Mungu ni Tumaini - Muungano Town Choir
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Mungu ni Tumaini,
Tunamshukuru Mungu kutupa nguvu
ya kufanya kazi hii ya kueneza Injili
ya Yesu Kristo karibu ufurahie video hii Nzuri
Muungano Town Choir Toka Chato
share , subscribe , Like na comment
Ili uwe wa kwanza kuziona video zetu.
ubarikiwe
Hongereni Sana, kazi ya Bwana isonge mbele na neno lake lakafanyike baraka kwa kila mmoja
Hongeren saanaa kwa kazi njema mungu awabariki
Hongereni sna lwa uinjilishaji ..Chato kwanza..Mungu awatunze
Hongerani kwa kazi nzuri daima mungu ndo tumaini letu
Nawapenda Dana mungu awatienguvu nuenderee kutangaza neno lamungu ❤
Mungu azidi kuwatumia katika kuitenda kazi yake.
Mpo vizur
Ila mmetisha sanaaaaaa hongereni sanaaaaa
Mungu awabariki sana
Iko sawa, good choir congratulations 👏♥️👍
Mbarikiwe sana
Ahsante kwa kutukumbusha kuwa Mwenyezi Mungu ndiye tumaini letu.
Mbarikiwe kwa kipaji cha kuinjilisha.
Hiiii kazi aisee ni moto sollo mashuhuli sanaa
Ila vijana mmetunyonga kwaaa mbaaaaaaali
💫✨
Amen nyumban kumenoga❤❤
Kwel kabsa yey ndiye tumain let sote
Nawapenda sana nawaombea neema na baraka kutoka kwa Mungu wetu aliyejuu mbinguni.Amen❤❤
Woooow hongera sana MTC mmetisha
Amen
Mungu ni tumaini mbarikiwe sana ,Mungu awasimamie mzidi kulitangaza jina lake
Amen barikiwa sana kipenz
Hatimae mzidi kuwa hodari
Amina
Mungu awainue Kwa kumtangaza kristo
Hata sasa bwana ametusaidia
❤❤❤❤❤❤❤
Amazing song Mungu awainue zaidi MTC
Mungu awabariki
Barikiwa sana
Waooo amaizing
🔥🔥🔥💃💃
Mtumishi unaelekea wap
@@ivanokwetu 😂😂😂😂ni 🔥🔥🔥 hongereni sana Mungu awabariki sana
Nimeipenda
@@user-xf4kf5ux1j barikiwa sana na enjoy pia
Nawapenda
Mungu ni mwemaaaaaaaa
More Grace 🙏🏽🙏🏽
Halleluya
Aminaaa
Mungu mwema sana ❤❤❤
Waaoo congratulations
wonderful song ✓ (ngandu)
Naongeza kusema kama mwalim mzoefu hongereni kazi ni nzuri a'm a man from Kenya I love this song God bless you all church members for supporting this choir
Mbarikiwe sana
Mungu awabarika sana