MAMISS LAZIMA WATUMIKE ILI WATOBOE?, HALIMA KOPWE NA MNADA WA GAUNI LA MILI 50 KWENYE LEOTENA
Vložit
- čas přidán 18. 03. 2024
- Ni Gulioday la gauni la #MalkiaWaNguvu Miss Tanzania 2022 @halimakopwe kupitia #LeoTena Jumanne hii sababu anasema yeye ni #MalkiaWaNguvu na anajua kuwa jamii yake inamdai na anahitaji kuifanyia kitu.
Thamani ya gauni hili ni Mil50, una lolote kuhusu hii..? Karibu.
Cc.
@dahuuofficial @geahhabibu @josemarah @mwijaku
💥💯she is intelligent
Imagine mtoto wa kislaumu unashinda hata kujistari na huu mwezi mkutufu
Bora kuliko wanafikhi wanaojisitiri mwezi mtukufu tu ,ukiisha tunarudi tulikotoka.
Kwahiyo adabu yenu huonekana mwezi mtukufu tu then baada ya hapo mpaka vinyeo mnatoa😮
Uislam vitendo sio jina
@@annamussa185naweza nikasema wengi wao ni wanafik coz wangekuwa washika dini wangejistiri maisha yao yote sio ndan ya siku 30 tu
Sasa ww miss Tanzania mama ako anazimiaj halaf ni police Sasa yeye police anazimia sisi tutalindwa na nan😂
Kwamaana hiyo mitumba imeisha mwenge au mnamanisha nini😅
😂😂😂😂
Sasa kununua hlo gauni unalipeleka wap
Nami ndio namshangaa gain tu looh
Ni mzuri sawa ila hapo kua miss mmh tumepigwa
Vichwa vyenu vya habari wala sio marketing ni hamtaki tu kuheshimu wanawake na mabinti wanaojitafutia
Zile tambi nyeupe nazipenda ila kuzipika siwez jaman
Huo mdomo duu kama sahani
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Unakichaa wewe😅linunue mwenyewe
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂❤❤❤❤❤
❤❤❤ila wewe mrepo hogera saan
😂😂😂mrepo jmn
Kipindi hichi ndio kipindi ambacho tulitakiwa tukuone ukiwa huna make up mtoto wa wakiislam jamani muoneni mungu
Kwahyo baada ya siku 30 aanze kupaka makeup...we uoni ni kujidanganya kiimani? Inabid iwe muendelezo na sio mwez huu tu
Punguzeni makasiriko jmn mbn yupo saw tu