ANGALIA JINSI HUYU MCHUNGAJI ANAVOMSALITI MKE WAKE INAUMIZA SANA| TASTE OF SIN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • JE WEWE NI HUYU?
    • Unataka kukuza kipato chako na kujiingizia laki 1 Hadi 5 kwa week.
    • Unataka kuanzisha biashara kwa kutumia muda Wako wa Ziada.
    •Tunapanua WiGo wa soko hapa Jijini tunatafuta watu chanya ambao tunaweza kufanya nao kazi.
    • Tumejikita katika tasnia ya afya inayompa mtu nafasi ya kumiliki mfumo wa usambazaji WA bidhaa na kukuza kipato chake.
    kama ni wewe au Kuna mtu unamfahamu basi:
    TUPIGIE +255758665268
    AU
    KWA MITANDAO YA KIJAMII
    Facebook, Instagram,TikTok
    KAMA
    @biasharainalipa
    ⚠️CREDITS:
    Watch Full movie on : NETFLIX
    Movie name : TASTE OF SIN
    Genre : Drama
    Year :
    Follow us :-
    Instagram-www.instagram....
    Tiktok- tiktok.com/@e7bits
    Follow KONKA on Social :-
    Instagram-www.instagram....
    Tiktok- tiktok.com/@izkonka

Komentáře • 519

  • @sishamusic
    @sishamusic Před 5 měsíci +19

    Jamaniiii kila siku nachelewa😢 naomba hata like kidogo

  • @FanesKalumbwa
    @FanesKalumbwa Před 5 měsíci +7

    Nimejifunza usitamani 😢, na msimkatie mtu tamaa maana mungu ndo anajua wakati sahiho waku m bless🎉

  • @godfreyissack1492
    @godfreyissack1492 Před 5 měsíci +5

    Daa bonge ya muvi true MUNGU NI MKUBWA

  • @azizakazimoto6692
    @azizakazimoto6692 Před 5 měsíci +5

    Nimejifunza Mungu yupo na ukimtafuta kweli bila kukata tamaa anakuonekania na anakutetea! Mungu atuongoze!

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo Před 5 měsíci +7

    Daah Kila siku ninachelelewa ila naomba like japo Tano tu

  • @idayaedson703
    @idayaedson703 Před 5 měsíci +5

    Once again #Kimu_Dalla all de way from KIGAMBONI
    Big shout out to you broda #Konkaaa🦋🦋

  • @alphaxhosa8248
    @alphaxhosa8248 Před 5 měsíci +5

    Shukrani kwa ukumbusho kaka Ni kweli Mungu Anasamehe dhambi zote pale tunapofanya toba UA kweli

  • @MarryKepha
    @MarryKepha Před 5 měsíci +7

    Jaman nimechelewa leo😢 like hata tano tu😊

  • @FanuelMhonjwa-fm1oe
    @FanuelMhonjwa-fm1oe Před 5 měsíci +129

    Juxt imagine watu wako online anytime kumcubili sauti ya mamlak a.k.a konkaaa ..nkajua Niko first ap😅😅any way ata like kumi basii..😅😅

  • @Sarahsaid2648
    @Sarahsaid2648 Před 5 měsíci +4

    Nimejifunza haitakiwi kukata tamaa Mungu anaweza kukuinua tena

  • @mecklion4710
    @mecklion4710 Před 5 měsíci +4

    Wa mwsho leo ...nipni like siku nyngne niwe wa kwnza

  • @marryofficial9143
    @marryofficial9143 Před 5 měsíci +2

    Nimejifunza when jesus say yes nobody can say no lucy alipimwa hana kizazi lkn Mungu alimpa tena kizaz🙏🏻🎉

