DR. IPYANA KIBONA KUHUSU UBHAGILE/KUFANYA KAZI NA AMBWENE MWASONGWE/JE ANARINGA?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2020
  • Kwenye #TheSoundOfGospel episode hii Mtangazaji wetu Mfinanga amepiga stori na #DrIpyanaKibona ambaye alikuwa anatambulisha wimbo wake mpya wa #Ubhagile aliofanya na Ambwene Mwasongwe lakini pia alipiga naye stori kuhusu mambo mengi yanayohusu huduma yake,Tazama kisha tueleze kipi kimekubamba kwenye maongezi haya.
    The Sound of Gospel is a radio and Online Program brought by SirMbezi In Association with Bethel Radio going live every Tuesday at 2PM On bethel Radio and later on In this You tube Channel.
    Executive Producers - SirMbezi & Ignas Yonah (Bethel Radio)
    Presenter - Gadielson Charles Mfinanga
    Cameras - Edward Fanuel, Hamid (Binam)
    Studio Set Up - Ignas Yona/Bethel Radio
    Photography - SirMbezi
    Editing - Sirmbezi,

Komentáře • 43

  • @shedrackmhehe
    @shedrackmhehe Před 3 lety +3

    Mi binafsi nikuambie kitu bro mfinanga na ofisi nzima mnayofanya nayo kazi hi sio redio tu ila Ni Chuo kwangu

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi6244 Před rokem

    Kwakweli wimbo huu ubhagile nakupenda sana unanibariki ukizingatia ni wa lugha yangu

  • @naomimugambi6169
    @naomimugambi6169 Před 3 lety +3

    Am kenyan .. Ubhaghile still my favourite song

  • @raphaelgospelbytanzania504

    Amina iko poa Sana hyo nyimbo

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 Před 2 lety

    Mwanza yangu naipenda tunaomba neema ya Mungu wa Israel na Kanda ya ziwa vile vile

  • @maryjoan4322
    @maryjoan4322 Před rokem

    Very true in everything. Be blessed

  • @soniaseme4931
    @soniaseme4931 Před 3 lety

    Dr.Ipyana unajua tunamshukuru Mungu kwa kukuleta na kukupa kipawa hicho maana kupitia ww na nyimbo zako huwa napata amani moyoni,,Mungu azidi kukubariki sana

  • @beatricecherdiel9299
    @beatricecherdiel9299 Před rokem

    The interview was a blessing. Dr Kibona Mungu azidi kukuinua unanibariki sana na nyimbo zako. I usually feel the presence of God in ur songs

  • @mozejcs9160
    @mozejcs9160 Před 3 lety +1

    The man was real genius at class, he was servant of God from the day I meet him at O-level may God bless u

  • @elizabethtarmo7176
    @elizabethtarmo7176 Před 3 lety +2

    Dr.fanya Remix;.shirikishe Paul Mwangosi,hapo wimbo utabariki zaidi

  • @rachelmlingwa8880
    @rachelmlingwa8880 Před 3 lety

    Kwa kweli dr mimi ninakukubali sana utukufu wa Mungu uko juu yako songa mbele handsome wa Yesu

  • @doraruffintemu6263
    @doraruffintemu6263 Před 3 lety +1

    Mimi nimechukua hii “walk with God don’t work with God”

  • @marymwasantaja1967
    @marymwasantaja1967 Před 3 lety +1

    Ubhaghile Kyala. MUNGU akutunze akuinue 🙏🏼

  • @venisiakasimba9254
    @venisiakasimba9254 Před 3 lety

    Nabarikiwa na channel yenu Mungu awabariki wote ipyana na muuliza maswali

  • @pudelwanzali955
    @pudelwanzali955 Před 3 lety +1

    Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu naguswa na nymbo zako

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile631 Před 3 lety

    Umenibariki Sana nkamu gwangu na wimbo wa ubhaghile nabarikiwa Sana na wimbo huu

  • @karensichali2637
    @karensichali2637 Před 2 lety

    Dr Ipyana, young man, You are a blessing I listen to your song Ubhaghile and I find it so comforting and peaceful.A good reminder that our Lord God is more than able I am Lambya and wish that this interview would also be done in English for those of us who are not Tanzanians...May the Lord bless you and your Gospel Music Ministry..

