ZA NDAANI RICARDO MOMO WA WASAFI AFICHUA USAJILI WA MAJEMBE MAPYA YANGA, KINZUMBI, CHAMA, AZIZ KI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 05. 2024
  • Sport

Komentáře • 19

  • @idrisakishuga3998
    @idrisakishuga3998 Před 6 dny

    Yani yanga sasa inajikanyaga ujuwe kujifanya mnajua sana kumuacha musonda na azizi ni ujingaaa

  • @tintin0019
    @tintin0019 Před 6 dny

    😅😅😅😅MIAKA YOTE MUNA TAJA WACHEZAJI FLANI WAJA YANGA LAKINI WANAOKUJA NIWWNGINE TOFAUTI😅😅😅😅😅

  • @amosikatembo6578
    @amosikatembo6578 Před 27 dny

    Mwandishi,, izo MIC unazishika KIMAPEPE,, Tulia acha MAPEPE kwenye izo MIC

  • @DanielLawrence-eu1di
    @DanielLawrence-eu1di Před 20 dny

    Kizumbi hana jipya labda viongozi watafute mchezaji mwingine

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Před 27 dny +1

    Sema mumekula tano kolo mkubwa wewe usijitowe momo tunakujuwa ni kolo mkuubwa

  • @ahmedmpimbi9684
    @ahmedmpimbi9684 Před 27 dny +3

    Sema waandishi wa siku hz hawajui kuuliza maswali yan

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Před 27 dny

    ACHA USHAMBA MPIRA WA SASA SI LAZIMA STRKER WAFANANE

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před 27 dny +7

    Mimi sikubaliani na swala Musonda kwenda TP MAZEMBE KINZUMBI kuja Yanga nimemfuatilia sana KINZUMBI mchoyo sana mipila miiingi anapiga akiwa nje ya 18 hata kama wenzie wapo kwenye nafasi nzuri ya kufunga hatoi pasi Musonda anatoa pasi za magoli anajua kukaba mechi mbili dhiti ya MAMELODI MUDAU alipata kazi sana kupanda mbele sasa sijui kwanini uongozi umeamua hili ngoja tuone lkn mhh hapana

    • @suleimansalum4049
      @suleimansalum4049 Před 27 dny +1

      Fact

    • @danielmwakasendile3483
      @danielmwakasendile3483 Před 26 dny +1

      Hata mimi nakuunga mkono Musonda natamani sana asiondoke aiseee

    • @DanielLawrence-eu1di
      @DanielLawrence-eu1di Před 20 dny +1

      Hata Mimi sikubaliani kuondika Kwa msonda lakini ngojatusubirie maamuzi ya viongozi maana wao ndo wanamaamuzi

    • @gwamakaben3509
      @gwamakaben3509 Před 18 dny

      Mawazo yako finyu

    • @Mankooyussuf
      @Mankooyussuf Před 14 dny

      swala lakua mchoyo linarekebishika kaka kuna wakati mayele alikua mchoyo saana sehemu yakutoa pasi analazimisha kupiga yy na alikua anakosa cjui km kocha nabi alimlekeza aache kua hivo lakini nakumbuka sisi mashabiki tulimpigia fujo saana wengine tulimfuata mpka kwenye insta yke nakumwambia aache kulazimisha kupiga akiwa hayupo kwenye nafasi nzuri yakufunga atoe nafasi kwa wenzie akaja akatulia mechi na mazembe hapa dar alitoa asist kwa twisila mechi na marumo hapa dar anatoa sist kwa morison tena akiwa amebaki na beki 1 tu ila hakulazimsha akatoa pasi ya mwisho mechi na mrumo away akatoa asist kwa musonda tena ilikua kama hivo amebaki na beki 1 nakipa hakulazimisha akatoa kwaio swala la uchoyo linarekebishika usihofu kwa musonda nimchezaji anaepambana sana mi namkubali pale tunacheza mechi ambayo timu nzima inatakiwa ikabe km ile ya mamelodi utamfurahia anavofanya majukumu yakukaba pumzi anayo ila kwa bahati mbaya ukiwa km winga au striker hutakiwi kusifiwa kwa kuba tu unatikiwa ushambulie ufunge mabao musonda kwenye misimu yake 2 sina uhakika km alishawaikufunga bao 8 kwenye ligi kuu msimu ulopita na msimu huu sasa inakua haiwezekani tulimsajili km mshambuliaji namkubali sana ila ndo hvo