AJE -FARMS ; MASHAMBA YANAYOTEMBEA
AJE -FARMS ; MASHAMBA YANAYOTEMBEA
  • 610
  • 401 958
MAENEO YOTE MUHIMU KWENYE MAONESHO YA NANENANE - SIKU YA KWANZA
HAYA NDIO MATUKIO YOTE MUHIMU KATIKA MAENEO MBALIMBALI NDANI YA VIWANJA VIWANJA KWENYE MAONESHO YA NANENANE KANDA YA ZIWA #ajefarms #mashambayanayotyembea #smartagriculture #farming #kilimobiashara #masoko #tanzania #biashara #kenya #travel#smartagriculture #maonesho #exhibitions
zhlédnutí: 84

Video

KALENDA YA KILIMO CHA MPUNGA NA MAZAO YOTE YA BUSTANI
zhlédnutí 137Před 7 hodinami
KAMA HUJUI KALENDA YA KILIMO USILIME. WAKULIMA WENGI WAMEJIKUTA WAKIFANYA BETTING BADALA YA KULIMA . INAFAA KUZINGATIA KALENDA HII KWA KILIMO CHA MPUNGA NA MAZAO YA BUSTANI. #ajefarms #mashambayanayotyembea #farming #agriculture #smartagriculture #tanzaniacity
EPUKA HAYA MAMBO 5 ILI KUFAULU KTK KILIMO CHA NYANYA - WATU 10 KATI YA 100 NDIO HUPATA MAFANIKIO
zhlédnutí 132Před 7 hodinami
KATI YA WAKULIMA 100 KUMI TU NDIO HUPATA MAFANIKIO KATIKA KILIMO CHA NYANYA -WENGINE HUSHINDWA KWA MAGONJWA AU HUPIGWA KWENYE MASOKO WAKATI WENGINE WAKISHINDWA KUENDESHA MRADI KWA KUKOSA MTAJI N.K VIDEO HII NI KIFUNGUA MACHO KWA WAKULIMA WAZOEFU NA WANAOANZA KILIMO CHA NYANYA KWANI INAELEZEA MAMBO 5 YA KUEPUKA KTK KILIMO CHA NYANYA. UNAWEZA PIA KUAGIZA KITABU CHA KILIMO CHA NYANYA AMBACHO UTATU...
UFUGAJI WA BATA MZINGA - A - Z : KUANZIA YAI HADI NDEGE MWENYE UZITO WA KILO 25
zhlédnutí 140Před 9 hodinami
HAYA NDIO MAMBO MUHIMU SANA YA KUJUA KUHUSU BATA MZINGA KUANZIA YAI HADI NDEGE MKUBWA MWENYE UZITO WA KILO ZAIDI YA 25 ! UNAWEZA KUSHIRIKI KWENYE MAFUNZO YA SHAMBA DARASA MTANDAONI KWA NJIA YA WHATSAPP;TIKETI NI KUAGIZA KITABU CHA UFUGAJI TU. UTATUMIWA KITABU HIKI KWA NJIA YA WHATSAPP. WASILIANA NASI KWA WHATSAPP :0757 757 968 #ajefarms #farming #mashambayanayotyembea #agriculture #smartagricul...
WADUDU 9 PASUA KICHWA KTK KILIMO CHA NYANYA/BUSTANI - NAMNA YA KUWATAMBUA NA KUWATEKETEZA (PART 2)
zhlédnutí 96Před 12 hodinami
HII NDIO NAMNA YA KUWATAMBUA NA KUWATEKETEZA WADUDU 9 PASUA KICHWA KTK KILIMO CHA NYANYA NA MAZAO MENGINE YA BUSTANI KAMA HOHO, NGOGWE, KABICHI N.K UNAWEZA KUSHIRIKI KWENYE MAFUNZO YA SHAMBA DARASA MTANDAONI KWA KUAGIZA KITABU CHA MAZAO YA BUSTANI AMBACHO UTATUMIWA KWA WHATSAPP NA KUUNGANISHWA KWENYE GROUP YA WHATSAPP BURE. WASILIANA NASI KWA WHATSAPP 0757 757 968 AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBE...
WADUDU & MAGONJWA HATARI YA NYANYA- UKIWEZA KUDHIBITI WADUDU HAWA UMEFAULU ZAIDI YA 80% (PART 1)
zhlédnutí 86Před 14 hodinami
KATIKA MAKALA HII MAALUM UTAJIFUNZA NAMNA YA KUWATAMBUA WADUDU HATARI KATIKA SHAMBA LA NYANYA , MADHARA YAO NA JINSI YA KUWADHIBITI ...UKIFAULU KUWADHIBITI MRADI WAKO UTAKUWA UMEFAULU KWA ZAIDI YA 80 KWANI NDIO KILIO KIKUBWA CHA WAKULIMA. UNAWEZA KUSHIRIKI KWENYE MAFUNZO YA SHAMBA DARASA MTANDAONI WHATSAPP BURE KWA KUAGIZA KITABU CHA KILIMO CHA MAZAO YA BUSTANI/MBOGA. WASILIANA NASI KWA WHATSAP...
