AIC (T) TABORA CHOIR (ATC) - KIMYA KIMYA (Official Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 04. 2020
  • KIMYA KIMYA ni wimbo uliobeba ujumbe wa kutia moyo pale unapokutana na magumu, hakuna sababu ya kukata tamaa wala kurudi nyuma BWANA yu pamoja nawe, usisikize maneno ya watu bali mwambie YESU KRISTO naye atakupigania.
    KUTOKA 14:13-14
    13 Musa akawaambia watu, Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.
    14 BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.
    Barikiwa na wimbo huu.
    Song performed by: AIC(T) TABORA CHOIR (ATC)
    Audio by: James Masanyiwa & Quillian Japhet at Kapstone Production
    Video directed by: Steven Champion at Galacha Empire
    Contacts:
    facebook: AIC Tabora Choir
    Instagram: AIC Tabora Choir
    CZcams; AIC TABORA CHOIR
    Email: aictaborachoir@gmail.com
    Tell: +255 767 951 387
    +255 745 257 722

Komentáře • 42

  • @keahmalongojohn3131
    @keahmalongojohn3131 Před 3 měsíci

    Ni siku nyingi sana ,, mungu awatie nguvuu , nawaona mbali mnooo , hakika mungu n mwema... Nitawatembelea siku sio nyingi n zawadi yenu wapendwa ....

  • @isayashakie3660
    @isayashakie3660 Před 4 lety

    Nmefarijika xana na huu wimbo na nmejifunza kitu asante sana kwa wimbo mzuri barikiwa xana🙏🙏🙏🙏

  • @jucylinejonaphasi7997
    @jucylinejonaphasi7997 Před 3 lety +1

    Nabarikiwa sana na nyimbo zenu ,nakupenda sana dada mage na wengine wote

  • @emilykoe410
    @emilykoe410 Před rokem

    wimbo nzuri,,mm pia ni mwana choir, Kenya

  • @user-bu7on4vb4z
    @user-bu7on4vb4z Před 3 měsíci

    Nice song .God bless everyone and have that attude for spreading gospel.

  • @enockbujiku1245
    @enockbujiku1245 Před 4 lety

    Amen sana wimbo mzuri I love it mostly

  • @leahshileka9154
    @leahshileka9154 Před rokem

    Wimbo mzur Sana nawapenda bure

  • @abelystephano6241
    @abelystephano6241 Před 4 lety

    Mbarikiwe watumishi wa Mungu, kwa kazi nzuri

  • @awardchimile2649
    @awardchimile2649 Před 4 lety

    Aic tabora mko vizuri good song

  • @yohanadaniel7030
    @yohanadaniel7030 Před rokem

    Mko vzr kabisa yaan Mungu awabariki

  • @leonardkanyumi607
    @leonardkanyumi607 Před 4 lety

    honera sana kwaya nzuri na makini katika kazi hii ya kuhakikisha anatukuzwa mwenye mamlaka YESU KRISTO

  • @user-hs3fn3so5i
    @user-hs3fn3so5i Před 11 měsíci

    Ubarikiwe da magdarena

  • @rahellubandila1928
    @rahellubandila1928 Před rokem

    Barikiwa Mgdarena nimebarikiwa

  • @rebeccabuchumi3186
    @rebeccabuchumi3186 Před 2 lety

    Nawapenda

  • @Architectzbn
    @Architectzbn Před 4 lety

    Kazi nzuri mungu awabariki ATC

  • @mariamkashinje3598
    @mariamkashinje3598 Před 10 měsíci

    Tabora kwetu Nikiiona hii kwaya namkumbuka mchungaji kanyumi mzee kahyolo katibu wakanisa kipind kili mzee kulwa mzee luge mama lupanda mama epafula makaya marehemu kinuno magwesera mussa kahyolo akina busereke mzee mbosori mzee wa

  • @jescakazuzu4958
    @jescakazuzu4958 Před 4 lety +1

    Hongereni kwa kazi nzuri watumishi wimbo mzr mavazi mazuri da! Mmenikumbusha mbali Mungu aendelee kuwatumia Amina

    • @aictaborachoir
      @aictaborachoir  Před 4 lety

      Aksante sana mtumishi Mungu akubariki, sifa na utukufu kwa Mungu

  • @kessynassoro5797
    @kessynassoro5797 Před 3 lety +1

    Nakubali xana wakubwa vip xhikilia Iman lini inatoka

    • @aictaborachoir
      @aictaborachoir  Před 3 lety

      Shikilia imani ipo tayari kwenye akaunti hii Mtumishi barikiwa

  • @masalugusessa3702
    @masalugusessa3702 Před 4 lety +1

    Hii kwaya nilitamani sana kuwa member enzi hizo........ nina furaha kuiona inasonga mbele kwa utukufu wa Mungu 💪

    • @aictaborachoir
      @aictaborachoir  Před 4 lety

      Amina mtumishi barikiwa sana, Pia tunakukaribisha muda wowote uje tutumike pamoja katika kumtangaza kristo.

  • @bumicharles832
    @bumicharles832 Před 4 lety +1

    Hongereni sn, wimbo mzuri Mungu azidi kuwainua

    • @aictaborachoir
      @aictaborachoir  Před 4 lety

      Aksante sana mtumishi Mungu akubariki, sifa na utukufu kwa Mungu

  • @user-no3ul2ol4b
    @user-no3ul2ol4b Před 7 dny

    ❤❤❤❤

  • @perpetuasamwel9089
    @perpetuasamwel9089 Před 3 lety +1

    Mpo vizuri sana wapendwa na nimewamis Sana,Da mage, Agnes,Erica,Masanyiwa,Joshua, Masanyiwa na wengine nawapenda Sana Ila sijamuona da wini wapi jamani

    • @aictaborachoir
      @aictaborachoir  Před 3 lety

      Aksante sana Mtumishi barikiwa sana zimekuwa siku nyingi karibu tena

  • @silanzuki8627
    @silanzuki8627 Před 4 lety +1

    Waw Na mnafanya sign translation in music....mungu aibariki kai yenu

    • @aictaborachoir
      @aictaborachoir  Před 4 lety

      Aksante sana mtumishi Mungu akubariki, sifa na utukufu kwa Mungu

  • @josephatmbisho5083
    @josephatmbisho5083 Před 4 lety +1

    Hongereni! Good song,arrangement, music, mavazi! Kazi nzuri

    • @aictaborachoir
      @aictaborachoir  Před 4 lety

      aksante sana mtumishi Mungu akubariki, utukufu kwa Mungu

  • @nyaswamwandu4111
    @nyaswamwandu4111 Před 3 lety

    Kimya kimya Mungu aendlee kututia nguvu tuifany kaz yake kwa nguvu

  • @francisalcardo544
    @francisalcardo544 Před 4 lety +1

    God Bless you AIC Tabora Choir

  • @leonardkanyumi607
    @leonardkanyumi607 Před 4 lety

    DAda magreth barikiwa sana
    agnes madale nakuona
    binti mbaga big up
    kaka mboko long time

  • @SuzanaMakeja
    @SuzanaMakeja Před 2 měsíci

    MAsumbwe 3:36

  • @nyaswamwandu4111
    @nyaswamwandu4111 Před 3 lety

    Kimya kimya Mungu aendlee kututia nguvu tuifany kaz yake kwa nguvu