@@jacintacherop2854 Ni Coffee Grinder ama unaweza kusema blender yakusagia dry ingredients. Ziko aina nyingi tu ita depends ni wapi uko. Kama una order online tafuta coffee grinder
Asante kwa pishi. Lakini viungo vyako uwe unavitaja vizuri. Na Pia Wapi tunapata. Kama Hiyo star mm ndo mara ya kwanza kuona na kusikia. Inaleta ladha gan?
Thank you ni tamu sanaaaaaa
Mungu akubariki ❤
Ameen...Asante sana
Maashallah
You always save my kitchen 😋
Maa Shaa Allaah
Nyama za vutia hizi😋...well served
Thanks hun
MashaAllah nzuri sana nimependa
Shukran sana
Masha'ALLAH
Shukran hun❤
aww looks good
Thanks dear
naam nnapenda sana
Mouthwatering Thsnk you
Most welcome dear
Mashaallah iyo upate na sima cpati picha shukran swaiba
Wajulia, yani hapo utakula hadi ushindwe kutembea 🤣🤣🤣
Masha Allah tabaraka Allah nice
Shukran habibty
Wow acha nitafute spices. Asanteni sana
Karibu sana dear
Just discovered your channel ,its wow!!!!!
Thank you very much, and most welcome 😘
Mshlh nzuri sn
Shukran dear
Thanks
Welcome
Asante sana Dada, no utamu sana kwa maelezo yako
Karibu sana Kaka brother
Very good fo sho
Indeed dear
Thanks for sharing dia,hio blender unapatikana wapi
Maduka ya vyombo vya umeme
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 asante
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 hiko na jina ingine au ni blender tu
@@jacintacherop2854 Ni Coffee Grinder ama unaweza kusema blender yakusagia dry ingredients. Ziko aina nyingi tu ita depends ni wapi uko. Kama una order online tafuta coffee grinder
Manjano uliyoweka niiile watu wanapaka usoni
Yes ndio hiyo lakini hii niyachakula
Asante kwa pishi. Lakini viungo vyako uwe unavitaja vizuri. Na Pia Wapi tunapata. Kama Hiyo star mm ndo mara ya kwanza kuona na kusikia. Inaleta ladha gan?
Hebu nielekeze jinsi ya kuvitaja vizuri dada.
Hiyo star, nikienda gengeni nasema star Au ina jina maalumu la jikoni
@@kelly2248 Star anise