Hii nyimbo sijawahi ichoka jameni kila nikiisikiliza najikuta naanza kusali huku nalia😭 kama na ww bado unaiangalia mpaka leo 2019 gonga like. Fan from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Hu wimbo nimehusikia mwaka 2010 mama yangu alikuwa akiupenda mno haipiti siku bila kuhusikiliza natoa shukulani Mungu kanigusa mpaka sasa ni mwaka 2023
These people have a blessed voices from GOd. It is a good thing they return it to him with their nice and beautiful songs. I hope I understand what really the song say.
The song is in Swahili name'gusa' means touch. They ask God to touch his people. Others are sick, while others are poor and so many challenges that humans are facing.so they beg God to touch them.
Hu ni mwaka 2023 hu wimbo nimehanza kuhusikia mwaka 2010 toka kwa mama yangu alikuwa anaipenda sana nakupenda Mama nakupenda sana Mungu azidi kukuweka hai nakupenda Mungu kwa upendo unao tupatia mimi na Mama yangu
It's so heart touching,may God almighty touch the situation you are by now and repay you with his blessings and healing in the mighty name of Jesus 🙏🙏🙏
Tuko mbele zako Mungu wetu tutazame kwa jicho la huruma tumeleta matatizo yetu kila mmoja na mzigo wake tenda miujiza yako Bwana kwa mkono wa uponyaji.
Nyimbo hii imetoka nikiwa na miaka 10 mpaka leo niko na miaka 21 taklibani miaka 10 Mungu endelea kugusa ujana wangu na hata nifike uzee namuamini Mungu najua atagusa na nitarudi kucoment nikiwa na miaka 30 amina🙏🙏🙏🙏
I heard this song a year ago but let me tell you, you did a great job may God Almight bless you hundred times. whoever needs translation please contack me.
Anayeangalia wimbi huu 2024 na bado ana feel uwepo wa Mungu na kububujika mbele yake ,gonga like hapa
✋✋
Anayeangalia 2023 pamoja na Mimi mungu amubariki 🙏🏾🙏🏾 gusa 😭 Jehova shalom gusa masiah 🙇🙇🙏🏼❤️🇰🇪🇰🇪👈
❤❤❤
Nilikua naiangalia nikiwa na miaka 10 na leo hii nimeitafuta nikiwa na miaka 23 elf 2024 mungu akaguse kazi yangu 🙏🙏🙏🙏🙏
Nmechelewa😂😂🙏🏾🙏🏾
Who is still here in 2023??May the Good Lord Bless us abundantly throughout this year and always.
Wimbo huu nikiusikiliza nafarijika sana nasikia nikiguswa moyo wangu tunaofarijika na huu wimbo gonga like hapa 🙏🙏🙏
Alieangalia huu wimbi akuwa mschana sah n baba au mama🙋😂😂❤❤❤Mungu awabatiki sana Guza jehova popote mpo nyie wte🙌💪💪🙏🏾🙏🏾
Gusa uchumba wangu baba pekeangu siwezi😢😢😢😢
wimbo wanibari sana,barikiwa sana
Savera Enock gusa bb familia ya mzee theophily ss peke yetu atuwezi bb
Tupo wenye ndoa ndani na balaa tupu gusa baba
Gusa biashara yangu mungu wangu
If still watching this 2023 May God Bless you...
2023.......im here again again please God entervene
10 yrs + am still playing this song,what agreat blessing..Gusa maisha yangu bwana yesu
Sah najua ww n mama😂😂😂Pia mm naupenda sana huu wimbo wazamani sana❤❤❤
Great message. Lord intervene in people's lives. People are really going through a lot.😭
Hii nyimbo sijawahi ichoka jameni kila nikiisikiliza najikuta naanza kusali huku nalia😭 kama na ww bado unaiangalia mpaka leo 2019 gonga like.
Fan from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Anayeangalia 2020 na janga hili la covid-19 Mungu akaguse hili.
Ni kweli
2023❤
Hu wimbo nimehusikia mwaka 2010 mama yangu alikuwa akiupenda mno haipiti siku bila kuhusikiliza natoa shukulani Mungu kanigusa mpaka sasa ni mwaka 2023
Gusa baba mwaka huu nipate ajira nzuri.
Nashindwa kujizuia kwa jinsi wimbo huu na uinjilisti uliomo ndani yake unavyougusa na kuubariki moyo wangu! Mbarikiwe sana
2019 and still listening to this Gusa hit song. if you are blessed, gonga like
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu; Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo awabariki Sana!
