RC MWANRI KAJA NA MPYA "TUTAPIGA PASU PASU, JIKUNE ULIE CHRISTMASS LUPANGO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 210

  • @susanlazaro7492
    @susanlazaro7492 Před 5 lety +153

    Kama unamsikiliza Mzee wa comedy Wakati unasoma comment usijikune gonga tu like hapa

  • @marymodunda602
    @marymodunda602 Před 5 lety +4

    wale wa mtori na kisusio gonga like

  • @emmanuelgabagendi4515
    @emmanuelgabagendi4515 Před 5 lety +8

    Kikweli nakupenda sana mze wangu kanzi njema

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 Před 5 lety +27

    Huyu baba nahisi hata mke wake hajawahi kununa

    • @wemachristian119
      @wemachristian119 Před 5 lety +1

      Na alishahojiwa akathibitisha hilo

    • @nickmsangaa8506
      @nickmsangaa8506 Před 5 lety

      Kweli tena et mamy

    • @christinamiho7445
      @christinamiho7445 Před 5 lety

      Weeee mtu kama huyu achana nae akiwa nyumbn ni kaudhuuuuu mpaka familia yake inamuogopaaa

    • @hamzarumela1784
      @hamzarumela1784 Před 5 lety

      Kabisa yaani, ila jua kuwa kila mwenye mazuri, lazima ana mabaya yake pia. Lakini kiukweli huyu jamaa ni zaidi ya kiongozi

  • @officialtalenttv3882
    @officialtalenttv3882 Před 5 lety +25

    Thubutu tu jifanye
    Unajikuna uende
    Lupango

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Před 5 lety +26

    Namkubali sana huyu dingi,kwa mkwara tu ni noma sana.

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 Před 5 lety +1

      Sio mkwara tu na kazi anapiga kiuhakika hatski mchezo. Alipokuwa naibu waziri tamisemi ndie alikuwa anagonga kuta zikipukuchika hilo ni jengo lako mkandarasi. Ni Kati ya waliodhamiria kuwatoa watu kwenye unyonge samba na rais was awamu ya TANO!!!

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 Před 5 lety

      @@reachthegoal7624 Ni jembe la ukweli pia anajua kuwasiliana.Nampa salute sana akiwa next president inaweza kua poa sana.

    • @abbasboniphace5444
      @abbasboniphace5444 Před 5 lety +1

      Anamkwara mzito😂😂😂😂😂

    • @subiradalabu6616
      @subiradalabu6616 Před 5 lety

      George Karuga...anatisha cjutii mb zangu kwa huyu

  • @msonjoaden3260
    @msonjoaden3260 Před 5 lety +35

    Mbona kama kuna mtu anajikuna hapo Mkuu.

  • @jimwoolfe5375
    @jimwoolfe5375 Před 5 lety

    Namupenda saaannaaaa huyu Mzee. Asante sana Mheshimiwa Mwanri

  • @ivanmbilinyi6593
    @ivanmbilinyi6593 Před 5 lety +6

    Wanachukua hela mpk za.wauza vitumbua hatar sana

  • @beatricengonani4640
    @beatricengonani4640 Před 5 lety +1

    Soma hyoo somaaa

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa9884 Před 5 lety +14

    Wamachinga hao kodi waanza kutoa ila hata hawatambui daaa elimu elimu elimu

  • @mojaytz4030
    @mojaytz4030 Před 5 lety

    MAma lishe na baba lishe,
    Gonga like twende

  • @abbysauko3725
    @abbysauko3725 Před 5 lety +8

    Mzee anavyo cheza ni Kama wale wa jigi jigi eeh jigi jigi jigi jigi

  • @tatusaid1223
    @tatusaid1223 Před 5 lety

    ahaaaaaaah, nime elewa sasa kuhusu vitambulishoooooo, safi sana mkuuu

  • @consolatamedard9039
    @consolatamedard9039 Před 5 lety

    Safi baba piga kaz

  • @jastinjaister5150
    @jastinjaister5150 Před 5 lety +1

    safi Sana mkuu pigs kazi

  • @halemasalim9330
    @halemasalim9330 Před 5 lety +3

    Napenda sana hyu ni lzm ucheke

  • @kaobamaabel5561
    @kaobamaabel5561 Před 5 lety +27

    Nan kasikia mh kasema TRA ya malawi anyoshe mkono juu ajifanye kama anajikuna.😂😂😂😂😂

  • @issambamba6955
    @issambamba6955 Před 5 lety +22

    ingependeza baada ya magufuri ajekuwa rais wa nchi huyu mkuu,naamini watanzania tutakuja ishi kama wana wa israeli walipokuwa ktk nchi ya misr😱😱😱😱😱

