DR SULLE AFUNGUKA || HUU NDIO UKWELI WA PETE YA NABII SULLEYMAN KATIKA KUYAONGOZA MAJINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 05. 2024

Komentáře • 81

  • @mpagazeheramadhan4407
    @mpagazeheramadhan4407 Před 29 dny +2

    Jazakallah sheh wambiye wenye
    Hawajafahamu

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před měsícem +2

    Hakuna ushahidi wa hizo fimbo za nabii Shuaib
    Na sisi leo hatufati sheria za manabii walio tangulia bali sisi ni kufuata sheria za nabii Muhamad tu

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 Před měsícem +2

    Dr sule anamaarifa mengi sana ndio maana anajua vitu vingi sana mashaallaa. Na kawaida mtu anayejua vitu vingi hupingwa na watu wasio jifunza na kujua anavyovijua mwenzao. Vijana tusomeni gogo huwezi kupata kila kitu.

  • @AbuujureyjKhaniy
    @AbuujureyjKhaniy Před měsícem

    Hi tv sas nayo inaenda kupotea ci miaka mingu mungu hafichi mnafiki ushirikin wawaz kuishi vitu na kuvitegemea

  • @robertgeofrey4118
    @robertgeofrey4118 Před měsícem

    Yohana 14
    6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před měsícem +1

    Umechenganya baina ya kisa cha nabii Shuab na Saleh juu ya zamu za unywaji maji baina ya watu na wanyam

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před měsícem +1

    Uzushi Nani kasema Pete ilikuwa na herufi saba?
    Kwanza suala la Pete ya Suleiaman ni uzushi hakuna ushahidi huo wa Pete ya Sulaian

  • @AbbubakarHamad-nu1ug
    @AbbubakarHamad-nu1ug Před měsícem +1

    Shekh naomba kuuliza uchawi nin kilugha na kisheria

  • @lenoxabel3618
    @lenoxabel3618 Před 10 dny

    Sheikh unastori sana yani Hadi raha

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před měsícem +1

    Huyu mshirikina kabisa
    Je mtume alifanya dua au tiba za kuandika andika hizo herufi?

  • @DadeDade-vu9ve
    @DadeDade-vu9ve Před 6 dny

    Takbir

  • @HakizimanaJeandieu-dy7cx
    @HakizimanaJeandieu-dy7cx Před měsícem

    Shukran shekh

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf Před měsícem +1

    Mashallah Alhadulilahi hiyo ni elimu mashallah kubwa Allahu akuzidishie

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 Před měsícem +6

    Me dr sule nakuelewa na hao wengi miongoni km ww wanajua sema wao wanatka kuficha hya mambo ili watu wasije wakapondokea huko kiujinga pc na elimu wakaungia kwenye shirki lkn kw wale wasomi hya mambo ypo na unaweza kufanya pasi na kumshirikisha allah kw maana vitu vyote vimedhalilishwa kw mwanaadamu tunatakiwa tuvitumie kw haqi pac na dhulma,kw anaekupinga eidha hajui na km anajua hajakuelewa na km kakuelewa ni ujeuri tu apinge ili ajulikane.watu wasone na kla mtu abwebwee ktk fani yake ahakikishe tu acvuke mipaka ya allah.

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 Před měsícem

      Wapi Aya kwa Quran au Hadithi za mtume unaruhusiwa? Usomi unayoongelea ni nje ya Quran na hadith. A true muslim only follows what's in Quran wa Sunnah.

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před měsícem

      @@nubianqueen6700 unaruhusiwa kufanya Nini?cjakuekewa

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před měsícem

      Wewe ni zero brain 🧠 katika uislamu.

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před měsícem

      @@mohdkhatib223 ww uliye active brain,kusoma na kuelewa hujishughulishi kz yko ni kusikiliza kw sheikh wko alfu wapinga PC na kusoma unabkia na ubishi,usisome kila kitu Ila soma sna na utajua mengi acha ubishi na kejeli pasi na elimu

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 Před měsícem

      @@taurehassan7399 kushirikiana na majini kwa njia ya "halal"?

  • @user-wo9zf6oo4j
    @user-wo9zf6oo4j Před měsícem

    Jazakallahu khayra

  • @AthumaniRajabu-pu7ch
    @AthumaniRajabu-pu7ch Před 27 dny

    Ww unaweza kutengeneza

  • @IssaMraja-kr3qi
    @IssaMraja-kr3qi Před měsícem

    Doctor Sule yuko sawa jamani,hawa mashekhe wanaomwita mshirikina ni wivu tu unaowasumbua

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před měsícem

    Mashallah dokta sule nimekuelewa sana, achana na wambea wambea wasiokua na taaluma hakuna wanachokijua elimu ni bahari kubwa sana

  • @abuuzakariyalibumba6303
    @abuuzakariyalibumba6303 Před měsícem +2

    Sharia za waliotangulia hazituhusu LABDA ziendane na Sharia zetu

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před měsícem +1

      Ww km elimu Yako ni ya kusikiliza kw masheikh hujapekuwa vitabu vya kusoma usiropoke,tulia au nenda kaulize kw hao unaowaskiliza

  • @dulleyjuma842
    @dulleyjuma842 Před měsícem +1

    Hakuwa na petee mzee. Wapi wameandika alikuwa na peteee au alihitaji kuwa na pete kuwaendesha majini???

