TONNY WA CHERRY AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA/KUAMBUKIZWA UKIMWI/KUKONDA/UGUMU WA KUISHI NA MWENYE VVU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • KIJANA ALIEISHI NA MWANAMKE MWENYE UKIMWI AFUNGUKA ALIVYOISHI NAE HADI KUACHANA KWAO JE AMEPEWA MAAMBUKIZI?FUATILIA INTERVIEW HII HAPA
  • Zábava

Komentáře • 222

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 22 dny +35

    Sihukumu ila kwa maelezo haya inaonekana cherry amepata mubaba mwenye HIV mwenye pesa ndio mana kamuacha kaka wawatu 😢😢

  • @elizabethmwaseba8164
    @elizabethmwaseba8164 Před 22 dny +34

    Tuliokuwa tunasubiri hyo ndoa like hapa😢,dunia ya sasa kila mtu anajipenda mwenyewe wala hawajali upendo wa mwingine

  • @salmabasil385
    @salmabasil385 Před 11 dny +9

    Mpaka hapo kwenye kasi tumekuelewa kijana hutaki kujituma kutafuta maisha ndo mana umepauka toka umeachwa msimuhukumu huyo dada kisa matatizo ya kiafya hata kama mtu unashida za kiafya lazima upambane uchumi uwe imara kwanza mapenzi yapo ila kama mtu unaona hataki kupambana acha aende asikucheleweshe

  • @jacklinepeter4158
    @jacklinepeter4158 Před 20 dny +18

    Unajitolea kumpenda mtu na hali yake bado anakuacha pole inaonekana ulimpenda sana maskini

  • @janethzacharia7967
    @janethzacharia7967 Před 16 dny +12

    Unamoyo mzuri sana kaka angu kipenzi Mungu atakupa wa kufanana na ww

  • @user-fi7ky7ub6s
    @user-fi7ky7ub6s Před 13 dny +10

    Uyo kaka anabusara Sana mungu akupushe na maradhi❤

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 13 dny +14

    Ugomvi hapa ni kwamba mchizi life gumu,mwanamke kashindwa kuwa mvumilivu ndio maana jamaa kakubali matokeo ..

    • @abiboseleman1649
      @abiboseleman1649 Před 7 hodinami +1

      Life gumu kaweka Helen maskio yote vijana tuache bishoo tutafute hela

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 23 dny +21

    Ndio maana mausiano yangu Kuweka kwenye media never never never aise pole sana kijana wangu kwa mitian

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 19 dny +4

      Hakuna watu wenye kujielewa wanaweza weka jambo lao hadharani

  • @ibrahim.kelvin
    @ibrahim.kelvin Před 22 dny +15

    This man is in deep sorrows, pole sana kaka jitahidi kurelease the pain isije ikakuathiri.

  • @joycekasimbazi9817
    @joycekasimbazi9817 Před dnem +1

    Jamani mkaka wa watu mwe mpka katunga wimbo unaitwa uwongo ukute ndugu zake waliomba mpka Mungu akawasikia u

  • @charlesmtitu5606
    @charlesmtitu5606 Před 23 dny +33

    Jamaa anaongea vizuri sana na kwa busara kubwa . Kale kabinti kamepoteza mtu wa muhimu sana aseeh

    • @frankrobertkomba2318
      @frankrobertkomba2318 Před 22 dny +13

      Mapenz yanasir nying mzee,huwez jua upole huo ni wa public ila akiwa nda sio mtu kabsa.tuache akae nasir yake.ila ndo maana tunakataa kuoa kwa kuonea mtu huruma oa kwasabsbu anavgezo ulivovitaka maana huruma yako itapotea akikuudh lkn vgezo vyako vitakubeba lkn km havpo ndo mwendo umeisha

