🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • baada ya Dr shekh sharif Firdaus kufanya operation ya kukmata majini na kunyoa wachawi ,Leo hii Dr sheikhh sharif amnyoa mchawi ‪@sheikhfirdaus6491‬ ‪@mwamposalive4775‬ ‪@pastordominickibokoyawacha9415‬ ‪@MzeewaupakoTz‬

Komentáře • 11

  • @user-fd5pb1dt4j
    @user-fd5pb1dt4j Před 13 dny

    Mungu akulinde na hasdi

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 Před 19 dny

    amiina yarab tuondolee hiz shari za ulimweng

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y Před 19 dny

    ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY BROTHER SHEIKH SHARIFU FROM TZ MY DUA ALWAYS WITH YOU U DOING GOOD JOB U WILL GET REWARD FROM OUR LOVELY ALLAH INSHALLAH IN JANNAT. I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA. REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 UK ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-fi4qy9se4r
    @user-fi4qy9se4r Před 19 dny

    Ameen nasi tupone

  • @AllySaid-k1s
    @AllySaid-k1s Před 18 dny

    Wakati wa mungu ndiyo wakati sahihi mwenyezi mungu akujaliye mri mrefu kwani binadamu wengi wamekuwa watu

  • @jmo1162
    @jmo1162 Před 19 dny +1

    Mbona saut hakuna

  • @user-tt4yv9zl7i
    @user-tt4yv9zl7i Před 19 dny

    Allah akupe maisha marefu

  • @wamiujizacholo7413
    @wamiujizacholo7413 Před 18 dny

    Ustaz unaona ukafunga chuo kwa ajili ya kuwasomesha watu tiba, maana siku izi wapigaji wa kuwatupia watu masheitwani wamekua wengi sana,

  • @user-mf7mt9zq6c
    @user-mf7mt9zq6c Před 19 dny

    Malela hiyo!!acha wapate Dua walau patachangamka

  • @ShafiiSoud
    @ShafiiSoud Před 18 dny

    nataman uje kwetu😂😂

  • @hadijahamis2965
    @hadijahamis2965 Před 19 dny +1

    Wapi hiyo?