  • @TundaEmanuel-ns8kj
    @TundaEmanuel-ns8kj Před 5 měsíci +10

    Jamn wa 66 Leo mnipe like zangu nimejitahd 😂

  • @MagrethMwanyagama-ym6fe
    @MagrethMwanyagama-ym6fe Před 5 měsíci +3

    Wa kwanz like zangu

  • @user-wk8xg7gw8t
    @user-wk8xg7gw8t Před 5 měsíci +3

    Tuzidi kumwamini Mungu 🙏

  • @peterpatrick7825
    @peterpatrick7825 Před 5 měsíci +3

    Una simulia vyema sana movie God bless you

  • @timothyzablon3224
    @timothyzablon3224 Před 5 měsíci +3

    Hakika Mungu wetu ni Mungu wa neema na rehema amejawa na huruma haangalii kuanguka kwetu bali anaangalia kuinuka kwetu,,hafurahii kifo cha mtu mwenye dhambi

  • @peterkaombwe6251
    @peterkaombwe6251 Před 5 měsíci +3

    Mungu ni mkuu sana tusikate tamaa tumwabudu kweli kweli

  • @carolineawadhy5504
    @carolineawadhy5504 Před 4 měsíci +2

    Amen. Nimejifunza Rehema za Mungu zipo juu ya watu wake tuendelee kujinyenyekeza kwake

  • @Pilioni_
    @Pilioni_ Před 5 měsíci +2

    Mungu anasamehe hilo ndilo naweza sema

  • @lanto3409
    @lanto3409 Před 5 měsíci +3

    MUNGU akupe itaji la moyo wako nimebarikiwa na hii movi na ushauli wako wa mwishoni mwa movi najiona mpya sasa kwa yote niliyo mtendea mchumba wangu ubarikiwe sana na
    e7bites ikuwee sanaa

  • @ayshasfyan3260
    @ayshasfyan3260 Před 5 měsíci +2

    Mung hawai wala achelew anajib kwawakat imani ni dawa kubwa san love u Allh

  • @MrsAbou-wd1ik
    @MrsAbou-wd1ik Před 5 měsíci +2

    Alhamdulillah I learn that Allah is Allah no matter what don’t forget to pray&swala are important than anything thing in this world

  • @HusnaAthumani-yf8mc
    @HusnaAthumani-yf8mc Před 4 měsíci +2

    Kutubuu ni muhimuu sanaa hakikaaa munguu hamtupii mtuu mwenye kujutia aliyoyatenda kwa makosaa

  • @amena1-vy2xd
    @amena1-vy2xd Před 5 měsíci +4

    Hakuna kinachoshindikana kwa Mungu

  • @dicksonhenry345
    @dicksonhenry345 Před 3 měsíci +3

    Wa kuukumu ni mungu tu, na si mwanadamu

  • @CharlotteMuyenga
    @CharlotteMuyenga Před 5 měsíci +1

    Nimejifunza Mungu wetu in mwingi wa Rehema ata ukifanya Kosa gani atakusameya na atakupokea Tena. Mungu wetu ni mwingi wa fadhili 🙏🏻🙏🏻❤

  • @islabocco478
    @islabocco478 Před 5 měsíci +4

    Ety nuhu ndio alisulubiwa jamn😂😂😂

  • @EmmyPhilimon
    @EmmyPhilimon Před 5 měsíci +3

    Emen yess yan ukikubali kutubu umemaliza yote

  • @Ansii806
    @Ansii806 Před 5 měsíci +2

    Jaman mm leo kwa mara yakwanza nimewahiii naomben like zenuuu😢😢😢😢

  • @FadhilaFadhila-wi5wh
    @FadhilaFadhila-wi5wh Před 5 měsíci +1

    Mungu anamiujiza mikubwa. Hakuna kinachoshindikana kwake.

  • @matabalimbu97
    @matabalimbu97 Před 5 měsíci +3

    Ukimtumikia mungu kwa uaminifu inalipa.

