Just love watching ur interviews Dada much love from Nairobi Kenya ❤️❤️❤️ To Chidi Benz our all time Hip hop Legend in East Africa....much love n Big Up Bro👍👍👍
Oy chid nakubar kitambo nandomaana ata mwanangu nikampa jina la Rashid yani chid benzi Rashid abdalla noma xana salute father kizazi chetu uyu jamaa ndo alituwasha
Chid unaweza sana, lakini pia chid kuna kitu ambacho nimekipenda sana kutoka kwako, wewe ni mwepesi wa kubadilika, wasanii wengi wa zamani hawakuweza kudumu hadi leo ni kwasababu hawakukubali kubadilika kuendana na game ya sasa, moyo wangu ulikuwa ukiumia sana chid benz kuona unapotea kwenye game lakini nashukuru sana chid bado unajituma hata mimi nakuombea sana kwa mungu uweze kurudisha heshima yako, tafakari kitu chid hivi kwa mfano upotee kwenye game wakati bado tunakudai inakuaje?? Chid bado sana tunakudai kaka, hizi ngoma unazotoa ni kama unatuonjesha tu tu kaka.
Chid humu anajibu vzuri sana, kumbe waandishi ndio huwa wanazngua
Chidi Benzi!!!one big character !!!Sharp memory,special voice.Angekuwa wapi kama si changamoto za madini..Chidi ni mkubwa sana
Nilkua nkitamani sana kumskia Chidi akiongelea huu wimbo...❤❤
Just love watching ur interviews Dada much love from Nairobi Kenya ❤️❤️❤️ To Chidi Benz our all time Hip hop Legend in East Africa....much love n Big Up Bro👍👍👍
Oy chid nakubar kitambo nandomaana ata mwanangu nikampa jina la Rashid yani chid benzi Rashid abdalla noma xana salute father kizazi chetu uyu jamaa ndo alituwasha
Dada nakukubali Sana uko makini na una maswali makini
Chi chi chid Benz sasaivi unaonekana uko vizuri yaani unarudia hali yako ya zamani. Shukran kukuona ivi ulivyo sasa
Uyu Dada nampenda sana..! ❤❤
KUMBE chid ana madin!! Elewa neno (KUMBE 🎉🎉
Chid benzi yupo uku morogoro haliyake Kwan sasa hailizishi
Mkali tulia ivyo Ivyo daimond kakurudisha kwenye game
Chidi umenizinguwa ujuwe.kuhusu kipini kwenye puea.😢😢
Chid unaweza sana, lakini pia chid kuna kitu ambacho nimekipenda sana kutoka kwako, wewe ni mwepesi wa kubadilika, wasanii wengi wa zamani hawakuweza kudumu hadi leo ni kwasababu hawakukubali kubadilika kuendana na game ya sasa, moyo wangu ulikuwa ukiumia sana chid benz kuona unapotea kwenye game lakini nashukuru sana chid bado unajituma hata mimi nakuombea sana kwa mungu uweze kurudisha heshima yako, tafakari kitu chid hivi kwa mfano upotee kwenye game wakati bado tunakudai inakuaje?? Chid bado sana tunakudai kaka, hizi ngoma unazotoa ni kama unatuonjesha tu tu kaka.
Salute chid..
naaaaaaaachiiiiiiiiidiiiiiiiii.....💥🔥🙏💪🇹🇿🇦🇪
Nakukubali.
❤❤❤🎉🇧🇮
🇨🇩🇨🇩❤❤❤❤❤❤❤❤ sana
Chidi hata swali la matching item analijibu kw essay😂
anaongea vzur chidbenz