AIC Changombe Choir Umetukuka Official Video

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • AIC Changombe Choir Umetukuka Official Video
    Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
    The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music

Komentáře • 112

  • @rhodaathuman9660
    @rhodaathuman9660 Před 5 lety +9

    Sichokagi kusikilizaga hili li song jmn, Kama na ww huchokag like za kutosha

  • @joanw.
    @joanw. Před rokem

    I've finally found this beautiful song, been searching for almost an year now. I'm blessed. HE is worthy. Hallelujah.

  • @happynjau736
    @happynjau736 Před 6 lety +9

    Umetukuka kaka angu umeimba vzur sana mungu akuinue katika viwango vingin amen

  • @rehemakalasya8876
    @rehemakalasya8876 Před 5 lety +2

    Damu ya yesu iendelee kunena mema juu ya hii kwaya

  • @wycliffmachoka4473
    @wycliffmachoka4473 Před 3 lety +1

    Kutoka huku kenya nawa sikiza sana na napenda nyimbo zenu sana, kwa hakika mungu ni mkuu wacha utukufu wa bwana umrejee yeye aliye ziumba mbingu na inchi

  • @marystephen1183
    @marystephen1183 Před 7 lety +5

    moja ya kazi nzuri sana..huu wimbo ni moja kati ya nyimbo chache nzuri sana za kumuabudu Mungu

  • @zaccheousmutunga7688
    @zaccheousmutunga7688 Před 6 lety +10

    One of the best Swahili worship songs. May you receive double anointing.

  • @amansayu9753
    @amansayu9753 Před 5 lety +6

    umesolo vzur mno kak sauti nzur Ubarikiwe

  • @sandrafungafunga
    @sandrafungafunga Před rokem

    Nimebarikiwa sana kwa wimbo huuu Mungu awabariki

  • @neemambasha6712
    @neemambasha6712 Před 6 lety +5

    mko vizuri sana chango'mbe nawapenda bure mungu awake maujuzi zaidi na zaidi

  • @dorahyohana7238
    @dorahyohana7238 Před 2 lety

    Good song mbarikiwe sana kwa utumishi wenu

  • @peterezavoliahona7851
    @peterezavoliahona7851 Před 5 lety +1

    Hallelujah...kwema mbinguni...sifa tumpeni yesu

  • @moffatkyalo5570
    @moffatkyalo5570 Před 6 lety +2

    Mola kawalindeni kw mema mnayomfanyia muumba mbingu na nchi! Nyimbo zenu unibariki zaidi! Inuliweni saana wapendwa

  • @vailethmbano7766
    @vailethmbano7766 Před 7 lety +9

    kumbe kuna wanaume nao wanajua vzur hivo....muwe mnawapa nafasi nao ya kusolo,ili kuleta ladha tofaut....mbarikiwe sana

  • @ndukumuia9983
    @ndukumuia9983 Před 6 lety +4

    sichoki kuusikiza wimbo huu.machozi yanitoka kila ninapousikiza

  • @joycephilipo6456
    @joycephilipo6456 Před 5 lety +3

    Safi sana , wote mtaiona mbingu....tuseme Amen kubwa

  • @zachariasimon2607
    @zachariasimon2607 Před 7 lety +3

    Mungu awabarik nimeona ubunifu mzur katika utunz wa huu wimbo na vocal production yake iko njema God bless u much

  • @glorybalela1246
    @glorybalela1246 Před 7 lety +4

    wawooo God bless this guy,,,anavocal nzuri apewe nyinginezo

    • @dorcas233
      @dorcas233 Před 5 lety

      Ana Sauti nzuri /fanana na Elisha Mbukwa...

