DR. IPYANA KIBONA KUHUSU UBHAGILE/KUFANYA KAZI NA AMBWENE MWASONGWE/JE ANARINGA?
Vložit
- čas přidán 24. 08. 2020
- Kwenye #TheSoundOfGospel episode hii Mtangazaji wetu Mfinanga amepiga stori na #DrIpyanaKibona ambaye alikuwa anatambulisha wimbo wake mpya wa #Ubhagile aliofanya na Ambwene Mwasongwe lakini pia alipiga naye stori kuhusu mambo mengi yanayohusu huduma yake,Tazama kisha tueleze kipi kimekubamba kwenye maongezi haya.
The Sound of Gospel is a radio and Online Program brought by SirMbezi In Association with Bethel Radio going live every Tuesday at 2PM On bethel Radio and later on In this You tube Channel.
Executive Producers - SirMbezi & Ignas Yonah (Bethel Radio)
Presenter - Gadielson Charles Mfinanga
Cameras - Edward Fanuel, Hamid (Binam)
Studio Set Up - Ignas Yona/Bethel Radio
Photography - SirMbezi
Editing - Sirmbezi,
Mi binafsi nikuambie kitu bro mfinanga na ofisi nzima mnayofanya nayo kazi hi sio redio tu ila Ni Chuo kwangu
Am kenyan .. Ubhaghile still my favourite song
Kwakweli wimbo huu ubhagile nakupenda sana unanibariki ukizingatia ni wa lugha yangu
Amina ipyana
Nakubari
Very true in everything. Be blessed
Amina iko poa Sana hyo nyimbo
The man was real genius at class, he was servant of God from the day I meet him at O-level may God bless u
Dr.Ipyana unajua tunamshukuru Mungu kwa kukuleta na kukupa kipawa hicho maana kupitia ww na nyimbo zako huwa napata amani moyoni,,Mungu azidi kukubariki sana
The interview was a blessing. Dr Kibona Mungu azidi kukuinua unanibariki sana na nyimbo zako. I usually feel the presence of God in ur songs
Kwa kweli dr mimi ninakukubali sana utukufu wa Mungu uko juu yako songa mbele handsome wa Yesu
Dr Ipyana, young man, You are a blessing I listen to your song Ubhaghile and I find it so comforting and peaceful.A good reminder that our Lord God is more than able I am Lambya and wish that this interview would also be done in English for those of us who are not Tanzanians...May the Lord bless you and your Gospel Music Ministry..
Mwanza yangu naipenda tunaomba neema ya Mungu wa Israel na Kanda ya ziwa vile vile
Dr.fanya Remix;.shirikishe Paul Mwangosi,hapo wimbo utabariki zaidi
Ubhaghile Kyala. MUNGU akutunze akuinue 🙏🏼
I love the interview, Dkt I love the standards you have set in the music industry. I love it that ibada is a ministry for you. You bless my heart Man Of God.
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu naguswa na nymbo zako
Umenibariki Sana nkamu gwangu na wimbo wa ubhaghile nabarikiwa Sana na wimbo huu
Nabarikiwa na channel yenu Mungu awabariki wote ipyana na muuliza maswali
Dr ipyana🙌🙌🙌
kutenda haki na kumcha Mungu.. Ipyana Mungu akubariki bro I got something bro!!
Nausubiri sana huu Mungu
Barikiwaa saana brow nazidi kujifunza Jambo kutoka kwako
Mimi nimechukua hii “walk with God don’t work with God”
Wimbo mzuri sanaaaaa umenigusa
Unaweza mwana wa Mungu mjukuu wangu nilimsikia akiimba ana miaka 2 Mungu aendelee kukutumia
Ameeeeen Ameeeeen Nice Song
Hii youteb chanel inani bariki sana
Mungu Akubariki Sana Kaka
Ameeen
Wao umemsema alivyo ! Ambwene yupo na upako wake! Yeahh hAna skendo kwa Sasa! Na tuzidi kumuombea ! Asibadirike! Namsikiliza nikiwa Moçambique
Hakika mungu anaweza
Your so smart Dr. Ipyana mungu akupiganie. Nimekumbuka sunday school
Kaka Ipyana tunabarikiwa sana na huduma hii, Karibu tena Nkinga siku nyingine uje na Ambwene
Dr Ipyana Kyala akusaye fiyo, Ubhaghile ninyimbo iyi yikumpala Kyala fiyo, kuno ku Malawi, Karonga, tuhobwike ninyimbo iyi, God bless you abundantly.
Nawapongeza wote muuliza maswali na mjibu maswali, kuna nguvu ya Mungu ndani yake.
Kyara Nkoma Njoka Aseeee Ambwene Unanibariki
Ninoma sana huu wimbo
Kyala akutule mkam gwangu dk ipyana
Mfinanga you are a good presenter! and it is a good interview umefanya
napenda sana but kiukweri naona kaubaguzi kidogo mbeya dini moshi/arusha bongo fleva jamani mbeya tuokoeni
Waongo huyu ni mkimya sana haringi
Mimi sio mnyakyusa ila nauimba huu vzr n maneno natamka huyu kaka n neema tu inamkumbatiaa
Natamani nikiolewa siku ya sendoff yangu kaka Gard umlete huyu jmn