Video není dostupné.
Omlouváme se.
JAMAA ALIANZA KUISHI NA MWANAMKE AMBAE HAMPENDI, ANGALIA KILICHOTOKEA | MY CRAZY RICH GIRLFRIEND
Vložit
- čas přidán 13. 04. 2024
- Movie Name : MY CRAZY RICH GIRLFRIEND
Year : 2024
Genre : Drama,Comedy
NB: CREDITS
●WATCH FULL MOVIE ON : UCHENNA MBUNABO TV on CZcams
⚠️DISCLAIMER
Copyright Disclaimer: - Under section 107 of the copyright Act 1976, allowance is made for FAIR USE for purpose such a as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship and research. Fair use is a use permitted by copyright statues that might otherwise be infringing. Non- Profit, educational or personal use tips the balance in favor of FAIR USE.
IF YOU FEEL YOUR RIGHTS ARE VIOLATED EMAIL ME AT "lifelakitaa@gmail.com" AND I WILL KINDLY TAKE DOWN THE VIDEO.
#zeelakutune #zeelatown #e7bits
Wamwisho apa😂 naombeni likes
Nimekuwa wa 20 leo nakama una ikubali E 7bits gonga like apo tujuwana nduguzangu
Leo Wa Kwanza zee la kuchuni nipeni like zangu Wana familiy🎉
Jaman hii movie n 🔥🔥 kama mkiitaka CZcams isachi kwa jina la my crazy girlfriend
Nakubalii familia yangu
Wa mwisho jaman ntakien usk mwema bhas🥰🥰🥰❤
Alooo Broo unatishaa sanaaa so big up
Nice sana❤❤❤❤❤❤❤❤
We jamaa upo vzr sema unasubiri waigizaji Fulani waigize kwanza yaonekana
Hiii imeenda ❤
Leo nimewai
Wakwanza kuona hii nipe likes 👍 zangu
😂😂😍😍 story nzurii sanaa huyoo jamaa ni kama mimi haisee dunia tupo wawili wawilii haisee
Mmm😂
Movie hii ya kizungu ju huyu anaitafusiri kiswahili
Huyu jama namkubali sana kinoma mje mnarusha filamu zake kwa wingi
Wamwishoo Mimi like zanguu😅😅😅
Leo nimewahi nimekuwa wa 16 asante mwamba tunainjoi tuuu tulikumis sana ❤❤❤❤
Movie tamu jamn naombeni like zangu
Nzuli sana jamani❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Video zinachelewa kaka
Mbona siku izi mnachukua siku nyingi kupost mnakatisha utamu😢
Namkubali Jama,anafanya vizuri sana move zake zipo pw kwel kam when engels meet na treasure in the sky oyaaa xo pw ety...
Leo nimekaa nashika cm sielew lkn nilivyo ona notification ya mwamba huyu 🎉🎉🎉🎉🎉
Wakwanza leo liké 5 master
Kazi kaziiiii
Move nzuri🎉
Huyo kaka namkubar mnoo
Wa kwanza mm leo najua sitapata comment hata 1
Hii muvi Kali sn nimeipenda 🎉🎉🎉
Wakwanza Leo nipeni maua yangu 🎉🎉🎉
Daaah yan napenda san movie zak mungu akupe maish maref❤
❤🎉🎉
Leo wa kwanza nipewe like 10 tyu
Naombeni likes😢
Kama unankubali uyu jamaa gonga like
Mm Leo like Zang kumi kwanz
Leo wakwanz likes zang jamn
Kumekucha kumekucha aiseeeeee njooo huku jmn ❤🎉
Nipeni like na mm
Umetukumbuka konkaaa
Nipo nanyi mpaka mwisho
Nimewahiiiiii❤❤❤❤
Wakwanza😂
Nzuri sana ❤
Kaka unacherewa mno kaka wik mbili kwel usingiz aushik ndg
Wiki mbili wapi siku 4 tu
Ewaahh kitu Ile napenda ni NGOMA INAANZA😂😂😂
Like zangu jmn
Nakukubali saana from Mozambiq
Wakwanza leooooo kak unachelew xan ku2wekea Kaz hum 2be
Hiiii ivi mnalalaga CZcams jmn😂
Kaka unajua😂😂😂
Ngoma za uyo bro nazierewa kinowa dulekid unyama familia umenigusa palepale
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas babaaaaaas
😂😂😂😂😂hpo kwa nguo nmechka wallah
Oy huu unyama 💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
Mtu wamaana kabisa wewe 🔥🔥
Aweeeeeh
Wakwanzaa nipeni likes jmn 😢😢
Wee jamaa unajua sana nimeiona b4 ya kuitazama kwako
Kuna mpya jamani❤😊 inaitwa me or you kaigiza Clinton Joshua na chidi dikee❤❤ plz itafsiri
Wakaangukia mazingira ya Busu😅😅😅
hivi mnajuwa nime comments wa kwanza then nikafuta tena comments yangu 🤷🏾♂️
Mwamba unajua sanaaa
Hatimae baada ya lisaa nimebaatika😂
E7beat for lifee 💥
Unyamaaa K̃ÕÑK̃ÃÃÃÃÃ 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mm ukipakiaga movie za huyu jamaa ndio naangalia namkubali sanaa
😂😂😂😂😂 very nice Masha'Allah ❤❤❤❤❤
KAKA UMECHELEWESHA KINOMA KUTOA RECAP MPAKA NKAJUA TIALI USHAACHAKUTOA RECAP KAKA
Nice story
Nimekuwa wa kwanza
Naombeni like zangu
Wakwanza oyeeeeee
😂😂wakwanza
Daaaaa💥💥💥💥💥💥💥💥 jamaa kajbebea wakishua afu age ya 2000 wala siyo mishangaziii
@E7bits hatupoiii😅
Asante sana Kwa kuleta hii❤🥰🥰
❤❤
😊😊😊
❤❤❤❤
Thanks guys ❤❤
Asante Ila izi siku unakawiya sana kutupa movie
Dah,,,nimemiss sana story zako,,,😢
nipeni likes jmn
Ni💥💥💥💥💥 mbona kaka nashindwa kungiunga niipate movie vzr
Nzuri saana ❤
More love more life ni mm funs wako Tumah 🤩
Wow hii love story nzur❤❤
Mkuu unachelewa sema unyamaa snaa
❤
Uko vzr sana boss
You nailed it kaka
Wayaaa
Kali sana hiiiii
Asante konka kwa kutimiza nilichoomba
❤❤❤
❤❤❤❤blessed
We brother nakukubali sana unajua sana yan
Mashaal asant sana ❤
Waooo nimeipenda cnaaa
Unyama sana 🎉🎉🎉🎉
Ulikua wapi kaka siku kibao
Nakukubali sana