Unaimba hivi na mnatenda hivi mbona??? 😭😭Why is it that most of femal gospel musicians left their marriages after becoming successful???? This is among of them yet its only God who uplift them to send a message of God? Kwani wakristo tulikosea wapi?? Examples who left their marriages: Christine Shusha, Sarah Mpungi, Bahati Bukuku, Janet Mrema, Neema Mwaipopo, Martha Mwaipaja na wengine wengi.......
Nakumbuka enzi hizo nilikuwa nikichelewa kwenye video lazima nile bakora😢😢😢 kwasababu ya hizi nyimbo za AIC , ,watoto waliokulia kwa mama zao hawawezi kujua tabu tulizopata sisi tulioishi nyumba za watu
Enzi hizo nilikuwa darasa la pili mwaka 2011 nakumbuka😂 maana nilikuwa nachapwa kwa kuchelewa kuwafungulia ng'ombe kisa naenda kukaa saluni moja kijiweni kwetu kuangalia hii kwaya.
Safi sanaaa
July 2024
❤❤❤❤❤2024
Nyimbo hizi zina muda lakini ubora wake upo palepale.
Osika
nice sing
Namwona mama yangu Martha mwakatobe
🎉2024 going strong
Amen nabarikiwa sana na wimbo huu 🙏🙏🙏.
asante mimi ni mutshungaji nina kanisa congo naka Lubumbashi natamani niwalike tawapa vipi
MUNGU awazidishie kipaji amen
Uyo madam amemaliza 🎉🎉
Amen
Hakuna jambo la kunitesa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Naukibar sana huu wimbo
My finnest choir till now from my childhood
Hizi nyimbo toka nikiw mdog zilikua nyimbo pendw till now nyimbo nmekua nazoooo❤️🤝✊
Napenda sana hizi nyimbo haziwe chuja ata siku moja
Mbarikiwe kwaya nzima kwa jumbe zenu nzuriiii
Kwel kabisa hakuna analoshindwa bwana hongera dada kwa kalama yako nzuriii
I thank God naeza imba nyimbo zenu zote
Unaimba hivi na mnatenda hivi mbona??? 😭😭Why is it that most of femal gospel musicians left their marriages after becoming successful???? This is among of them yet its only God who uplift them to send a message of God? Kwani wakristo tulikosea wapi?? Examples who left their marriages: Christine Shusha, Sarah Mpungi, Bahati Bukuku, Janet Mrema, Neema Mwaipopo, Martha Mwaipaja na wengine wengi.......
Hallelujah ❤❤❤❤
Nakumbuka enzi hizo nilikuwa nikichelewa kwenye video lazima nile bakora😢😢😢 kwasababu ya hizi nyimbo za AIC , ,watoto waliokulia kwa mama zao hawawezi kujua tabu tulizopata sisi tulioishi nyumba za watu
Huu wimbo unazidi kuchanja mbuga na unapendwa na waislamu karibu wote sijui kwanini🤗🤗 Mungu awabariki sana
Daaah!😢 nikiusikia huu wimbo nakumbuka mbali sana mpaka natamani miaka irudi nyuma nikutane na wale marafiki zangu wa utotoni😢😢😢😢
Enzi hizo nilikuwa darasa la pili mwaka 2011 nakumbuka😂 maana nilikuwa nachapwa kwa kuchelewa kuwafungulia ng'ombe kisa naenda kukaa saluni moja kijiweni kwetu kuangalia hii kwaya.
Nawapenda wote jamani nabarikiwa sana
wote tulioaguka tumueukie mungu na msamaha wa dhabi tutasemehewa
asante sana bwana joshua mahesa kwa injili imendumu kwa mioyo ya wengi mungu aiendeleze
Kweli choir hii inanibariki sana
Wed,8 May 2024, 00:36 Please God bless your people listening to this holy tune
5/5/2024
Music we grew up listening to❤
My old favorite song of all time @2024
who else anabarikiwa na nyimbo za hawa wapendwa?!gonga like
These are timeless classics
May God bless you guys Such a wonderful song ❤️❤️❤️
Duh!kitambo sana
Duh
Kipindi hicho tunaenda kuangalia movie,nyimbo hii ilikuwa kiitikio cha treller,nakumbuka
Mbarikiwe sana,wimbo huu kila mwaka hauchuji nimpya mpya
Zaburi46 ❤ nimesoma hiko kitabu, nikaukumbuka huu wimbo ikabidi niutafte, nizidi kukazia maarifa na kubarikiwa. Barikiwa sana🎉
Napenda hizi nyimbo sana zinanibarikigi sana
Who is still here 2024
Endelea kugusaa baba😭😭😭😭
2024
Ubarikiwe Kwa wimbo mzuri kaka
Sasa tena ikawaje