NJIA 6 ZA KUONDOA MSONGO WA MAWAZO/HOW TO STOP STRESS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 07. 2024
  • Jifunze njia 6 kuondoa msongo wa mawazo au stress. Msongo wa mawazo ni jambo ambalo halizuilike kwenye maisha.Ni jinsi gani unaweza kucope nayo na inamadhara kiakili na hisia.Hizi hapa ni njia unazoweza kutumia sasa kuwa masongo wa mawazo kidogo na kuacha kuwa na wasiwasi.Tumia moja katika ya hizi njia next time kutumia unapohitaji kuondokana na msongo wa mawazo. Karibu
    Timecodes
    00:00 Hook
    0:05Bumper
    0:14Intro
    1:01 Toka Nje
    1:50 Mwambie Rafiki
    2:58 Fanya Mazoezi
    3:55 Jifunze Njia za Kurelax
    5:00 Kutopata Usingizi wa kutosha
    6:38 Manange Devices zako vizuri
    7:53 Outro
    🔴TABIA 10 NZURI ZA KUFANYA KILA ASUBUHI ILI KUWA PRODUCTIVE (Best Morning Habits/Routine) 👉 • TABIA 10 NZURI ZA KUFA...
    🏆Lengo Langu 🏆
    "Ni kushare na wewe Masomo chanya juu ya mambo mbalimbali katika Maisha na kuhakikisha tunakuwa sehemu ya mafanikio yako"
    🔴Nimeanzisha Podcast yangu mpya inaitwa Gonline kwenye Afripods, link hii 👉 afripods.africa
    Usiache pia kuniandikia mawazo kwenye comment section na share kwa wengine pia ila wajifunze zaidi.
    🔴Nifuate IG- / gonline_pos. .
    BIASHARA, MATANGAZO, KUSHIRIKIANA NA USHAURI EMAIL: onlinemedia364@gmail.com WHATSAPP : (+255) 629-718385
    ..............................................................................................................
    🔴TAZAMA VIDEOS ZANGU ZINGINE AMBAZO UTAZIPENDA 👇👇
    ⚡JINSI YA KUTIMIZA MALENGO MWAKA 2020:Kanuni 3 lazima uzifuate kama unataka timiza malengo/ndoto yako👉 • JINSI YA KUTIMIZA MALE...
    ⚡REVIEW MWAKA 2021 ILI KUWA BORA/VIZURI 2022👉 • REVIEW MWAKA 2021 ILI ...
    ⚡MBINU ZA KUONGEZA WATEJA KATIKA BIASHARA YAKO👉 • MBINU ZA KUONGEZA WATE...
    ⚡SABABU 6 KWANINI KUFELI NI VIZURI KWA MAFANIKIO YAKO 👉 • SABABU 6 KWANINI KUFEL...
    ⚡ TATIZO LANGU NI AIBU NASHINDWA KUKUTANA NA KUCHANGAMANA NA WATU (SOCIAL ANXIETY)| Zahir Gomelo 👉 • TATIZO LANGU NI AIBU N...
    ⚡Kila Kijana Anatakiwa KUSIKIA Hii/CHAGUA MARAFIKI SAHIHI KATIKA MAISHA 👉 • Kila Kijana Anatakiwa ...
    ⚡TABIA 3 ZA MAFANIKIO ZA KUWA NAZO: Ili ufanikiwe katika malengo na ndoto zako mwaka 2020 👉 • TABIA 3 ZA MAFANIKIO Z...
    ⚡KANUNI 4 ZA MAFANIKIO KATIKA BIASHARA 2020 : Nilizojifunza kutoka kwa JACK MA 👉 / 4vinlngo3q
    ⚡TABIA 10 NZURI ZA KUFANYA KILA ASUBUHI ILI KUWA PRODUCTIVE (Best Morning Habits/Routine)👉 • TABIA 10 NZURI ZA KUFA...
    ⚡SIRI 5 ZA MAFANIKIO KWA MAISHA BINAFSI, BIASHARA (Funguo za mafanikio katika maisha.)👉 • SIRI 5 ZA MAFANIKIO KW...
    ⚡ISHARA 5 ZA ONYO AMBAZO ZITAKUONESHA KUWA HAUPO TAYARI KUANZISHA BIASHARA KWA MUDA HUU👉 • ISHARA 5 ZA ONYO AMBAZ...
    ⚡GUNDUA KUSUDIO LAKO KATIKA VIDEO HII YA DAKIKA 4/ How to find your PURPOSE Under 4 Minutes 👉 • GUNDUA KUSUDIO LAKO KA...
    ⚡HATUA 5 ZA KUUSHINDA UOGA WA MAFANIKIO/ 5 STEPS HOW TO OVERCOME FEAR OF SUCCESS👉 • HATUA 5 ZA KUUSHINDA ...
    ⚡JINSI NINAVYOSAVE 50% YA KIPATO CHANGU- Tips 6 za kusave pesa ambazo zitakuza kipato chako👉 • JINSI NINAVYOSAVE 50% ...
    #Kuondoamsongowamawazo #Mawazostress #Stress
  • Jak na to + styl

