Timu imepoteana imejaa viongozi wapiga madili tu.. ukifika muda wa usajili kila mtu anapambana apate percent yake . Kuna uongozi kweli hapo zaidi ya ujinga ujinga tu..
SAHII KAKA SISI SIMBA SC NI TIMU YA JANJA JANJA TU USAJILI WA HOVYO KABISA KAZI VIONGOZI WA SIMBA SC KUJAZA MITUMBO YAO NA KUWAHADAA MASHABIKI .. VIONGOZI WA HOVYO KABSAAA
Acha uongo unaongea kishabiki labda ulikua hujazaliwa kuna GILBERT MAHINYA ALITOKA SUNDERLAND KAINGIA YANGA KAUPIGA MWINGI MPAKA ANASTAAF, KUNA METHOD MOGELA, ALICHEZA MPAKA ANAKUFA, KUNA ADAM SABU KACHEZA MPAKA ANASTAAF, KIPESE, MPAKA KAONDOKA, YONDANI MPAKA ANAACHWA KWA KUUZA MECHI, HAMISI GAGA GAGARINO KAUPIGWA MWINGI MPAKA ANAKUFA, WE KENGE HUJUI KITU ULIZA ACHA KUBWABWAJA VITU HUJUI ILA WANAOTOKA YANGA WAKIENDA SIMBA WAKUFA KIMPIRA, GADIEL MAIKO, KAKOLANYA, NK.
Makolo nchancha,mtabaki hivyohivyo kutukana kaeni chini mfikiri mnaferi wapi? Tafuteni ufumbuzi myateseka sana acheni watu waseme Wana uhuru huo Tena ukweli humuweka mtu huru
Chama nimchezaji anaesajiliwa na yanga kila mwaka na anacheza simba kama unaungana na mimi like hapa
Ricardo momo Leo anasauti ya diamond kabisaa kwelii damu nzitu
Kabisa kama umuoni alafu ukasikia sauti unaweza kusema huyo anaeongea ni simba
Momo umetisha sana
Mm makukubar kaka unajua sana mpira
Timu imepoteana imejaa viongozi wapiga madili tu.. ukifika muda wa usajili kila mtu anapambana apate percent yake
. Kuna uongozi kweli hapo zaidi ya ujinga ujinga tu..
Kolo Kolo tuuuuu
Kibu ni wakawaida sana akienda yanga benchi litamuhusu yanga tuko Vizuri kibu ni machachari na maguvu
SAHII KAKA SISI SIMBA SC NI TIMU YA JANJA JANJA TU USAJILI WA HOVYO KABISA KAZI VIONGOZI WA SIMBA SC KUJAZA MITUMBO YAO NA KUWAHADAA MASHABIKI .. VIONGOZI WA HOVYO KABSAAA
KIUKWEL KWA MSIMU HUU AZAM FC NI BORA KULIKO SIMBA HASWAAAAA...!
Mtoto kasema yuko single momo vp tena
Hahahahaaaaa MOMO anafeli wapi
Nyie mlisema hakuna mchezaji wa simba atakae kwenda simba imekuwaje? Acheni unafiki nyie wachambuzi wanafiki
Kaka momo nakubaliana naww begakwabega
Mbona unaongea kama diamond sauti mitoko mondi mtupu
Manara tv
HUYU RICADO DOMO ANA DOMO KAMA LA MONDI.
Yaani point zake huoni unachunguza Domo tu au we bwabwa kwa hiyo na we domo lako umefanana na nani
wacha waende lakini chama alliennda akaaarud akaaarud, naa anaetoka Simba hua anaenda kkufa kimchezo kimchezo
Acha uongo unaongea kishabiki labda ulikua hujazaliwa kuna GILBERT MAHINYA ALITOKA SUNDERLAND KAINGIA YANGA KAUPIGA MWINGI MPAKA ANASTAAF, KUNA METHOD MOGELA, ALICHEZA MPAKA ANAKUFA, KUNA ADAM SABU KACHEZA MPAKA ANASTAAF, KIPESE, MPAKA KAONDOKA, YONDANI MPAKA ANAACHWA KWA KUUZA MECHI, HAMISI GAGA GAGARINO KAUPIGWA MWINGI MPAKA ANAKUFA, WE KENGE HUJUI KITU ULIZA ACHA KUBWABWAJA VITU HUJUI ILA WANAOTOKA YANGA WAKIENDA SIMBA WAKUFA KIMPIRA, GADIEL MAIKO, KAKOLANYA, NK.
Samatha vipi😂😂😂😂😂😂
Makolo nchancha,mtabaki hivyohivyo kutukana kaeni chini mfikiri mnaferi wapi? Tafuteni ufumbuzi myateseka sana acheni watu waseme Wana uhuru huo Tena ukweli humuweka mtu huru
Sasa lazima hulambe lips 😂
Karith kwa kaka ake mondi
Sawa KABISA Momo
DU,momo,zandaniiiiiiiiii