  • @raswiurashid2085
    @raswiurashid2085 Před 5 lety +1

    mzee huyu nampendaje. he is fit

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon3987 Před 5 lety +3

    Haya Dagaa,Dagaa 😂

  • @noahedson7033
    @noahedson7033 Před 5 lety +2

    alaf millard umeunga video ya uyo jamaa anaejifanya anajikuna😂😂😂😂 hahahaaaa aende lupango

  • @godfreyeliabu2582
    @godfreyeliabu2582 Před 5 lety +6

    Uyumzee mungu ana muona Hahaaaaaaa

  • @giftymunishi6139
    @giftymunishi6139 Před 5 lety +8

    Nisikilize naona mnaanza kupiga makofi amna cha bure hapa

  • @magessamambagachachamambag1189

    Navutiwa sana maelekezo yabkiongozi huyubama kweli najivunia me kuwa mtanzania kwani haya maneno mazuri ningeyapata wp

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 5 lety +3

    pasu pasu😁😁

  • @andreymalisa1625
    @andreymalisa1625 Před 5 lety +26

    Kwa jicho la tatu ni kwamba kodi yaja mpaka kwa wamachinga....
    .😢😢😢😢

    • @rabaikatakweba1566
      @rabaikatakweba1566 Před 5 lety +1

      Ni kweli maana kila mwaka watakuwa wanaupdate kila mwaka huyu jamaa

    • @andreymalisa1625
      @andreymalisa1625 Před 5 lety +2

      Rabai Katakweba Mungu awaongoze tu hayo makusanyo yawe sawa sawa na maendeleo ya nchi yetu...
      #Tanzania

    • @rabaikatakweba1566
      @rabaikatakweba1566 Před 5 lety +1

      Inshaallah wasitokee wapigaji

    • @isackmosesmabula3648
      @isackmosesmabula3648 Před 5 lety +2

      Kila anayetaKiwa kulipa kodi ni lazima alipe sema Watanzania wengi wamekua na ukinzani na sheria na taratibu wanazopewa,,na kisha haohao wanaokwepa kulipa kodi ndio namba moja kulalamika Elimu mbaya,huduma za afya mbaya hali ya maisha nayo ni mbaya n.k na kutolea mfano nchi zingine pasina kujua wananchi wa nchi hizo wanafuata sheria na taratibu na wanalipa kodi pasipo shuruti...mfano mzuri ni kenya

    • @magessamambagachachamambag1189
      @magessamambagachachamambag1189 Před 5 lety +3

      Kwani machinga yy hafai kuchangia pato la nchi? Acha utoto nchi hii ni yetu sote na tutaijenga sisi wenyewe bila kujali ni machinga ama una duka kikubwa ni kujihoji ww unachingia vpmnchi yako kimaendeleo

  • @iungwadeogratius7893
    @iungwadeogratius7893 Před 5 lety +1

    Kweli nimekubali waliotoka maisha ya shida ndio wanawajua wa2 wao balikiwa sana mkuu wa mkoa pia rais we2 wa nchi

  • @ibrahimmakasi4690
    @ibrahimmakasi4690 Před 5 lety +1

    Mzee wa kusukuma ndani napenda sana clip zake

  • @clementmathias9512
    @clementmathias9512 Před 5 lety

    Yeeeeessssss kitambulisho ni kwa ajili ya kutambuana

  • @zaynsalma3466
    @zaynsalma3466 Před 5 lety +1

    Hakina interview inayo nifurahishaga kama ya huyo mzee baba Sauti yke tuu inaniachag hoyi 😂😂😂😂😂😂

  • @deustutu1162
    @deustutu1162 Před 5 lety +1

    kaz nzur

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 Před 5 lety +2

    Eti pasu pasu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bernardchibwana2564
    @bernardchibwana2564 Před 5 lety

    Huyu mzeee ananifurahisha sanaaa, full kucheka tu kila nionapo clip zake full raha

  • @douglasslema2837
    @douglasslema2837 Před 5 lety +4

    Hao dagaaa hao dagaaa hahaaaa

  • @athumannuru3648
    @athumannuru3648 Před 5 lety

    Somaranii injiniaaa

  • @ramadhanirajab9901
    @ramadhanirajab9901 Před 5 lety

    nakukubali sana sana kiongozi

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 Před 5 lety

    very nice

  • @edsonsibuti6914
    @edsonsibuti6914 Před 5 lety +2

    Malawi ata Kama unauza mchicha zinakusanywa na TRA ya Malawi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊😂😊😊😊😊😊lupango Tanzania revenue authority lengo Ni kuhakikisha ata wamachinga wanalipa kodi atujali cc tunaunga mkono ili mradi maendeleo tuyaone mpeni...... Kinachomuusu