  • @eagtmizeituniigogo807
    @eagtmizeituniigogo807 Před 5 lety

    Kuna hali uko nayo unaweza kuwa mgonjwa ,mhitaji umetengwa na jamii kuna mambo unapitia mf ubinti ujana umama wokovu umasiki nk nainaoneka kama jarbu unaelekea kukata tamaa nikwambie jambo hili niili jina LA yesu litukuzwe soma yohana 11:2

  • @ritaminga4770
    @ritaminga4770 Před 6 lety +2

    mbarikiwe muno wapendwa kazi yenu ni njema sana

    • @neemaezekiel7401
      @neemaezekiel7401 Před 6 lety

      mubalikiwe sana wa2mishi wamungu nazipenda sana nyimbo zenu amina

  • @mwilemakala5578
    @mwilemakala5578 Před 6 lety +2

    mbarikiwe wimbo una ujumbe mzuri Mungu azidi kuwatumia mtavikwa taji
    huyo kaka apewe nafasi zaidi ya kusolo

  • @johnsonsamson3353
    @johnsonsamson3353 Před 4 lety

    Mbarikiwe watumishi wa Mungu
    Hatulegei hatuliziki kwa ishara yoyote ya mafanikio bali tunazidi kulichuchumia taji lililowekwa mbele yetu.
    Kazi yenu ni njema

  • @happynjau736
    @happynjau736 Před 6 lety +2

    Changombe mpo vzur mungu awatie nguv

  • @baxboy5131
    @baxboy5131 Před 7 lety +3

    mnafanya vzr kila siku, barikiwa sana

  • @rosehanga4764
    @rosehanga4764 Před 6 lety +2

    nabarikiwa sana na wimbo huu sichoki kuusikiliza Mwenyenzi mungu azidi kuwainua

  • @messiasulley3944
    @messiasulley3944 Před 5 lety +3

    Changombe aic wako vzr sana

  • @neemamashimba4278
    @neemamashimba4278 Před 7 lety

    mbarikiwe kwa kazi nzur mnayoifanya, naomba mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu zaid, nmebarikiwa xana,

  • @marthankola3316
    @marthankola3316 Před 6 lety +2

    Nabarikiwa sana na wimbo huu. Mungu awainue zaidi watumishi wa Mungu.

  • @mosesmoses9078
    @mosesmoses9078 Před 6 lety +1

    nabarikiwa sana ninapo sikiliza nyimbo zenu mungu aendelee kutupigania na kututetea

  • @neemambasha6712
    @neemambasha6712 Před 6 lety +2

    mungu awe nanyi wapendwa ktk jina LA yesu

  • @kilikocomedian1237
    @kilikocomedian1237 Před 3 lety

    my best in the list. barikiweni sana

  • @jescarcharlz2117
    @jescarcharlz2117 Před 6 lety +3

    kwel ametukuka.... nawapenda bure

  • @anitapeter90
    @anitapeter90 Před 2 lety

    Hallelujah.. atukuzwe Mungu muumbaji & mpaji!

  • @pro.elidaima3896
    @pro.elidaima3896 Před 5 lety +1

    Tunaomba wimbo wa patakatifu PA patakatipa

  • @edinalihedule3421
    @edinalihedule3421 Před 4 lety

    Kalumbu umesol vzr sana naupenda sana huu wimbo😘😘😘

  • @neemareuben9800
    @neemareuben9800 Před 7 lety +1

    Nyimbo nzuri sana na hongera ziende kwa mwalimu na crew yake kwa mchanganyiko wa sauti. Mbarikiwe sana CVC Ameeeeen

  • @bumicharles216
    @bumicharles216 Před 7 lety +1

    nabarikiwa Sana na huu wimbo, mbarikiwe sn

  • @josephngei4072
    @josephngei4072 Před 4 lety

    CVC from 2004 volume 1 upto now Mungu akazidi kuwabariki zaidi

  • @joycephilipo6456
    @joycephilipo6456 Před 5 lety

    Mungu awazidishie, nabarikiwa sana na wimbo huu ......Amen

  • @kenethclement6511
    @kenethclement6511 Před 5 lety

    Hakika Mungu anawatu wake kweli.mimi kwaya hii naipenda saaana saaana maana nyimbo zao zinanifanya niutafakari ukuu wa Mungu

