ANGALIA JINSI HUYU MCHUNGAJI ANAVOMSALITI MKE WAKE INAUMIZA SANA| TASTE OF SIN
Vložit
- čas přidán 9. 09. 2024
- JE WEWE NI HUYU?
• Unataka kukuza kipato chako na kujiingizia laki 1 Hadi 5 kwa week.
• Unataka kuanzisha biashara kwa kutumia muda Wako wa Ziada.
•Tunapanua WiGo wa soko hapa Jijini tunatafuta watu chanya ambao tunaweza kufanya nao kazi.
• Tumejikita katika tasnia ya afya inayompa mtu nafasi ya kumiliki mfumo wa usambazaji WA bidhaa na kukuza kipato chake.
kama ni wewe au Kuna mtu unamfahamu basi:
TUPIGIE +255758665268
AU
KWA MITANDAO YA KIJAMII
Facebook, Instagram,TikTok
KAMA
@biasharainalipa
⚠️CREDITS:
Watch Full movie on : NETFLIX
Movie name : TASTE OF SIN
Genre : Drama
Year :
Follow us :-
Instagram-www.instagram....
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram-www.instagram....
Tiktok- tiktok.com/@izkonka
Jamaniiii kila siku nachelewa😢 naomba hata like kidogo
👍🏾
Upuuzi tu like zinawasaidia nn🙄
@@SekelaJakson-ls7dd kamuulize mama ako
Mi nakupa zawadi ya comment wewe utanipa nini?
Nimejifunza usitamani 😢, na msimkatie mtu tamaa maana mungu ndo anajua wakati sahiho waku m bless🎉
Hunena kak
Umenen kak
Daa bonge ya muvi true MUNGU NI MKUBWA
Nimejifunza Mungu yupo na ukimtafuta kweli bila kukata tamaa anakuonekania na anakutetea! Mungu atuongoze!
Daah Kila siku ninachelelewa ila naomba like japo Tano tu
Once again #Kimu_Dalla all de way from KIGAMBONI
Big shout out to you broda #Konkaaa🦋🦋
Shukrani kwa ukumbusho kaka Ni kweli Mungu Anasamehe dhambi zote pale tunapofanya toba UA kweli
Jaman nimechelewa leo😢 like hata tano tu😊
Juxt imagine watu wako online anytime kumcubili sauti ya mamlak a.k.a konkaaa ..nkajua Niko first ap😅😅any way ata like kumi basii..😅😅
Chukua aisee😅
@@e7bits_tz pamoja 👍
Ni mimi huyuùuu kabisaaa
konka una changamoto gan asee..mbona siku hiz mizgo inachelewa..
Hata mimi 😂
Nimejifunza haitakiwi kukata tamaa Mungu anaweza kukuinua tena
Wa mwsho leo ...nipni like siku nyngne niwe wa kwnza
Nimejifunza when jesus say yes nobody can say no lucy alipimwa hana kizazi lkn Mungu alimpa tena kizaz🙏🏻🎉
Jamn wa 66 Leo mnipe like zangu nimejitahd 😂
Wa kwanz like zangu
Tuzidi kumwamini Mungu 🙏
Una simulia vyema sana movie God bless you
Hakika Mungu wetu ni Mungu wa neema na rehema amejawa na huruma haangalii kuanguka kwetu bali anaangalia kuinuka kwetu,,hafurahii kifo cha mtu mwenye dhambi
Mungu ni mkuu sana tusikate tamaa tumwabudu kweli kweli
Amen. Nimejifunza Rehema za Mungu zipo juu ya watu wake tuendelee kujinyenyekeza kwake
Mungu anasamehe hilo ndilo naweza sema
MUNGU akupe itaji la moyo wako nimebarikiwa na hii movi na ushauli wako wa mwishoni mwa movi najiona mpya sasa kwa yote niliyo mtendea mchumba wangu ubarikiwe sana na
e7bites ikuwee sanaa
Mung hawai wala achelew anajib kwawakat imani ni dawa kubwa san love u Allh
Alhamdulillah I learn that Allah is Allah no matter what don’t forget to pray&swala are important than anything thing in this world
Kutubuu ni muhimuu sanaa hakikaaa munguu hamtupii mtuu mwenye kujutia aliyoyatenda kwa makosaa
Hakuna kinachoshindikana kwa Mungu
Wa kuukumu ni mungu tu, na si mwanadamu
Nimejifunza Mungu wetu in mwingi wa Rehema ata ukifanya Kosa gani atakusameya na atakupokea Tena. Mungu wetu ni mwingi wa fadhili 🙏🏻🙏🏻❤
Ety nuhu ndio alisulubiwa jamn😂😂😂
Emen yess yan ukikubali kutubu umemaliza yote
Jaman mm leo kwa mara yakwanza nimewahiii naomben like zenuuu😢😢😢😢
Mungu anamiujiza mikubwa. Hakuna kinachoshindikana kwake.
Ukimtumikia mungu kwa uaminifu inalipa.
Nampenda sana Huyu kaka Anavo fafanua Mungu akutunze
Mimi namwamini mungu kila wakati na namshukuru kila Jambo mungu nimwema kila wakati 🙏🙏🙏
Hakuna kinacho shindikana kwa mungu kira kitu kinawezekana amen
Mungu ni mwema kila wakati
Nguvu ya msamaha, na kumtumikia Mungu katika Roho na kweli bila ya kuwa na tamaa ya vitu
Mwamba unajua sanaaa kusimulia hongera kaka
Asante sana
Nimejifunza kuwa ukimwamini mungu kwa kila jambo linawezekana kwake.