  • @agaaah6697
    @agaaah6697 Před 5 lety +2

    Hebu sema mgao

  • @rutakihama7599
    @rutakihama7599 Před 5 lety

    Hahaha haha nakuelewa sana mzee wa Lupango

  • @catherineriwa6488
    @catherineriwa6488 Před 5 lety

    hahahahha lubango hahahaa uyu baba atanifilisi kwakel mb zangu sijutiii

  • @shabanmchomvu6376
    @shabanmchomvu6376 Před 5 lety

    Nice

  • @abdalahkimela4339
    @abdalahkimela4339 Před 5 lety

    Soma hiyooooooo injiniaaaaaaaa

  • @adamally8791
    @adamally8791 Před 5 lety +6

    TRA ya Malawi 😀😀🤔

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 Před 5 lety

      Ni lugha ya kuwafanya watu wa kawaida wakuelewe hiyo.

  • @yazidu_tz
    @yazidu_tz Před 5 lety +1

    Nani anabisha 😂😂😂😂

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 Před 5 lety +4

    aiseee nakukubali sanaa

  • @brianadolfbabat1180
    @brianadolfbabat1180 Před 5 lety

    viva mzeee

  • @hasamlawatv9790
    @hasamlawatv9790 Před 5 lety

    Pasu pasu mzee baba

  • @mathiusthomas3074
    @mathiusthomas3074 Před 5 lety +3

    Unawaflahisha walioshiba kama wew ,

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Před 5 lety

    namkubali mzee

  • @theresiamahuma4576
    @theresiamahuma4576 Před 5 lety +1

    Sumu ya panya, mende kunguni viroboto

  • @ramadhaniabasi6274
    @ramadhaniabasi6274 Před 5 lety

    Hapa kazi tu

  • @mandiahozza5253
    @mandiahozza5253 Před 5 lety +1

    Mzee wa somaaa ,comoon 😂😂😂😂

  • @niyonkujack7229
    @niyonkujack7229 Před 5 lety

    mzee nampenda sana huwa ananimalizia stress zangu kabisa

  • @bengallettv6568
    @bengallettv6568 Před 5 lety +2

    Iko hivi kama tunapata risiti ya mia 200 kwenye vyoo vya mjini kwa nn wauza chai michicha na chakula wacwe na EFD MACHINE?? na ndo mkakati wa TANZANIA ya viwanda na kama umenielewa gonga like twende sambamba walipa kodi wenzangu

  • @amosisephania6467
    @amosisephania6467 Před 5 lety

    Hatar xana

  • @timezonlinemedia2665
    @timezonlinemedia2665 Před 5 lety

    Sema mgao

  • @barakamlemwa7454
    @barakamlemwa7454 Před 5 lety

    🖐

  • @boniphacekabuche3398
    @boniphacekabuche3398 Před 5 lety

    Mzee Huyu Hana ttzo kabisa

  • @jaliabahati39
    @jaliabahati39 Před 5 lety

    Huyo kajikuna

  • @bakarimakunja9952
    @bakarimakunja9952 Před 5 lety +1

    Hapo ndo mtaikubali ccm chukua chako mapema

  • @chrispinelwoga4182
    @chrispinelwoga4182 Před 5 lety

    hahahaaa daah unanipa raha wallah

  • @asnathdastan8856
    @asnathdastan8856 Před 5 lety

    Tuache masiala wamachinga baadhi yao wanapiga faida zaid ya 11500 mpaka 70000 sasa unakuta kwa wastan machinga anapiga pesa kuliko mwenye fremu ndo mana k.koo wenye fremu walikuwa wanalalamika hawauzi aseee mmachiga ela anayopata kwa mwezi ni ya million 1 mpaka 2

  • @barakamollel2109
    @barakamollel2109 Před 5 lety

    Hahahahaha....i like him

  • @vicentmanyilizu9277
    @vicentmanyilizu9277 Před 5 lety

    ahaa! wamachinga ni kujipanga

  • @thommwakasege5169
    @thommwakasege5169 Před 5 lety

    Je maajenti WA usafirishaji WA Abiria

  • @goodluckjonathan5564
    @goodluckjonathan5564 Před 5 lety

    Tabora mnafaidi sana

  • @levinajoachim5111
    @levinajoachim5111 Před 5 lety +2

    TRA ya Malawi wanakusanya kodi hadi kwa wauza mchicha!!

    • @rasmgz2367
      @rasmgz2367 Před 5 lety

      Levina utasukumwa ndani shiri yako..😂😂😂

    • @rasmgz2367
      @rasmgz2367 Před 5 lety

      shori yako levina

  • @nishadyhajil9629
    @nishadyhajil9629 Před 5 lety +2

    Haaaha kijiti kichwan tena jamn

  • @juliusmwankotwa6649
    @juliusmwankotwa6649 Před 5 lety

    Huyu Mzee siku akitumbuliwa watu tutasikitika sana!

