MAMISS LAZIMA WATUMIKE ILI WATOBOE?, HALIMA KOPWE NA MNADA WA GAUNI LA MILI 50 KWENYE LEOTENA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 03. 2024
  • Ni Gulioday la gauni la #MalkiaWaNguvu Miss Tanzania 2022 @halimakopwe kupitia #LeoTena Jumanne hii sababu anasema yeye ni #MalkiaWaNguvu na anajua kuwa jamii yake inamdai na anahitaji kuifanyia kitu.
    Thamani ya gauni hili ni Mil50, una lolote kuhusu hii..? Karibu.
    Cc.
    @dahuuofficial @geahhabibu @josemarah @mwijaku

Komentáře • 25

  • @queenjames1026
    @queenjames1026 Před 3 měsíci +3

    💥💯she is intelligent

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 Před 3 měsíci +6

    Imagine mtoto wa kislaumu unashinda hata kujistari na huu mwezi mkutufu

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 3 měsíci +3

      Bora kuliko wanafikhi wanaojisitiri mwezi mtukufu tu ,ukiisha tunarudi tulikotoka.

    • @annamussa185
      @annamussa185 Před 3 měsíci +4

      Kwahiyo adabu yenu huonekana mwezi mtukufu tu then baada ya hapo mpaka vinyeo mnatoa😮

    • @ZubedaSaid-kn9dp
      @ZubedaSaid-kn9dp Před 3 měsíci

      Uislam vitendo sio jina

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před 3 měsíci +1

      ​@@annamussa185naweza nikasema wengi wao ni wanafik coz wangekuwa washika dini wangejistiri maisha yao yote sio ndan ya siku 30 tu

  • @faidhacute
    @faidhacute Před 3 měsíci +2

    Sasa ww miss Tanzania mama ako anazimiaj halaf ni police Sasa yeye police anazimia sisi tutalindwa na nan😂

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 3 měsíci +4

    Kwamaana hiyo mitumba imeisha mwenge au mnamanisha nini😅

  • @faidhacute
    @faidhacute Před 3 měsíci +2

    Sasa kununua hlo gauni unalipeleka wap

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před 3 měsíci

    Ni mzuri sawa ila hapo kua miss mmh tumepigwa

  • @sophiaremmy6326
    @sophiaremmy6326 Před 3 měsíci

    Vichwa vyenu vya habari wala sio marketing ni hamtaki tu kuheshimu wanawake na mabinti wanaojitafutia

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Před 3 měsíci

    Zile tambi nyeupe nazipenda ila kuzipika siwez jaman

  • @Nabobrown
    @Nabobrown Před 3 měsíci +3

    Huo mdomo duu kama sahani

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 3 měsíci +2

    Unakichaa wewe😅linunue mwenyewe

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před 3 měsíci +1

    ❤❤❤ila wewe mrepo hogera saan

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 Před 3 měsíci +1

    Kipindi hichi ndio kipindi ambacho tulitakiwa tukuone ukiwa huna make up mtoto wa wakiislam jamani muoneni mungu

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před 3 měsíci +1

      Kwahyo baada ya siku 30 aanze kupaka makeup...we uoni ni kujidanganya kiimani? Inabid iwe muendelezo na sio mwez huu tu

    • @InessKoku
      @InessKoku Před 3 měsíci

      Punguzeni makasiriko jmn mbn yupo saw tu