MUNGU ni kila kitu katika maisha ya mwanadamu anajua yaliyopita yasasa na yajayo milele
Kwwli huyu mwambaaa ni konkaaaaaa big up xana
Nimejifunza kwa Mungu everything is possible.. have faith🙌
Kweli Amin bro nimejifuza usikate tama kwenye ndotoyako na kumuhamini mungu❤
Konkaaa sina la kukwambia ila mungu akuinue .
Mm shabiki Yako mpaka kufa
Mungu atubakiri wanawake tunao angaika kutafuta watt😢😢
Mungu nikila kitu.
Mm wa 50 jamna ❤
nakubali sana yan
Siku zote Mungu ni mkubwa na mshindi ukimtumaini tu amen 🙏
unajua broh,😊 ze la ku tune
Na kukubali sana bro❤❤❤❤😊
Kwakwel mungu hashindwi
Nimeipenda sana Kila jambo Lina wakati wake Kuna wakati unaweza ukaria kutaka hiki ila kama mungu hajapenda huwezi pata ❤❤❤❤
Mungu ni mwema❤
Inatufunza tusikate tamaa na lile tunalo liona ngumu kwetu kwa Mungu linakua lepesi.Amen
Ameni kama umekubali mungu niwetu sote koment 100 niskose❤
Nimejinza kuwa usikate tamaa kwa yule uliyempenda
Nimejifunza kama ulicho jifunza wewe ila inshort mungu amekubariki una kipaji kikubwa sana naomba uongeze bidii na umuombe mungu pia na kumshukuru pia! Good job.
Noma sana
Yaaan hii saut ya huy msimuliaji inanichangnyag San aisee
Kweli mungu wakwe2 wote❤❤❤❤
amen kutenda kosa sio kosa ila kurudia kosa Ndio kosa
God's Timing Is Perfect 🙏
Akakipa unyama❤
Bro muvie imenitoa machoz nahc ni kam Mungu amenikumbusha kitu ubarikiwe sana sana,!!❤
Asante sana
Kama mm pia 😢
Napenda sana mov zako❤
Mungu ndo Kila kwenye maisha yetu tusikate tamaa kumuomba munguu
Imenigusa sana adi nime sisimkaa🥲🥲
Nimejifunza hakuna jambo liliwahi kumshinda mungu na uvumilivu ni kila kitu
Ubarikiwe sana kwahii muvi umeileta wakati sahihi nimejifunz ki2 kikubwa san
Mungu wetu anasemeh n anajibu wale WALOOMBA kwa Nia n kweeliii huyu ndo mungu wetu🙏🙏
Kila siku nachelewa daah haya tunasikiliza hapa mwamba tunainjoi tuuu unajua sana kutufurahisha upo kimyaa sana tunamis hizi mover mwamba ❤❤❤
You guy Mungu akubariki sana natamani sana kuonana na wewe tuzungumze zaidi
Bro uko poah sana napenda sana recap zako daaaah zna mafumzo sanaaaa❤❤❤❤
Naomben like 1 nilale
Nimejifunza tuwe na Imani Sanaa kweny kila Jambo , piia mungu ndo kilaa kitu2
Unyama sanaa kk
Sema mjomba unajua sanaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Uvumilivu na Imani 🙏🙏
Unacherewa kutowa mizigo bhana
imani ni kila kitu🙏🙏
Nimejifunza mungu usamehe mtu yoyote anaekosea na kumrudia kwazati
Uwii u never disappoint us
I won’t 🙏
Mungu ni wa rehema siku zote👏🤗
Movie is hot. Mauwa yako konkaa🎉🎉🎉🎉
Hakuna kinachoshindikana mbele za MUNGU na tunachotakiwa kujivunia ni kwamba hata umkosee Mara ngapi MUNGU bado atakusamehe na kukunyanyua Tena Amen🙏
Naonaaa watu wanadai like daily sijui zinasaidia nn na mm naombeni hata like 20 tuu
Kweli mungu ni wetu sote
Bro big up saan kbs Mana ndo msemo wangu Mungu niwetu sote
Kabisa kabisa
Kabisa 🙏🙏
Hakuna linalo mshinda Mungu jamani,na ukiona mwenzako ameanguka apana kumusemeya mabaya wala kumushindiliya cini inabidi umuombeye saba mungu hana ubaguzi hata wenye zambi anawapenda❤❤
😢😢noma san
Mungu ni mwema na ni mwenye haki mara zote, hakika yeye ni mwenye fadhili sana.🙏❤️
Eti noah alisulubiwa kwajir yazambi za wanadamu wee konka miyayushoo kichiz 😂
Never give up 😊
Nimejifunza kusamehe
Sijui upewe nin wew kaka ilaa Mungu akutunze for me and all ur fans ❤❤❤,,,,, Amen Mungu ni wety sote
Mungu ninuru nakuna zaidi yake nime jifuza kikubwa sana apa
Nzuri sana kwa kweli tuwe wavumilivu
🔥🔥🔥 nimeipend
Dah tuskate tamaa ingali tuhai