Neema Gospel Choir - Tunatabiri Ft. John Kavishe (Live Music Video)
Vložit
- čas přidán 7. 09. 2024
- Ikiwa YESU anaweza kuleta uzima tena kwa mifupa ile iliyokufa, kavu, iliyotapanyika, basi anaweza KUREJESHA chochote kwa yeyote!
"Akaniambia, Mwanadamu, je! Mifupa hii yaweza kuishi? Nami nikajibu, Ee Bwana MUNGU, wajua wewe. Akaniambia tena, Toa unabii juu ya mifupa hii, uiambie, Enyi mifupa mikavu, lisikieni neno la BWANA. Bwana MUNGU aiambia mifupa hii maneno haya; Tazama, nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtaishi. Nami nitatia mishipa juu yenu, nami nitaleta nyama iwe juu yenu, na kuwafunika ngozi, na kutia pumzi ndani yenu, nanyi mtaishi; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.'" Ezekieli 37:1-10
If Yahweh can bring life back to those dead, dried, scattered bones, then he can RESTORE anything to anyone.
He asked me, “Son of man, can these bones live?” I said, “Sovereign Lord, you alone know.” Then he said to me, “Prophesy to these bones and say to them, 'Dry bones, hear the word of the Lord! This is what the Sovereign Lord says to these bones: I will make breath enter you, and you will come to life. Ezekiel 37:1-10
Na hapa ndipo yalipatikana Mafunuo ya wimbo huu: Full story link - • Neema Gospel Choir - T...
Songwriter & Composer: John Kavishe
Leader: John Kavishe
#neemagospelchoir #gospel #Tunatabiri
--
VICTORIOUS JOURNEY PRODUCT
held on 01st December 2023 at Uhuru Stadium - Dar es Salaam.
𝗖𝗥𝗘𝗗𝗜𝗧:
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐃𝐢𝐫𝐞𝐜𝐭𝐨𝐫: Amigo Johnson
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐄𝐝𝐢𝐭𝐨𝐫: Titus Alfred
𝐀𝐮𝐝𝐢𝐨: Victorious Production
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 & 𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞: ABE Professional Sound
𝐒𝐜𝐫𝐞𝐞𝐧: ABE & Ryzen
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Jeddy
𝐌𝐨𝐧𝐢𝐭𝐨𝐫 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Junior Albert (Gaddy)
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐬 𝐏𝐫𝐨𝐯𝐢𝐝𝐞𝐫: Allan Lights
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐢𝐧𝐠 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maxlifah. (Max the Alternative) 🇰🇪
𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞 𝐃𝐞𝐬𝐢𝐠𝐧: Parmena Winfred
𝐏𝐫𝐨𝐝𝐮𝐜𝐭𝐢𝐨𝐧 𝐌𝐚𝐧𝐚𝐠𝐞𝐫: Production Fundamentals Limited
𝐑𝐢𝐠𝐠𝐢𝐧𝐠 𝐚𝐧𝐝 𝐬𝐚𝐟𝐞𝐭𝐲 𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maurice Sikuku 🇰🇪
𝗖𝗢𝗡𝗡𝗘𝗖𝗧 𝗪𝗜𝗧𝗛 𝗨𝗦:
Instagram: Neema Gospel Choir
Facebook: Neema Gospel Choir
X: Neema Gospel Choir
Threads: Neema Gospel Choir
Tiktok: Neema Gospel Choir
𝐂𝐨𝐧𝐭𝐚𝐜𝐭 𝐮𝐬:
Whatsapp: +255 766 777 288
Email: info@neemagospelchoir.org
Website: www.neemagospelchoir.org
©️2024
TUNATABIRI LYRICS
Bonde limejaa mifupa
Mifupa mikavu
Je, yaweza kuwa hai tena?
Bwana anauliza
Bwana anauliza
Je, yaweza kuwa hai tena?
