🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • 🔴#LIVE: WAFANYABIASHARA WALIOGOMA KARIAKOO WATEMA NYONGO MBELE YA CHALAMILA
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 66

  • @user-to8sg4jk7l
    @user-to8sg4jk7l Před 2 měsíci +8

    Hufai kwanza nashangaa hujapigwa mawe

  • @NicholausLaurent-t6x
    @NicholausLaurent-t6x Před 2 měsíci +6

    Huyu Mzee hafai kuwa kiongozi

  • @vom84
    @vom84 Před 2 měsíci +5

    Siasa kwenye mambo ya msingi

  • @VivianGerlad
    @VivianGerlad Před 2 měsíci +4

    Kiongozi mjinga sana yan

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 Před 2 měsíci +1

    Mmmh hv huyu n kiongozi wa wapi?

  • @JOSEPHATMwesigwa-vi7he
    @JOSEPHATMwesigwa-vi7he Před 2 měsíci +3

    Tatua kero za wafanya Biashara ili biashara ifanyike.
    Kero ndo zinapekea haya mambo kutokea.

  • @SunguraMmarekan-bs2lr
    @SunguraMmarekan-bs2lr Před 2 měsíci +2

    Hafai kuwa kiongozi

  • @richardtom38
    @richardtom38 Před 2 měsíci +1

    Hivi hawa viongoz wanajijua wanachoongea

  • @japhethmwimba4849
    @japhethmwimba4849 Před 2 měsíci +1

    Kipindi anakuja apo alipitia bar kwanza kunywa bia

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr Před 2 měsíci +1

    Tatua kero za wananchi usipige kelele Mzee😂

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před 2 měsíci +1

    Huyu hata sijui kwanini kaenda kariakoo Kama Hana solution yeyote?? Kaenda kuwaongezea watu hasira tuu…Kuna baadhi ya viongozi wanajisahau wanafikiri hii Nchi ni Yao…Tanzania ni ya watu wote watanzania…na bila watu serikali haina kitu

  • @saidally5763
    @saidally5763 Před 2 měsíci +6

    Huyu kila siku nasema huyu sio kiongozi huyu nichawa wa raisi hafai kua kiongozi anatuletea tu komedi

  • @AnthonySindabaha-de3xb
    @AnthonySindabaha-de3xb Před 2 měsíci +1

    Mama tunaomba utabadilishie mkuu wa mkoa mwenye characters kama za makonda huyu chalamila analeta siasa kwenye mambo ya msingi kabisa. Huyu anakutia aibu

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m Před 2 měsíci +1

    Mmachinga ndoo wengi kuliko hao unao watetea Wana lipa Kodi kubwa

  • @saidally5763
    @saidally5763 Před 2 měsíci +3

    Yani hata aibu kiongozi hana hunahoja wewe nenda kalale unatuletea tu komedi

  • @omarkipotwile9052
    @omarkipotwile9052 Před 2 měsíci +1

    Kwamba hii ndo picha halisi ya viongozi wa nchi hii eti au kuna aina nyingine?

  • @mcvituz1103
    @mcvituz1103 Před 2 měsíci +2

    Hapa n devide and rule😂

  • @hazardmjeshi5200
    @hazardmjeshi5200 Před 2 měsíci +1

    Mkooa unamshinda huyu jamaa kiongozi anatakiwa awe na hekima kwenye maongezi

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před 2 měsíci +1

    Jamani akili ya wapi Mheshimiwa, haya ya kupigwa mikwara unamtolea mfano Manji, eti mpaka akaikimbia nchi, hii ni kauli ya kiongozi? Kweli? Mheshimiwa ebu kuwa na kariba ya ulimi.

  • @saidally5763
    @saidally5763 Před 2 měsíci +1

    Yani huyu ndio anamsaidia raisi kutatua migogoro au yeye ndio anazidisha migogoro hata elimu inaonelana hamna kitu yani unatisha watu

  • @godfreykiwelu7253
    @godfreykiwelu7253 Před 2 měsíci

    Huyu Leo kapuyanga rahis ndo aelewe Hana viongoz

  • @AthumaniMohamed-bj6um
    @AthumaniMohamed-bj6um Před 2 měsíci +2

    Uyu mbona Kama katumwa

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před 2 měsíci +1

    Huyu arudishwe mkoani tuu!!! Kwa Dar hatufai

    • @deuskatemi640
      @deuskatemi640 Před 2 měsíci

      Kwani Dar siyo Mkoa??

    • @Zenny89
      @Zenny89 Před 2 měsíci

      @@deuskatemi640 Ni JiJi… Mkoa ni PWANI.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 2 měsíci +1

    Rip JPM

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Před 2 měsíci

    tatua shida mzee

  • @kelvinidamiani7808
    @kelvinidamiani7808 Před 2 měsíci

    Nimejikuta nacheka, hivi shida ilikuwa kupanda kwa kodi sasa machinga wanalipa kodi? Hao chinga ndio wanachukua kwa wenye maduka , hapa kunashda tena kubwa sana kunawakat utaisi miili mikubwa itakuwa na eshima kumbe duh, mtambo 🤔🤔🤔

