Tutaliishi Neno Aic Buzuruga Choir Tunamshukuru Mungu kwa Wimbo huu Karibu kutazama#Neno# aic buzuruga choir#gospel #bestchoir #Tanzania Gospel #African gospel songs#aictbuzurugachoir#tutaliishi
Nimependa Music ulivyopigwa hauna makelele kama kwaya za huko mwanza zilovyo, hata step siyo za kishamba, vocal pia zimetulia, hongereni sana kazi nzuri
Kwakwel katika album hii nimemuona Mungu haswaaa kupitia nyimbo zenu....nabalikiwa sana na kazi hiii...Mungu azidi kuwatumia shamban mwake... Nawapenda mpaka raha
Amina wapendwa wetu Mungu awabariki sana
*😢😮😅W
Amen vyombo vya mungu endeleya kumtumikia mtapata mavuno
Mwanza my region AICT my church. Du respect on this work is a great song
Nimependa hii kway mung awe nanyi
Mbarikiwe mno kwa ujumbe wenu neno limepenya
Amen wasukuma wangu mpo vizur
Amen vyombo vya mungu endeleya kumtumikia mtapata mavuno ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤
Kutoka Nairobi Kenya mbarikiwe sana Ndugu zangu kutoka Tanzania.
Kazi nzuri sana aisee,Mungu awatumie kadri yeye apendavyo
Wonderful choir God bless you 🙏💓
Ewaaaaaaà kazi nzuri
Hii imekua ndio nyimbo yangu asubuhi mchana na jion yaan siichoki MUNGU awabariki sana
et eeee hata na mieee
MPo vizur
Oh wow!!!! Kwakeli mungu awabariki kwa kazi hii.
Wooow! Napenda
Tutakiishi neno la Mungu
Nawapenda Sana ninyi watumishi mnavyoimba mbarikiwe sana
Tutaliishi neno ,kazi nzuri kama kawaida yenu kupendezaaa🔥🔥🔥🔥
Sifa na Utukufu niza Bwana 🙏🙏
Mungu azidi kuwatia nguvu Katika huduma hii nabalikiwa sana na nyimbo zenu mungu atukuzwe
Nimebarikiws saana na nduguzangu wasukuma wenzagu , big up saana from Dodoma , ama kweli nyumbani kumenoga 😂🎉🎉🎉🎉🎉
Tuliishi nenoa
My team I ❤love you
Amen!
Asanteni kwa wimbo, mbarikiwe wapendwa
Mung awe nany wapendwa🎉❤
Sana mko vizuli Sana ujumbe mzuli sana
Me kutoka lubumbashi kongo mbalikiwe wapedwa
Ni maombi yetu tukaliishi neno la Mungu.
Baraka zaidi kwenu.
Nawaombea nkiwa hapa Nairobi Kenya
Hongereni Sana Kwa kazi nzuri ,kwani kazi nzuri haijifichi ,,,mungu awabariki Sana Kwa kazi nzuri
Mung awe nany wapendwa🎉
hongereni kwa kazi nzuri
Amina wapendwa wa mungu
My Choir my Only lovely Song #Neno🔥🔥🔥🔥
Hongereni sana watumishi wa mungu mmeimba vizuri sana mungu awabariki sana
Buzuruga Mungu awabariki sana, wimbo wa Neno ni mzuri YESU awainue zaidi
Amina
Big up,buzuruga
Hongeren watumish wa MUNGU ,,, MUNGU azidi kuwainua ktk viwango vya juu zaidi🙏🙏🙏🙏
Mbalikiwe sana waimbaji,very god😅❤ MUNGU akiwa kalibu nasi tutayasinda na mauti😅🎉
Amina sana. Mungu azidi kuwapigania katika utumishiwenu mlioitiwa .Mungu awabariki
Amen Amen
Kazi zuri
Mbarikiwe kwa ujumbe mzuri. Neno lisonge mbele.
bang ... .. neno liendelee' 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤ jamani mbalikiwe
Hakika vocalist is so cool nice and attractive god bless
Hallelujah God bless you guys mmetisha sana❤❤❤
Amen
mbarikiwe watumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri
AMEEN WATUMISHI 🙏💃
Nawapenda ❤
Kweli kuimba niraha
Chama langu la miaka yoote
Wasukuma hamjawahi ku fell
I really love your music 🎶 it has carring have messages and also is a cool music God Bless the work your hands
Amen
One of my favourite songs..... Kazi nzuri sana wapendwa🔥🔥🔥
Amina Mpendwa wetu.
Nice song, nice singing
Mung awe nany wapendwa
Nimependa Music ulivyopigwa hauna makelele kama kwaya za huko mwanza zilovyo, hata step siyo za kishamba, vocal pia zimetulia, hongereni sana kazi nzuri
Kua msema ukweli kuna background noise inaafect quality wa huu wimbo
Kwenye kaz ya MUNGU hainaga ushamba ila unatakiwa usikilize ujumbe na sio mziki na step
Aminaaa
Kwakwel katika album hii nimemuona Mungu haswaaa kupitia nyimbo zenu....nabalikiwa sana na kazi hiii...Mungu azidi kuwatumia shamban mwake... Nawapenda mpaka raha
Ubarikiwe
Amen
Inaitwaje hii album
@@user-ll6yf5di8k twende sambamba
@@user-ll6yf5di8kTwende sambamba
0:44 Amen mungu azidi kuwainua
Kazi nzuri sana. Mungu aendelee kuwatumia nimependa sana huu wimbo
❤mungu awa awabarik nawimbo wenu aime
🎉🎉🎉
Huu niwimbo pekee unaonibariki katika albam,mbarikiwe sana
Safiiiiii Sana ,,,,kazi nzuri sanaaaa❤❤❤❤❤❤❤. ❤❤❤❤
Mungu azidi kuwainua Kwa kiwango kingine
Wimbo mtamu sana wapenzi wa Mungu
🎉🎉🎉🎉
Huu wimbo naukubali sana aseee
Amina watumish wa mungu 🎁🎁🙌🙌🙌🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤
Hongereni Sana waimbaji wimbo mzuri Sana ❤❤❤❤❤
Mbarikiwe sanaa mungu awatie nguvu Msonge mbele
Hakika wimbo huu ni mzuri sana! My everyday anthem❤❤,, Mbarikiwe sana AICT Buzuruga
Ubarikiwe sana
Napenda nyimbo za nili asa asa kuabudu
BArikiwa
Mungu awadumishe
I can't stop listening ❤❤❤
Amina, mbarikiwe watumishi
❤
Amina mbarikiwe sana.
Mungu awainue
pendant hili liji song bass tu
Mungu awabariki.
Amen.,
Hakika neno litaishi milele yote
Mbalikiwe kutukumbushaa
Wow what beautiful choir somebody to tell me where the church is
Nimefurahishwa nayo
Buzuruga,Mwanza Tanzania
It's a nice song but you people who sing and preach others do you practice it accordingly ?
Amen vyombo vya mungu endeleya kumtumikia mtapata mavuno
Mnaimba jmn mungu awabariki
Nimebarikiws saana na nduguzangu wasukuma wenzagu , big up saana from Dodoma , ama kweli nyumbani kumenoga 😂🎉🎉🎉🎉🎉
Kipimo kimoja kwa mia 🙏🙌
Amen Amen
Mbarikiwe sana kwa ujumbe mzuri 🙏🙏🙏🙏
Kazi nzuri mbarikiwe
Amen