  • @user-vy5nj4ns8t
    @user-vy5nj4ns8t Před 5 měsíci +2

    Nampenda sana Huyu kaka Anavo fafanua Mungu akutunze

  • @user-qk1el5jr5t
    @user-qk1el5jr5t Před 5 měsíci +1

    Mimi namwamini mungu kila wakati na namshukuru kila Jambo mungu nimwema kila wakati 🙏🙏🙏

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Před 5 měsíci +2

    Hakuna kinacho shindikana kwa mungu kira kitu kinawezekana amen

  • @johnnycynaite8226
    @johnnycynaite8226 Před 5 měsíci +2

    Mungu ni mwema kila wakati

  • @estherlugina4231
    @estherlugina4231 Před 5 měsíci +2

    Nguvu ya msamaha, na kumtumikia Mungu katika Roho na kweli bila ya kuwa na tamaa ya vitu

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 Před 5 měsíci +3

    Mwamba unajua sanaaa kusimulia hongera kaka

  • @MeshackBalagasi
    @MeshackBalagasi Před 5 měsíci +1

    Nimejifunza kuwa ukimwamini mungu kwa kila jambo linawezekana kwake.

  • @user-oe9on3nx3q
    @user-oe9on3nx3q Před 5 měsíci +3

    MUNGU ni kila kitu katika maisha ya mwanadamu anajua yaliyopita yasasa na yajayo milele

  • @user-bs2mt5ox2r
    @user-bs2mt5ox2r Před 5 měsíci +2

    Kwwli huyu mwambaaa ni konkaaaaaa big up xana

  • @angelngoye4910
    @angelngoye4910 Před 5 měsíci

    Nimejifunza kwa Mungu everything is possible.. have faith🙌

  • @KomboShariff
    @KomboShariff Před 5 měsíci +2

    Kweli Amin bro nimejifuza usikate tama kwenye ndotoyako na kumuhamini mungu❤

  • @batapoint
    @batapoint Před 5 měsíci +2

    Konkaaa sina la kukwambia ila mungu akuinue .
    Mm shabiki Yako mpaka kufa

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 Před 3 měsíci +3

    Mungu atubakiri wanawake tunao angaika kutafuta watt😢😢

  • @alifhmach_mozambique4355
    @alifhmach_mozambique4355 Před 5 měsíci +1

    Mungu nikila kitu.

  • @user-xk7hi5gj4m
    @user-xk7hi5gj4m Před 5 měsíci +2

    Mm wa 50 jamna ❤

  • @khidhryhilmy-tz3te
    @khidhryhilmy-tz3te Před 5 měsíci +1

    nakubali sana yan

  • @marytaban4825
    @marytaban4825 Před 5 měsíci +2

    Siku zote Mungu ni mkubwa na mshindi ukimtumaini tu amen 🙏

  • @iam_jackie-xs1mz
    @iam_jackie-xs1mz Před 5 měsíci +2

    unajua broh,😊 ze la ku tune

  • @SeguinNumbi
    @SeguinNumbi Před 5 měsíci +2

    Na kukubali sana bro❤❤❤❤😊

  • @RoseAmos-iv6bq
    @RoseAmos-iv6bq Před 3 měsíci +2

    Kwakwel mungu hashindwi

  • @mosesiMadiru
    @mosesiMadiru Před 5 měsíci +1

    Nimeipenda sana Kila jambo Lina wakati wake Kuna wakati unaweza ukaria kutaka hiki ila kama mungu hajapenda huwezi pata ❤❤❤❤

  • @abdallahshaally17
    @abdallahshaally17 Před 5 měsíci +2

    Mungu ni mwema❤

  • @user-dc2hy1zy4l
    @user-dc2hy1zy4l Před 2 měsíci +1

    Inatufunza tusikate tamaa na lile tunalo liona ngumu kwetu kwa Mungu linakua lepesi.Amen

  • @ZakariahakimuZakariahakimu
    @ZakariahakimuZakariahakimu Před 5 měsíci +2

    Ameni kama umekubali mungu niwetu sote koment 100 niskose❤

  • @MasukiDambi
    @MasukiDambi Před 5 měsíci +3

    Nimejinza kuwa usikate tamaa kwa yule uliyempenda

  • @octaviansp-de1vs
    @octaviansp-de1vs Před 5 měsíci

    Nimejifunza kama ulicho jifunza wewe ila inshort mungu amekubariki una kipaji kikubwa sana naomba uongeze bidii na umuombe mungu pia na kumshukuru pia! Good job.

