni sumbua bt huyo kaka mwenye 4n yke ili pigwa ali kuuliza hiyo swali nme furahi na nme pata jibu sahii nita jitahidi kulala mapema tangu leo thank brother naomba uni add kwa group yko ya wtsp my number is +2540111237442 shukran
Asante kaka kwa kutuelimisha
Nimependa ulivyosema mahusiano unayoyajua wewe ni ya mume na mke na si ya boyfriend au girlfriend mimi najua kwanini umesema hivo 😊😀safi sana
Kaka asant san ... endelea kufungua watu akili
Good boy
naupataje vitabu vyako mbona ujibug sms zangu brother
Nimeipata mkuu