BODABODA APATA AJALI YA KIMAUZAUZA - ABIRIA ALIYEMBEBA ATOWEKA AKIMBIA - ''NISAIDIENI - NADAIWA''...
Vložit
- čas přidán 3. 05. 2024
- BODABODA APATA AJALI YA KIMAUZAUZA - ABIRIA ALIYEMBEBA ATOWEKA AKIMBIA - ''NISAIDIENI - NADAIWA''...
Kijana Razack anayeishi kwa kumlea mama na wadogo zake kwa shughuli ya kuendesha bodaboda yupo hoi kitandani baada ya kupata ajali ambapo abiria aliyembeba alitoka kwenye ajali hiyo akiwa salama na kuondoka zake tukio lililowashangaza baadhi ya mashuhuda.
Hata Global Tv ilipozungumza na Razack alikiri kutofahamu alipoelekea abiria huyo baada ya kuzimia kwenye tukio la ajali hiyo ya kutisha.
Kufuatia hali hiyo kijana huyo anawaomba Wasamaria wema wakiwemo bodaboda wenzake popote pale walipo kumsaidia kwa hali na mali kwa ajili ya gharama za matibabu.
Razack amewaomba Wasamaria hao kumchangia chochote walichojaaliwa kupitia namba ya simu 0693-559649 jina la usajili Mwajuma Para.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Bora hata umasikin karibu la ugongwa nijarbu baya jamn sikia Kwa watu ukpita jarbu la maradhi makubwa unaweza ukaanza kukufuruu mungu awatie ngv jamn pole mama angu
Wakiwa kwenye hatua iyo wanatia huruma ila wakiwa kwenye uzima wao wanafujo balaa full matusi
Sio kweli maneno yako,wenye magar mnawazarau bodaboda sana ,pia wao wanatafuta rizki kama wengine,mungu anakuona
Uijui kesho yako km unacho mpe auna kaa kimy my brother Allah ndio mjuz wa kila kit
Hujafa hujaumbika 😢
Pole mwanangu nakuona km mwanangu laiti ingelikuwa na yy hayupo kitandani kwa ajali km iyo ningekusaidia mwanangu yani pole baba ALLAH atakujaalia utasimama😭
Ameen
Pole Sana
Pole sana
Duu kwa maisha ya dar haya pole sana mungu afungue mioyo yetu kila tulicho jariwa huyu dogo
Jamani
Pole san kak yangu wallah inaniuma san pole kak Allah akupiganie pia Allah atujaa tukuchangie
Mama huna ulemavu wowote unasema unategemea mwanao nakati mama ntilie wamejaa si ungetafuta hata kazi ya kuosha vyombo ujiwekee akiba.saa hili unalia ujinga na kuchuria mtoto kisa mguu.wanawake siku hizi wanachakarika au na wewe ni wale wakusogea na vivuli.hakuna anayeomba shida majaribu yapo juu ya wanadamu nikujikaza tu na kumwomba Mungu atunusuru..
Pole sana Allah akujalie afuen ya haraka
Pole sn kaka
Sawa, 😢
ALLAH MPE NJIA YA KUTOKA KWENYE HUU MTIHANI YAA RABBY AMIIN
Jamani. WATANZANIA SISI. Bungeni EBU TOWENI MALIPO KWA SISI WATU WA CHINI KUHUSU MALIPO YA HOSPITAL JAMANI AIBUUU PESA HAKUNA SERIKALI MNAFANYA NINI?????
Yani hatasijui maana ya selikali tupotupotu.tunaangaika kilakitu.ukigusakigumu nchinikwetu
Yani hata ukiumwa hospitalini kwenda unajiuliza mana pesa unakuta huna wala bima huna jamani tumshukuru Mungu Kwa Afya
Haina haja ya kusema baba Huna we mtu mzima! Kikubwa msaada kaka! Uzima ndiyo Kila kitu! Mungu akupe wepesi.
