🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2024
  • 🔴#Live: TUNDU LISSU AJILIPUA VIBAYA AKIWA MPWAPWA - AZUNGUMZA MAMBO MAZITO - RUSHWA CHADEMA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 87

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +4

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @godlovekimaro7167
    @godlovekimaro7167 Před měsícem +9

    Zamani nilivyokuwa darasa la nne nilikuwa najua Zanzibar ni miongoni mwa mikoa ya Tanzania😂😂😂

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Před 15 dny

    Mungu akutunze baba usiogope kutisha kwao Mungu yuko upande wako.

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp Před měsícem +7

    Akuna Kiongozi Wa Ccm Anae Weza Kumjibu Tundu Lisu Kwahoja Ila Watakao Ropoka niwengi

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 Před měsícem +2

    Lisu ni darasa tosha kabisa .Asante

  • @allenmassangwa3438
    @allenmassangwa3438 Před měsícem +1

    Hongera kamanda mungu akutie nguvu kwa kutetea wananchi

  • @kelvinathuman8545
    @kelvinathuman8545 Před 29 dny +1

    Tindulissu ni mwamba kabisaa daah hadi nimeliaa Mungu akutunzee baba

  • @ElishadaiSam-rq3hl
    @ElishadaiSam-rq3hl Před měsícem +5

    Mheshimiwa sana, uko timamu mno. Hiyo nafasi inakufaa,

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 Před měsícem +4

    Mmeyataka!!! Ccm.

  • @RingsonMwabulanga
    @RingsonMwabulanga Před 25 dny

    Daa! Mpinzani wa kwel mwamba wew ni mwamba

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Před 26 dny

    Mungu akubariki mr Lisu Mungu amekuponya ili uisaidie nchi hii kupata elimu unayoitoa watanzania hatuna maarifa ndio maana ni kilio kila kona maccm yanacheka tu wanahalalisha uongo big up Mr Lisu.

  • @packisapaulmakwembe8176
    @packisapaulmakwembe8176 Před měsícem +2

    Umetisha sana

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm Před měsícem +8

    Usipo mwelewa Mh Huyu kajipime akili milembe auko sawa Wewe sio tundu lissu Mungu anamtumia kutuokoa wala mihogo Sisi wa tanganyika

  • @pdwanakaza2411
    @pdwanakaza2411 Před měsícem +1

    Nakukubali sna lisu

  • @shd12m55
    @shd12m55 Před měsícem +2

    Daah kuuumbee Tanganyika tumepigwa😳😳😳😳

  • @EliaHiluka-uz3ty
    @EliaHiluka-uz3ty Před měsícem +2

    Hongera sanaaaaaa

  • @farajimmari1523
    @farajimmari1523 Před měsícem +1

    ZAsante kwa kutuelimisha

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Před 29 dny +1

    Hotuba nzito imejaa ukweli utafikiri unasikiliza mahubir iseeeh.Lissu kamanda kweli kweli

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 Před měsícem +3

    Na leo nembo ya Taifa siku hizi haionekani kwenye kit cha Rais au katika meza ya kutoa hotuba ya Rais , bibi na bwana hawaonekani kwenye nembo hiyo ya Taifa.

  • @danielkavugha189
    @danielkavugha189 Před 29 dny +1

    Wewe ni Mwalimu. Asiyekuelewa jua tu amefundishwa ujinga Hadi amekuwa mjinga.

  • @bashiruwise
    @bashiruwise Před 29 dny

    Ndio maana walijaribu kumpiga risasi ikashindikana ama kweli Mungu kashampa kipawa hiki anakifanya vizuri, barikiwa Mh. Lissu

  • @aminieljohn5475
    @aminieljohn5475 Před měsícem +3

    Mheshimiwa jirani yangu mzee kinana hebu mjibu huyu bwana ukweli...usimleble mbaguzi...mwambie ubaguzi wake uko wapi...sema ukweli....ukweli utakuweka huru...Hoja za Lissu ni progressive...

  • @goodshoo4060
    @goodshoo4060 Před měsícem +2

    Tupo mpaka kieleweke

  • @christinenyagiro6662

    Kwani Zanzibar inaipenda Tanganyika mbona ninyi ndiyo mlianza kuhamisha kila kitu? Labda mnapenda kiunafiki kupora ardhi yetu kwa kujipenyeza kwenye ardhi ya Tanganyika. Na huyo Nyerere ndiyo atatuletea matatizo makubwa na yeye hatakuwepo.

  • @godsonmosi8428
    @godsonmosi8428 Před 25 dny

    Huyu mwamba ni darasa kubwa sana

  • @user-uv3ns8zj4m
    @user-uv3ns8zj4m Před 27 dny

    MUNGU AKUBARIKI LISU

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 Před 28 dny

    Mimi sijawahi acha kuwapigia chadema kura hata kama najua wanaibiwaga kura

  • @irenekitomary7271
    @irenekitomary7271 Před měsícem +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @paulmabena5684
    @paulmabena5684 Před měsícem +1

    Shida kidogo mkuu sera ya chama chetu inahitaji kuongelewa acha hadithiiii Lisuuu, sheria unauja sawa

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před měsícem +1

      Jifunze elimu hiyo anayokupa Lisu wala hulipii pesa ccm hawawezi kukuelimisha kama hivyo.