MAANDALIZI YA MICHE BORA YA NYANYA KWA MTAJI MDOGO -KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI MDOGO (PART 8)
zhlédnutí 75Před 21 hodinou
MAVUNO BORA HUANZA NA MBEGU BORA PAMOJA NA MICHE BORA. JE UNAWEZAJE KUANDAA MICHE BORA YA NYANYA UKIWA UNA MTAJI MDOGO ? UKITAZAMA KIPINDI UTAPATA MAJIBU YA MASWALI HAYA PAMOJA NA MENGINE... UNAWEZA KUSHIRIKI KWENYE MAFUNZO YA SHAMBA DARASA MTANDAONI KWA KUAGIZA KITABU CHA KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI MDOGO KWA NJIA YA WHATSAPP. Wasiliana nasi kwa WhatsApp:0757 757 968 #ajefarms #mashambayanayot...
MAANDALIZI YA SHAMBA LA NYANYA KWA MTAJI MDOGO - KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI MDOGO (PART 7)
zhlédnutí 223Před dnem
SHAMBA ZURI LA KULIMA NYANYA LINA SIFA GANI ? SHAMBA LIANDALIWE KWA NJIA GANI KAMA UNA MTAJI MDOGO? MAMBO GANI YA KUEPUKA WAKATI WA KUCHAGUA SHAMBA ? HAYA NI BAADHI TU YA MASWALI YATAKAYOJIBIWA KUPITIA VIDEO HII ILIYOANDALIWA WAKATI WA MAANDALIZI YA SHAMBA LA NYANYA KWA MTAJI MDOGO. UNAWEZA KUAGIZA KITABU CHA KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI MDOGO AMBACHO UTATUMIWA KWA WHATSAPP NA KUUNGANISHWA KWENY...
KILIMO CHA MIGOMBA - NAMMA BORA YA KUTAMBUA UKUBWA WA MIKUNGU YA NDIZI BILA KUTUMIA MZANI
zhlédnutí 67Před dnem
JE UTAJUAJE KUWA SHAMBA LA MIGOMBA LINAFANYA VIZURI ? UNATUMIA VIGEZO GANI ILI KUJUA KUWA MIGOMBA YAKO IMESTAWI VIZURI? VIDEO HII ITAJIBU MASWALI HAYA... #ajefarms #mashambayanayotyembea #smartagriculture #farming #travel
SOKO LA NYANYA LAPOROMOKA VIBAYA MNO MOROGORO / CHUKUA HATUA HIZI MAPEMA ..As TOMATO MARKET CRASHES
zhlédnutí 359Před 14 dny
CHANGAMOTO KUBWA YA KILIMO CHA NYANYA MIAKA YOTE IMEKUWA NI MASOKO YASIYOTABIRIKA. KWA SASA SOKO LIMEPOROMOKA MOROGORO - MUHIMU KUZINGATIA HAYA KABLA YA KULIMA
MBOGAMBOGA AMBAZO NI DAWA PIA / CHAKULA ALAFU NI DAWA !
zhlédnutí 81Před 14 dny
KILIMO CHA MBOGAMBOGA NI FURSA KUBWA HASA KWENYE MIJI MIKUBWA KWANI HUITUMIA MTAJI KIDOGO IKILINGANISHWA NA MAZAO MENGINE; MATUMIZI YA MBOGA YANAZIDI KUWA MAKUBWA KWANI JAMII IMETAMBUA UMUHIMU WA VIINI LISHE VILIVYO KWENYE MBOGA. KIPINDI HIKI KITAKUFUNDISHA AINA ZA MBOGAMBOGA NA FAIDA ZAKE KATIKA MWILI WA MWANADAMU #ajefarms #farming #cassava #arushacity #mashambayanayotyembea #birds #tanzania ...
KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI MDOGO-PART 5: PRUNING NA USIMAKAJI FITO KTK SHAMBA
zhlédnutí 169Před 14 dny
KILIMO CHA NYANYA KINAHITAJI NIDHAMU YA HALI YA JUU SANA KUANZIA UNAPOSIA MBEGU HADI KUVUNA NA KUYAFIKIA MASOKO BILA HIVYO UTAPOTEZA PESA. KUPITIA VIDEO HII UTAJIFUNZA NAMNA SAHIHI YA KUFANYA PRUNING NA KUSIMIKA FITO KATIKA SHAMBA LA NYANYA #AJEFARMS #MASHAMBAYANAYOTYEMBEA
NAFASI YA WANAWAKE MASHAMBANI KWETU - UPO TAYARI KWA MABADILIKO HAYA ?
zhlédnutí 46Před 21 dnem
UKITAKA KAZI IFANYIKE ILI VIZURI MPATIE MWANAUME NA UKITAKA IFANYIKE VIZURI ZAIDI MPATIE MWANAMKE.KATIKA KIPINDI HIKI UTAJIFUNZA NAFASI ZA WANAWAKE MASHAMBANI KWETU. #AJEFARMS #MASHAMBAYANAYOTYEMBEA
KONDOO WA MIUJIZA AIBUKA MANYARA - ANAISHI KAMA BINADAMU; ANAKUNYWA SUPU, KAHAWA, SODA NK !