I am so so blessed and this song will bless very many people.
hunifariji sana huu wimbo! ahsante mtunzi na Mungu akuzidishie uwezo.
This song has a really powerful message
2024 Gusa Maisha yetu yesu❤❤..tugusee Tena ,watoto Wetu,wazazi wetu
Naipenda hii nyimbo inaguda japo, mimi ni muislam lkn inagusa mnoooo,m barikiwe sana.
Sahu sahura napenda moyo unataka gusa unatakata
Nahisi niko mbinguni japo sijafika,nisikiapo wimbo huu
Utaguzwa tu
Sahu sahura yeah vzur pia
Sahu sahura 🤒
Mungu baba naomba uguse maisha yangu na mafanikio yangu.....mwaka 2020 ukawe wa mafanikio
Kwa Kweli Mungu ainue hii kwaya kwa huduma ya uimbaji yaani nabarikiwa sana nyimbo zao
Wimbo Mzuri,umeniguza mno,old is gold,watching in kenya
gusa baba maisha yang yehova
Mungu mguse my brother Alex aliytangulia mbele za haki mguse bb ni mm mdogo wake vero
Kwa mkono wako tutabarikiwa, Kwa mkono tutatakazika, Kwa mkono tutafarijika, Kwa mkono tutawekwa huru
GUSA X4 GUSA JEHOVA, GUSA MASIA, GUSA SHALOM. GUSA X4 GUSA BWANA YESU
Nabarikwa sana na nyimbo hizi
I put this song to my favorite list 😍😍😍😍
Mungu awabariki sana hakika nimepona nakubarikiwa kwa wimbo huuu
Gusa maisha ya waliokata tamaa baba
Hawa Makau
Mungu we ndo kila kitu kwetu katika maisha yetu unagusa kila mmoja kwa nafsi yake
Oh, touch my heart, oh Lord! Great song!
This still touches me and I first watched it in year 2006
2021 still my Fav❤️🙌🏻
The song has great power in blessing. Be blessed all the singers.
Ahsante kwa hizi mnayo bariki na sinagusa rohoni mwangu endelea hivyo hivyo
I Zablon LISSU Mangu, i love have been loved AIC Chang'ombe as well as their song concern so May Almighty GOD bless you AIC Chang'ombe chior !
Hongereni Sana chang'ombe na mungu awabariki mzidi kuwa wamoja katika imani
Niguse Jehova ndani ya moyo wangu nami nipate hitaji langu toka kwako
Napokea baraka za huu wimbo
Gusa na mimi maisha yangu Bwana,,na familia yangu pia
Wimbo umenigusa sana na umenifungua sana jina la bwana lihimidiwe na Kila mmoja akapate kubarikiwa
amen gusa baba
May God bless u my siz
Tumaini Sanga gusa maisha yangu mungu
Gusa maisha yetu amen,!!
Amen gusa maisha ya ndoa zetu
hai
I always love this choir
Gusa maisha yangu e bwana wangu Yesu
Gusa mume wngu me siwezi peke yangu mwanya miuzija mungu wangu we ndio kila kitu baba yetu mguse mume wngu mungu
15+ yrs still worth listening to this song.
Mungu wetu anatupenda tunapomuita anatugusa. Thank you Jesus. Barikiwa waimbaji
Nabarikiwa sana na wimbo huu 🙏🙏
Nime kumbuka mbali sana nyimbo hii ina toka nipo galanos Sec Tanga ndio Na maliza o-leve
These people have a blessed voices from GOd. It is a good thing they return it to him with their nice and beautiful songs. I hope I understand what really the song say.
The song is in Swahili name'gusa' means touch. They ask God to touch his people. Others are sick, while others are poor and so many challenges that humans are facing.so they beg God to touch them.
Moyo wangu umeguzwa na huu wimbo..mubarikiwe sana mulioguzwa na kuimba
Haleluya
Naupenda wimbo huu Gusa Gusa Mungu Maisha yangu.hakuna mwingine baba Gusa
Hu ni mwaka 2023 hu wimbo nimehanza kuhusikia mwaka 2010 toka kwa mama yangu alikuwa anaipenda sana nakupenda Mama nakupenda sana Mungu azidi kukuweka hai nakupenda Mungu kwa upendo unao tupatia mimi na Mama yangu
Who is watching and get blessed with this in 2020
It's so heart touching,may God almighty touch the situation you are by now and repay you with his blessings and healing in the mighty name of Jesus 🙏🙏🙏
mubarkie xana
Gusa baba🙌
Tuko mbele zako Mungu wetu
tutazame kwa jicho la huruma
tumeleta matatizo yetu
kila mmoja na mzigo wake
tenda miujiza yako Bwana kwa mkono wa uponyaji.