    • @user-re2em2zd2u
      @user-re2em2zd2u Před 22 dny

      @@frankrobertkomba2318very true

    • @user-ur7pw9ek6s
      @user-ur7pw9ek6s Před 21 dnem

      🎉🎉🎉

    • @MS.independent8934
      @MS.independent8934 Před 15 dny

      Upo sahihii 💯

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 19 dny +10

    Kijana mwanaume haswaa..kalelewa.kwa vijana wa ss angeropoka.vyotee safi

  • @user-qq5rx1bl7e
    @user-qq5rx1bl7e Před 23 dny +8

    Ni kweli kuna muda unaona bora tu mtengane maana kuna vitu huwa haviendi sawa

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f Před 21 dnem +13

    Yaan hya maisha bhna usimuamin mtu wallah yaan unaweza jitoa kwa mtu na akakupa tukio ambalo huwez lisahau maisha yko yote😢

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f Před 21 dnem +10

    Nitfutieni huyu kaka me namtaka tufnye maisha me mwenyew ymenikuta pia😢

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 Před 21 dnem +14

    Jaman umetoka mzima kwel😭

  • @godfreykasilingi4041
    @godfreykasilingi4041 Před 16 dny +2

    Mim binafsi tayari nimeshapitia tayar Maisha kama kaka yangu hapo .nikuwa kwenye mausiano ambapo mwezangu alikuwa positive mm negative . Lkni mwisho wasiku mwanamke mda wote ubadilika so unatakiwa kama mwanaume kuishinae Kwa akili snaaa . Mim Bada yakuachanae nilipata mafanikio kimasha Kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mchache snaaa .

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 19 dny +3

    Huyo Dada ni Malaya hata muonekani wake tu mitatoo unaelewa tu na huo ukimwi muongo yawezekana hata hakubakwa ni umalaya tu Mungu anakajuwa kumpa pigo

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 20 dny +3

    Yani nimehumia sana pole Sana kaka mwenyezi mungu yu nawe

  • @aminamasalu6988
    @aminamasalu6988 Před 22 dny +8

    Tonny anaonekana ana maumivu

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Před 23 dny +14

    Mapenzi yakuweka kwenye mitandaoni ayadumu

  • @user-re2em2zd2u
    @user-re2em2zd2u Před 22 dny +12

    Huyu kaka anaonekana anaumia sana

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 19 dny +1

      Ww unafikiri kuishi na Muathirika halafu mnaachana unafikiri mchezo? Umejitoa kwa ajili yake

  • @user-rm1sr3if9n
    @user-rm1sr3if9n Před 21 dnem +3

    Pole kaka mitihani ya dunia itakwisha

  • @hanamakamba373
    @hanamakamba373 Před 22 dny +5

    Pole❤

  • @user-el7ut2qk4e
    @user-el7ut2qk4e Před 21 dnem +8

    Mara nyingi inawatokea wenye group 0. Mimi sister angu ana maambkizi but mume wake hana.

    • @isakahissa4130
      @isakahissa4130 Před 21 dnem +11

      Sio group dawa wanazotumia now zinafanya UGONJWA usiamie pengine Kama ikitokea mgonjwa akazingatia dawa
      Mimi nna group B ila nshawai ishi na MTU ndan y miezi Saba ndio nashtuka na bado nkapima Sina yeye anao mbaka Leo Sina ila nilijiona nna bahat kumbe sio Mimi
      Niyeye anazingatia dawa ndio kilicho niokoa

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc Před 21 dnem

      ​@@isakahissa4130 kumbe ni kweli inawezekana mtu anayezingatia dawa anakuwa na uwezo mdogo wa kuambukiza mtu mwingine

  • @Patricianicholaus24
    @Patricianicholaus24 Před 18 dny +2

    Huyu kaka jaman anamaumivu ya mapenzi ila cherry ulichomfanya huyu kaka MUNGU anakuona haki