Kama Ezekiel
katika bonde hili
Tunatabiri
Tunatabiri
Kila kilichokufa
kipate uhai tena
Tunatabiri
Tunatabiri
Kwa neno la Bwana
Kwa neno la Bwana
Tunatabiri
Tunatabiri
Mifupa mikavu
Tunatabiri inapata uhai
Tunatabiri
Tunatabiri
Tunatabiri, Inapata Uhai
Tunatamka kwa neno
Na yote inakuwa
Tunatabiri, inatapa uhai
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
Ewaaaaaaaaaaaa! Vizuri sana nimeipenda hiiii
Tuna tabili 🔥🔥
Waoo wa kwanza kutazama, naombeni like zenu wapendwa
Amen🔥🔥🔥🔥🔥
Nabarikiwa sana na huduma hii iliyo tukuka 🙏🙏 TUNATABIRI 🎧📷
Umerejesha Mifupa mikavu God Bless you Neema Gosple Choir
Amen 🔥🔥
Tunatabiri 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥
Amen ubarikiwe sana Dada yetu kwa kuendelea kuwa karibu nasi🙏🙏🙏
Tunatabir❤❤❤
Kumerejeshwa ,Sasa ni kutabiri iwe hivyoo....
Wakenya kama kawaida tuipeperushe kama na likes za ajaab.. Nehema choir ndo mnaaza kupaaa Sasa Kwa Kasi. John kavishe yuko na kibali ya aina yake, God bless..muonekano pia yanafurahisha sana ..nikija Tanzania nitapenda sana mnijulishe hao mafundi..❤❤ Kenya 🇰🇪 mmnapendwa sana watu wa mungu ❤
Amen ubarikiwe sana, tunakupenda pia🇰🇪🇰🇪❤️🔥🔥
Greatest man in history, had no servants, yet they called him Master. Had no degree, yet they called him Teacher. Had no medicines, yet they called him Healer. He had no army, yet kings feared Him. He won no military battles, yet He conquered the world. He committed no crime, yet they crucified Him. He was buried in a tomb, yet He lives today🙏🏻. His name is Jesus.❤
Amen🙏🙏🙏🙏🙌
👏🙌🙌🙌
Amen
NINATABIRI KUPATA KAZI KWANGU MWAKA HUU KWA JINA LA YESU KRISTO NA IMEKUWA AMINA.
Amen na iwe hivyo kwako🙏🙏🙏
Amen
Wale ambao mwaka huu tunaenda kuwa matajiri si kwa ajili yetu ila kwa ajili ya utukufu wa Mungu.. nikuone kwenye comment please!... Sema chochote tajiri mwenzangu❗hii ni kwa matajiri tu❗💰💵💴💳
Amen ubarikiwe sana🙏🙏
Amen Mungu akubariki sana na Tunatabiri inapata uhai mifupa mikavu
Hujambo tajiri mwenzangu 😊
🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌
Amen
Ifike sehem serikali ya Tanzania iseme neno ..aisee mnajua Sana hatakipofu ana prove.. blessed mlingwa na Andrew wapewe ulinzi
😀😀😀😀Asante sana mpendwa kwa kuendelea kubarikiwa na huduma yetu🙏🙏
I can see my wife Shifra on the stage.
Akitabiria mifupa!
Big up Neema Gospel!💪💪
Amen be blessed 🔥🔥🔥🙏🙏🙏
God bless you sir for supporting your wife's ministry
I like their outfit.
Yeah!
I'm grateful for you too.
However, husband's support matters a lot since it unleashes the hidden potentials in spouse's life.
You are doing a very great job indeed!
God bless you all, More annointing to you brethren!
Big up 💪💪
Tunatabiri mwaka huu Neema Gospel Choir watakuja Moshi Kilimanjaro kufanya Live recording 😅😅😅🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😀😀😀
Amen🙏🙏🙏
Mifupa mikavu yaweza ishi Tena Yeeees ! More Grace Watoto Wa Mungu !
GOOD JOB MY BROTHER JOHNY KAVISHE...
Amen to God be the Glory 🙌🙌
Nimezidi kubarikiwa kutoka Kwa kwaya yangu pendwa. Nimetoka kurejeshewa na Sasa baada ya kurejeshewa ninatabiri Kwa Neno la Bwana. Mungu azidi kuwabariki sana.
Amen, ubarikiwe sana🙏🙏
Wazee wa kutabiri na kurejesha! Mmepigaje hapo!!? Mnazidi kuponya nafsi zetu..Mungu wa mbingu na nchi awabariki sana!