  • @ramadhanbarbary393
    @ramadhanbarbary393 Před 5 měsíci +1

    Noma sana

  • @moreenfelluzy3243
    @moreenfelluzy3243 Před 5 měsíci +1

    Yaaan hii saut ya huy msimuliaji inanichangnyag San aisee

  • @mwajbungoma3635
    @mwajbungoma3635 Před 5 měsíci +2

    Kweli mungu wakwe2 wote❤❤❤❤

  • @BazileTresor
    @BazileTresor Před 4 měsíci +2

    amen kutenda kosa sio kosa ila kurudia kosa Ndio kosa

  • @christianluvanga2673
    @christianluvanga2673 Před 5 měsíci

    God's Timing Is Perfect 🙏

  • @vivianjonathan1783
    @vivianjonathan1783 Před 5 měsíci +2

    Akakipa unyama❤

  • @jennymnishi7676
    @jennymnishi7676 Před 5 měsíci +2

    Bro muvie imenitoa machoz nahc ni kam Mungu amenikumbusha kitu ubarikiwe sana sana,!!❤

  • @MwanaidiHassan-wq3uh
    @MwanaidiHassan-wq3uh Před 5 měsíci +2

    Napenda sana mov zako❤

  • @anithamsaki2040
    @anithamsaki2040 Před 5 měsíci

    Mungu ndo Kila kwenye maisha yetu tusikate tamaa kumuomba munguu

  • @barakaima7066
    @barakaima7066 Před 5 měsíci +1

    Imenigusa sana adi nime sisimkaa🥲🥲

  • @MiriamMollel-bg7pj
    @MiriamMollel-bg7pj Před 5 měsíci +3

    Nimejifunza hakuna jambo liliwahi kumshinda mungu na uvumilivu ni kila kitu

  • @ClassicMk-rv6lz
    @ClassicMk-rv6lz Před 5 měsíci +1

    Ubarikiwe sana kwahii muvi umeileta wakati sahihi nimejifunz ki2 kikubwa san

  • @dianamichael6812
    @dianamichael6812 Před 5 měsíci

    Mungu wetu anasemeh n anajibu wale WALOOMBA kwa Nia n kweeliii huyu ndo mungu wetu🙏🙏

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před 5 měsíci +1

    Kila siku nachelewa daah haya tunasikiliza hapa mwamba tunainjoi tuuu unajua sana kutufurahisha upo kimyaa sana tunamis hizi mover mwamba ❤❤❤

  • @theophilvocalist
    @theophilvocalist Před 5 měsíci +1

    You guy Mungu akubariki sana natamani sana kuonana na wewe tuzungumze zaidi

  • @user-nm4te4dm2j
    @user-nm4te4dm2j Před 5 měsíci +2

    Bro uko poah sana napenda sana recap zako daaaah zna mafumzo sanaaaa❤❤❤❤

  • @fatumamwaipopo41
    @fatumamwaipopo41 Před 5 měsíci +3

    Naomben like 1 nilale

  • @user-oc4ev3dk9c
    @user-oc4ev3dk9c Před 5 měsíci

    Nimejifunza tuwe na Imani Sanaa kweny kila Jambo , piia mungu ndo kilaa kitu2

  • @educeven1298
    @educeven1298 Před 5 měsíci +2

    Unyama sanaa kk

  • @FahadHasira
    @FahadHasira Před 5 měsíci +1

    Sema mjomba unajua sanaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @user-qx6hg8xr7e
    @user-qx6hg8xr7e Před 5 měsíci +1

