TONNY WA CHERRY AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA/KUAMBUKIZWA UKIMWI/KUKONDA/UGUMU WA KUISHI NA MWENYE VVU
Vložit
- čas přidán 8. 07. 2024
- KIJANA ALIEISHI NA MWANAMKE MWENYE UKIMWI AFUNGUKA ALIVYOISHI NAE HADI KUACHANA KWAO JE AMEPEWA MAAMBUKIZI?FUATILIA INTERVIEW HII HAPA
- Zábava
Sihukumu ila kwa maelezo haya inaonekana cherry amepata mubaba mwenye HIV mwenye pesa ndio mana kamuacha kaka wawatu 😢😢
Tuliokuwa tunasubiri hyo ndoa like hapa😢,dunia ya sasa kila mtu anajipenda mwenyewe wala hawajali upendo wa mwingine
😂😂
Mpaka hapo kwenye kasi tumekuelewa kijana hutaki kujituma kutafuta maisha ndo mana umepauka toka umeachwa msimuhukumu huyo dada kisa matatizo ya kiafya hata kama mtu unashida za kiafya lazima upambane uchumi uwe imara kwanza mapenzi yapo ila kama mtu unaona hataki kupambana acha aende asikucheleweshe
Unajitolea kumpenda mtu na hali yake bado anakuacha pole inaonekana ulimpenda sana maskini
Unamoyo mzuri sana kaka angu kipenzi Mungu atakupa wa kufanana na ww
Uyo kaka anabusara Sana mungu akupushe na maradhi❤
Ugomvi hapa ni kwamba mchizi life gumu,mwanamke kashindwa kuwa mvumilivu ndio maana jamaa kakubali matokeo ..
Life gumu kaweka Helen maskio yote vijana tuache bishoo tutafute hela
Ndio maana mausiano yangu Kuweka kwenye media never never never aise pole sana kijana wangu kwa mitian
Hakuna watu wenye kujielewa wanaweza weka jambo lao hadharani
This man is in deep sorrows, pole sana kaka jitahidi kurelease the pain isije ikakuathiri.
Jamani mkaka wa watu mwe mpka katunga wimbo unaitwa uwongo ukute ndugu zake waliomba mpka Mungu akawasikia u
Jamaa anaongea vizuri sana na kwa busara kubwa . Kale kabinti kamepoteza mtu wa muhimu sana aseeh
Mapenz yanasir nying mzee,huwez jua upole huo ni wa public ila akiwa nda sio mtu kabsa.tuache akae nasir yake.ila ndo maana tunakataa kuoa kwa kuonea mtu huruma oa kwasabsbu anavgezo ulivovitaka maana huruma yako itapotea akikuudh lkn vgezo vyako vitakubeba lkn km havpo ndo mwendo umeisha
@@frankrobertkomba2318very true
🎉🎉🎉
Upo sahihii 💯
Kijana mwanaume haswaa..kalelewa.kwa vijana wa ss angeropoka.vyotee safi
Yaani na Mimi nilijisemea hivyo kimoyo moyo
Ni kweli kuna muda unaona bora tu mtengane maana kuna vitu huwa haviendi sawa
Yaan hya maisha bhna usimuamin mtu wallah yaan unaweza jitoa kwa mtu na akakupa tukio ambalo huwez lisahau maisha yko yote😢
Nitfutieni huyu kaka me namtaka tufnye maisha me mwenyew ymenikuta pia😢
Pole
Atakupenda????
Jaman umetoka mzima kwel😭
Wanaume wanaoambukizwa ukimwi wengi wachafu
Mim binafsi tayari nimeshapitia tayar Maisha kama kaka yangu hapo .nikuwa kwenye mausiano ambapo mwezangu alikuwa positive mm negative . Lkni mwisho wasiku mwanamke mda wote ubadilika so unatakiwa kama mwanaume kuishinae Kwa akili snaaa . Mim Bada yakuachanae nilipata mafanikio kimasha Kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mchache snaaa .