Amen ubarikiwe sana🙏🙏
Ninatabiri ile kazi yangu nzuri ninyoiombea kila siku itatimia mwaka huu kwa kina la Yesu!
Amen na iwe hivyo kwako 🙏🙏🙏
Amen 🙏
Huu wimbo kila siku ni Mpya kwangu,umenipa nguvu Saną kwenye maisha yangu Mungu awabariki Saną Familią yabgu NGC
Maana sisi tumepewa mamlaka tukisema ni Mungu amesema na kwautukufu ule uliokwsha kufunuliwa na utakaofunuliwa tunasubili mifupa mikavu iwe hai Tanzania vijana jeshi la Mungu lipate uhai Mkuu wakutenda kazi ya MUNGU Tunatamka na inakua
Amen🙏🙏hili ni neno📌
Tabiria RAINER MOVERS Kenya itapata watejaa in Jesus name 😢
Amen na iwe hivyo katika jina la Yesu🙏🙏🙏❤️
AICT choirs to the international level, we're proud of having you servant of Jesus, as a church we appreciate your work, God bless you all 👏
One day I'll be the part of this group,,😊
Wow your warmly welcome to the family 🙏🙏💪💪
Tunatamka neno na yote inakuwa ooooh tunatabiri inapata uhai...mpe salam MD masanjaa❤❤
Amen🙌🙌 zitamfikia salamu
Kila kilichokufa kwenye maisha yangu natabiri uhai ndani ya kwa Jina la Yesu.
Amen na iwe hivyo kwako🙏🙏
Ameen🙏tunatabirii
Hakika tunatabiri mifupa mikavu inapata uhai kwa neno la Mungu- Ameeeen🙏🖐️👏🤲Be blessed NGC- Ameeeen🙏
Amen🙏🙏🙏🙏
Natabiri uchumi wangu kuneemeshwa na Mungu na madeni yote kuishi ili niishi kwa amani
Amen
Watumishi neema iendelee kutenda kazi kwenu kwa ukubwa na nguvu ,mnatubariki sana sana,upendo mwingi kutoka Arusha
Amen asante sana ubarikiwe pia🙏❤️
Kwa neema ya Yesu na kwa neno la Mungu natabiri mwaka huu ayatimize yale nimemwomba kwa utukufu wake
Amen
Natabiri kupata ajira mwaka huu usipite ,,
Amen
Kwajina la YESU natabiri mwaka uhu uwe wa ndoa kwangu❤🥰🙌🙌🙌🙌
Amen na iwe hivyo kwako
Natabiri huu mwaka napata mume
Kenyans najua tushafika...Am really addicted to this choir lately 😊🇰🇪😊🇰🇪❤️❤️
Amen God bless you🙏🙏🇰🇪🇰🇪
Tuko kwa sana
Me too
We are all Gods children..borders ni za mzungu
@@webbworth1 umesema ukweli. God Bless You
Tunatamka kwa neno na yote inakuwa tunatabiri inapata uhai❤
Ninatabiri ubirionea kwangu 2024 kila kilicho pooza kinapata uhai kwa jina la mungu wetu alie hai
Amen
Very very powerful. Indeed tunatabiri. Mbarikiwe sana
Amen 💪💪💪🙏🙏
Hello August chochote kilichoufa kikapate uhai tena mwezi huuu in Jesus name
Ninatabiri yote ninayotabiria familia yangu nami yote yawe hai tena🙏
Amen
tuna tabiri we prophecy by the word🔥🔥
Amen🙏🙏
Ninatabiri mifupa yote maishani mwangu imepata uhai...such a great song❤
Amen ubarikiwe sana 🙏
Hakika najitabiria mwaka huuu napata kazi , na kuwa n maixha mazur , nakpat hela nyingi n kuolewa ❤
Amen na iwe hivyo kwako🙏🙏
Tunatabiriii
Amen 🙏🙏
Sooo nice uwee,Neema mwanibariki kweli
Amen🙏🙏
Najitabiria kazi na ndoa njema🎉
Amen na iwe hivyo kwako🙏🙏🙏
Tunatamka kwa neno na yote yanakuwa ❤❤❤
Amen🙌🙌🙌🙏🙏
Tunatamka kwa neno na yote yanakuwa 🙌🙌
Amen🙏🙏🙏🔥🔥
Wewawoo 👏👏👏👏👏👏👏👏
🔥🔥🔥🔥
Naimekuwa kwny familia yangu nimetabiri
Amen 🙏🙏
Wow natabiria maisha yangu ipate uhai kwa jina kuu la Yesu Amen Amen ❤❤❤❤
Amne❤️
Big up my daughter Mariam i see you on the stage- ukitabiria mifupa mikavu inapata uhai kwa tamko la neno la Mungu- be blessed NGC 🙏🤲👏🔥💪🤝
Amen asante sana kwa niaba yake🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Mifupa mikavu ,tunatabiri inapata uhai
Amen🔥🔥🔥
haki ya nani ...... natabiri na natamka kwa NENO kila kitu changu kinakua hai wow🙌
Amen🔥🙏🙏🙏
Powerful 🎉..hapa Andrew🎸 alitabiri kweli kweli 😂.. such a great band with such an anointing ❤
🔥🔥🔥🔥🔥hakika😃
Wooooow
🔥🔥🔥🔥
Nina tabiri kila kilichokufa ndani yangu kupokea uhai kwa jina la Yesu. Hakika mimi ni mshindi katika Kristo ❤
Amen🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪💪💪💪💪💪
Wakenya waimbaji ... tafadhali tuwaige hawa wapendwa, kutoka kuimba,mavazi na hata Nehema....kiukweli mnapendeza jamani sauti nzuri,vipawa vya aina yake na kuimba kwa kumaanisha ndio inawafanya mmpendeke sana jameni...huku Kenya nawapenda sana ..tunaendelea kurejeshewa huku tunatabiri. John kavishe na vocalists wote pokeeni salamu kutoka Kenya 🇰🇪, pia mmpeeni salamu willian juu najaribu kuangalia simwoni...
Amen ubarikiwe sana tunakupenda 🇰🇪🇰🇪❤️
Eeh wenyezi mungu Wabariki sana hawa wanao wanaozidi kuimba na kutugusa sisi wengine uwabariki sana kwa kila jambo Amen🙏
Amen tunapokea🙏🙏
Tunatabir hakuna mateso tena 2024🔥🔥
Hakika 🔥🔥🔥🙌
TUNATAMKA KWA NENO NA YOTE INAKUWA, TUNATABIRI MIFUPA INAPATA UHAI 🎉🎉❤
🦴🦴Amen🙏🙏
Hallelujah!
That is the next level Neema Gospel Choir.
AMEN Glory to God 🔥🔥
Natabairi na iwe amani kwa wanakwaya woote wa neema gospel
Amen🙏🙏
Kwa NENO la BWANA Tunatabiri
Amen🙏🙏
Tunatabiri uhai kwa kila kilichokufa in Jesus name 🙏 Hongereni wapendwa kwa kazi nzuri
Amen ubarikiwe sana mpendwa 🙏🙏
Wowowowowow baada ya kurejeshewa vyetu Sasa ni wakati wa kujitabiria memaa Mungu awabariki sana neema gospel tunawapenda mnoooo moreee gracee🇹🇿💯❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Amen asante sana tunakupenda pia❤️❤️❤️❤️
Ameeni🙏🏿🙏🏿
Nawapenda Neema gospel mungu awabariki Sana,namuona rafiki yangu shifrah mungu amlinde ña kumbariki
Amen ubarikiwe sana tunakupenda pia🙏❤️
Mungu awabariki sana, wakati wote mmekuwa na huduma iliyotukuka sana,wimbo mzuri na ujumbe mzuri ndani yake 🔥🔥
Amen🙏🙏🙏🔥🔥
Amina tunatabili inapata uhai.
Tunatamka kwaneno nayote yanakua ❤❤❤
Amen🙏🙌🙌
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
🙏
Wuuuui....tutabiri...uhai...halleeeeelujah...chapa ilale.
