Jamaa ana inspire sana huyu.. Mungu akutangulia katika Kila hatua utakayo ipiga Mjukuu you're the real definition of inspiration.. Keep that positive energy alive... Especially Kwa upande Rap game ya bongo umeifanyia makubwa sana bro thank you so much bro 🙏🙏
Daaah nakumbuka 2008 nilikua naskiliza redio kwa jirani kila akirudi anafunguli radio namskia dula paka planet bongo basi nilijitahidi paka nikanunu Redio na TV na nikikua nalipwa mahali elfu themanini tu kwa mwezi lakin sasa tumesogea daaah legend Dula
Dulla yani apo na dj mafuvu daaah nilikua sikosagi show kati ya ma dj hatariiiiiii tz fuvu SALUTE ZOTEEEEE saa ya ngumu nyeusi mafuv mafuvu baby JAMBAZI SHAROBAROOOOO maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hata mimi ningeondoka EAFM na radio 1 maana sio kwa chenga zao za masafa kila siku lazima uweke vizuri antenna au earphones ili uisikie 😂😂😂 Kaka dulla nenda clouds au wasafi radio zao hazina chenga za sauti.
My favorite Radio Presenter East Africa.....mpeni maua yake....kwa kweli kaupiga MWINGI.💐💐💐
Jamaa ana inspire sana huyu.. Mungu akutangulia katika Kila hatua utakayo ipiga Mjukuu you're the real definition of inspiration.. Keep that positive energy alive... Especially Kwa upande Rap game ya bongo umeifanyia makubwa sana bro thank you so much bro 🙏🙏
Daaah nakumbuka 2008 nilikua naskiliza redio kwa jirani kila akirudi anafunguli radio namskia dula paka planet bongo basi nilijitahidi paka nikanunu Redio na TV na nikikua nalipwa mahali elfu themanini tu kwa mwezi lakin sasa tumesogea daaah legend Dula
Kaka pamoja sana nilitisha sana wew na jr
Dula nakumbuka ulivyolia siku ile ulivyochaguliwa. Hata mimi nililia sana. Hongera sana Dula
Salute to Dullar planet, am from Kampala Uganda but am a fan of E A radio right from salam j up to today
Wasafi
Nakubali sana kazi zako 🙏🙏
Anaenda wap
ULIFANYA KAZI KUBWA JOMBAAA... NISTOR NZURI NIKIANZA KUKUELEZEA NAZANI MASAA10 HAYATOSHI BINAFSI NAKUFATILIA NA UNAJUA KAZI.
Salama jabil alimuibua.
Dulla yani apo na dj mafuvu daaah nilikua sikosagi show kati ya ma dj hatariiiiiii tz fuvu SALUTE ZOTEEEEE saa ya ngumu nyeusi mafuv mafuvu baby JAMBAZI SHAROBAROOOOO maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Aseeeeh imeniuma sanaaaah ww kuondoka hapooo kaka ila no way out
Kwa wenzetu walioendelea unatakiwa uanzishe ya kwako sasa! umeshapata Exspireance ya kutosha sasa uanche kuajiriwa tena!
Nakumbuka 2014 ulimuhoji rayvan akiwa tip top alikua anarasta Kama afande sele
Vpind vya vjana Sasa vitapoteza ubora. Alianza Sam misago WA enews hakuna kinachoendelea kule.
Congratulations My brother tutakumis SANA 🙏
Jamaa hodar sana huyu
Mrudie ALLAH ' we huendani na mambo ya kidunia' nenda katangaze chanel za Islamic
Ukienda ww inatosha
Sasa mtumzimA duLLa dakika 10 za maangamizii ndo imeishaa
Hongeraaaa sana Kwa kuowa ukiwa hujabaleee maana si Kwa udogo huwoo 😂😂
Nasubilia uwo mchongo wa utangazaji
Jamaa anaenda wapi aisee
Broo namkubali sana uyu nakumbuka planet flani hivi ilikuwa ni siku ya mazishi ya Abdu Bonge....uku sound track ikiwa ni nyimbo ya Madee hatar
TVE TUJUANE
Hata mimi ningeondoka EAFM na radio 1 maana sio kwa chenga zao za masafa kila siku lazima uweke vizuri antenna au earphones ili uisikie 😂😂😂
Kaka dulla nenda clouds au wasafi radio zao hazina chenga za sauti.
Sidhani kama atapatikana mtangazaji mwingine kama wewe