Huyo Dada ni Malaya hata muonekani wake tu mitatoo unaelewa tu na huo ukimwi muongo yawezekana hata hakubakwa ni umalaya tu Mungu anakajuwa kumpa pigo
Yani nimehumia sana pole Sana kaka mwenyezi mungu yu nawe
Tonny anaonekana ana maumivu
Mapenzi yakuweka kwenye mitandaoni ayadumu
Kwel
Huyu kaka anaonekana anaumia sana
Ww unafikiri kuishi na Muathirika halafu mnaachana unafikiri mchezo? Umejitoa kwa ajili yake
Pole kaka mitihani ya dunia itakwisha
Pole❤
Mara nyingi inawatokea wenye group 0. Mimi sister angu ana maambkizi but mume wake hana.
Sio group dawa wanazotumia now zinafanya UGONJWA usiamie pengine Kama ikitokea mgonjwa akazingatia dawa
Mimi nna group B ila nshawai ishi na MTU ndan y miezi Saba ndio nashtuka na bado nkapima Sina yeye anao mbaka Leo Sina ila nilijiona nna bahat kumbe sio Mimi
Niyeye anazingatia dawa ndio kilicho niokoa
@@isakahissa4130 kumbe ni kweli inawezekana mtu anayezingatia dawa anakuwa na uwezo mdogo wa kuambukiza mtu mwingine
Huyu kaka jaman anamaumivu ya mapenzi ila cherry ulichomfanya huyu kaka MUNGU anakuona haki
Bora angekaa kimya tu anafanya huyo dada watu wanamtukana sana maskini
Yani hata sura yake imepoteza nuru
Kweli kabisa mwe
Duuh, aisee haya maisha mmh,
Dah!pole sana kaka
Dah kweli umepungua Alton jmn😢
Ila wanawake sisi kuna muda hata hatujui tunataka nini
@@darlenesalum3667 Ndugu yangu hebu tujifunze, au mpaka watuue
@@darlenesalum3667swadakta
Huyu kaka anamaumivu jmn
Pole sana Kaka...asikuchanganye huyo hakua mwaminifu huyo...kakutumia Katumia nyota yako mpaka kufikia hapo Leo anajidai mjanja... muache kitamramba huyo na atakukumbuka mshamba huyo.
Hii neno vita Suti imeenda kabisa 😅😅😅😅😅😅😅😅
Mbona kwangu haina sauti
Duh mtihani
Pole mtu wa mungu mungu yupo lakini sivizur kuongea jambo ukiwa Katika wakati mgumu unge pata utulivu kidogo!
Pole sana Mungu akupe huo moyo ucichok
Sasa naye mwaname ataendelea kuelimisha kuhusu ukimwi wakati anatangatanga leo huku kesho kule.wataambukizwa wengi asee
Iove you Tonny🎉
Jamani nimejikuta namuonea huruma Alton
Yaani tumuachie Mungu tu ni mapito
Yaan apo ukijichanganya kumsema anakufungulia kesi bora umejibu Kwa Akil kubwa.
Tony lov u bro
Oooooooo nashidwa byakusema kwl😮😮
isaga kumiangu kamu guganile une ndikafu❤❤❤
Mimi nilihisi tu hata huyu dada kupata hiyo HIV c sabbu ya kubakwa anaonekna tu hajatulia anasingizia alibakwa me ckuamin tangu ck ya kwanza,dah huyu mkaka wawatu maskin
Kweli kabisa hafananii kubakwa bhana😅
Hakubakwa uyu alikua na bwana ake mchora tatooo kabadilisha sana wanaume hapa kati kati akifika mtandaoni watu wa mungu ya nyoko
@@allyahahmed1091 kweli kbsa me amenikera sana
@@allyahahmed1091Mkuu unamfahamu sana inaonekana?
