TUNDU LISSU acharuka UCHAGUZI WA TLS Dodoma, asema rais wanaemtaka....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 51

  • @MediatrixNgabona
    @MediatrixNgabona Před měsícem

    Eti hoja ya kipumbavu kabisa, 😂😂😂waliosema kazi kwao

  • @user-hb3ip9it2j
    @user-hb3ip9it2j Před měsícem +2

    Mheshimiwa mutuletee mwambukusi ✌🏾 sana sasa

  • @WinfredCharles-ij2ib
    @WinfredCharles-ij2ib Před měsícem +1

    Mwaee watanzania wengi hatuna erimu ya sheria ngeumana tunaonewa mawakili huna hela hawana msaada

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Před měsícem +1

    Mh.Tundulissu anaongea ukweli, hakika mawakili wa Tanzania wamelala sana na wanatumika na serikali kama toilet papers kukandamiza wananchi kwa sheria na kuacha mambo ya msingi ya kutetea Nchi.Mwabukusi ndiyo chaguo letu kwa sasa.

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka Před měsícem +1

    Ninataka kuwa thibitishia watanzania na hata wapiga kura wenyewe ambao ni Mawakili Bwana amenihakikishia kuwa Mwabukusi ndiye mchaguliwa na ndiye mshindi ktk uchsguzi huo hivyo baada ya uchsguzi Baada ya kutangazwa kwake mnaweza kunipiga simu niwasmbie kwanini Mungu alinihskikishia kuwa Mwabukusi ndiye atakayekuws raisi wa TLS

  • @aristidisamba1573
    @aristidisamba1573 Před měsícem +1

    Kwa kweli nafurahia na kujifunza sana kupitia kauli za Mh.Lissu zimejaa madini kweli kweli.

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před měsícem +1

    Baba uko juu pokes mauwa yako baba🎉

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +1

    Well said Mweshimiwa Lissu

  • @manyorifrancis8348
    @manyorifrancis8348 Před měsícem +1

    Active - dormant
    Activist - dormantiet

  • @RaphaelyKadovela
    @RaphaelyKadovela Před měsícem

    Kikubwa tunaomba muwatoe watu walioonewa magereza

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 Před měsícem

    Hamuwezi kukwepa siasa ni Kila sehemu Hadi familia,taasisi kama dini campuni isipokuwa majeshi ambayo wanao uwongozi wa commanding yaani amri kutoka juu Hadi chini

  • @ChristinaKilianNyoni-xb7lk
    @ChristinaKilianNyoni-xb7lk Před měsícem +3

    Mwandishi amekula za uso 😂😂😂😂

  • @nestor384
    @nestor384 Před měsícem

    The general public wants Mwabukusi Boniface

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Před měsícem

    EXACTLY ❤

  • @manafrica6968
    @manafrica6968 Před měsícem

    MUNGU awatangulie wanasheria wetu haswa wale wanao tenda haki katika kutetea uma ...na kuitendea haki taaluma zao

  • @stevenkajubili
    @stevenkajubili Před měsícem

    Upo vizuri

  • @MohamedKaboza
    @MohamedKaboza Před měsícem

    Pongezi sana

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp Před měsícem

    Akili kubwa

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 Před měsícem

    💯🙏✔️

  • @saidinyoni2463
    @saidinyoni2463 Před měsícem +1

    Wewe lisu mashamba Sana unaga siku ikapite bila kumtaja magufuli pumbavu Sana wewe ulikua una tete wizi Tanzania

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Před měsícem +1

      Mpumbavu ni mtu yule anaetaka watu wote wawaze na kunena kama yerevan.