  • @omaryrajab7371
    @omaryrajab7371 Před 22 dny

    She upo sahihi ao wanawazuoni wengine awasemi khaq

  • @theophilusmogaka7701
    @theophilusmogaka7701 Před měsícem

    Waislam na uchawi jamani njooni kwa yesu mkapate kuokolewa

  • @myself4128
    @myself4128 Před měsícem

    Hadithi za Uongo Na ukweli alizokuja nazo Muhammad😂😂😂😂 Eti pete ya sulleiman,

  • @MukulasiKapela
    @MukulasiKapela Před měsícem +2

    Akuna kma sule mashehe wengine wanaona wivu au km anajuwa bc atakiwezake wajuwe

    • @user-yh5fu5lo9r
      @user-yh5fu5lo9r Před měsícem

      Leteni dalili kua Mitume Muhammad alifuga majini Kuna watu wachache wataingia
      (Sisi ni umma Bora yaani ummati MUHAMMAD vipi nyie hamuelewi? Wajinga nyie makufar na mushirk )
      Hao Manabii wange kuwepo zama hizi wasingekua na njia nyingine isopokuwa kumfuata Mitume MUHAMMAD koo fahamuni kuwa hizo fimbo,Pete,nguvu za mejeshi, na utajiri wange usalimsha apa kwenye ubora uliotimia)

  • @user-rq3vu1zy6c
    @user-rq3vu1zy6c Před měsícem

    sasa we mtume unazingua sule izo rizki zunakusumbua

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf Před měsícem

    Unasema kweli lakini wanaojuwa hawataki wasiojuwa wasijuwe.

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r Před měsícem

    Uchawi wa majine uko kwa waislamu.Hii hamuwezi kataa

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia254 Před měsícem

    Hana ishu huyu. Mshirikina tu sheikh gani anatumia majini au pete

  • @xenioribra3765
    @xenioribra3765 Před měsícem

    Mungu ampe maisha maref huyu jamaaa.....thamani yake tunaijua wachache...

    • @user-yh5fu5lo9r
      @user-yh5fu5lo9r Před měsícem

      Una muombea kafiri ane mzulia Mungu uongo na mtume wake. huyu labda ni jini la ummati SULEYMAN kwa Nini asipate dalili kwe Hadith sahihi anakimbili Manabii,
      HAO NINYUMAT ZILIZOPITA WALA HATUTO HUSISHWA KWENYE MÀSUALA YAO,
      Pumbavi nyie mnae danganya wasikilizaji kasomeni kwa akili ya dini yenu nakhera yenu mtafaidika kuliko kupakia mambo ya wenzenu.

    • @aishathabit3732
      @aishathabit3732 Před měsícem

      Hili tapeli kabisa
      Na dini halija soma
      Hili tapeli na shirikina
      Itakuwa kwa sasa hana namna ya kutapeli kupitia michango ya waislam sasa ameamua kutangaza uchawi wazi

    • @aishathabit3732
      @aishathabit3732 Před měsícem

      Visa vya nabii Sulaiman vyote vya uongo
      Mtume hawezi kupoteza unabi wake na ukashikwa na shetani

    • @aishathabit3732
      @aishathabit3732 Před měsícem

      Yani kwa mujibu wa Sule unabii unachezewa
      Hili jinga kweli
      Unabii ni wahyi na sio Pete
      Kwahiyo kwa visa hivi nabii alipokonywa unabii wake kwa siku 40
      Sulle kasome dini acha ujinga

    • @aishathabit3732
      @aishathabit3732 Před měsícem

      Angalia upumbavu wa sule eti mke wa nabii hawezi kuchezewa lakini unabii unachezewa na majini
      Sule mwislamu kweli?

  • @user-wo9zf6oo4j
    @user-wo9zf6oo4j Před měsícem

    Tafadhali nijaliye mwanafunzi wako

  • @user-wo9zf6oo4j
    @user-wo9zf6oo4j Před měsícem

    Ila mimi ni mrundi

  • @user-wo9zf6oo4j
    @user-wo9zf6oo4j Před měsícem

    Nafaidka kwa faida unazo towa

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před měsícem +2

    Na nyinyi Masjid Mtoro msitie aibu, achanani nae huyo mshirikina. Masjid Mtoro ni msikiti mkubwa na wenye historia lakini post zenu ni aibu katika uislamu.