  • @aminieljohn5475
    @aminieljohn5475 Před měsícem +1

    Muungano wetu ni Hollow trinity!!..hollow!!......

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Před 26 dny

    Mwandishi acha uchawa Lisu sio kajilipua Lisu katoa elimu ya ubaguzi,madini na kikokotoo kilichopandikizwa na maccm

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před měsícem +1

    Hiyo la kuhamishwa. Je, wameuza bandari kweli? Mbona tangu kwenye SERIKALI zote bandari zilikua zinaendeshwa na makampuni kutoka inje? Sidhani ameuz bandari kwa upande wangu au mbuga za wanyama. Kuhamishwa watu masai na watu wengine hiyo sidhani kuna kosa kama wamepewa pakuishi. Kwakua hata hapa Marekani ikiwa SERIKALI inahitaji eneo husika ambayo haimiliki wawekezaji wanafidia na kuchukua maeneo na watu kwenda kununua au kukodi baada ya kufidiwa

  • @user-vh9wt8zh4n
    @user-vh9wt8zh4n Před 26 dny

    Kisu kimeingia kwenye mfupa

  • @christinenyagiro6662

    Wandishi ndiyo machawa wakubwa. Kwanza huwa hawaongei kuhusu matatizo ya CCM hata wanaccm wakisema matusi kwa wanainchi huwa hawawezi kuziandika sasa hao ni waandishi. Ni wachawa tu wa CCM.

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před měsícem +1

    Lisu kuhusu Muungano upo sahihi bhana asilimia Mia moja na Wazanzibari wanakusapoti asilimia Mia moja ila hayo mengine ni yako mwenyewe

  • @AMOUTOPARTS
    @AMOUTOPARTS Před měsícem +1

    CCM daima ni propaganda kwa kila jambo yaani siku Hadi siku

  • @kenanmwabamba
    @kenanmwabamba Před 29 dny

    Hoja zote ulizo ongea zinaeleweka sana. Na hawawezi jibu maana wametufanya mambumbumbu wananchi.😮

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 Před 29 dny

    Je angeshinda uraisi Salim Mwalimu angekua nani? Na je angeuvunja Muungano?? Au kwa vile kaukosa uraisi ndio anajisika vibaya??

  • @ImamFarid-we9pl
    @ImamFarid-we9pl Před 29 dny

    Huyu ni mbbaguzi 😂😂

  • @eliasjimmy1821
    @eliasjimmy1821 Před 26 dny

    Huu Muungano uvujike tu

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před měsícem

    Tanzania kweli Rais ana madaraka makubwa sana. Hasa kwenye uteuzi. Ni kama yeye ndo anakaa anateua nchi nzima na kutengua. Ambao wanataka kupata nafasi wazishindanie kutokana na qualifications zao. Ili tuanze kuona namna watu wanarogana. Kwenye uchaguzi....hata kenya ambapo Chadema wanasifia mbona chaguzi wanasema kua SERIKALI imeiba. Kwahio hata Marekani ambapo rais hawachagui Rais isipokua watu 538 ambao ndo wanamchagua Rais na wakwanza kupata kula 270 ndo automatically anatangazwa kua Rais. Tunawasifia kila siku lakini hata uchaguzi wa kwao mbona una kelele? Kwahio hata aje Mungu kutufanyisha uchaguzi na ushenzi wetu tutaishia kupinga matokeo. Mfano hata kwenye makanisa pangekua panafanyika uchaguzi wakuwateua wachungaji, utadhani pangekua na maneno ya kua wamepakwa mafuta na kutudanganya kua mungu ndo amewateua wakati Mungu tunajua kua hateui watu baada ya watu kua na akili zao

  • @visionstudios6804
    @visionstudios6804 Před měsícem

    Kwan mama Abdul ni Nani?

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 Před měsícem +1

    Hao unaongea nao usidhani ni wajinga. Kwani wao hawaoni maendeleo yaliyofanyika?

  • @christinenyagiro6662

    Hapa siyo kuvunja muungano bali kuweka muungano sawa. Kwanini kuwa na muungano wa upande mmoja? Kwa sababu Mzee Warioba alipokuwa anaelezea kuhusu Zanzibar alipokuwa anaelezea kuhusu muungano alisema Zanzibar wamehamisha kila sheria iliyokuwa kwa ajili ya muungano wamehamishia Zanzibar. Zanzibar ni Inchi kamili ina waziri wake wana serikali yao sasa kuna muungano gani. Mtanganyika huwezi kushika hata ujumbe wa nyumba kumi. Sasa Tanganyika iliungana na Inchi gani? Sasa kwa nini tusikatae? Tundu Lissu Zanzibar inatunyonya tu tuna wabunge 80 wanakula pesa za bure. Muungano uko wapi? Tunaachia watoto wetu mzigo tu. Na kwa vile hawaelewi watawafanya watumwa wakati hatupo! Waelimishe hawa watu ambayo wanadhani kuna muungano.

