Atosha Kissava - U Mwaminifu Jehovah (Official Video)
Vložit
- čas přidán 7. 09. 2022
- #AtoshaKissava #UMwaminifuJehovah #SlideDigital
SMS [Skiza 8089472] to 811
(C) Slide Digital
Atosha Kissava Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by Atosha Kissava
Follow Atosha Kissava on:
/ atoshakissava
/ atoshakissavaofficial
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Hudba
Naendelea ku note nyimbo za harusi yangu and One day i will sing this song public in Jesus name🙏🙏
tufunge na wewe
Kazi njema
Mungu wa mbinguni akubariki mnooo
Barikiwa sanaa my Dada wimbo mzuri sanaa
You have blessed me my sister i love your ministry
Barikiwa sana
Asieacha mguu wangu usogezweee...yeyeeee
Have listen to this song severally ;kweli siku site ye ye no mwaminifu
Kila siku kila sàa Mungu ni mwaminifu amina
Du!hii imepgwa ktk Roho.Mungu azidi kukuinua
Madam kuna kastaili umekacheza apo kwenye mapiano apo umetisha san lazima nikajuwe ako weèeeeee wimbo mzur san good 👯♀️👯♀️👯♀️👯♀️👯♀️👯♀️😍
Ameni ubarikiwe dada angu Mungu ni mwaminifu kila saa
Kila siku kila saaa umwaminifu Jehova,
Napenda nyimbo zako zinanigusa sana ubarikiwe dada
God is saying To You Today: My child you are worrying too much. Remember who I am. There is nothing too hard for me. You may not see it, but I have everything planned out for you. Trust me. Amen.!!!
😭amen
Barikiwa mtumishi wa mungu Wimbo mzuri umenitia faraja sana
Jehovah ni mwaminifu kila wakati
Hakika kila saa u mwaminifu jehovah
Dada nakupenda, nyimbo zako nzuri Mungu azidi kukuinua
Hongera sana kila siku kila saa umwaminifu Jehovah
Hakika Ni Mwaminifu...Nmemwona
Hajawahi kugeuka Bwana..
Amina mtumishi wa Mungu hakika Mungu ni mwaminifu amina sana
Améen ubarikiwe sn kwa wimbo mzuri
Ni kweli kabisa MUNGU nimwaminifu hata sasa hivi tunapo tuma maoni hata kwa kila unacho fanya bado ni hivi👏👏
Good work, nakutafuta tufanye kazi
Hongera saaana dada Atosha
Tunafarijika na neno la mungu
Mungu akubariki atosha nakupenda mtumishi
Amina. Mungu ni mwaminifu kweli i love is song
Wow! This song has blessed my heart. Let's support this fellow artist. Wapi likes zake please from Kenya 🇰🇪🇰🇪? #emmanuelbrownke
Umeweza mama aidia kali
Nakupenda Sana dada barikiwa
Mungu akubariki sana 🙌🙌
Hakika Mungu ni mwaminifu, atulinda mchana na Usiku. Ametamalaki duniani na Mbinguni 🙌🙌
Umwaminifu bwana🙏🙏🙌
Nice song, beautiful video
Congratulations maam
Amen!¡ kila siku kila saa u mwaminifu jehova!! Asante sana mtumwa w kristo kwa wimbo mzuri!!! Mungu aendeleee kukuinua ktk viwango vingine
Obrigado Jesus.
Rapafahlil
Amina ubarikiwe mungu akuinuezaidi
@@mayakaraphael4314
.
Touching song barikiwa dada
Wimbo mzuri sana
Congratulation......💥💥💥
Kila siku kila saa umwaminifu Jehova🙏🙏🙏🙏🙏,,,,Ubarikiwe mwanangu umeugusa moyo wangu mno
Kazi nzuri my
❤❤😮😮😮nice one atosha God bless you
Sooo powerful may God shower his blessings to you
Hongera madam kissava
Mungu akubalik sn
Umeupiga mwingi mtumishi
More blessings ma dia siz..Avery soul touching message 🎉
Mungu azidi kukubariki dada Atosha ni kweli mwaminifu Jehovah Kila wakati
Ameen!!! MUNGU akuinue viwango vya huu zaidi kwa sifa nzr zenye harufu nzr mbele za MUNGU
Unabarikiwa na nyimbo unabarikiwa na video unajifunza pia namna mwanamke anavyotakiwa kuwa smart Mungu akubariki dada angu
Kazi yako ni njema sana mtumishi wa mungu.nimebarikiwa sana na kazi yako kila siku kila saaa .kweli ni mwamifu yehova🙏🙏🙏
Licha ya kanisa kunitenga lakini nazidi kumwona akiwa mwaminifu juu ya maisha kamwe siwezi KUMWACHA YESU
Waauuu very powerful.
Very good song
U mwaminifu Jehovah! Numbers 23:19, Deutoronmy 7:9-11, Romans 3:4.
Congratulations Atosha! Very soul touching song.
Amen,amen
Dope
Ooh yes ni mwaminifu sana kwangu my sister ,my fast time to watch this song 🎻 very powerful message
Najua hata saa hii umwaminifu
You never dispoint Atosha
Sijui niseme nini,MUNGU ASANTE KATIKA HILI
Ameeeeeeeeen😭😭😭😭😭😭♥️
Amen amen this song is good.
Mungu tu 🙏
Hakika Mungu ni Mwaminifu sana! Hongera kwa ujumbe mzuri Mungu azidi kukupa kibali uwaguse wengi
Indeed GOD is faithful, this is my own song now. Glory to GOD, More Grace and Anointing my Sister.
Powerful song
Amen 🙏
Ubarikiwe mno
Pia nakutafuta sana
Ameeen 🙏 hakika MUNGU wetu ni mwaminifu sana 😇🙏🙏 Ubarikiwe sana dada Atosha huduma yako ni njema yeye aliyeruhusu akuinue zaidi ya viwango🙌🥰❤️🙏🙏🙏
Hakika Yeye ni mwaminifu hongera sana sana dada angu kazi yako ni njema sana!!!!!!!!!!
nimependa sana
Eeeh God is faithful
Hakika Bwana ni mwaminifu katika yetu.
Dada huu wimbo mzuri sana, yani kama tupo SA hivi 😂 God bless you .
Another blessing from my ccy,,,be blessed. Hakika kila saa Jehovah ni mwaminifu🤗🤗
More grace dear 😘
Hakika Mungu ni Mwaminifu kila wakati Mungu akulinde napenda nyimbo zako sana uinuliwe viwango vingine zaidi na zaidi
Wimbo mzuri sana 🔥🔥🔥
Mungu azidi kukutumia kwa viwango sana Dada yangu,,,
Hongera sana
Awesome 👍👍👍
Amina sn
Amen Amen Amen 🙏
yaaa hakuna zaidi yake
Waooooh hongera sana kwa ujumbe mzuri na utumishi uliotukuka hakika kazi nzuri sana hakika Mungu ni mwaminifu aana kwetu....
Am so blessed ❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 hii nyimbo ni nzur mnoooo na Mungu azidi kukuinua ili uimbe na kumsifu zaid na zaid 🙏🏾🌸
wao you are faithful jehova
May God bless you abundantly my sister for the song we are blessed. elvi Amani official TV DRC from Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
I love you Madam Atosha
Wow nice song
Amen Amen Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana
Very touching
Mungu azidi kuinua huduma yakowimbo mtumish wa Mungu.huu umekuwa dawa katika maisha yangu
Waooow!
Yes is faithful Soo much
Hakika ni mwaminifu sana ❤️❤️❤️🔥🔥