zhlédnutí 80Před 21 dnem
KONDOO WA MIUJIZA AIBUKA MANYARA - ANAISHI KAMA BINADAMU; ANAKUNYWA SUPU, KAHAWA, SODA NK !
SAFARI YANGU YA KWANZA KWA NDEGE MWANZA TO KILIMANJARO / MY FIRST FLIGHT- FULL VIDEO
zhlédnutí 253Před 21 dnem
SAFARI YANGU YA KWANZA KWA NDEGE MWANZA TO KILIMANJARO / MY FIRST FLIGHT- FULL VIDEO
HII NDIO SUKARI ILIYOTUMIWA NA MABABU ZETU KABLA YA KUGUNDUA SUKARI YA KISASA
zhlédnutí 68Před 21 dnem
HII NDIO SUKARI ILIYOTUMIWA NA MABABU ZETU KABLA YA KUGUNDUA SUKARI YA KISASA
ARUSHA CITY - THE GENEVA OF AFRICA
zhlédnutí 22Před 21 dnem
ARUSHA CITY - THE GENEVA OF AFRICA
KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI MDOGO -PART 6 : HATUA ZOTE ZA USIAJI MBEGU YA NYANYA
zhlédnutí 297Před 21 dnem
KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI MDOGO -PART 6 : HATUA ZOTE ZA USIAJI MBEGU YA NYANYA
MWONEKANO WA SHAMBA LA NYANYA BAADA YA SIKU 60
zhlédnutí 38Před 28 dny
MWONEKANO WA SHAMBA LA NYANYA BAADA YA SIKU 60
BIASHARA YA KUNUNUA NA KUUZA KUKU / MNYORORO MZIMA WA THAMANI WA BIASHARA YA KUKU KIENYEJI (PART 1 )
zhlédnutí 725Před 28 dny
BIASHARA YA KUNUNUA NA KUUZA KUKU / MNYORORO MZIMA WA THAMANI WA BIASHARA YA KUKU KIENYEJI (PART 1 )
BIASHARA YA VIAZI ULAYA NA NDIZI - USIYOYAJUA
zhlédnutí 229Před 28 dny
BIASHARA YA VIAZI ULAYA NA NDIZI - USIYOYAJUA
KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI KIDOGO -PART 4 :UTUNZAJI WA SHAMBA KWA SIKU 60 ZA MWANZO
zhlédnutí 375Před 28 dny
KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI KIDOGO -PART 4 :UTUNZAJI WA SHAMBA KWA SIKU 60 ZA MWANZO
BIASHARA YA MACHUNGWA A - Z :HIZI NDIZO BIASHARA ZA MAMILIONI YA PESA KWENYE KILIMO
zhlédnutí 185Před měsícem
BIASHARA YA MACHUNGWA A - Z :HIZI NDIZO BIASHARA ZA MAMILIONI YA PESA KWENYE KILIMO
MASOKO YA NJE YA NYANYA HAPA TANZANIA A-Z
zhlédnutí 345Před měsícem
MASOKO YA NJE YA NYANYA HAPA TANZANIA A-Z
KILIMO CHA MIGOMBA -JINSI YA KUDHIBITI WADUDU HATARI/MIGOMBA HUANGUKA NA KUDUMAA KABISA
zhlédnutí 116Před měsícem
KILIMO CHA MIGOMBA -JINSI YA KUDHIBITI WADUDU HATARI/MIGOMBA HUANGUKA NA KUDUMAA KABISA
UKING'ATWA NA NYOKA TUMIA DAWA HIZI ILA GHARAMA ZAKE SASA !!
zhlédnutí 140Před měsícem
UKING'ATWA NA NYOKA TUMIA DAWA HIZI ILA GHARAMA ZAKE SASA !!
UKIKOSWA NA NYOKA UTAPATWA NA MWIBA/NYUMA YA PAZIA - WAKATI TUKIKAGUA MASHAMBA KWENYE MSITU MNENE
zhlédnutí 68Před měsícem
UKIKOSWA NA NYOKA UTAPATWA NA MWIBA/NYUMA YA PAZIA - WAKATI TUKIKAGUA MASHAMBA KWENYE MSITU MNENE
MGOMO WA WAFANYABIASHARA MWANZA - HALI ILIVYO MTAANI LEO - LIVE
zhlédnutí 57Před měsícem
MGOMO WA WAFANYABIASHARA MWANZA - HALI ILIVYO MTAANI LEO - LIVE
IJUE MISIMU YA KILIMO TANZANIA - MAENEO YANAYOPATA MVUA ZA UHAKIKA MARA 2 KWA MWAKA /ARDHI NZURI
zhlédnutí 218Před měsícem
IJUE MISIMU YA KILIMO TANZANIA - MAENEO YANAYOPATA MVUA ZA UHAKIKA MARA 2 KWA MWAKA /ARDHI NZURI
VIFARANGA WA BATA MZINGA WANAUZWA / WAHI HII OFA UANZE KUFUGA
zhlédnutí 59Před měsícem
VIFARANGA WA BATA MZINGA WANAUZWA / WAHI HII OFA UANZE KUFUGA