Komentáře • 42

  • @stephenhaule5055
    @stephenhaule5055 Před rokem +5

    Kweli kabisa mitandao inaongeza stress ndyo maana mi nilikuwa na stress sipendi kabisa kuingia social networks wakati mwingine hata simu kabisa sitamani kuiona

  • @user-pn8zu4lj1u
    @user-pn8zu4lj1u Před 9 dny

    Mimi nikiwa na mawazo namukumbuka mamangu na machozi yakinitoka basi nawa sawa

  • @stephenhaule5055
    @stephenhaule5055 Před rokem +2

    Mimi nikipata stress huwa natumia huo muda kuandika mashairi au kusikiliza au kuimba nyimbo na baadae hubadilisha mood yangu

  • @danlao155
    @danlao155 Před 6 dny

    toka mwezi watatu nasumbuliwa na vidonda vya tumbo kila mdawa ninayo kunywa haijnisaidii sasa sielewi nihizi stress zinanifanya nisipone au laa

  • @SizzoSela29-sh8nz
    @SizzoSela29-sh8nz Před 5 měsíci +2

    Mimi napata ha pressure jamani sina njia yoyote ya kutumia

  • @safaaally9787
    @safaaally9787 Před rokem

    Mazoezi kwangu nzuri zaidi💪🥰

  • @aminathomas-yn6iw
    @aminathomas-yn6iw Před 2 měsíci +1

    Ninashida hiyo ya msongo wa mawazo nisaidie

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Před 6 měsíci

    Umesahau moja, kuokoka ni lazima

  • @bettymwano7011
    @bettymwano7011 Před 8 měsíci +2

    Mimi nakosa hadi nguvu kuna wakati nikitembea miguu inakosa nguvu nakaa then baada ya mda napata nguvu,afu na akili inakosa utulivu,na cm sipend kutumia

  • @suleimannjama6308
    @suleimannjama6308 Před 8 měsíci +1

    Kufanya ibada

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon5316 Před 6 měsíci +1

    Minakabiliwa namsongo wamawazo

  • @samweljoel5023
    @samweljoel5023 Před 10 měsíci

    Fanta kite unachokipenda mfano kwa wanaume Angelia mpira

  • @CelineSylvester-hb6bd
    @CelineSylvester-hb6bd Před měsícem

    Mimi msongo wangu wa mawazo ni kuhusu vvu hasa doctor unapowaona Wana homa kidole kwa kutoa damu bila kubadili glove na glove huvaa mkono mmoja