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg Před 18 dny +3

    Bora angekaa kimya tu anafanya huyo dada watu wanamtukana sana maskini

  • @user-cr8pr3kn3c
    @user-cr8pr3kn3c Před 22 dny +15

    Yani hata sura yake imepoteza nuru

  • @user-ey5mv1yz3s
    @user-ey5mv1yz3s Před 22 dny +3

    Duuh, aisee haya maisha mmh,

  • @ReenKey-d5q
    @ReenKey-d5q Před 17 dny +1

    Dah!pole sana kaka

  • @shanikiwele3111
    @shanikiwele3111 Před 21 dnem +12

    Dah kweli umepungua Alton jmn😢

    • @darlenesalum3667
      @darlenesalum3667 Před 16 dny +1

      Ila wanawake sisi kuna muda hata hatujui tunataka nini

    • @tinajohn6296
      @tinajohn6296 Před 13 dny

      ​@@darlenesalum3667 Ndugu yangu hebu tujifunze, au mpaka watuue

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 Před dnem

      ​@@darlenesalum3667swadakta

  • @user-vz6kk8id2f
    @user-vz6kk8id2f Před 21 dnem +7

    Huyu kaka anamaumivu jmn

  • @AlliNasra
    @AlliNasra Před 16 dny +1

    Pole sana Kaka...asikuchanganye huyo hakua mwaminifu huyo...kakutumia Katumia nyota yako mpaka kufikia hapo Leo anajidai mjanja... muache kitamramba huyo na atakukumbuka mshamba huyo.

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI Před 22 dny +6

    Hii neno vita Suti imeenda kabisa 😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @EmmanuelKawawa
    @EmmanuelKawawa Před 12 dny +2

    Mbona kwangu haina sauti

  • @user-is7ot7bq9x
    @user-is7ot7bq9x Před 21 dnem +2

    Duh mtihani

  • @IreneMwanaa-zo2wz
    @IreneMwanaa-zo2wz Před 20 dny +2

    Pole mtu wa mungu mungu yupo lakini sivizur kuongea jambo ukiwa Katika wakati mgumu unge pata utulivu kidogo!

  • @aminaelibrahimu4792
    @aminaelibrahimu4792 Před 12 dny

    Pole sana Mungu akupe huo moyo ucichok

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 Před 12 dny +1

    Sasa naye mwaname ataendelea kuelimisha kuhusu ukimwi wakati anatangatanga leo huku kesho kule.wataambukizwa wengi asee

  • @angeladegens7139
    @angeladegens7139 Před 2 dny

    Iove you Tonny🎉

  • @WemaMchomvu
    @WemaMchomvu Před 21 dnem +7

    Jamani nimejikuta namuonea huruma Alton

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d Před 21 dnem +7

    Yaan apo ukijichanganya kumsema anakufungulia kesi bora umejibu Kwa Akil kubwa.

  • @qayllahkusaga1207
    @qayllahkusaga1207 Před 6 dny +1

    Tony lov u bro

  • @Fahilarashid
    @Fahilarashid Před 19 dny +2

    Oooooooo nashidwa byakusema kwl😮😮

  • @salmauae2261
    @salmauae2261 Před 21 dnem +1

    isaga kumiangu kamu guganile une ndikafu❤❤❤

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f Před 21 dnem +8

    Mimi nilihisi tu hata huyu dada kupata hiyo HIV c sabbu ya kubakwa anaonekna tu hajatulia anasingizia alibakwa me ckuamin tangu ck ya kwanza,dah huyu mkaka wawatu maskin

    • @naah884
      @naah884 Před 20 dny +1

      Kweli kabisa hafananii kubakwa bhana😅

    • @allyahahmed1091
      @allyahahmed1091 Před 20 dny +2

      Hakubakwa uyu alikua na bwana ake mchora tatooo kabadilisha sana wanaume hapa kati kati akifika mtandaoni watu wa mungu ya nyoko

    • @user-pp9mp1pz9f
      @user-pp9mp1pz9f Před 20 dny

      @@allyahahmed1091 kweli kbsa me amenikera sana

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 19 dny

      ​@@allyahahmed1091Mkuu unamfahamu sana inaonekana?

    • @samwelrobeth7763
      @samwelrobeth7763 Před 4 dny

      ​@@allyahahmed1091😂😂😂😂😂

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 20 dny +1

    😭😭Yani inauma sana

  • @DinahAnthony
    @DinahAnthony Před 21 dnem +9

    Kwakwel me Nilitaka waachane

  • @aminamaulid7371
    @aminamaulid7371 Před 21 dnem +3

    Kuna mwenye namba yake Altonny anipatie???

