MASOKO YA NJE YA NYANYA HAPA TANZANIA A-Z
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- MASOKO YA NYANYA BADO YAMEKUWA SI YA UHAKIKA SABABU MOJAWAPO IKIWA NI UKOSEFU WA TAARIFA ZA UZALISHAJI NA MAHITAJI YA NYANYA KWA UHAKIKA NCHINI. VIDEO HII ITAKUPA TAARIFA ZOTE ZA MNYORORO WA MASOKO YA NYANYA TANZANIA -YA NDANI NA YA NJE. #ajefarms #ajefarms #smartagriculture #mashambayanayotyembea #masoko #biashara #kilimobiashara #tanzania #nyanya #tomatoes #kenya #rwandatravel #burundi #congo #zambia #viwanda#soko
#MASHAMBAYANAYOTYEMBEA
Waliowahi pigwa mitaji na masoko ya nje ya nchi nyosheni mikono🖕🖕🖕
Yaweza kuwa ni risk kwenda moja kwa moja kwenye masoko ya nje ; ikiwa bado ni MCHANGA tunakushauri UANZE kwa kupitia madalali au kampuni zenye kununua mazao kwako na kuuza nje taratibu JIFUNZE kwanza MASOKO haya yanafanyaje kazi kisha Anza kufanya lobbying taratibu kwa MTAJI KIDOGO. Biashara yoyote ni tafiti,risk taking na kuthubutu. Wao wameweza nawe utashindwaje?
SUBSCRIBE ILI KUENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI.