AIC (T) TABORA CHOIR (ATC) - KIMYA KIMYA (Official Video)
Vložit
- čas přidán 1. 04. 2020
- KIMYA KIMYA ni wimbo uliobeba ujumbe wa kutia moyo pale unapokutana na magumu, hakuna sababu ya kukata tamaa wala kurudi nyuma BWANA yu pamoja nawe, usisikize maneno ya watu bali mwambie YESU KRISTO naye atakupigania.
KUTOKA 14:13-14
13 Musa akawaambia watu, Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.
14 BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.
Barikiwa na wimbo huu.
Song performed by: AIC(T) TABORA CHOIR (ATC)
Audio by: James Masanyiwa & Quillian Japhet at Kapstone Production
Video directed by: Steven Champion at Galacha Empire
Contacts:
facebook: AIC Tabora Choir
Instagram: AIC Tabora Choir
CZcams; AIC TABORA CHOIR
Email: aictaborachoir@gmail.com
Tell: +255 767 951 387
+255 745 257 722
Ni siku nyingi sana ,, mungu awatie nguvuu , nawaona mbali mnooo , hakika mungu n mwema... Nitawatembelea siku sio nyingi n zawadi yenu wapendwa ....
Nmefarijika xana na huu wimbo na nmejifunza kitu asante sana kwa wimbo mzuri barikiwa xana🙏🙏🙏🙏
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu ,nakupenda sana dada mage na wengine wote
amina mtumishi endelea kubarikiwa
wimbo nzuri,,mm pia ni mwana choir, Kenya
Nice song .God bless everyone and have that attude for spreading gospel.
Amen sana wimbo mzuri I love it mostly
Wimbo mzur Sana nawapenda bure
Mbarikiwe watumishi wa Mungu, kwa kazi nzuri
Aic tabora mko vizuri good song
Mko vzr kabisa yaan Mungu awabariki
honera sana kwaya nzuri na makini katika kazi hii ya kuhakikisha anatukuzwa mwenye mamlaka YESU KRISTO
Amina mtumishi barikiwa
Ubarikiwe da magdarena
Barikiwa Mgdarena nimebarikiwa
Nawapenda
Kazi nzuri mungu awabariki ATC
Amina mtumishi
Tabora kwetu Nikiiona hii kwaya namkumbuka mchungaji kanyumi mzee kahyolo katibu wakanisa kipind kili mzee kulwa mzee luge mama lupanda mama epafula makaya marehemu kinuno magwesera mussa kahyolo akina busereke mzee mbosori mzee wa
Amen barikiw sana
Hongereni kwa kazi nzuri watumishi wimbo mzr mavazi mazuri da! Mmenikumbusha mbali Mungu aendelee kuwatumia Amina
Aksante sana mtumishi Mungu akubariki, sifa na utukufu kwa Mungu
Nakubali xana wakubwa vip xhikilia Iman lini inatoka
Shikilia imani ipo tayari kwenye akaunti hii Mtumishi barikiwa
Hii kwaya nilitamani sana kuwa member enzi hizo........ nina furaha kuiona inasonga mbele kwa utukufu wa Mungu 💪
Amina mtumishi barikiwa sana, Pia tunakukaribisha muda wowote uje tutumike pamoja katika kumtangaza kristo.
Hongereni sn, wimbo mzuri Mungu azidi kuwainua
Aksante sana mtumishi Mungu akubariki, sifa na utukufu kwa Mungu
❤❤❤❤
Mpo vizuri sana wapendwa na nimewamis Sana,Da mage, Agnes,Erica,Masanyiwa,Joshua, Masanyiwa na wengine nawapenda Sana Ila sijamuona da wini wapi jamani
Aksante sana Mtumishi barikiwa sana zimekuwa siku nyingi karibu tena
Waw Na mnafanya sign translation in music....mungu aibariki kai yenu
Aksante sana mtumishi Mungu akubariki, sifa na utukufu kwa Mungu
Hongereni! Good song,arrangement, music, mavazi! Kazi nzuri
aksante sana mtumishi Mungu akubariki, utukufu kwa Mungu
Kimya kimya Mungu aendlee kututia nguvu tuifany kaz yake kwa nguvu
God Bless you AIC Tabora Choir
Amen, Be blessed!
DAda magreth barikiwa sana
agnes madale nakuona
binti mbaga big up
kaka mboko long time
Amina mtumishi barikiwa
MAsumbwe 3:36
Kimya kimya Mungu aendlee kututia nguvu tuifany kaz yake kwa nguvu