  • @anneyrommoka9024
    @anneyrommoka9024 Před 8 dny +2

    Wanawake wakichaga mpooooooo????

  • @Unju-q4e
    @Unju-q4e Před 11 dny +2

    blaza inabidi utibiwe akili ujue kutofautisha fantasy na reality

  • @deborahissaya1601
    @deborahissaya1601 Před 23 dny +15

    Unavojichekesha tu inaonyesha umeumizwa 😂😂😂 pole mwaya msoma nyota

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Před 21 dnem +4

    huo ufala siwezi ufanya

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před 18 dny +3

    Huyu dada ninavyomfaham mno ni kisirani mno mkitaka kuamini hilo fuatilieni anavojibu hovyo mashabiki zake kwenye comment

    • @user-bo2yf5hw7s
      @user-bo2yf5hw7s Před 17 dny

      Sahihi kabisa ni mjeuri sana me nishamuona sijajua kama ni UGONJWA ndo unafanya awe hvyo

    • @faridamapogolo2892
      @faridamapogolo2892 Před 4 dny

      Hata ukihitaji dawa kwake pia majibu yake mmh

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 Před 18 dny +1

    Ht Mm pia mahusiano yangu yapo hatarin zaidi kutokan na mtandao 😅

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus7333 Před 23 dny +8

    Uyu kaka simsomanyota jamani kumbe ndonalikuwa anaishi na cherry

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni Před 17 dny +1

    Yaan kaka kaumia.huyu😢😢

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 13 dny +1

    ifike sehemu watu wenerohoo nzuri wauwawe wote

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Před 21 dnem +2

    😢😢😢😢😢

  • @JeniferMassawe-lu3de
    @JeniferMassawe-lu3de Před 23 dny +19

    Anaongea kwa kutumia akili sana na ana busara

  • @user-vr8fx4vg2r
    @user-vr8fx4vg2r Před 23 dny +5

    Mwandishi hauko making na kazi yako sauti ya huyo mshikaji haisikikii unazingua bwanaaa

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni Před 17 dny +1

    Kwan mlipata.watoto wangap.nae

  • @irenemlay9769
    @irenemlay9769 Před 21 dnem +8

    Duuu tunakuogopa aisee

  • @VeronicaSteven-of1qe
    @VeronicaSteven-of1qe Před 17 dny +1

    Mwambieni aje tupendane na mm 😂😂😂😂

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před 23 dny +7

    Sijui kama umepona mbona macho yako kama bizali

  • @athanasmasmami5389
    @athanasmasmami5389 Před 21 dnem +4

    Huyu basi tena tushampoteza 😢nenda kajiandikishe dirisha la dawa😂

  • @mariagrayson5414
    @mariagrayson5414 Před 10 dny +1

    Mwenye ukimwi anaishi mwenye cancer sasa tunabakia kuhesabu siku mungu tulinde

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 Před 6 dny

    Mmh mtu kakupenda na hali hiyo na umemuacha😂😂😂

  • @kennedymaster2000
    @kennedymaster2000 Před 21 dnem +2

    Itakuwa amepewa ngom

  • @KudratMkangama
    @KudratMkangama Před 19 dny +4

    Mwenye namba zake uyu kaka anipe mimi natafuta mchumba 🥹

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 Před 18 dny +2

    Daaah huyu kaka ni muha huyuu🙌🙌🙌🙌 ex wangu alikuwaga na huo msimamoi😂😂😂😂 kwahiyo tony umemuacha dada wa watu kabisa

  • @felistersanga7903
    @felistersanga7903 Před 13 dny

    Kaka anaongea vzuri ana hekima na busara sana anajua kuyahifadhi ya ndani na anajua kujbu vzuri sana

  • @JeremiahJohn-tt2ij
    @JeremiahJohn-tt2ij Před 12 dny

    Bileke bigende bindi bilozaa😢😢

  • @zuwenahassan3624
    @zuwenahassan3624 Před 23 dny +3

    Siamnini mpaka nimsikie Mwanamke

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 Před 18 dny +1

    Anafanana na ex wangu.. yule kaka alijua kunitesaaa mwee to hell huko aliko

  • @user-yn3kg8ip2h
    @user-yn3kg8ip2h Před 13 dny

    Una moyo sana kaka mimi sina moyo huo

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 Před 12 dny

    Ndio maana mimi sitaki kuweka mausiano yangu kwenye mtandaoni

  • @happyalbert5089
    @happyalbert5089 Před 22 dny +2

    Du!

