JAMAA CHIEF GODLOVE ANAEJISIFIA KUWA NA HELA INASEMEKANA ANAWEKA VIBAO ILI AONEKANE ANA HELA NYINGI
Vložit
- čas přidán 1. 10. 2023
- Mambo yamezidi kuwaka huko mtandaoni watu wanazidi kuweka ushaidi kuwa ChiefGodlove hana Pesa.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Duhhhhh sio poa Hongera ndugu mtangazaji kwa kutujuza kitu ambacho tulikuwa hatukijui
Daaa! Ukiangalia kwa haraka huwez gungua da! Ila watu kwa kuchunguza noma
Nipesa izo
Sauti ya mtangazaji mbaya.
Naijua iyo
wabongo kwa kuchunguza tuko makini aisee
Mtangazaji punguza mbwembwe kwenye habari, unachefua yaan m2 anakosa ham ya kuendelea kusikiliza
Hebu jiulizeni ...mshawahi ona Bakhresa ama mtoto wake akipanga Hela namna hio !? Na akiamua kupanga Hela zake ....bunge la Tanzania litajaa noti na Bado zikose za pa kuwekwa
Amna kitu apo ila ata kuji brandi ivo ni moyo na niviji senti pia 😂😂😂
devo king nampendasana
Asawan Elphas from KENYA acheni wivu hizo ni pesabana
Kweli Siyo Hela.
Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅
Ela anazoo
Kwani watu wameona kuwa pesa ni nini labda kama tunakufa tunaziacha unazitambia nini ni upuuzi tu
Huyo fala tuu ...Hana Hela zozote maskini mlala hoi ...pesa haioneshwi ...pesa inajotoa yenyewe ...na ukiona mtu anijisifu Yuko na pesa jua huyo ni panya wa kanisani ama bangunangu
Amna ukiwa na pesa nyingi ukizirekod Hua zinagoma Wakati mwengine 😂😂😂
Huyo jamaa anapesa kweli
Izo pesa bhana
Ela mchezo kwan