  • @rajansharky3386
    @rajansharky3386 Před 5 lety +4

    Lupangooooo
    Jifanye unajikuna jifanye unasogea
    🤣🤣🤣ana gari inatembea kama jet yan taa yupo kaliua taa yupo igunga hahahaha Mtani unanifurahisha sana. Nchi imeshikwa na mwanaume😆😆😆😆😂😂😂

  • @ernestmununge348
    @ernestmununge348 Před 5 lety

    jifanye kama unakijiti kichwani hatariii!! sana

  • @jumakubobela7474
    @jumakubobela7474 Před 5 lety

    Daaah! Mmeamua, kuwatoaza Kodi hadi wauza mchicha!
    Kweli Mungu anawaona.

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 Před 5 lety

      Nenda kaulize kwa walioanzisha hii Kodi. Lengo ni nini? Mradi isiwe ya kumlemea mhusika. Mapato 5000 Kodi 100 au 200 huoni uwiano si was kulalamikia. Ni mazoea tu yanatusumbua.

  • @shekhekassim6402
    @shekhekassim6402 Před 5 lety

    Huyo ni masikini alipishwaje tena 20000

  • @muhammadibrahim4649
    @muhammadibrahim4649 Před 5 lety

    T.R.A imefika hadi malawi

  • @germinikimario5339
    @germinikimario5339 Před 5 lety

    anae bisha anyooshe kidole ajifanye anajikuna haaaaaa

  • @shebbywanammurun9612
    @shebbywanammurun9612 Před 5 lety

    Ebu sema mgaoo...😀

  • @musatbobius5472
    @musatbobius5472 Před 5 lety

    Umepewa jeti oye mwanri

  • @barakatsuhhay5099
    @barakatsuhhay5099 Před 5 lety

    hadi pesa za muza dagaaaaa mh soma hyoooooooo

  • @khamisshaban7492
    @khamisshaban7492 Před 5 lety +1

    daaah hakika hapa tumepata mkuu wa mkoa

  • @clarencesigfredo6256
    @clarencesigfredo6256 Před 5 lety

    Ngapi huko, injinia soma hiyoooooooooo

  • @happykipeya8516
    @happykipeya8516 Před 5 lety

    😀😀😀😀😀

  • @hamed_nassoro
    @hamed_nassoro Před 5 lety +2

    😂😂😂😂

  • @sayibaba8566
    @sayibaba8566 Před 5 lety

    hahahaaa

  • @ammaliqyu5892
    @ammaliqyu5892 Před 5 lety

    We thubutuu kujikunaa ahhhhhhh b

  • @user-bu7fy6ew5w
    @user-bu7fy6ew5w Před 5 lety

    😁😁😁

  • @godymashana1968
    @godymashana1968 Před 5 lety

    Yangu macho ila 2020 sifanyi makosa tena na tena

  • @pascalstaharabu4124
    @pascalstaharabu4124 Před 5 lety

    Tunamsarutu hahahahahaaa thubutu

  • @benmwasakujonga3575
    @benmwasakujonga3575 Před 5 lety

    TRA ya Malawi 😀😀😀😀 jikune uone TRA ya Kenya

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 Před 5 lety

    Kweli hii serkali ya wanyonge

  • @barakatsuhhay5099
    @barakatsuhhay5099 Před 5 lety

    Sasa hawa wanyonye mbn mnawachukulia pesa zao au vyuma vimebana na kwenu?

  • @mkudekindulu9624
    @mkudekindulu9624 Před 5 lety

    eti baba askofu chakupewa hahahahaaaa

  • @yasrisuleiman6388
    @yasrisuleiman6388 Před 5 lety

    Kiwango cha virungu

  • @tonnsimbasportsclub7168

    Unajua kuna kityu kinaitwa kujiongeza hyo maana yake nikwamba hata wew unae Uza mchicha utoe hela ndohyo unatoa. Kupitia kitambulisho icho

  • @wakandaictsolution8093

    Huyu mzee acha atufurahishe

  • @gracemasawe6994
    @gracemasawe6994 Před 5 lety

    Vyumba bado vipo😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @emmanuelasheri7037
    @emmanuelasheri7037 Před 5 lety

    Hawa wanao tembeza na kupanga vitu chini wanapiga hela tu mbona unakuta ana stock kubwa anatoa kidogo kodogo

  • @arijankhalifa4148
    @arijankhalifa4148 Před 5 lety

    Jaribu kujikuna hahahah

  • @abdulkillya2655
    @abdulkillya2655 Před 5 lety

    😂😂😂😂hebu sema mgao