Baba pia anamsaadawake hataangekua masikini. Duapia inasaidia ya wazazi Allah amponye kwauwezowake
Mzazi ni mzazi ,bado ni kijana mdogo,omba lisikukute,toto baya kwako zuri kwa mama yake
Ameen
Mungu atakuvua utapona
Umaskini mbaya usikilizie tu kwa mwenzako
😢😢😢😢😢😢😢
Du mama Samia mkumbukee...
Mwandishi upo fild au mzoefu mbona sijamuelewa ?
Mmmmmhhh😊
Poleni SANA Jamani TUKO PAMOJA
Pole sn baba utapona mungu mkubwa
Basi kwenye ubora wake huyo pkpk inalia singel,tako moja na bega vimeiacha pikipik ndala kama inataka kudondoka iv
Pole Sana ndug utapona
Basi hatuna hospital y taifa et inamsaidia wa taifa gan? Maan kama ni taifa l tanzania mbon ndo tunaumbuk sasa watanzania wenyew, tungekuw n uwezo c tungekuw tunaenda mahospital y kulipia, ila mkion tunakuj muhimbil mjue hatuna jaman viongoz mtuone na sio kama hamjui
SASA watapata wapi??! Nyueee VIONGOZIIII??????? EBU FIKILIENI. TUNAMKUMBUKA BABU YETU NYERERE. TOWENI MALIPO YA HOSPITAL MNATUUWA
Waadishi saaigine huwa mnakosea. Hii habari wanaagalia dunia zima. Kuomba musaada sio Tanzania tu. Kuna ichi zetu majirani pia wanaagalia.
Nyinyi boda boda munamatatizo sana mukiitwa kwenye mahandamano ya chadema muna kataa kisa ccm leo ccm inakukataa naomba mwende kwa wale viongozi wa ccm wanao wakataza kushiriki mahandamano
Amesema anaye guswa hivyo ukiguswa unaweza kutoa hatupo Kwa ajili ya Vyama tumsaidie Tu
@@Carolina-sm5ztnimemshangaa Sanaa hovyo hili jitu linaleta siasa kwenye vitu vya serious
Kwa hiyo wakienda kwenye maandamano ndio wakipata shida chadema ndio watatoa msaada???!! chadema ipi !?? Labda ya India!?? Kama huna cha kuchangia kausha,usituletee siasa hapa
Tukiwaambia tuungane kupigania haki za umma bodaboda na viongozi wenu munakuwa kihereher e kurukejeli kwamba muko busy kutafuta hela Leo mnaturudia vip hao wenuevit wenu wako wapi hapo
Watangazaji mnakwama wapi mtangaza watanzania tu nawakati ata nchi nyengine tunasikiliza
Km mchangiaj changia Acha visa mbona weng 2 tup nje ya Tz na hatulalqmiki
@@user-df6ui9ro8s mm nimemkumbusha tu sina maana mbaya
Nyie boda boda amna adabu na arama za barabarani nabado
Km hujazaa. Mungu. Atakupa. Ni mitihani tuu
@@zulfahaji91nashangaa kama hataki kuchangia akae kimya
Mi niliigongwa na bodaboda aknbeba akaenda kunitelekeza hospitali wanakuaga wa Shenzi haoo
Kesi yakugongwa ndugu acha kabisa wenyewe madereva wanasema bora ufe kuliko ukiwa majeruhi ndy maana wanakimbia
Kesi yakugongwa ndugu acha kabisa wenyewe madereva wanasema bora ufe kuliko ukiwa majeruhi ndy maana wanakimbia
Sio bodaboda hata madereva wa gari wanakuacha kesi kubwa haswa ukiwa hai
Mpeleke kwa kiboko ya wachawi
Mama basi jistiri wewe ni muislam
Kwani yupo uchi hapo😏😏😏😏😏
@@maimunaulotu2075 Naam. kwa mujibu wa dini yetu ya kiislam yupo uchi