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 Před 14 dny

    Nahis baada ya kupata aitime mitandaon ndo akapata mwingine

  • @annakbunga8377
    @annakbunga8377 Před 22 dny +1

    Kwani ungekaa kimya ingekuwaje

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc Před 21 dnem

      Ndio hapo sasa sio kila kitu lazima aongee kuna vingine vya kukaa kimya

    • @hajistshariast6335
      @hajistshariast6335 Před 21 dnem +4

      ​@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani

    • @hajistshariast6335
      @hajistshariast6335 Před 21 dnem

      ​@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani

  • @allyahahmed1091
    @allyahahmed1091 Před 20 dny +8

    This lady ni malaya mno basi tu hamjamjuaga kabla hajaanza kua muhubiri wa story za uongo .. story ya kubakwa pia ni uomgo 100%

    • @leadflavour_tz
      @leadflavour_tz Před 16 dny

      😅😂😂

    • @user-sb7lz9xp4v
      @user-sb7lz9xp4v Před 15 dny

      Kabisaaaa

    • @user-iy7xy1np7c
      @user-iy7xy1np7c Před 12 dny

      Una ushahidi wowote kuthibitisha kauli yako?Kama huna chunga mdomo wako

    • @allyahahmed1091
      @allyahahmed1091 Před 12 dny

      @@user-iy7xy1np7c acha umalaya period

    • @allyahahmed1091
      @allyahahmed1091 Před 12 dny

      @@user-iy7xy1np7c unavyopenda ushahidi usingetuletea hata case uliofungua wakati unabakwa aso jua nani bwana gooo

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 Před 14 dny

    Hata siamin nyie😢

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před 23 dny +2

    😳😳🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️wameachana ? Hapana ctaki kuàmin ngoja kwanza nikatie maji mwilin 🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️inawezekana kweli ni uongo wa kutafuta kiki ya nyimbo 😂😂

    • @Official83640
      @Official83640 Před 22 dny

      Kweli demu kafuta picha zote walizokuwa wote😂😂😂

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před 22 dny

      @@Official83640 daah aisee mapenz haya 🙌🏿🙌🏿kweli usinene ugamara

    • @darlenesalum3667
      @darlenesalum3667 Před 16 dny

      ​@@Official83640mmmh

    • @cathyjb4339
      @cathyjb4339 Před 9 dny

      Hamna huyu kaka anapitia maumivu anaonekana. Ona alivyokonda hata anavuocheka sio cheko la kawaida ni la maumivu.

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s Před 23 dny +7

    Nasikia mtu ukiwa na HIV halafu unabadilisha wanaume/wanawake virus 🦠 zinaongezeka sijui kwel??💁 Nilisikia mahali

    • @Khadija-ne8ul
      @Khadija-ne8ul Před 22 dny +3

      Kama mwenza hatumii dawa vizuri au hatumii kabisa unakua unapata maambukizi mapya na huateza kulaza virusi

    • @doymatata4702
      @doymatata4702 Před 21 dnem +4

      Ukweli inawezekana kwa sababu unaojamiiana nao hujui status yake kama atakuwepo MWENYE HIV basi atakupa vyakwake naukweli kilamtu ana aina yake ya VVU KWAKIFUPI NIHIVYO

