NJIA 6 ZA KUONDOA MSONGO WA MAWAZO/HOW TO STOP STRESS
Vložit
- čas přidán 25. 07. 2024
- Jifunze njia 6 kuondoa msongo wa mawazo au stress. Msongo wa mawazo ni jambo ambalo halizuilike kwenye maisha.Ni jinsi gani unaweza kucope nayo na inamadhara kiakili na hisia.Hizi hapa ni njia unazoweza kutumia sasa kuwa masongo wa mawazo kidogo na kuacha kuwa na wasiwasi.Tumia moja katika ya hizi njia next time kutumia unapohitaji kuondokana na msongo wa mawazo. Karibu
Timecodes
00:00 Hook
0:05Bumper
0:14Intro
1:01 Toka Nje
1:50 Mwambie Rafiki
2:58 Fanya Mazoezi
3:55 Jifunze Njia za Kurelax
5:00 Kutopata Usingizi wa kutosha
6:38 Manange Devices zako vizuri
7:53 Outro
🔴TABIA 10 NZURI ZA KUFANYA KILA ASUBUHI ILI KUWA PRODUCTIVE (Best Morning Habits/Routine) 👉 • TABIA 10 NZURI ZA KUFA...
🏆Lengo Langu 🏆
"Ni kushare na wewe Masomo chanya juu ya mambo mbalimbali katika Maisha na kuhakikisha tunakuwa sehemu ya mafanikio yako"
🔴Nimeanzisha Podcast yangu mpya inaitwa Gonline kwenye Afripods, link hii 👉 afripods.africa
Usiache pia kuniandikia mawazo kwenye comment section na share kwa wengine pia ila wajifunze zaidi.
🔴Nifuate IG- / gonline_pos. .
BIASHARA, MATANGAZO, KUSHIRIKIANA NA USHAURI EMAIL: onlinemedia364@gmail.com WHATSAPP : (+255) 629-718385
..............................................................................................................
🔴TAZAMA VIDEOS ZANGU ZINGINE AMBAZO UTAZIPENDA 👇👇
⚡JINSI YA KUTIMIZA MALENGO MWAKA 2020:Kanuni 3 lazima uzifuate kama unataka timiza malengo/ndoto yako👉 • JINSI YA KUTIMIZA MALE...
⚡REVIEW MWAKA 2021 ILI KUWA BORA/VIZURI 2022👉 • REVIEW MWAKA 2021 ILI ...
⚡MBINU ZA KUONGEZA WATEJA KATIKA BIASHARA YAKO👉 • MBINU ZA KUONGEZA WATE...
⚡SABABU 6 KWANINI KUFELI NI VIZURI KWA MAFANIKIO YAKO 👉 • SABABU 6 KWANINI KUFEL...
⚡ TATIZO LANGU NI AIBU NASHINDWA KUKUTANA NA KUCHANGAMANA NA WATU (SOCIAL ANXIETY)| Zahir Gomelo 👉 • TATIZO LANGU NI AIBU N...
⚡Kila Kijana Anatakiwa KUSIKIA Hii/CHAGUA MARAFIKI SAHIHI KATIKA MAISHA 👉 • Kila Kijana Anatakiwa ...
⚡TABIA 3 ZA MAFANIKIO ZA KUWA NAZO: Ili ufanikiwe katika malengo na ndoto zako mwaka 2020 👉 • TABIA 3 ZA MAFANIKIO Z...
⚡KANUNI 4 ZA MAFANIKIO KATIKA BIASHARA 2020 : Nilizojifunza kutoka kwa JACK MA 👉 / 4vinlngo3q
⚡TABIA 10 NZURI ZA KUFANYA KILA ASUBUHI ILI KUWA PRODUCTIVE (Best Morning Habits/Routine)👉 • TABIA 10 NZURI ZA KUFA...
⚡SIRI 5 ZA MAFANIKIO KWA MAISHA BINAFSI, BIASHARA (Funguo za mafanikio katika maisha.)👉 • SIRI 5 ZA MAFANIKIO KW...
⚡ISHARA 5 ZA ONYO AMBAZO ZITAKUONESHA KUWA HAUPO TAYARI KUANZISHA BIASHARA KWA MUDA HUU👉 • ISHARA 5 ZA ONYO AMBAZ...
