Jinsi ya kufanya Kilimo cha Ndizi na kuepuka Minyoo na Magonjwa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 08. 2022
  • Ni kutoka Nanenane Mbeya 2022 ambapo tunakuletea mtaalamu wa kilimo akikueeleza namna bora ya kufanya kilimo cha Ndizi

Komentáře • 24

  • @baltazarybasingo5773
    @baltazarybasingo5773 Před 2 měsíci

    Safi sana jembe halimtupi mkulima

  • @rahmasuleiman8688
    @rahmasuleiman8688 Před 8 měsíci

    Very nice maashaallah

  • @GreatTractor
    @GreatTractor Před rokem

    Safii Baba, endelea kutufunza zaidi.

  • @ramadhanhassan8196
    @ramadhanhassan8196 Před 2 lety +1

    kazi nzuri sana Mwananchi hongereni nimejua sasa kupanda migomba

  • @johnmagoma6962
    @johnmagoma6962 Před 2 lety

    Nashukuru sana kwa jali kazi yako haswa

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Před rokem

    shamba safii sana dah hadi raha

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před 2 lety +5

    Watanzania bwana vitu kama ivi comment tatu ila watu wakichafua hali ya hewa comment laki 1 machawa wakizungumzia upupu coment elfu, tuna ujinga mwingi sana ndo mana nyerere alitwambia adui yetu n ujinga nimeamin

    • @elicktilia4430
      @elicktilia4430 Před rokem

      Ukweli unauma

    • @muhammedwakif6216
      @muhammedwakif6216 Před rokem

      watanzania wao nyimbo tu

    • @baltazarybasingo5773
      @baltazarybasingo5773 Před 2 měsíci

      Tunashabikia vitu ambavyo kiuchumi havina mchango wowote. Kweli TU wajinga maana tunashindwa kuchagua vipaombele.Hatari sana kuchezea muda🤔😭

  • @hafsanoman3952
    @hafsanoman3952 Před rokem

    Nimejifunza kitu mungu akubariki

  • @jacksonmtaswa2885
    @jacksonmtaswa2885 Před 3 měsíci

    Je hzo ndiz huwaga zinakubari kila maeneo nikimaanisha km mrima ambao unaasili ya mawe mawe

  • @rukiaissa5878
    @rukiaissa5878 Před rokem

    Mungu akupe nguvu kwa kutupa taaluma hii sahihi ya kilimo cha migomba

  • @tabithamchanga5286
    @tabithamchanga5286 Před 3 měsíci

    Asante sana kwa eliminate MUNGU akubariki sana aana, naomba kuuliza.
    Mkungu aina ya mzuzu, kile kishungi kinapokwisha kabisa chote ndo mkungu unakua umekomaa naweza kuukata au unaendelea kbakia kwenye shine lake mpaka mud gani?

  • @innocentmakala6542
    @innocentmakala6542 Před 11 měsíci

    👍

  • @pamellabosire3705
    @pamellabosire3705 Před 3 měsíci

    Naomba ya mtalamu huyu

  • @selemanisalimu8377
    @selemanisalimu8377 Před rokem

    Asante mtaram

  • @priscachale5646
    @priscachale5646 Před rokem +1

    Dar Migomba inastawi?

  • @PrestonKwizombe-qf1gc
    @PrestonKwizombe-qf1gc Před 10 měsíci

    mtaalam naomba weka namba nahitaji miche

  • @shangemollel5603
    @shangemollel5603 Před 11 měsíci

    Nipe dawa ya myauko wa ndizi mshare

  • @IssaBashir-pk2ks
    @IssaBashir-pk2ks Před rokem +1

    ungojwa wa mnyauko unadawa?