Mungu ni mwema Anafungua milango ya Baraka Brother Mfinanga wewe ni MTUMISHI Mzuri sana Mungu azidi kuku inua ulinibariki sana kwenye Ibada ya Jumapili kkkt kijitonyama
Your prophet,,,, kuwa makini na wadada husiwe mwepes wa kupokea saport document without asking god... ask God first wanawake ni akina delila kijana wangu,,,, be careful
Siyo yeye wa kwanza kuacha kazi Mwakasege, Magembe, Sedekia pia nao waliacha kazi na hatuwaoni wakiombaomba mtaani. MUNGU wa biblia ni Mungu aliye hai hujishughulisha na mambo ya wanadamu kuliko tunavyojali matumbo yetu.
Amen
Mungu ni mwema Anafungua milango ya Baraka Brother Mfinanga wewe ni MTUMISHI Mzuri sana Mungu azidi kuku inua ulinibariki sana kwenye Ibada ya Jumapili kkkt kijitonyama
Mimi nakukubali mtumishi mungu akuinue
Ana upako san ndio maan anafanikiwa.
Your prophet,,,, kuwa makini na wadada husiwe mwepes wa kupokea saport document without asking god... ask God first wanawake ni akina delila kijana wangu,,,, be careful
Sir mbezi Mbona unaletaga interview fupi fupi hiv ndo nini jaman 😒
Siyo yeye wa kwanza kuacha kazi Mwakasege, Magembe, Sedekia pia nao waliacha kazi na hatuwaoni wakiombaomba mtaani. MUNGU wa biblia ni Mungu aliye hai hujishughulisha na mambo ya wanadamu kuliko tunavyojali matumbo yetu.