  • @remyndihokubwayo1620
    @remyndihokubwayo1620 Před 5 lety

    Mumeimba vizuli sana munatupandisha kiroho.
    Jamani huku Burundi tunawapenda sana

  • @josephmasebo6761
    @josephmasebo6761 Před 7 lety +1

    hii kwaya kweli wameamua kumtumikia Mungu Kwa viwango vizuri

  • @aiyasageo2572
    @aiyasageo2572 Před 5 lety +1

    Am so blessed all the way from Mombasa Kenya

  • @christinamatrida6219
    @christinamatrida6219 Před 6 lety +4

    umetukuka Yesu

  • @boniphacepaulo4604
    @boniphacepaulo4604 Před 10 měsíci

    This choir ❤

  • @casperleonard4272
    @casperleonard4272 Před 4 lety

    Mbarikiwe Sana

  • @mariammitinje4224
    @mariammitinje4224 Před 7 lety +6

    this is my favourite song , may God bless you and your work AMEN.

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa9884 Před 6 lety +1

    Hongereni sana wimbo una nguvu na utukufuuu

  • @adolofinasalya2762
    @adolofinasalya2762 Před 6 lety +1

    napenda sana nyimbo za kuabudu mungu awabariki

  • @leahwilson4703
    @leahwilson4703 Před 6 lety

    Mungu azid kuwainua ktk huduma hii tunabalikiwa sn

  • @michaelfisoo9604
    @michaelfisoo9604 Před 5 lety +1

    mnanibariki sana

  • @sylvianzilani9966
    @sylvianzilani9966 Před 7 lety

    I can listen to this song whole day...unanipa faraja na amani. Asanteni sana na Mungu azidi kuwatumia

  • @godlistentv9177
    @godlistentv9177 Před 6 lety +1

    Barikiweni sanaaaa

  • @stanleyreubenipaul4458
    @stanleyreubenipaul4458 Před 6 lety +1

    Utukufu hadi Utukufu

    • @mputarajabu8336
      @mputarajabu8336 Před 5 lety

      nawapenda mnooo hua mnanifanya nizidi kusonga mbele katika safari ya kwenda mbingunii mungu awatie nguvuuu

  • @isackjb9343
    @isackjb9343 Před 2 lety

    Wimbo mzuri

  • @ruthmusyoka4578
    @ruthmusyoka4578 Před 5 lety

    Hi dea ones, am always blessed when i listen to your songs. Ruth Jericho Swahili Kwaya

  • @meckmanoni8336
    @meckmanoni8336 Před 6 lety +1

    Mbarikiwe sanaaa.

  • @mteuleclassic5398
    @mteuleclassic5398 Před 4 lety

    Mungu awe nanyi daima

  • @esterpeter6405
    @esterpeter6405 Před 3 lety

    They bless meh xo much

  • @happynessmohamed7072
    @happynessmohamed7072 Před 7 lety +3

    Mwenyezi Mungu azidi kuwatia nguvu ktk uimbaji wenu hakika mnafanya vizuri kupita maelezo nami nawapenda xana ktk Bwana na wimbo huu unanibariki sana tu

    • @happybukuku5472
      @happybukuku5472 Před 6 lety

      Napenda Huduma yenu

    • @moffatkyalo5570
      @moffatkyalo5570 Před 6 lety

      Barikiweni sana wapendwa kw kazi nzuri muifanyalo ashindwe yeyote awaingiliapo kinyume na mapenzi yake muumba mbingu na nchi!hakika nyimbo zenu unibariki sana

    • @loisenthenya3119
      @loisenthenya3119 Před 6 lety

      Happyness Mohamed p

    • @veroniquemasonga6596
      @veroniquemasonga6596 Před 5 lety

      Nawapenda sana😘😘😘

  • @dayanamichael9427
    @dayanamichael9427 Před 6 lety +1

    Jamani mbarikiwe

  • @deogratiusrace
    @deogratiusrace Před 6 lety +1

    My favorite song.