Komentáře

  • @godfreygodwine9148
    @godfreygodwine9148 Před 4 hodinami

    Napataje kuku huyo au mayai yake!? Mm niko Geita

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 4 hodinami

      Tunauza vifaranga kwa TZS 100,000 kwa kila mmoja na kwa wakubwa ni TZS 200,000 kwa kila mmoja . Tunaweza kukutumia Geita tokea Chato. Tafadhali WhatsApp:0757 757 968 AJE-FARMS MASHAMBA. Tafadhali SUBSCRIBE ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI.

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 Před 8 hodinami

    Bei Gani na wanapatikana wapi?

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 8 hodinami

      Bei ni TZS 200,000 kwa kila mmoja. Tunatuma popote, wasiliana nasi kwa WhatsApp 0757 757 968 AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA. Tafadhali SUBSCRIBE ili kuendelea kujifunza zaidi.

  • @TumainiPeter-dg3yn
    @TumainiPeter-dg3yn Před 2 dny

    Wapi naweza pata

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 2 dny

      Mwanza na Geita. Tafadhali tuwasiliane kwa WhatsApp 0757757968 . Hakikisha unaSUBSCRIBE na kubonyeza kengele ili kuendelea kujifunza zaidi.

  • @PESASungula
    @PESASungula Před 2 dny

    Kazi kazi tu

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865 Před 3 dny

    Nusu hema inatakiwa ipandwe Miche mingapi na Ina tumia jumla ya mifuko mingapi ya mborea?

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 3 dny

      Nusu ekari inapandwa miche 5000 na kiasi cha MBOLEA hutegemea hali ya shamba lako lina rutuba kiasi gani. Kwa ushauri zaidi WhatsApp 0757 757 968 ili kutumiwa muongozo wa KILIMO CHA NYANYA NA MAZAO YA BUSTANI. Hakikisha unaSUBSCRIBE na kubonyeza kengele ili kuendelea kujifunza zaidi.

  • @josephmuli4551
    @josephmuli4551 Před 6 dny

    Unaunza pesa gapi kifaranga ,pesa ya kenya?

