Baada ya kurejeshewa, tukatabiri kwamba atatubariki, na alipotubariki baraka zake hakika zilikuwa permanent tukasema Bado tunamuamini na kwa sababu tunamuamini hatutalia tena🙏🙏🙏🙏🙏, Asante sana Neema Gospel Choir
Kiukweli huu wimbo umenibariki mno Mungu awabariki wote mnaousikiliza na kuuelewa wimbo huu.
Kama Umebarikiwa na huduma ya watumishi hawa nione likes .....
Thank you Neema Gospel Choir for this amazing song😭❤️. I remember how God saved me and my amazing son when I was to go for an emergency C-section when I was 5months pregnant. I cried to God and He listened. My preterm baby and I survived,and now he's 5years Old. I'll live to dedicate him to God,I named him Malakai Hawi❤thank you Jesus🙏. I leave this here so when he bocomes of age, I'll show him and let him know how God came through for us.
Someone help me give this song a million likes❤❤❤
mavazi poa sana. Dressed up for Jesus, praise the Lord! Wimbo pia ni sawa.
My situation is never permanent in the name of Jesus. Lord Jesus your my pillar and my cornerstone. it is finished in the cross of Calvary.
Yes! Good God. Nyimbo imetulia sana. Tunamshinda shetani kwa neno la ushuhuda.
Let's wave our blessed National flag 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
You guys you are too much
Creativity is of next level,vocal 👌, music 👍, dance 👍, sioni chakukosoa you guys are blessing ,Tanzania we are moving to next level
Neema gospel nawapenda sana🙏....Nina wish sana nije kutumika kwa Bwana na nyie pamoja shida sijui mpo dar sehem gan😔🙏....Ila mbarikiwe sana watumishi wa Mungu🙌❣
Yan huu wimbo jamn kama mlimtungia janesuz na Tito Mungu awajaze nguvu mpya
Yani huu wimbo naupenda sanaaa🙏🙌..Mungu azidi kuwainua watumishi wa Mungu
Oohh, haleluya. NGC hamjawahi kuleta moshi mweusi. Wakati wote moshi mweupe tu unafuka. Aisee Mungu anawatumia ipasavyo.
Huyo solo aliyepanda sana kwa sauti yake Amenibariki sana kwa punch yake. Anaitwa nani tafadhali.
It begun with Nikurejeshee,Tubariki,Permanent,Kama dhahabu And Now it is SITALIA Glory to God
This is my all time song. It carries a lot that speaks about my relationship with my God.
No matter what i have gone through the pain crying day and night i know and I believe that it is done sitalia tena. thank you neema for this powerful son God bless you
Wimbo wangu asubuh,mchana jioni na usiku. Asante Yesu kwa zawadi ya wimbo huu,nabarikiwa sana nawe zidi kubarikiwa sana na huyu mfalme wa Amani🙏🙏
Ulikuwa usiku Wenye Neema na furaha sana hiyo siku
Mungu Awabariki sana muzidi kutenda yaliyo mema
Natamani tena siku moja ijirudiee kana siku hiyo 🔥🔥🔥
Aweee powerfully...Acha niseme ,nieleze Bwana amenitendea sana
Kwa kwelii Sitalia tenaa Eeh Mungu umenifuta Machozi Yangu Pokea Heshima zotee na Utukufu wotee Maana Unastahili Mungu wangu 🙏
Hakika sitalia sasa yatoshaaaaa Nimejazwa nguvu mpya Hallelujah 🙏🙏🙏
Hakika Mungu umenifanyia ushuhuda mkubwa na hisani kubwa. Nikijiangalia nashangaa aina ya neema umenifanyia sikujua kama leo ningekuwa hivi.
Nakushukuru sana maana unatengeneza njia pasipo na njia. ❤❤❤❤
Eeh Mungu wangu sitalia ila kwa machozi ya furaha tu.
Asante Neema Gospel Choir kwa nyimbo za wakati kwangu mimi. Neema iwatosha.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
MUNGU wa mbinguni awabariki Sana Kwa huduma hii njema. (yeremia31:16)
Jitaidini kuvaa nguo zisizochoresha maumbo yenu.nyimbo zuri❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
i love how neema lets different people shine like its not always one person leading we love neema
Mbarikiwe watumishi wa Mungu ❤ laula Mungu akuinue mshkaj wangu🎉😊
Mungu awabariki sana Raula u r blecd my love ❤❤❤❤❤
Mungu ametengeneza njia na atazidi kutengeneza njia..... sitalia tenaa🎉❤
Nimebarika na Masolo wadada sijazoea sana Neema G..