    • @FilbertMsongela-xt9tq
      @FilbertMsongela-xt9tq Před měsícem

      Anayataja matendo ya magfuli mheshimiwa Wala uskasilike kama magufuli angekufa bila kutenda jambo jema au baya czani kama Kuna mtu angemtaja.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před měsícem

      Mshamba wewe ambaye hujaenda shule. Tulia jifunze daraja la Lisu huyo siyo2 chawa na hanunuliwi

  • @amenya-bl5md
    @amenya-bl5md Před měsícem

    ,asante lisu

  • @user-hj8sc7jv5m
    @user-hj8sc7jv5m Před měsícem

    Chaguzi za haki na kweli mfano ni huu

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Před měsícem

    hatupo kiasa hapa tunaitaji mwabugusi afatilie Sheria na mikataba mibovu ambayo hipo sasa hvi

    • @mangobase
      @mangobase Před měsícem

      @@emmanuelkanyela275 nae atapita Tanzania itabaki kuwa ileile..ili Tanzania ibadilike nilazima watanzania nao wabadilike otherwise tutaendelea kumtegemea mwambukusi hamjui nae anamapungufu yake time will tell..mabadiliko yaanze nasisisi wenyewe tunao shabikia mtandaoni

  • @omarmussa5130
    @omarmussa5130 Před měsícem +2

    Bwana Lisu huko Chadema uchaguzi wenu ndani ya chama unafanywa kama TLS ?

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před měsícem

      Sasa huyu chawa Omar Mussa mambo ya kumuuliza Lissu uchaguzi ndani ya chama chake yanakusika nini na MADA iliyopo ya uchaguzi wa TLS?
      Kwani kuna vyama vingapi? Leo Lissu yuko hapa kama wakili na si vinginevyo, kwani hata ukileta masuala ya chama hukumuona Lissu akikemea aina yoyote ya rushwa uchaguzi wa ndani CDM? unakurupuka kichawa bila tafiti, no research no right to speech

  • @saivellybrutally2994
    @saivellybrutally2994 Před měsícem

    Sawa

  • @LamsonMalenga
    @LamsonMalenga Před měsícem

    Gud lissu

  • @omarmussa5130
    @omarmussa5130 Před měsícem

    Bwana mjuaji

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei Před měsícem

    Najaribu kuwaza, ukimchukua Samia Vs lissu afu tukafanya debate kwa kuwahoji maswali magumu unapata picha gan nn kitatokea

  • @AlsonMoses
    @AlsonMoses Před měsícem

    Tunakukubar babaa

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in Před měsícem

    Tunataka mnyaki hyo mwanukuuuuuu

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před měsícem

    We unaemtukana lisu pumbavu nawewe kama vizuri toaukoma wako mtandao I hujitambui unaemtukana lisu una niini logs wee

  • @mangobase
    @mangobase Před měsícem

    Mnakiharubu chama cha mawakili na siasa huku fanya lolote ulipo kuwa Raisi wa tls.. Maneno mengi.... 😅

    • @cletkwai4228
      @cletkwai4228 Před měsícem

      Wewe unaishi Tanzania? Tundu alikuwa Raisi wa TLS mwaka gani na alipigwa Risasi mwaka gani?

    • @user-lt1nr4tk9r
      @user-lt1nr4tk9r Před měsícem

      Aja ujinga wakat n raise mangap yalimsbu nyie ndio wkimbiz mwfos kuish nchin

    • @mangobase
      @mangobase Před měsícem

      @@user-lt1nr4tk9r hata kuandika shida nawewe ndo walewale

    • @felixboniphace
      @felixboniphace Před měsícem +1

      Mbona Lisu Alisha wai kua Rais wa tls wew upo Dunia ya ngapi em Toka kwenye huo usingizi wa pono

    • @alfredcharles8029
      @alfredcharles8029 Před měsícem

      Mjinga huku hujui alivyohujumiwa hata siku ya uchaguzi ilifanywa mipango kumchelewesha Airport ili asihudhirie lakini mawakili walimchagua bila kuwepo na baade akafika hatua za mwisho,Bado tu baada ya hapo visa vya kumhujumu vikaanza...INA WEWE NI MKIMBIZI HUJUI HILO??

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 Před měsícem

    Lisu anaongea vizuri tatizo lake ni kufadhiliwa na mabeberu. Alitaka mabehewa ya makenikia wazungu wayachukue bure bure na kuitishia nchi kushitakiwa na hao mabeberu wake kama nchi itazuia hayo mabehewa ya makenikia.
    Kashawishi mabeberu mara nyingi wazikamate ndege zetu.
    Ni ovyo ovyo tu.
    Ni hivyo ndivyo anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli katunga hadi sheria za kulinda rasilimali za Watanzania.