NYAMA KAVU (AKDI) / SPICE BEEF.
Vložit
- čas přidán 12. 05. 2020
- INGREDIENT
2kg beef
Half cup fresh garlic paste
Half cup fresh ginger paste mix with one onion.(bland together.)
3 tablespoons black pepper
5 tablespoons Cummins powder
2 tablespoons coriander seeds powder. (Option)
1 and half lemon or 2 lime
Salt to taste
1 teaspoon ghee for amoked.(option)
😋🔥
MaashaAllah MaashaAllah
MaashaAllah, moja ya Aina ya mapishi niyapendayo
Bora kichocheo hiki ambacho napenda sana
Wow mashallah
Nilikuwa naitafuta hii, kweli zamani tulikuwa tunapewa shughulini. New subscriber here🎉
mashalwaa nimependa I naonekana kwa macho kuwa tamu Sana
MashaaAllah
MashAllah 😋😋
Maa Shaa Allaah
Mashallah shukran habibty
Mashallah shukran
Mashallah asante Habbty Allah akubark
Mashaallah
Mashaallah shukran
Mashaa Allah pambeee mpenzi 👏👏👏
Bismillah mashaallah
Tabaraka Allah
Mashallah
lovely
shukran sana habibty kwaku tufunza hasaaa tuna nufaika tunaomba na pishi la bokoboko kwajili ya skuku ishaa Allah
Mashallah dada
Mashallah hii nyama naipenda saana mate yamenitoka
Mashallah jaman wanitamanishaa
A alaikum Masha Allah wallahi napenda mapishi yako Allah akuzidishie Ameen wajua kilamtu anamapishi yake ningependa Sana kujua mapishi yako ya vibibi dadangu kwani kitumbua Chako kwa kweli nilijaribu hata sikuyapili bado kilaini Mimi nikitengeza kibibi huwa chakukutaa ladha nzuri lakini huwa nikikavu napendasana mkate wakumimina na vibibi na vitumbua plz naomba kujua kutoka kwako A alaikum.
Waleikum salam shukran
Kwa vibibi nimeweka recipe sis znz tunaita chila. Angalia kwa jina la CHILA (queenshibas kitchen) utaviona
Tnx u, tunaomba na desert
Mashallah shukran habibty ukhty
Afwan
MashaAllh nakumbuka kwetu jmnnnn
😋😋😋😋😋😋😍😍
MashaAllah bismillah MashaAllah yaani nyama naipenda hiii nakmbka enz toka 2ko wadogo cku hzi kwel ha2kuti tena maharcn , thanks kw ku2kmbsha 2lipotoka😍😍😘😍
Umeona eeh hata mie tangu enzi za utoto never miss, nlipoolewa zilikuwa zishapotea nyama za shughulini
@@queenshibaskitchen9130 ooooh i wish zama zle zirudi , nwy thanks kw ku2kmbsha 2tajarbu InshaAllah, be blessed alwys
Asante Sana Dada,
Binafsi ninajifunza Sana kwako!! Keep up a good job and May Allah bless your work inshallah !
Amin yarabi
Shukran sana nafurahi sana nikiona Video zako maana vyakula vyakihalat
Haha za kihalat voo
Mashallah ningejua uko wapi ningekuletea haluwa yetu , seif halwa.
Shukran dear kwa kuitikia ombi langu😋
Afwan my dear nasubiri mrejesho japo wa maneno tu hahaha
@@queenshibaskitchen9130 inshaallah😘
Mie naomba pishi la mutabak plz
Kashata za mayai
Twao.ba kashata za mayai mpenzi
Jan sisi wengin hatujiw kusom hiv vitu yan spaiss zaitwajeeee?😅😅😅😅
Spices yaan Bizar hapo kaweka Uzile (Cumin)black paper(pili pili manga)na coriander powder (kotmir powder)
Tunaomba kashata za njugu na vileja, wengine tukipika vileja vinakuwa vigumuu, sijui tatizo nini.
Dia nikulize huku kwetu sana hupata beef isokuwa na mifupa mm ningependa kujua ya mifupa unapata wapi shukran n I like ur nyama by da way
Dear mie ntajuaje uko wapi? Ila butchers zote navojua mia wanauza nyama safi na nyama za mifupa. Lakin nimesema kwenye video nyama isokuwa na mafupa ndio haswa inopikiwa nyama hii (upishi huu) so kaama una beef ndio yenyewe👍
@@queenshibaskitchen9130 sorry nakudumbua sis nipo Birmingham ila wao huwa wana za steak ndio huona tu but shukran kwa jibu in sha Allah ntajaribu napenda mapishi yako
Hamna hunisumbui mpenzi ila Birmingham siwezi kujuwa sehem gani ila itakuwa zipo. Shukran dear
queenshibas kitchen ok tnx
mrejesho mtu anakuletea wapi
Nitupia kwa private ya insgram msg. Queenshibas_kitchens ina underscores kati usishau
A.a,hii nyama haiwekwi mafuta?
Haitiwi
Naomba mtu aseme hivo viungo kwa majina yake
Mtu gani unotaka aseme? Viungo nimevi orothesha kwenye DESCRIPTION chini ya video mkono wa kulia kuna kialama cha grey ki bonyeze utaona full ingredient nimeandika.
Oowh sawa thanks habibty nmeziona
You are welcome dear
Mie cjaona iyo description box
Ma maelezo nimemjibu mtu hapo habibty, sio box ni description below. Chini ya video kunamaneno yameandikwa more bonyeza hapo utapata ingredients
Jan sisi wengin hatujiw kusom hiv vitu yan spaiss zaitwajeeee?😅😅😅😅
alivo tiy
Click hapo kwenye neno more utaona nimeandika kila kitu dear ukitaka kwa kiswahili ziandikenkwa Google utapata manake in shaa allah