Amen🙏🙏🙏
Ooooooh hallelujah utukufu kwa BWANA 🙌🙌
Amen
Amazing! The word of God is alive and active! Heb 4:12. Thank you Neema Choir for singing scriptures it's really uplifting and God is doing a great work through you guys! Team Kenya huku nikuabudu tu!
Wow thank you for watching us 🇰🇪🔥🙏🙏
Of course
Nilitaka kuwa kati ya kikundi cha kwanza kutazama na kupokea... I receive.
Amen🙏🙏🙏🔥🔥
Hii choir Ina balaa Mungu awainue zaidi na zaidi
Amen kwa utukufu wa Mungu 🙏🙏
Waoo mungu awabariki neema nawapenda
Amen🙏🙏
Tunatamka kwa neno na yote yanakuwa 🎉
Amen🙏🙏🙏
Wataalamu on Duty..... Mnamuheshimisha Mungu kwa viwango vya juu sana.... 🔥🔥, TUNATABIRI
Amen utukufu kwa Mungu🙏🙏🔥
Tumerejesha na saiv tunatabiri kuwa mambo yote yatakuwa sawaa ,Amen
AMEN🙏🙏🙏🙌🙌
Natabiri kumiliki na kutawala mwaka huu.uchumi wangu unapata uhai upyaa.
Amen na ikawe hivyo katika jina la Yesu🙏🙏
Mungu mwema sanaaaa. Tuko pamoja
Amen
Waoooooo mumejua kunifurahisha nyie watu
🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
Amen, you're blessed. Naitabiria nchi yangu kila palipo na Kufa Mungu akarejeshe uhai tena na uchumi wake ukaimarike. Viongozi wakawe na hofu ya Mungu wakajitoe kwa ajili ya Watanzania sio manufaa yao na watu wachache
Amen ubarikiwe sana🙏🙏
Amen@@NeemaGospelChoir
Yoooooooh 😊😊😊😊😊😊😊
🔥🔥🔥🔥
Tunatabiri inapata uhai mifupa mikavu
Amen🙏🙏
Hallelujah, tunatabiri inapata uhai in Jesus name Amen 🙏 bless up guys 🙏
Amen🔥🔥🔥🙏
Upako juu ya upako
🎉🎉🎉🎉 kavishe goo brother
Amen🙏🙏🙏
Tunatabiri inapata uhai❤❤
Amen🙏🙏🔥
Kindly Subscribe to our youtube channel and follow our instagram page for more updates 🙏
This choir is a blessing. I love Their songs. Natabiria mifupa manake inaeza kuwa hai♟️💯💯💯
Amen ubarikiwe sana🙏🙏
Asanteni sn watumishi kwa huduma nzuri ya kumuhubiri kristo kwa njia ya uimbaji mnazidi kutubariki na kutuganga mioyo yetu ususani mm
Amen
Am addicted to Neema gospels ministry 😢😢😢
Amen be blessed 🙏🙏🙏
Hallelujah 🙌 TUNATABILI KWA JINA LA YESU
Amen🙏🙏
🙏🏾
🙏🙏🙏🙏
Waoooo good one
Amen
aweeee the first time nimesikia this song sikupata vibe ilaa leo nimerudi tena youtube and i feel a different level of anointing🥺🥺🥺🥺
Amen God is really working 🙏🙏💪🔥🔥
Bwana nauliza😢❤❤❤❤
❤️❤️❤️🔥🔥
Hii hatar
🔥🔥🔥🔥
You are indeed a bessing,tunatamka kwa neno,na yote inakuwa,Our Lord is a faithful God
Amen utukufu kwa Mungu🙏🙏
Natabiri huku nabarikiwa na sauti nzuri na yote yamekua Amen!!😊
Amen🙏🙏🙏
AMEN, AMEN, mimi nipo pia..pia katika mataji I salute you team❤🎉
Amen🙌🙌
Tuna tahiti Salama DRC
Amen🇨🇩🇨🇩 God will protect you🙏🙏
Tunatamka kwq neno na yote inakuwa ❤
Amen
Asanteni sana 👏👏👏
Amen
Mbarikiwe
Amen🙏🙏
Nyimbo nzuri sana
Amen🙏🙏
Ameni tuna tabiri🙏🙏🙏
Amen