@@allyahahmed1091😂😂😂😂😂
😭😭Yani inauma sana
Kwakwel me Nilitaka waachane
Kwanini jamani
Kuna mwenye namba yake Altonny anipatie???
Wanawake wakichaga mpooooooo????
blaza inabidi utibiwe akili ujue kutofautisha fantasy na reality
Unavojichekesha tu inaonyesha umeumizwa 😂😂😂 pole mwaya msoma nyota
😂😂😂
Ila debora
😅
huo ufala siwezi ufanya
Huyu dada ninavyomfaham mno ni kisirani mno mkitaka kuamini hilo fuatilieni anavojibu hovyo mashabiki zake kwenye comment
Sahihi kabisa ni mjeuri sana me nishamuona sijajua kama ni UGONJWA ndo unafanya awe hvyo
Hata ukihitaji dawa kwake pia majibu yake mmh
Ht Mm pia mahusiano yangu yapo hatarin zaidi kutokan na mtandao 😅
Uyu kaka simsomanyota jamani kumbe ndonalikuwa anaishi na cherry
Yaan kaka kaumia.huyu😢😢
ifike sehemu watu wenerohoo nzuri wauwawe wote
😂😂
😢😢😢😢😢
Anaongea kwa kutumia akili sana na ana busara
Mwandishi hauko making na kazi yako sauti ya huyo mshikaji haisikikii unazingua bwanaaa
Jamaa sauti yake ndio iko hivo siku zote
Kwan mlipata.watoto wangap.nae
Duuu tunakuogopa aisee
😂😂😂😂
Sasa why umuogope😢😂
@@darlenesalum3667 km hana HIV ni bahati arudi kwa bebe wake
Mwambieni aje tupendane na mm 😂😂😂😂
Sijui kama umepona mbona macho yako kama bizali
Bizari tena😂😂😂 yeye kasema alipenda kwahiyo hajali km atapewa ngoma na mtoto mzurii😅😅😅😅😅
😆😆😆😆kuna watu mnavitu humu
@@estherminnahboaz6956 mmmh sasa hao wameachana
😅😅😅
Kimeshamlamba uyu akaaanze dozi tu uso tu unaonekana
Huyu basi tena tushampoteza 😢nenda kajiandikishe dirisha la dawa😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Il watu mna nini?😂😂😂
Mwenye ukimwi anaishi mwenye cancer sasa tunabakia kuhesabu siku mungu tulinde
Pole mpendwa 🙏
Mmh mtu kakupenda na hali hiyo na umemuacha😂😂😂
Itakuwa amepewa ngom
Mwenye namba zake uyu kaka anipe mimi natafuta mchumba 🥹
😅😅😅
Daaah huyu kaka ni muha huyuu🙌🙌🙌🙌 ex wangu alikuwaga na huo msimamoi😂😂😂😂 kwahiyo tony umemuacha dada wa watu kabisa
Kaka anaongea vzuri ana hekima na busara sana anajua kuyahifadhi ya ndani na anajua kujbu vzuri sana
Bileke bigende bindi bilozaa😢😢
Siamnini mpaka nimsikie Mwanamke
Anafanana na ex wangu.. yule kaka alijua kunitesaaa mwee to hell huko aliko
Una moyo sana kaka mimi sina moyo huo
Ndio maana mimi sitaki kuweka mausiano yangu kwenye mtandaoni
Du!
