USIYOYAJUA KUHUSU NDIZI NA MIGOMBA
Vložit
- čas přidán 10. 06. 2020
- HAYA NDIO USIYOYAJUA JUU YA NDIZI ; Live kutoka katika mashamba darasa ya #AJEFARMS - KUPITIA VIDEO HII UTAELEWA MANENO KAMA MKUNGU,CHALE,CHANE nk
#ajefarms #automobile #mashambayanayotyembea #arushacity #masoko #kilimobiashara #kilimo #kilimoufugaji #viral #fyp #fypシ゚viral #farming #smartagriculture #travel #tourism #biashara #tours #ajira #kuku #tanzania #kenya #uganda #rwandatravel #burundi
Je Ngomba anazaaje Nila baba
Mgomba huzaliana kwa kutumia ua hilo hilo lenye sehemu ya kike na kiume na hivyo hujichavusha.
Jambo nipo kenya vipi nitaimaliza migomba
Hello Ndusya ; una maana gani hivyo?
Okay umesema kupitia majani utaweza kutambuw ni ipi water saker na ipi swad saker so nilitaka kujuw lamda ni majani gani huwa water saker na yapi huwa swad saker?
Hello , Karibu AJE-FARMS.
Ahsante kwa swali zuri.
Kuweza kujifunza zaidi jiunge bure na masomo yetu ya shamba darasa kupitia TELEGRAM kwa kubonyeza link hii:t.me/joinchat/PqKMBxmkx1vBE3cFsqBHMw
Kwa jinalipi mbona siwaoni huko teregram?