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 6 dny

      KSh 7,300 @ kifaranga wa miezi 3. Tafadhali WhatsApp 0757 757 968 kwa maelezo zaidi. Usikose SUBSCRIBE ili kuendelea kujifunza zaidi.

  • @mwajumapezoo8106
    @mwajumapezoo8106 Před 6 dny

    Muarobaini ukowakisasa nawakienyeji upiutumike pia Alovela ipoyakienyeji na kisasa itumike ipi

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 6 dny

      Yote ni sawa,inaweza kutumika. SUBSCRIBE ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI. Unaweza kuagiza kitabu cha MAGONJWA SUGU YA KUKU NA TIBA ZAKE ZA ASILI kwa WhatsApp; ambacho utatumiwa kwa WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp BURE. Wasiliana nasi kwa WhatsApp:0757 757 968

  • @user-gt6te8js4b
    @user-gt6te8js4b Před 8 dny

    ❤❤

  • @PESASungula
    @PESASungula Před 8 dny

    Safi sana

  • @nooralwy1771
    @nooralwy1771 Před 9 dny

    Kitabu bei gani

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 8 dny

      Kitabu ni TZS 3,000 , ambacho utatumiwa kwa WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp ya KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI MDOGO. Tafadhali wasiliana nasi kwa WhatsApp:0757 757 968 AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA

  • @eshamohamed4458
    @eshamohamed4458 Před 11 dny

    Ni raha kama mihogo itakuwa ni mikubwa na yenye uzito😂

  • @NeemaKilambo
    @NeemaKilambo Před 11 dny

    Habari Mimi ninafuga kuku aina ya broiler wakifika wiki ya 4 wanaanza kulemaa miguu hawatembei nachakula nalisha Cha dukani sijajua shida nini na tiba yake

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 11 dny

      Hello, hongera sana kwa kuthubutu na karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA. Tafadhali SUBSCRIBE LIKE NA SHARE VIDEO HII. TAYARI TUMEKUJIBU KWA UFAFANUZI WA KINA KTK SWALI LAKO LILILOPITA. Kwa Mawasiliano zaidi WhatsApp: 0757 757 968

  • @NeemaKilambo
    @NeemaKilambo Před 11 dny

    Naomba kuuliza Mimi nafuga kuku broiler wakifika wiki ya 4 wanaanza kulemaa miguu hawatembei nachakula nalisha Cha dukani sijajua shida nini na tiba yake

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 11 dny

      Hongera sana kwa kuthubutu na karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA. Sababu kubwa yaweza kuwa LISHE na mazingira zaidi kuliko sababu nyingine yoyote. Kuna uwezekano kuwa pamoja na kuwalisha chakula cha dukani pengine uwiano wa virutubisho/madini katika chakula hicho ni mdogo ikilinganishwa na uhitaji wa kuku vifaranga wanaokua. Ni muhimu sana kuzingatia LISHE BORA na mazingira mazuri ya kuku kupata mwanga na sehemu ya kutosha ya mazoezi. Tunacho KITABU CHA MAGONJWA SUGU YA KUKU NA TIBA ZAKE ZA ASILI pamoja na KITABU CHA MAANDALIZI YA LISHE BORA YA KUKU. Wasiliana nasi kwa WhatsApp:0757 757 968. SUBSCRIBE ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI.

  • @JonhChengula
    @JonhChengula Před 12 dny

    Wana.unzwa.shingapii

  • @geofreymahonje956
    @geofreymahonje956 Před 13 dny

    Hongereni sana mimi mwenyewe ni mkulima wa nyanya

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 13 dny

      Karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA. Mradi wako upo wapi? Tafadhali SUBSCRIBE, LIKE NA SHARE VIDEO HII ILI TUWEZE KUWAFIKIA WATU WENGI ZAIDI. Unaweza pia kuagiza kitabu cha KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI MDOGO AMBACHO UTATUMIWA KWA WHATSAPP NA KUUNGANISHWA KWENYE GROUP YA WHATSAPP BURE. Wasiliana nasi kwa WhatsApp:0757 757 968

    • @geofreymahonje956
      @geofreymahonje956 Před 10 dny

      @@aje-farmsmashambayanayotem7392 nipo mkoa wa songwe mbozi nanyala

  • @mosesmsangi8555
    @mosesmsangi8555 Před 14 dny

    Bado mpo mnaendelea na hicho kilimo

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 14 dny

      Ndio, karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA . Tafadhali SUBSCRIBE, LIKE NA SHARE VIDEO HII ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI kadri tunavyo upload videos zaidi hapa hapa