Nyimbo hii imetoka nikiwa na miaka 10 mpaka leo niko na miaka 21 taklibani miaka 10 Mungu endelea kugusa ujana wangu na hata nifike uzee namuamini Mungu najua atagusa na nitarudi kucoment nikiwa na miaka 30 amina🙏🙏🙏🙏
too much blessings from the song. amen
Eee mungu gusa wajane yatima wagonjwa na wasiojiweza pia waliofiwa na wapendwa wao
Barkiwa watu wa mungu,ila huu unahuzunisha sana.
CVC mko juu sana, Fadhili na nehema za Mungu wetu ziwe nanyi daima
niguse na Mimi Baba
Eeeh bwana wa mjeshi Mpokee..Mwalimu Clement..kwa nyimbo hizi zilibariki watu wengi Sana..kazi emeimaliza...RIP..Mwl.Buhembo
Gusa gusa gusa Yehova ,Gusa maisha yangu.
Hii ni 2023 na bado nabarikiwa na wimbo huu❤
BABA TUKO MBELE YAKO,SISI NI WATENDA THAMBI,UTUSAME THAMBI YETU BABA
Joel Ogila mbarikiwe
Nmeupenda wimbo. Huu
Eeee Mungu wangu gusa familia yangu wazazi na walzi wangu pia masm yangu
Magreth Kabelege gusa
gusa bwana moyo wangu unibadalishe mawazo yangu
Gusa kazi za mikono yangu Mungu wangu....huwa nabarikiwa sana na hii nyimbo
Gusa maisha yangu yesu
mbalikiwe na bwana wimbo unagusa sana pia Mungu awape nguvu Amina.
Niguse Jehovah, a song of blessing
Naupenda sana wimbo huu, Mbarikiwe sana kwa kazi njema namna hii
amen Yesu Kristo,gusa watu wako, Kristo Yesu guuuuuuusaaa baba
This track makes me feel Gods presence in me. congratz 4 ur tracks in this album may the Great Lord bless U al
Hawa waimbaji nawakubali saana
Always my favourite ,it touches my heart
Huu wimbo ni maombi tosha kabsa tena yenye nguvu 🙌😭
Kwa kweli ninapo sikiya wimbo Huu I just fill like I'm in heaven our sisters be bless 4 your songs na mwendeye hivyo
Gusa Jehovah's,,,, so blessed
Kwa mkono wako tutawekwa huru.....amen
naipenda sana huu mwimbo ijapo mm msabato lakin inagusa
nabarikiwa sana na wimbo huu ,Mungu azidi kubariki utumishi wenu
Amen
Mungu akulinde cku za maisha yako yote
Haleluya...Niguse bwana Yesu kama ulivyowagusa wote waliokuamini
Nawapenda sana nyimbo zenu zimenibariki mno
asnte mung kwa kugusa maisha yang
Wed,8 May 2024, 00:36
Please God bless your people listening to this holy tune
Kweli wengine tunacheka mbelezawatu lakini moyoni tunalia "Mungu gusa"
from kenya nice song may god bless them nawapenda sana..
good work from aic chang'ombe god save us
Frank Riganya hey
gusa maisha gusa ktk masomo ya wanangu gusa ndugu na jamaa gusa baba
mungu na awabari kwa kazu nzuri
Yeah this song really is a motivational to my life am blessed alot
Wimbo mzuri kabisa
I heard this song a year ago but let me tell you, you did a great job may God Almight bless you hundred times. whoever needs translation please contack me.
Hallooo
Gusa baba hata tulio mbali na Tanzania tuirud salama Amina
Can't get enough of watching this song so blessing🥰🥰gusa moyo wangu eh Mungu..
be blessed with many other things God be with you always
Npo mbele zako Baba Gusa maisha yangu😭😭😭😭😭🙏🏾♥️
Moja kati ya nyimbo bora za Muda wote. Kila nikiisikiliza ni kama imetoka jana. Mungu aendelee kuwabariki sana
Unayeangalia 2024 kama mimi kupitia youtube lakini uliwahi kuangalia kwa CD enzi hizo, punga mkono.