    Uvumilivu na Imani 🙏🙏

  • @user-xt4pr8hr5m
    @user-xt4pr8hr5m Před 5 měsíci +2

    Unacherewa kutowa mizigo bhana

  • @donaldvanjoseph8153
    @donaldvanjoseph8153 Před 5 měsíci +2

    imani ni kila kitu🙏🙏

  • @ireneviane970
    @ireneviane970 Před 5 měsíci +2

    Nimejifunza mungu usamehe mtu yoyote anaekosea na kumrudia kwazati

  • @JohnHiza-lj1gu
    @JohnHiza-lj1gu Před 5 měsíci +3

    Uwii u never disappoint us

  • @user-tk7ve7sn2g
    @user-tk7ve7sn2g Před 5 měsíci

    Mungu ni wa rehema siku zote👏🤗

  • @FadhilaFadhila-wi5wh
    @FadhilaFadhila-wi5wh Před 5 měsíci +1

    Movie is hot. Mauwa yako konkaa🎉🎉🎉🎉

  • @user-on5kg6cl5n
    @user-on5kg6cl5n Před 5 měsíci

    Hakuna kinachoshindikana mbele za MUNGU na tunachotakiwa kujivunia ni kwamba hata umkosee Mara ngapi MUNGU bado atakusamehe na kukunyanyua Tena Amen🙏

  • @bharackakamugisha8420
    @bharackakamugisha8420 Před 5 měsíci +2

    Naonaaa watu wanadai like daily sijui zinasaidia nn na mm naombeni hata like 20 tuu

  • @batulijuma506
    @batulijuma506 Před 5 měsíci +1

    Kweli mungu ni wetu sote

  • @isaeburundi4403
    @isaeburundi4403 Před 5 měsíci +2

    Bro big up saan kbs Mana ndo msemo wangu Mungu niwetu sote

  • @FurahaHappy-jd4jl
    @FurahaHappy-jd4jl Před 5 měsíci

    Hakuna linalo mshinda Mungu jamani,na ukiona mwenzako ameanguka apana kumusemeya mabaya wala kumushindiliya cini inabidi umuombeye saba mungu hana ubaguzi hata wenye zambi anawapenda❤❤

  • @user-xy5kv3tv1s
    @user-xy5kv3tv1s Před 5 měsíci +2

    😢😢noma san

  • @estanamihambi2084
    @estanamihambi2084 Před 5 měsíci

    Mungu ni mwema na ni mwenye haki mara zote, hakika yeye ni mwenye fadhili sana.🙏❤️

  • @PonchaCastro-ho9wr
    @PonchaCastro-ho9wr Před 5 měsíci +2

    Eti noah alisulubiwa kwajir yazambi za wanadamu wee konka miyayushoo kichiz 😂

  • @ScolaKimaro
    @ScolaKimaro Před 5 měsíci +1

    Never give up 😊

  • @sarahgodwin8563
    @sarahgodwin8563 Před 5 měsíci +2

    Nimejifunza kusamehe

  • @ELLAHENOS_
    @ELLAHENOS_ Před 5 měsíci

    Sijui upewe nin wew kaka ilaa Mungu akutunze for me and all ur fans ❤❤❤,,,,, Amen Mungu ni wety sote

  • @LandryMapesa-ns5mq
    @LandryMapesa-ns5mq Před 5 měsíci

    Mungu ninuru nakuna zaidi yake nime jifuza kikubwa sana apa

  • @AngelRupia-od2gu
    @AngelRupia-od2gu Před 5 měsíci +1

    Nzuri sana kwa kweli tuwe wavumilivu

  • @AminaOmari-iv7yx
    @AminaOmari-iv7yx Před 5 měsíci +1

    🔥🔥🔥 nimeipend

  • @MwanaidiKasimu
    @MwanaidiKasimu Před 5 měsíci +2

    Dah tuskate tamaa ingali tuhai