  • @saumumunisi8013
    @saumumunisi8013 Před 14 dny

    Asante Santa nimejifunza kith kikubwa sana

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 14 dny

      Karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA. Tafadhali SUBSCRIBE, LIKE NA SHARE VIDEO HII ILI TUWEZE KUWAFIKIA WATU WENGI ZAIDI. UNAWEZA PIA KUAGIZA KITABU CHA MAGONJWA SUGU YA KUKU NA TIBA ZAKE ZA ASILI KWA NJIA YA WHATSAPP NA KUUNGANISHWA KWENYE GROUP YA WHATSAPP YA UFUGAJI. Kwa Maelezo zaidi WhatsApp:0757 757 968

  • @iddauisso3242
    @iddauisso3242 Před 14 dny

    Asante kea somo.

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 14 dny

      Karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA. TAFADHALI SUBSCRIBE, LIKE NA SHARE VIDEO HII ILI TUWEZE KUWAFIKIA WATU WENGI ZAIDI. Unaweza pia kuagiza kitabu cha MAGONJWA SUGU YA KUKU NA TIBA ZAKE ZA ASILI kwa njia ya WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp ya UFUGAJI bure. Wasiliana nasi kwa WhatsApp:0757 757 968

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 16 dny

    Tafuteni utaalamu wa uganda. Zike nyanya nzrcsana na zinastahimikua

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 16 dny

      Ahsante kwa ushauri,tutazidi kuibua teknolojia mpya kila kukicha. Tafadhali SUBSCRIBE,LIKE & SHARE VIDEO HII ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 16 dny

    Uganda wana nyanya nzr sana

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 16 dny

      Endelea kufuatilia vipindi vyetu hapa, hakikisha unaSUBSCRIBE. Tutawafikia wakulima na wafugaji maeneo mengine kama huko Uganda, Zambia na kwingineko.

  • @mirajiramadhani3318
    @mirajiramadhani3318 Před 16 dny

    Naomba muweke namba ya simu

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 16 dny

      Tafadhali WhatsApp:0757 757 968 Hakikisha unaSUBSCRIBE na kubonyeza kengele ili kuendelea kujifunza zaidi. Karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA.

  • @minazi-beachbungalows-zanzibar

    Nawezaje kujiunga kwenye group?

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 16 dny

      Ili kujiunga kwenye group ticket ni KITABU CHA KILIMO CHA NYANYA ambacho utatumiwa kwa WhatsApp baada ya kukilipia TZS 3,000 kwa M-PESA LIPA NAMBA 5762448 AJE-FARMS CO LTD. KARIBU. Kwa Mawasiliano zaidi WhatsApp:0757 757 968.

  • @godlovemalekela17
    @godlovemalekela17 Před 18 dny

    So clear

  • @PeninahNjeri-qj6ir
    @PeninahNjeri-qj6ir Před 18 dny

    kazi nzuri hii nashukuru

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 18 dny

      Karibu sana AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA. LIKE NA SUBSCRIBE ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI. Unaweza pia kuagiza kitabu cha MAGONJWA SUGU YA KUKU NA TIBA ZAKE ZA ASILI ambacho utatumiwa kwa WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp ya UFUGAJI.

  • @EmilianaKaika
    @EmilianaKaika Před 22 dny

    Hongera nafanyaje nifunze hadi mwisho na kitabu nakipataje?

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 22 dny

      Karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA. Tuma ujumbe kwa WhatsApp 0757 757 968 ili kutumiwa kitabu cha KILIMO CHA NYANYA kwa WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp ya KILIMO CHA NYANYA.

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před 22 dny

    Me naomba kuliza kuhusu zao la mpungua. Hekar moja inakadiriwa kupata roba ngapi.. Ikiwa mpunga haujapata hitilaf yoyote

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 22 dny

      Kwa uchache katika ekari 1 utapata gunia 20 , unaweza kuvuna hadi gunia 30 na zaidi. Tunaweza kukutumia KITABU CHA KILIMO CHA MPUNGA kwa WhatsApp 0757 757 968. Tafadhali SUBSCRIBE,LIKE NA SHARE VIDEO HII ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 22 dny

      @@aje-farmsmashambayanayotem7392 sawa nahitaje hicho kitabu ni free or. kiasi gan

