Watanzania bwana vitu kama ivi comment tatu ila watu wakichafua hali ya hewa comment laki 1 machawa wakizungumzia upupu coment elfu, tuna ujinga mwingi sana ndo mana nyerere alitwambia adui yetu n ujinga nimeamin
Asante sana kwa eliminate MUNGU akubariki sana aana, naomba kuuliza. Mkungu aina ya mzuzu, kile kishungi kinapokwisha kabisa chote ndo mkungu unakua umekomaa naweza kuukata au unaendelea kbakia kwenye shine lake mpaka mud gani?
Safi sana jembe halimtupi mkulima
Very nice maashaallah
Safii Baba, endelea kutufunza zaidi.
kazi nzuri sana Mwananchi hongereni nimejua sasa kupanda migomba
Miche ya migomba naipataje
Nashukuru sana kwa jali kazi yako haswa
shamba safii sana dah hadi raha
Watanzania bwana vitu kama ivi comment tatu ila watu wakichafua hali ya hewa comment laki 1 machawa wakizungumzia upupu coment elfu, tuna ujinga mwingi sana ndo mana nyerere alitwambia adui yetu n ujinga nimeamin
Ukweli unauma
watanzania wao nyimbo tu
Tunashabikia vitu ambavyo kiuchumi havina mchango wowote. Kweli TU wajinga maana tunashindwa kuchagua vipaombele.Hatari sana kuchezea muda🤔😭
Nimejifunza kitu mungu akubariki
Je hzo ndiz huwaga zinakubari kila maeneo nikimaanisha km mrima ambao unaasili ya mawe mawe
Mungu akupe nguvu kwa kutupa taaluma hii sahihi ya kilimo cha migomba
Asante sana kwa eliminate MUNGU akubariki sana aana, naomba kuuliza.
Mkungu aina ya mzuzu, kile kishungi kinapokwisha kabisa chote ndo mkungu unakua umekomaa naweza kuukata au unaendelea kbakia kwenye shine lake mpaka mud gani?
👍
Naomba ya mtalamu huyu
Asante mtaram
Dar Migomba inastawi?
mtaalam naomba weka namba nahitaji miche
Nipe dawa ya myauko wa ndizi mshare
ungojwa wa mnyauko unadawa?
Kuna dawa ya kuua minyoo ktk migomba?
@@isayaanthon7063 nipe dawa ya myauko wa ndizi mshare