Yaani Kwa upande wangu Simba Bado hawajaonesha userious wowote Ani team unategemea kuweka preseason July mwanzon ila mpaka sasa team Iko busy kuaga wachezaj 😂😂 inasajili Kwa vigugumizi vingi kocha hajulikan Nan yan ipoipo tu na mbwembwe za social media 😢😢msmu ujao tujipange 😂😂🙌
Mie nawaunga viongozi wangu,wacha tuanze upya
Mchambuzi bora kwangu , ila unakaa mda mrefu bila kuposti
Simba Bado Sana
Du simba mbovu sana 😊
❤❤❤
Hakuna jipya
Simba ileeeee inalud wenye wivu wajunjonge
unatak uchambuliwe wew madeni fc
@soccerdata tengeneza video kama mgunda anafit simba
Yaani Kwa upande wangu Simba Bado hawajaonesha userious wowote Ani team unategemea kuweka preseason July mwanzon ila mpaka sasa team Iko busy kuaga wachezaj 😂😂 inasajili Kwa vigugumizi vingi kocha hajulikan Nan yan ipoipo tu na mbwembwe za social media 😢😢msmu ujao tujipange 😂😂🙌
Simba tutaua watu
We huchoki kuwachambua hawa migogoro fc😂
😂nimekua namba Moja leo
Hongera
Nimekuwa namba 2 leo
Safi.... Sema Uje uchambuzi wa Nani?
Uchzp@@SoccerData.Uchambuzi wa kikosi kipya Cha yanga
Huo ni ushamba wako mwandishi,wewe chako nini?hao unao wasema walizaliwa Simba? Walisajiliwa kama hao wanosajiliwa.
Wewe Chubi kumbe...!
Mie nawaunga viongozi wangu,wacha tuanze upya