⚡GUNDUA KUSUDIO LAKO KATIKA VIDEO HII YA DAKIKA 4/ How to find your PURPOSE Under 4 Minutes 👉 • GUNDUA KUSUDIO LAKO KA...
⚡HATUA 5 ZA KUUSHINDA UOGA WA MAFANIKIO/ 5 STEPS HOW TO OVERCOME FEAR OF SUCCESS👉 • HATUA 5 ZA KUUSHINDA ...
⚡JINSI NINAVYOSAVE 50% YA KIPATO CHANGU- Tips 6 za kusave pesa ambazo zitakuza kipato chako👉 • JINSI NINAVYOSAVE 50% ...
#Kuondoamsongowamawazo #Mawazostress #Stress - Jak na to + styl
Kweli kabisa mitandao inaongeza stress ndyo maana mi nilikuwa na stress sipendi kabisa kuingia social networks wakati mwingine hata simu kabisa sitamani kuiona
Mimi nikiwa na mawazo namukumbuka mamangu na machozi yakinitoka basi nawa sawa
Mimi nikipata stress huwa natumia huo muda kuandika mashairi au kusikiliza au kuimba nyimbo na baadae hubadilisha mood yangu
toka mwezi watatu nasumbuliwa na vidonda vya tumbo kila mdawa ninayo kunywa haijnisaidii sasa sielewi nihizi stress zinanifanya nisipone au laa
Mimi napata ha pressure jamani sina njia yoyote ya kutumia
Mazoezi kwangu nzuri zaidi💪🥰
Ninashida hiyo ya msongo wa mawazo nisaidie
Umesahau moja, kuokoka ni lazima
Mimi nakosa hadi nguvu kuna wakati nikitembea miguu inakosa nguvu nakaa then baada ya mda napata nguvu,afu na akili inakosa utulivu,na cm sipend kutumia
Kufanya ibada
Minakabiliwa namsongo wamawazo
Fanta kite unachokipenda mfano kwa wanaume Angelia mpira
Mimi msongo wangu wa mawazo ni kuhusu vvu hasa doctor unapowaona Wana homa kidole kwa kutoa damu bila kubadili glove na glove huvaa mkono mmoja
Thanks
No problem
Sasa.kaka..kama.awuna..marafiki...mimi..ninamawazo.kibayo...nashukuru.sana..mimi.nawomba..ila..nikifika..tu.nyumbani..mawazo..yanarudi...mupaka.natamani..nife
Mi nakunywa pombe Sana kutuliza msongo
🙏🙏🙏🙏
Mi usingizi ndio sipati Kwa sana
Pole sana
Mimi ninamsongo wa mawazo but sina rafiki naweza kushare nae, hakuna ninaemwamini ingawa natamani kuopen up kwa mtu
Niko na shida ya kuumwa nakichwa
Mi mziki
Nashkuru umenisaidia pakubwa
Hey
Ukweli sina njia ya kufanya
Mi pia
Mi ndo najifunza
Mm naon nikiwa mwenyew ndo nakua na amani 😢 nikijion na mawazo nafany kitu napend
Mimi mazoezi
Mimi huwa nalala ama nisikize mziki
Samahani! Msongo wa mawazo unaweza kusababisha kifafa?
Dah me kuna kitu kina nipa msongo wa mawazo kuna broo wangu mmoja wa karib sana amefarik bas mda wote nakumbuka tu kipindi tulicho kuwa wote ndo kinacho nipa mawazo
Pole sana muombe sana Mungu utakaa sawa tu
Jamani kaka Mimi nateseka sana na mawazo naumizwa sana hii ni mara ya pili sasa mwanaume ananiumiza sana ad nashindwa kula nifanyaje jmn ili nipone
Pole sipati usingiz kabisa
Pole……usipende kweli kweli in Giza Mugumu Mojave nuance mwingine née dada angu😊😊
Huyooo mwanaumee hana umiliki Wa maisha yako ukifa wew yeye atabaki ana is hi acha srees Fanya mambo yako usiteseke ajili yamtu furaha yako we we umeikalia mwenyewe, kila kituu ukikiona kina uzito basi Fanya tafakali akiliako haitakuwa sawa
Mimi natumia kuwabize saana katika kazi yangu kwakweri huwa nasahau kabisa jambo linalonitia mawazo wakati huo
Safi
@@GOnlinepositivity asante
Shukran