  • @trendings1293
    @trendings1293 Před 2 měsíci

    Huyu haya Mambo hayawezi kabisa

  • @ngejejemashubi4213
    @ngejejemashubi4213 Před 2 měsíci +1

    Kwani ubungo penyew hapatakuwa na kodi

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před 2 měsíci

    Shida anatumia nguvu kusolve ila angewaita wote akawasikiliza harafu akawaambia wao wenyewe wakubaliane nini kifanyike..hii case ingeisha bila hii nguvu anayoitumia

  • @Yory334
    @Yory334 Před 2 měsíci

    Ila wabongo mna huruma mtu anaongea utumbo na mnamuangalia tu aise poleni jirani

  • @kweltv5106
    @kweltv5106 Před 2 měsíci

    Nimeshindwa ata nicoment nn

  • @SerahGlam
    @SerahGlam Před 2 měsíci

    Tunaojua uchungu wa kodi ndo tunaelewa maumivu yake

  • @Cag645
    @Cag645 Před 2 měsíci

    Hapa ndipo anakumbukwa mwamba alie pelekwa arusha

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 Před 2 měsíci

    Huyu mngepiga mawe tu

  • @mcvituz1103
    @mcvituz1103 Před 2 měsíci

    Watu wameroga mziko😂😂

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein Před 2 měsíci

    Chalamila Dar ishamshida siasa na porojo tu badala ya kutatua kero!
    Kawaomba wafanya biashara wafungue maduka 7bu watakosa mapato maana hapo ndio chazo kikuu.

  • @sirmungureombeni4218
    @sirmungureombeni4218 Před 2 měsíci

    Kwahiyo huyu ndo kingozi wa Jiji la Dar es salaam, haya majibu si ya kiongozi mwelede,Huyu atafutiwe mkoa mwingine Dar imempalia.

  • @user-po3nb2zy2i
    @user-po3nb2zy2i Před 2 měsíci

    hii nchi yakibabe sana

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga Před 2 měsíci

    RIP Ramadhani

  • @yahayamohamed6822
    @yahayamohamed6822 Před 2 měsíci

    Alafu selikali iangalie vizuli hapo huyi mmachinga huyu halipi hata shilingi huyu selikalini

  • @MelchizedekShirima
    @MelchizedekShirima Před 2 měsíci

    Hakuna kiongoz hapo, anachoongea ni upuuzi mtupu. Hatutishiki mzee

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Před 2 měsíci

    Hizo mambo wachieni wakenya nyie eti mwandisha nae wafanyabiashara wamigoma au wako likizo hao maana hawana likizo

  • @MtegekiKaijage
    @MtegekiKaijage Před 2 měsíci

    Mh. Hapo umechemka kutumia mabavu hayawezi kutatua hii kero

  • @YusuphSomo
    @YusuphSomo Před 2 měsíci

    Ww chalamila mjanja mjanja tu unapeleka siasa kwa walipa Kody wako haliyakua wanapatashida na hao wasiolipa Kody kweliii...?

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando Před 2 měsíci

    Nimeukumbuka ulanzi wa mfindi mieeeee

  • @joelvenasi6248
    @joelvenasi6248 Před 2 měsíci

    tunakuomba Rais tuondolee huy mtu hafai kuwa mkuu wa mkoa

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Před 2 měsíci

    Hakunambogo anaweza kugomabongo

  • @alexmwashibili3616
    @alexmwashibili3616 Před 2 měsíci

    Hakuna mtu mkuu wa mkoa hapa

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 Před 2 měsíci

    Mh mbona umeanza kutishia tena ko hiyo ndo suluhu yenyewe? Akina Manji wameingiaje kwenye huo mkutano wako

  • @LovelyFishingRod-ij7mk
    @LovelyFishingRod-ij7mk Před 2 měsíci

    Unatumia mabavu kwenye mambo ya msingi

  • @johnsonmria3824
    @johnsonmria3824 Před 2 měsíci

    Anapigania maslahi ya aliye Mteuwa, nyie mnategemea awapiganie wakati hamjamchagua

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 Před 2 měsíci

    Huyu amewekwa dar ili alete ujinga na vichekesho ili tu kusahaulisha mambo so msiwe wajnga

  • @msamanga2277
    @msamanga2277 Před 2 měsíci

    Huyu amekwama😂

  • @SunguraMmarekan-bs2lr
    @SunguraMmarekan-bs2lr Před 2 měsíci

    Kuongoza dar makonda ndo aliiweza tu

  • @thadeusmahendeka4466
    @thadeusmahendeka4466 Před 2 měsíci

    kitumbua kimeingia mchanga

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před 2 měsíci

    APA KUNA MKUU WA MKOA SEEEE

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 2 měsíci

    Comedian

  • @EwaldAntony
    @EwaldAntony Před 2 měsíci

    Tatua kero

  • @HarunGeorge
    @HarunGeorge Před 2 měsíci

    Hakuna fack apo

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami5224 Před 2 měsíci

    HATA MIMININGEAMUA HIVYOHVYO WAFUNGE KAMA WAMEAMUA KUFUNGA, HAWA JAMAA WANAKWEPA SANA KULPA KODI KWA KUTUMIA RISIT SANA TENA SANAAAAAAAA LEO WANATAKA WENZAO WAONDOLEWE HAPAKIE WAO, SI WAENDE KUFANYIKA BIASHARA MAKWAO...