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 22 dny

      @@aje-farmsmashambayanayotem7392 gharam ya hicho kitabu bei gani

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 22 dny

      Gharama ya kitabu ni TZS 3,000 ambayo unalipia kwa M-PESA LIPA NAMBA:5762448 AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA

  • @Fredlongan
    @Fredlongan Před 24 dny

    Hili ni lile shamba la chato? 🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 24 dny

      Ndio ni shamba lilelile la CHATO katika mwendelezo wa vipindi vyetu kutoka shambani. Ahsante kwa kufuatilia vipindi vyetu.Tafadhali SUBSCRIBE LIKE NA SHARE VIDEO HII ILI TUWEZE KUWAFIKIA WATU WENGI ZAIDI. Tunavyo pia VITABU VYA KILIMO CHA NYANYA ambavyo utatumiwa kwa WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp ya KILIMO CHA NYANYA. Karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA

    • @Fredlongan
      @Fredlongan Před 22 dny

      @@aje-farmsmashambayanayotem7392kuhus vitabu au kitabu nawezaje kuvipata na ni kwa garama gani? Asante

  • @juliusjohn1592
    @juliusjohn1592 Před 25 dny

    Upo daktari? Siku nyingi hatuonani. Hongera kwa kazi nzuri

  • @kephasnyauchi4118
    @kephasnyauchi4118 Před 26 dny

    Massimo bora Kabila haya, big up!

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 26 dny

      Karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA na tafadhali SUBSCRIBE like na share video hii ili tuweze kuwafikia watu wengi zaidi. Tunavyo pia vitabu vya KILIMO NA UFUGAJI.Tafadhali WhatsApp:0757 757 968 ili kujipatia KITABU CHA MAGONJWA SUGU YA KUKU NA TIBA ZAKE ZA ASILI.

  • @user-bz4xn4jy7s
    @user-bz4xn4jy7s Před 26 dny

    Mko vzr

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 Před 27 dny

    mkoa gan huo

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 27 dny

      Hapa ni Mwambongo Mombasa- Kenya. Tafadhali Subscribe like na share video hii ili tuweze kuwafikia watu wengi zaidi

  • @BlessngGkivuyo
    @BlessngGkivuyo Před 28 dny

    Naomba namba zako naitaji ao kuchi kiwezekana

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 28 dny

      Karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA. Tafadhali SUBSCRIBE LIKE NA SHARE VIDEO HII ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI. Kupata kuku KUCHI wasiliana nasi kwa WhatsApp:0757 757 968

  • @BlessngGkivuyo
    @BlessngGkivuyo Před 28 dny

    Habari kaka

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad5755 Před 28 dny

    Masoko yaboreshwe

  • @barakakimaro2740
    @barakakimaro2740 Před 29 dny

    Bei

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 28 dny

      Karibu tukuunganishe moja kwa moja na wauzaji wa hawa SUNGURA. WhatsApp:0757 757 968. TAFADHALI SUBSCRIBE LIKE NA SHARE VIDEO HII ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI.

  • @Gerrald-jc3ye
    @Gerrald-jc3ye Před 29 dny

    Kigoma. Inakubari. Migomba. Au. Hamuna

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 29 dny

      Ndio , japokuwa tunashauri kutembelea shamba lako na ikibidi kupima afya ya udongo. Tafadhali SUBSCRIBE LIKE NA SHARE VIDEO HII ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI.

  • @Gerrald-jc3ye
    @Gerrald-jc3ye Před 29 dny

    Je,kigoma. Migomba. Inakubar

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 29 dny

      Kigoma kwa ujumla inafaa kwa KILIMO CHA MIGOMBA. Japokuwa tunashauri kutembelea shamba na ikibidi kupima afya ya udongo kabla ya kuwekeza kibiashara katika kilimo cha MIGOMBA au zao lolote. TAFADHALI SUBSCRIBE ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI. Unaweza kuagiza mwongozo wa KILIMO CHA MIGOMBA kwa WhatsApp:0757 757 968

  • @josephvisenti7416
    @josephvisenti7416 Před 29 dny

    Waliowahi pigwa mitaji na masoko ya nje ya nchi nyosheni mikono🖕🖕🖕

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před 29 dny

      Yaweza kuwa ni risk kwenda moja kwa moja kwenye masoko ya nje ; ikiwa bado ni MCHANGA tunakushauri UANZE kwa kupitia madalali au kampuni zenye kununua mazao kwako na kuuza nje taratibu JIFUNZE kwanza MASOKO haya yanafanyaje kazi kisha Anza kufanya lobbying taratibu kwa MTAJI KIDOGO. Biashara yoyote ni tafiti,risk taking na kuthubutu. Wao wameweza nawe utashindwaje? SUBSCRIBE ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI.