Nahis baada ya kupata aitime mitandaon ndo akapata mwingine
Kwani ungekaa kimya ingekuwaje
Ndio hapo sasa sio kila kitu lazima aongee kuna vingine vya kukaa kimya
@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
This lady ni malaya mno basi tu hamjamjuaga kabla hajaanza kua muhubiri wa story za uongo .. story ya kubakwa pia ni uomgo 100%
😅😂😂
Kabisaaaa
Una ushahidi wowote kuthibitisha kauli yako?Kama huna chunga mdomo wako
@@user-iy7xy1np7c acha umalaya period
@@user-iy7xy1np7c unavyopenda ushahidi usingetuletea hata case uliofungua wakati unabakwa aso jua nani bwana gooo
Hata siamin nyie😢
😳😳🙆🏾♂️🙆🏾♂️wameachana ? Hapana ctaki kuàmin ngoja kwanza nikatie maji mwilin 🚶♀️🚶♀️🚶♀️inawezekana kweli ni uongo wa kutafuta kiki ya nyimbo 😂😂
Kweli demu kafuta picha zote walizokuwa wote😂😂😂
@@Official83640 daah aisee mapenz haya 🙌🏿🙌🏿kweli usinene ugamara
@@Official83640mmmh
Hamna huyu kaka anapitia maumivu anaonekana. Ona alivyokonda hata anavuocheka sio cheko la kawaida ni la maumivu.
Nasikia mtu ukiwa na HIV halafu unabadilisha wanaume/wanawake virus 🦠 zinaongezeka sijui kwel??💁 Nilisikia mahali
Kama mwenza hatumii dawa vizuri au hatumii kabisa unakua unapata maambukizi mapya na huateza kulaza virusi
Ukweli inawezekana kwa sababu unaojamiiana nao hujui status yake kama atakuwepo MWENYE HIV basi atakupa vyakwake naukweli kilamtu ana aina yake ya VVU KWAKIFUPI NIHIVYO
@@Khadija-ne8ul wow Asante Kwa kujua
@@doymatata4702 wow Asante Kwa kujua
Mapenz usenge
Mapenzi matamu bana
Kiki tu
Dem akiwa mgonjwa anasumbua Anenda mbio sana
😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂
Jamani ww siulihojiwa wasafi ukasema hujaambukizwa
😅😊
Sasa kwani hapo kasema kaathirika uwe unasikiliza kwa makini
Mungu atakupa mke mwingine
Watu sijui tukoje unapata MTU anakupenda na virusi vyako unamkimbia
Ni shida
Huyu Kaka alifat u umarufu Kwa yule dada muathiririk
Hapana alimpenda, we unaweza ku-risk maisha yako yaani posibility ya kupata ugonjwa kwa sababu ya kiki? Hata namna anam-cover up hafunguki kwa ubaya juu ya huyo dada, namna amepungua unaona he was in Love. Japo inafikaga kipindi mapenzi yanaishaga na maisha lazima yaendelee.
Kwaio mzee baba haya mambo hukuyaona kwenye jicho la tatu au
Jicho lilifumba kwa muda
Kimekuramba😂
Amechit Cherry
We umemuona akicheat?
Wakwanza
Mbona hii video kwangu haina sauti kwanini?
Tumia Airphone
Simu lako taka bwana😂😂😂
Amefuata wenye pesa kwa tafsir ya haraka
Huwezi ishi na muathirika kama huna tatizo la Akili
We kaka nakwambia tema mate chini usiongee Ivo Kwasababu watu awajapata elimu kuusu ukimwi watu wanishi negative anda positive 😅😅😅nahakuna anaemuam ukizaa mwenzake inategemea na dam kila mtu akiswma aweke mambo yake waI kwenye huu mtandao kwajili ya huu ugonjwa sijui kama watu wangeamini lkn vipo kwenye jamii ytu
Sio kweli kuna mwanajeshi mmoja iringa alikuwa ameathirika na alikuwa anadate na demu mkali kishenzi kutoka singida na walizaaa mtoto mmjo mwanamke na Mtoto hawana vvu mpaka xaiz ila yule mwanajeshi amefariki tayari😭😭
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
Hii comment 100%
Aliambiwa huyu jamaa akajifanya anampenda sana nyoooo
Na amekonda 😢😢
Inawezekana na wewe uliyenaye ni muathirika ila hajakuambia
@@siamoye4549mh, inatisha asee
Chalii wa pugu hahhahaha
Mzee nimewaza sana huyu Jamaa mbona kma namfahamu havi au namfananisha, dogo Alisoma olevel pugu secondary