  • @StellaStanphord
    @StellaStanphord Před 26 dny

    Halleluyah

  • @deusngussa812
    @deusngussa812 Před 6 lety +1

    nice worship song,

  • @anordprotas1976
    @anordprotas1976 Před 5 lety

    Inalipa heshima kwenu chang'ombe

  • @rehemanjau8893
    @rehemanjau8893 Před 6 lety +2

    wimbo mzuli

  • @hlbtisaya4186
    @hlbtisaya4186 Před 4 lety

    Nawapenda sana mungu awabaliki

  • @allengodlove2628
    @allengodlove2628 Před 3 lety

    Jehovah shama

  • @sabinagebra8976
    @sabinagebra8976 Před 7 lety +3

    lvly song

  • @fredrickmtangoo5071
    @fredrickmtangoo5071 Před 2 lety

    Amina.

  • @winfridadavid5182
    @winfridadavid5182 Před 6 lety +1

    Hakika umetukuka bwana

  • @siagmringo8017
    @siagmringo8017 Před 6 lety

    Nabarikiwa sanaa wit this song. be blessed

  • @happynjau736
    @happynjau736 Před 6 lety +1

    CVc mnatisha

  • @Brightonychristopher
    @Brightonychristopher Před 6 měsíci

    Amen

  • @neemaeliya9465
    @neemaeliya9465 Před 7 lety +1

    I like this song

  • @judsjamsi6278
    @judsjamsi6278 Před 7 lety +2

    mungu awape nguvu

  • @petermwaluko9176
    @petermwaluko9176 Před 6 lety +1

    mko juu

  • @dorcas233
    @dorcas233 Před 5 lety

    True worship, Amen

  • @holywebstar4838
    @holywebstar4838 Před 3 lety

    Good

  • @olyking731
    @olyking731 Před 3 lety

    💙

  • @magdalenesimon6320
    @magdalenesimon6320 Před 7 lety

    mbarikiwe sana

  • @seifhamad9817
    @seifhamad9817 Před 4 lety

    Hallelujah

  • @janefrey9471
    @janefrey9471 Před 2 lety

    😇😇😇

  • @ruthmuja9215
    @ruthmuja9215 Před 6 lety

    😍

  • @josephinelameckiloveuchris6309

    nawalavuuuuu

  • @zachariasimon2607
    @zachariasimon2607 Před 7 lety +3

    Mungu awabarik nimeona ubunifu mzur katika utunz wa huu wimbo na vocal production yake iko njema God bless u much

  • @neemamashimba4278
    @neemamashimba4278 Před 7 lety

    mbarikiwe kwa kazi nzur mnayoifanya, naomba mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu zaid, nmebarikiwa xana,

  • @and86able
    @and86able Před 7 lety +2

    Mungu azidi kuwainua watumishi kuelekea viwango vingine..... nimebarikiwa Sana na wimbo huu

  • @zachariasimon2607
    @zachariasimon2607 Před 7 lety +1

    Mungu awabarik nimeona ubunifu mzur katika utunz wa huu wimbo na vocal production yake iko njema God bless u much

  • @neemamashimba4278
    @neemamashimba4278 Před 7 lety

    mbarikiwe kwa kazi nzur mnayoifanya, naomba mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu zaid, nmebarikiwa xana,

    • @jenistamassawe5576
      @jenistamassawe5576 Před 7 lety

      Neema Mashimba

    • @jenistamassawe5576
      @jenistamassawe5576 Před 7 lety

      Neema Mashimba mungu awepe nguvu ya kuzidi kutumika nimependa sana huu wimbo umenibariki sana endeleni kuwa na umoja ongeren

    • @jenistamassawe5576
      @jenistamassawe5576 Před 7 lety

      Neema Mashimba mungu awepe nguvu ya kuzidi kutumika nimependa sana huu wimbo umenibariki sana endeleni kuwa na umoja ongeren