  • @DadrahmanGulam
    @DadrahmanGulam Před měsícem

    Imwagie majivu ya moto wa mkaa ndio dawa ya hao wadudu

  • @auni_tv
    @auni_tv Před měsícem

    Kitabu cha elimu ya nyanya bei gani?

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před měsícem

      Kitabu cha KILIMO CHA NYANYA ni TZS 3,000 ambacho utatumiwa kwa WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp BURE. Tafadhali wasiliana nasi kwa WhatsApp:0757 757 968. SUBSCRIBE ili kuendelea kujifunza zaidi.

  • @mwakahaji8943
    @mwakahaji8943 Před měsícem

    Masomo mazuri 😊

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před měsícem

      Karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA na tafadhali SUBSCRIBE ili kuendelea kujifunza zaidi. Unaweza pia kuagiza kitabu cha MAGONJWA YA KUKU NA TIBA ZAKE ZA ASILI na kutumiwa kwa WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp BURE. WhatsApp:0757 757 968

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o Před měsícem

    Naomba no ya huyo mzee

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před měsícem

      Tafadhali WhatsApp:0757757968 . SUBSCRIBE LIKE NA SHARE VIDEO HII ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI. Karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA

  • @Innocente1994
    @Innocente1994 Před měsícem

    Hii miche ya ikikua ikatoa machipukizi, hayo machipukizi yanaweza kupandwa tena au mpaka kununua miche mingine tena?

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před měsícem

      Machipukizi yakikua yanavunwa kwa utaratibu maalum si kila chipukizi linafaa kupandwa ; kuna baadhi ni water suckers. Ni muhimu sana kuzingatia hatua za kudhibiti magonjwa ya miche inayozalishwa kwa machipukizi kwani huleta hasara kubwa kwa wakulima magonjwa yasipothibitiwa katika hatua za uzalishaji wa miche. Machipukizi sharti yazalishwe kwenye shamba mama (mother garden) yenye kufuata kanuni na taratibu zote za kukinga na kudhibiti magonjwa shambani. Tafadhali SUSBCRIBE hapa kuendelea kujifunza zaidi juu ya kilimo na ufugaji. Unaweza pia kuagiza kitabu cha KILIMO CHA MIGOMBA kwa WhatsApp:0757757968 AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA

  • @samirhumud7408
    @samirhumud7408 Před měsícem

    Good

  • @johnsonhenry6491
    @johnsonhenry6491 Před měsícem

    Namba zenu za whatsaap ni zipi nahitaji mbegu

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před měsícem

      Karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA. Tafadhali SUBSCRIBE,like na share video hii ili uendelee kujifunza zaidi. Kwa mawasiliano zaidi tafadhali WhatsApp:0757 757 968 .

  • @hafsamtipula1534
    @hafsamtipula1534 Před měsícem

    Nyanya yangu ilo na Maura niweke mbolea gan

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před měsícem

      Tumia UREA. SUBSCRIBE, like na share video hii ili uendelee kujifunza zaidi. Kwa maelezo zaidi tafadhali WhatsApp:0757 757 968.

  • @charlesgadi6702
    @charlesgadi6702 Před měsícem

    Bei ya mche mmoja ni bei gani? na je ni aina gani ndizi unazo mimi nahitaji mzuzu au mkono wa tembo na ndizi kisukari zile za kizamani

    • @aje-farmsmashambayanayotem7392
      @aje-farmsmashambayanayotem7392 Před měsícem

      Bei ni TZS 2,500 @ kwa kila aina ya ndizi. Gharama ya usafirishaji ni juu yako. Tutakupatia kitabu cha KILIMO CHA MIGOMBA ambacho utatumiwa kwa WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp ya KILIMO CHA MIGOMBA ili uweze kuendelea kujifunza zaidi. Tafadhali SUSBCRIBE,like na share video hii ili tuweze kuwafikia watu wengi zaidi. Kwa mawasiliano zaidi tafadhali WhatsApp:0757 757 968 AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA.

  • @jjjhhb4300
    @jjjhhb4300 Před měsícem

    Unapayikana wapi