    • @Chakol123-k7s
      @Chakol123-k7s Před 19 dny

      @@Khadija-ne8ul wow Asante Kwa kujua

    • @Chakol123-k7s
      @Chakol123-k7s Před 19 dny

      @@doymatata4702 wow Asante Kwa kujua

  • @lydiajuma01
    @lydiajuma01 Před 21 dnem +3

    Mapenz usenge

  • @user-hm1nt4mj4n
    @user-hm1nt4mj4n Před 22 dny +1

    Kiki tu

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo Před 23 dny +2

    Dem akiwa mgonjwa anasumbua Anenda mbio sana

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q Před 22 dny +4

    Jamani ww siulihojiwa wasafi ukasema hujaambukizwa

  • @juditholotu7249
    @juditholotu7249 Před 13 dny +1

    Mungu atakupa mke mwingine

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Před 12 dny

    Watu sijui tukoje unapata MTU anakupenda na virusi vyako unamkimbia

  • @LubnaGeorge-re4yp
    @LubnaGeorge-re4yp Před 19 dny

    Huyu Kaka alifat u umarufu Kwa yule dada muathiririk

    • @cathyjb4339
      @cathyjb4339 Před 9 dny

      Hapana alimpenda, we unaweza ku-risk maisha yako yaani posibility ya kupata ugonjwa kwa sababu ya kiki? Hata namna anam-cover up hafunguki kwa ubaya juu ya huyo dada, namna amepungua unaona he was in Love. Japo inafikaga kipindi mapenzi yanaishaga na maisha lazima yaendelee.

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Před 17 dny +3

    Kwaio mzee baba haya mambo hukuyaona kwenye jicho la tatu au

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi Před 19 dny +1

    Kimekuramba😂

  • @rehemamoyo4182
    @rehemamoyo4182 Před 23 dny +7

    Amechit Cherry

  • @rehemamoyo4182
    @rehemamoyo4182 Před 23 dny +3

    Wakwanza

  • @vee4296
    @vee4296 Před 19 dny

    Mbona hii video kwangu haina sauti kwanini?

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Před 16 dny

    Amefuata wenye pesa kwa tafsir ya haraka

  • @ramadhanhassan9308
    @ramadhanhassan9308 Před 21 dnem +4

    Huwezi ishi na muathirika kama huna tatizo la Akili

    • @fatihiyadossa375
      @fatihiyadossa375 Před 21 dnem +3

      We kaka nakwambia tema mate chini usiongee Ivo Kwasababu watu awajapata elimu kuusu ukimwi watu wanishi negative anda positive 😅😅😅nahakuna anaemuam ukizaa mwenzake inategemea na dam kila mtu akiswma aweke mambo yake waI kwenye huu mtandao kwajili ya huu ugonjwa sijui kama watu wangeamini lkn vipo kwenye jamii ytu

    • @verobecamfipa8655
      @verobecamfipa8655 Před 21 dnem +1

      Sio kweli kuna mwanajeshi mmoja iringa alikuwa ameathirika na alikuwa anadate na demu mkali kishenzi kutoka singida na walizaaa mtoto mmjo mwanamke na Mtoto hawana vvu mpaka xaiz ila yule mwanajeshi amefariki tayari😭😭

    • @hajistshariast6335
      @hajistshariast6335 Před 21 dnem +2

      Tatizo wengi wetu elimu hatuna

    • @hajistshariast6335
      @hajistshariast6335 Před 21 dnem

      Tatizo wengi wetu elimu hatuna

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 19 dny

      Hii comment 100%

  • @user-cm6ts4qi3b
    @user-cm6ts4qi3b Před 23 dny +3

    Aliambiwa huyu jamaa akajifanya anampenda sana nyoooo

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe Před 23 dny

      Na amekonda 😢😢

    • @siamoye4549
      @siamoye4549 Před 23 dny +5

      Inawezekana na wewe uliyenaye ni muathirika ila hajakuambia

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před 23 dny

      ​@@siamoye4549mh, inatisha asee

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l Před 20 dny

    Chalii wa pugu hahhahaha

    • @franciscomalimi8070
      @franciscomalimi8070 Před 13 dny

      Mzee nimewaza sana huyu Jamaa mbona kma namfahamu havi au namfananisha, dogo Alisoma olevel pugu secondary