  • @fabianimwaluko6468
    @fabianimwaluko6468 Před 3 lety +1

    Dr ipyana🙌🙌🙌

  • @ericiradukunda753
    @ericiradukunda753 Před 3 lety

    Wao umemsema alivyo ! Ambwene yupo na upako wake! Yeahh hAna skendo kwa Sasa! Na tuzidi kumuombea ! Asibadirike! Namsikiliza nikiwa Moçambique

  • @geofreylwinga2061
    @geofreylwinga2061 Před 3 lety

    Barikiwaa saana brow nazidi kujifunza Jambo kutoka kwako

  • @priscillahkirathe3638
    @priscillahkirathe3638 Před 3 lety

    I love the interview, Dkt I love the standards you have set in the music industry. I love it that ibada is a ministry for you. You bless my heart Man Of God.

  • @cindymanguli4318
    @cindymanguli4318 Před 3 lety +1

    Nausubiri sana huu Mungu

  • @mbembelasaid5974
    @mbembelasaid5974 Před 3 lety

    kutenda haki na kumcha Mungu.. Ipyana Mungu akubariki bro I got something bro!!

  • @helenndekeja7083
    @helenndekeja7083 Před 3 lety

    Ameeen

  • @tajieljuma9735
    @tajieljuma9735 Před 3 lety +1

    Wimbo mzuri sanaaaaa umenigusa

    • @marysuka7363
      @marysuka7363 Před 3 lety

      Unaweza mwana wa Mungu mjukuu wangu nilimsikia akiimba ana miaka 2 Mungu aendelee kukutumia

  • @mariamayoob8734
    @mariamayoob8734 Před 3 lety

    Hii youteb chanel inani bariki sana

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 Před 3 lety

    Ameeeeen Ameeeeen Nice Song

  • @zephaniamugeta5834
    @zephaniamugeta5834 Před 3 lety

    Mungu Akubariki Sana Kaka

  • @lydiamwakanyamale9958
    @lydiamwakanyamale9958 Před 3 lety

    Hakika mungu anaweza

  • @sebastianandester7630
    @sebastianandester7630 Před 3 lety

    Nawapongeza wote muuliza maswali na mjibu maswali, kuna nguvu ya Mungu ndani yake.

  • @angelamwakisulu1539
    @angelamwakisulu1539 Před 3 lety

    Your so smart Dr. Ipyana mungu akupiganie. Nimekumbuka sunday school

    • @amosshija9458
      @amosshija9458 Před 3 lety

      Kaka Ipyana tunabarikiwa sana na huduma hii, Karibu tena Nkinga siku nyingine uje na Ambwene

    • @patiencewinga1335
      @patiencewinga1335 Před 3 lety

      Dr Ipyana Kyala akusaye fiyo, Ubhaghile ninyimbo iyi yikumpala Kyala fiyo, kuno ku Malawi, Karonga, tuhobwike ninyimbo iyi, God bless you abundantly.

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 Před 3 lety

    Kyara Nkoma Njoka Aseeee Ambwene Unanibariki

  • @benidictwilliam4089
    @benidictwilliam4089 Před 3 lety +2

    Kyala akutule mkam gwangu dk ipyana

  • @gladnessshola2718
    @gladnessshola2718 Před 3 lety

    Mfinanga you are a good presenter! and it is a good interview umefanya

  • @viviandavid9974
    @viviandavid9974 Před 3 lety

    napenda sana but kiukweri naona kaubaguzi kidogo mbeya dini moshi/arusha bongo fleva jamani mbeya tuokoeni

  • @jesusismyeverything1630

    Waongo huyu ni mkimya sana haringi

  • @ednagodson7540
    @ednagodson7540 Před 3 lety

    Mimi sio mnyakyusa ila nauimba huu vzr n maneno natamka huyu kaka n neema tu inamkumbatiaa

  • @ednagodson7540
    @ednagodson7540 Před 3 lety

    Natamani nikiolewa siku ya sendoff yangu kaka Gard umlete huyu jmn