Nimesikiliza sweet voices lovly zinafanya usikilize usikilize usikilize usikilize❤❤❤
😭😭i know my prayers will be answered soon
Sitabak km nilivyo,,, neema gospel mungu azidi kuwapa mafunuo ,, be blessed
Najua haitabaki kama ilivyo hali hii ya sasa. Najua unatengeneza njia pasipo na njia. Sitalia sasa yatosha kwani nimejazwa nguvu mpya, Hallelujah hallelujah! 💯💯💯💥💥💥💥
Endelea kumtegemea Mungu yy ni mwaminifu, hajawahi kumwacha mtu, wakati wake ni sahihi ukifika atakujibu
Hakika n wimbo mzuri honestly Neema mnafany mziki wa injili especially Kwa style mnayotumia kuwa faraja ya wengi sana na pia mnaponya mioyo Karibia kukata tamaa ❤❤
Masolo nawapongeza sana mumeimba kwa kiwango cha juu sana
Sitalia tena sasa yatosha
Najua unatengeneza njia
This is my testimony
giving the old Joyous celebration i used to like, The bass is bassingggggg, 🔥🔥🔥
Jmn kwa huu wimbo najisikia kabisa kubarikiwa,,, thanks Jesus for your grace
Ameen... I am blessed and I affirm the message. No more tears because he is making a way for me... YATOSHAAAA 🙌
I have observed that Rehema Simfukwe is a friend of Neema Gospel, you can consider doing a song with that WOG. Good work Neema Gospel❤
NGC kazi nzuri Bwana Yesu aendelee kuwatumia mkafanyike Baraka kwa Mataifa Yote.🌹💕💞💓🌹🎶🎹🎸🎷🎧🎺🎻🎼🎵🎙️🥁💪
Mungu awabariki sana
Naomba Wimbo wa Tunang'alishwa
Jamani jamani you are always on fire
God bless you so much watu wa Mungu na awalinde na yule mwovu katika Jina la Yesu
Ila LAURA ni kiumbe kingine you are the best my dear 🥹🙌🏽
Acha tuuu😍🔥🔥🔥Laurah apewe maua yakeeeeeeee! I am a veery proud friend🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉acha niendelee kumpenda tuu mdogo wangu❤❤❤
Ndo huyo dadaa aliyesolo, ambaye amesuka anaitwa Laura? Jmn am a fan, baada ya kumuona Ile album ya temporary akiimba nyimbo ya kiingereza, hii siku wakati wanalaunch hii album nlipomuona anakuja kuimba ilibid nkimbie mbele😂😂😂
Ndo huyo dadaa aliyesolo, ambaye amesuka anaitwa Laura? Jmn am a fan, baada ya kumuona Ile album ya temporary akiimba nyimbo ya kiingereza, hii siku wakati wanalaunch hii album nlipomuona anakuja kuimba ilibid nkimbie mbele😂😂😂
Kazi yenu ni njema kwa hakika nimebarikiwa.. Mungu azidi kuwapa maono makubwa zaidi ...
Ooh sitalia, sitali,sitalia yatosha yesu amenijaza nguvu mpya
Sasa Yatosha Mungu umenipa kusikia wimbo kwa Sababu maalum
Sasa Yatosha Mungu unajua 😭😭😭😭
Sitalia Tena kwa Jambo hili hili kila mwaka BWANA 🧎🧎🧎
Glory to God for using all of you to be a blessing to many ❤❤lots of love from Kenya.Nice song & powerful
A very beautiful song 💘 ❤️
Amina
Hakika Neema Gosple Choir Mungu Aendelee kuwapa Mafunuo Mapya kila Leo
Naendelea kubarikiwa Mimi Amina
Sweet ministrations ❤....utukufu kwa Bwana. Barìkiweni Neema band
Hakika ukimtegemea Mungu,hakuna kulia tena.sitalia tena Sasa yatosha Yesua atosha.....Mbarikiwe watu wa Mungu, the song is very nice and touching❤❤❤❤❤
I Love ur songs they always always en they're so encouraging God bless y'all kip up the gd work
Huyo mama solo aliyesuka jamnai uwiii... Ni vocalist CIO poaa... Nakumbuka Ile album ya temporary aliimba kiingereza CIO poaaa🔥🔥🔥🔥
Hahahah Huyu dada mfupi ana motooo🔥💪💪ana jua mpak bac hongera yake kazi kiwango
I really wanted to hear this 😢 it's ENOUGH of the TEARS.🙏🙏🙏
❤wimbo mzuri sana
Sister Laura amenipa vibes za sister tina wa essence of worship ....... nimebarikiwa na kila kitu cha hii production. NGC barikiweni sana
@neemagospelchoir my favourite song ❤️
Sitalia ng'ooo
Listening from 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 amazing song
Sitalia nimechoka kudharauliw Mimi na familia yangu
Binafsi hii nyimbo ndo imenibariki kuliko hizo zote zilizotoka mpaka sasaa
Hakika neno la nabii halitoki bure kwa anayekumbuka nabii mmoja shuleni kwenye ibada ya jumamosi Aict katunguru church alitabiri siku hiyo karama na vipawa nakumbuka Justina aliambiwa atakuwa mwimbaji mkubwa kwer Mungu si mwanadamu aseme uongo zidi kunyenyea kwa aliyekupa hiyo karama Mungu azidi kukuinua dada yangu by Veronica David Michael
Mbariikiwe watu wa Mungu mnaimba vizuri sana❤❤🎉
Sintalia Sasa yatosha,nimejazwa nguvu❤❤
Amen I wish to Minister with you Neema gospel this song is direct from Holy Spirit is talking here that no crying again it's over
Thank you neema gospel choir for this powerful song
Indeed sitalia nimejazwa nguvu mpya
Powerful declaration
Straight from kenya am really waiting 🙌🙌🙌🙌💯
Amina mbarikiwe sana, wimbo ni mzuri unabariki.
Song Lyrics 🎵 🎶
Hiki kinywa changu
Na huu moyo wangu
Vimejawa na sifa zako
Ewe BWANA Mungu wangu.
Yale umetenda kwangu
Sio siri ya moyo wangu,
Bali ni ushuhuda wa wazi
Kwa mataifa yote.
Acha niseme nieleze
NIwaambie wajue.
Ushuhuda wa kweli
Wa maisha yangu
Nikihesabu mambo ni mengi umenitendea
Hisani kubwa BWANA umenifanyia
Milimani na mabondeni ulinisaidia.
Ahsante BWANA kwa neema ulonipatia.
Acha niseme nieleze
Niwaambie wajue.
Ushuhuda wa kweli
Wa maisha yangu
Najua haitabaki kama ilivyo
Hali hii ya sasa
Najua unatengeneza njia
pasipo na njia.
Sitalia, Sitalia
Sasa yatosha, sasa yatosha
Nimejazwa nguvu mpya
amen🙏🙏🙏🙏