    • @abuhsanono4392
      @abuhsanono4392 Před měsícem

      Achana nachuki soma sule kafafanunu vizuri alakini unaonekana umeja propaganda sio elimu kwa mwenye akili timamu kaelewa

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 Před měsícem

      Shukran! My thoughts exactly. Nilikua nawafuatilia lakini hii imenifanya niwe na mashaka.

    • @salimofficial1263
      @salimofficial1263 Před měsícem

      Huu ni Ukosefu wa ilmu sahihi. Tafsiri ya Quran ya hayo matukio ipo tofauti na maelezo ya Sule.

    • @ibnhamduun3173
      @ibnhamduun3173 Před měsícem

      Masjid mtoro na Sule ndio hao hao usishangae wao kupost utopolo

    • @abdallahmoussa614
      @abdallahmoussa614 Před měsícem

      Tahadharini na shirki alafu ziko aina nyingi ya shirki . alafu unakuta mtu anaunga mko eti huyu Sule yuko sahihi ? Dni ya Uislam inakwenda na dalili hayo mambo ya Pete za mvuto mara majini hayafayi kuyatumiya kwakutaka mali n.k...

  • @nyawendacyprian8174
    @nyawendacyprian8174 Před měsícem

    Binafsi namuunga mkono huyu mwamba,anaelimu kubwa

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf Před měsícem

    Unasema kweli lakini wanaojuwa hawataki wengine wajuwe kwasababu wataerevyuka na hilo ndilo hawalitaki.lakini wao wajuwa unayoyasema lakini hawataki wajuwe.

  • @LukmanMohd-kn3iq
    @LukmanMohd-kn3iq Před měsícem

    Sisi ni ummati Muhammad si ummati nabii suleiman.tupe dalili ktk qur'aan au hadithi kuwa yafaa kuwa na pete ya mvuto au kufuga majini. Tupe dalili? Ww ni mshirikina. Na mwenye kupoteza watu.

    • @yusufmod1437
      @yusufmod1437 Před měsícem

      Haifai shekhe wangu kukosoa mtu mwenye ilimu kukuzidi so heshima n jambo la muhimu

    • @user-fs7bs6gy4z
      @user-fs7bs6gy4z Před měsícem

      Usimtukane mtu kw uchache wa elimu na upeo mfupi wa tafakuri yko uliyonayo ndg yng , kila kitu Mungu alichokileta dujiani kina nguvu ndani yke na kina matumiz yke ispokua matumiz yko ndio yanayoweza kubatilisha haki, elimu hii ya giza ilishushwa kule kusini mwa iraq babel na kuwafundisha waliotaka kujua lkn wakausia namna ya matumizi lkn mashetani/waovu ndio wakakufuru kw kwa kuwafundisha watu uchawi / kw hiyo maana yke waliitumia hii elimu vibaya .

    • @sulaimanunda
      @sulaimanunda Před měsícem

      hakuna cha eti watu waache matusi hapa... ukweli ni kuwa huyu sule ni mshirikina kwa kile alicho kidhihirisha yy mwenyewe bila kusingiziwa... lau asingekuwa anawalazimisha watu wachukulie kuwa hiki anacho kifunza kuwa ni ukweli basi watu wasingemfuatilia

    • @user-fs7bs6gy4z
      @user-fs7bs6gy4z Před měsícem

      Ck zote hua kuna waumini af kuna vichaa wa imani sasa km utakua ktk kundi la vichaa wa imani bac sawa endelea

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongo Před měsícem

    Sule ni KUHANI.....MSHIRIKINA......ACHA UONGO WEWE HATA KAMA UNA NJAAA HATUTUKANI UISLAM....PIA NI USHAMBA ....NA UJAHIL

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před měsícem

    Fattaahu sio kufungua
    Ni mwenye kufungua
    Hujui kiarabu
    Pia kutamka unakosea baina ya ح na ه
    We tapeli tu

  • @hajimdudu
    @hajimdudu Před měsícem

    Na Mimi nataka Pete ya bahati

    • @salimofficial1263
      @salimofficial1263 Před měsícem

      Hakuna pete ya bahati. Hio ni shirki. Bahati mbaya au mzuri inatoka kwa Allah, hio ni nguzo ya sita , "wabil qadari khairihi wa sharrihi minallahi Taala"
      Mwenye kutegemea pete kwa bahati ame ingia katika mlango wa shirki .

    • @salimofficial1263
      @salimofficial1263 Před měsícem

      Kuamini Qadar ni Nguzo ya sita katika nguzo za iman ambazo Rasul sallallahu alaih wasallam ametubainishia

    • @robertgeofrey4118
      @robertgeofrey4118 Před měsícem

      Mkuu Bahati ipo Kwa Mungu pekee
      Siyo Pete Yohana 14
      6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.