  • @christinenyagiro6662

    Na huyu mzanzibari kwa nini auze mali ya Tanganyika? Kwa nini kwa muda mfupi ambavyo aliingia kwa sababu ya KATIBA aweze kumaliza awamu ya 5 ya Magufuli kwa nini akabadilisha kuwa awamu ya 6? Alifanya hivyo ili apate kujipenyeza kugombea uraisi kwenye awamu iliyokuwa inaanza 2025. Mungu mshughulikie kwa sababu wewe Mungu unapenda haki hupendi unafiki wa hawa CCM. Watoto toeni uongo wa CCM msije mkawa watumwa wa warabu tena.

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 Před měsícem

    Kwanza mshahara wa Rais ni kiasi gani kwa mwezi naomba tufahamishwe wananchi maana sie ndo waajiri wake.

    • @sambigaTZA
      @sambigaTZA Před 28 dny

      Sasa unaanzaje kuajiri mtu bila kupanga na kujua mshahara wake ?? Tatizo limeanzia kwako 😅😅😅

    • @user-lp4fi7bx9q
      @user-lp4fi7bx9q Před 27 dny

      😂😂😂😂😂

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Před měsícem

    Chadema hawaipendi Zanzibar na wananchi wake na ndio maana hata wazanzibar ktk chama chao ni mmoja tu..

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk Před 29 dny

    Unastahili kufungwa unapotosha watu umekimbiya kodi zawatoto wako siyo kweli kakimbiya kodi ubelijiji kazi kweli kweli

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w Před měsícem

    Sasa na Sumaye na lowasa na wengine wengi walienda chadema na rushwa? Huyu mzee mbona sikuelewi vizuri

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 Před měsícem +1

    Mbaguzi mkubwa wewe. Tuache wanawake .

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Před měsícem

    Ongea sera za chama chako acha kuimba taarab

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 Před měsícem +3

      Utakuwa chawa wewe

    • @geraldgedi4657
      @geraldgedi4657 Před měsícem +2

      Kichaa peke yake ndo anaweza kutoa maoni ya hovyo namna hiyo.

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 Před měsícem +3

      Hòngera sana lisu namim nimejua nin mana ya mungano nilikuwa naishi tu kula na kunya

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před měsícem +2

      Ukimsikiliza huyu Lisu utajifunza mengi ambayo hujawahi kuyasikia kutoka kwa viongozi wote wa CCM mchukie Lisu lakini wengi wanaendelea kujifunza kupitia yeye kwa sababu ni mkweli.

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 Před měsícem

    Kichaa kabisa

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 Před měsícem

    Huyu akapimwe akili.sera wapi.kulalama tu

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před měsícem +1

    WAPINZANI badala ya kuongelea sera zao WANANCHI WANATAKA MAJI safi na ajira kukuwa kwa UCHUMI na Afya kwa WANANCHI badala yake WANAZUNGUMZIA Raisi katoka wapi wakati UK inaongozwa na muhindi lakini watu wanaangalia leadership na experience 😢😢😢😢😢😢

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 Před měsícem +4

      Maji safi yapo?miaka 60 maji madawa yapo hospital?unataka waongelee nini wewe chawa? Jitambue kidogo basi

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před měsícem

      @@mbwanahasan2971 WEWE PINGA WENZAKO WANAGAWANA RUZUKU HALAFU WEWE HELA YA BANDO NI SHIDA

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 Před měsícem +3

      Akili ya mpumbavu hakuna cha kujifunza zaidi ya utahira

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před měsícem

      @@erickmsigala138 AKILI KILA MTU ANA NYWELE MIMI SIFATI MKUMBO LAKINI WAPINZANI BADO SANA HATA MDUDE AKISIMAMA CCM CHADEMA HAWATOBOI SABABU WANARUKARUKA BILA SERA MPAKA MATUKIO YAJE NDIO WANABWEKA 🤪🤪🤪🤪🤪

    • @nicholauskilosa5336
      @nicholauskilosa5336 Před měsícem +2

      Hawawezi kuzungumzia maji na afya kwasababu hawakusanyi kodi,wapinzani duniani kote kazi yao ni kuikosoa serikali iliyopo madarakani.

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před měsícem +1

    Chizi

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 Před měsícem

      Chizi mama Yako

    • @Ba63828
      @Ba63828 Před měsícem

      @@mbwanahasan2971 mashoga nyie pamoja na walokuzaa pumbavu yobo

    • @user-uq5vm2ge4q
      @user-uq5vm2ge4q Před měsícem

      Mshenzi ww

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 Před měsícem

      @@Ba63828 umetaja ushoga wewe inaelekea ndio shoga hakuna anaetaka nyoro lako hilo bwabwa wewe

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 Před měsícem

      @@Ba63828 choko wewe unaonekana tu

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Před 26 dny

    Mwandishi acha uchawa Lisu sio kajilipua Lisu katoa elimu ya ubaguzi,madini na kikokotoo kilichopandikizwa na maccm