  • @user-qg2yp3ey1b
    @user-qg2yp3ey1b Před 5 měsíci

    Thanks

  • @ShimirimanaJolie-uo3wl
    @ShimirimanaJolie-uo3wl Před 6 měsíci +1

    Sasa.kaka..kama.awuna..marafiki...mimi..ninamawazo.kibayo...nashukuru.sana..mimi.nawomba..ila..nikifika..tu.nyumbani..mawazo..yanarudi...mupaka.natamani..nife

  • @johannesmaryvianney7870

    Mi nakunywa pombe Sana kutuliza msongo

  • @Clecadkingtz12
    @Clecadkingtz12 Před rokem

    🙏🙏🙏🙏

  • @jumakarisa6711
    @jumakarisa6711 Před rokem +2

    Mi usingizi ndio sipati Kwa sana

  • @atuganilekitego8616
    @atuganilekitego8616 Před 13 dny

    Mimi ninamsongo wa mawazo but sina rafiki naweza kushare nae, hakuna ninaemwamini ingawa natamani kuopen up kwa mtu

  • @lindajoyce5666
    @lindajoyce5666 Před 2 měsíci

    Niko na shida ya kuumwa nakichwa

  • @user-fg5ps2te5j
    @user-fg5ps2te5j Před 6 měsíci

    Mi mziki

  • @user-mn3tv7oh6t
    @user-mn3tv7oh6t Před 7 měsíci

    Nashkuru umenisaidia pakubwa

  • @BensonNjite-dg5ru
    @BensonNjite-dg5ru Před 3 měsíci

    Hey

  • @FatmaSaid-db7qm
    @FatmaSaid-db7qm Před rokem

    Ukweli sina njia ya kufanya

  • @NizaLuka-gi8hf
    @NizaLuka-gi8hf Před 9 měsíci

    Mi ndo najifunza

  • @mwanaidhozzer1575
    @mwanaidhozzer1575 Před 9 měsíci

    Mm naon nikiwa mwenyew ndo nakua na amani 😢 nikijion na mawazo nafany kitu napend

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 2 měsíci

    Mimi mazoezi

  • @SophieShaddy
    @SophieShaddy Před 3 měsíci

    Mimi huwa nalala ama nisikize mziki

  • @janemtoma1082
    @janemtoma1082 Před rokem

    Samahani! Msongo wa mawazo unaweza kusababisha kifafa?

  • @user-wq8hm5rc8h
    @user-wq8hm5rc8h Před 5 měsíci

    Dah me kuna kitu kina nipa msongo wa mawazo kuna broo wangu mmoja wa karib sana amefarik bas mda wote nakumbuka tu kipindi tulicho kuwa wote ndo kinacho nipa mawazo

  • @user-vu3dt1do3r
    @user-vu3dt1do3r Před rokem +1

    Jamani kaka Mimi nateseka sana na mawazo naumizwa sana hii ni mara ya pili sasa mwanaume ananiumiza sana ad nashindwa kula nifanyaje jmn ili nipone

    • @glorybuyanza9369
      @glorybuyanza9369 Před 11 měsíci

      Pole sipati usingiz kabisa

    • @samweljoel5023
      @samweljoel5023 Před 10 měsíci

      Pole……usipende kweli kweli in Giza Mugumu Mojave nuance mwingine née dada angu😊😊

    • @CleanbassibuBassibu-zj2hs
      @CleanbassibuBassibu-zj2hs Před 10 měsíci +1

      Huyooo mwanaumee hana umiliki Wa maisha yako ukifa wew yeye atabaki ana is hi acha srees Fanya mambo yako usiteseke ajili yamtu furaha yako we we umeikalia mwenyewe, kila kituu ukikiona kina uzito basi Fanya tafakali akiliako haitakuwa sawa

  • @jacksonkalogi318
    @jacksonkalogi318 Před 2 lety +1

    Mimi natumia kuwabize saana katika kazi yangu kwakweri huwa nasahau kabisa jambo linalonitia mawazo wakati huo