MOVIE REVIEW : LOVE STORY ❤| MAPENZI NI UPOFU UKIPENDA HUONI
Vložit
- čas přidán 2. 03. 2024
- Movie Name : TH0UGH HIS EYES
Year : 2024
Genre : Drama,Comedy
NB: CREDITS
●WATCH FULL MOVIE ON : ONE AND TWO FILMS TV
⚠️DISCLAIMER
Copyright Disclaimer: - Under section 107 of the copyright Act 1976, allowance is made for FAIR USE for purpose such a as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship and research. Fair use is a use permitted by copyright statues that might otherwise be infringing. Non- Profit, educational or personal use tips the balance in favor of FAIR USE.
IF YOU FEEL YOUR RIGHTS ARE VIOLATED EMAIL ME AT "lifelakitaa@gmail.com" AND I WILL KINDLY TAKE DOWN THE VIDEO.
#zeelakutune #zeelatown #e7bits - Zábava
Huwez kuwap watu rimoti ya maisha yako afu utegemee good life
🤣🤣🤣Uyo mzee iyo kelele kanichekesha kwel 🤣🤣🤣🤣🤣
Wakwanza leo❤nipeni like zangu😊
Chukua🙌
Ongera bro kwa kazi nzuri
Ukiachia simulizi zako ninachokipenda zaid kutok kwako hilo neno la mwisho unavolitamka BY oya more life more love mm ni shabiki wako sana tu ❤💚🧡💙💜🤎🖤🤍💛💖😘
Asante sana TUMA
@@e7bits_tzsema man we ni master sana story ya masaa matatu unaipiga dakika 13 na inaeleweka mbaya daah
Napenda simulize zako zinanifanya nijiona wasamani
Kaz Kali lakn unachelewa Sana kutoa dear 😢
Una2pa mautamu bro❤❤❤❤ waspapee ❤❤❤
You never dissapoint,, na sauti pia inafanya watu wapende movie zenu❤❤
asante kwa kunipa wakati mzuri sana
Nan mwengn kaielewa bei ya kiatu ❤😂😂 more love
Hahaha
Wa 123 gonga like hap❤
Bro E7bits good job
Much respect
Kilasikunynyi t naomba like
Wakwanza like gonga 🎉
🙌
Wakwanza leo like please 🎉
kaka asantee yaan najihisi mwenye furaha kusikiliza recp yako kwa move
Leo nimekuwa wa 3 😂 nimewahi asante mwamba tunainjoi tuuu unajua sana ❤❤✌️✌️
🙌
respect sana
🙏🙏🙏
huyu jamaa kylian e7bits mmemfanyia promo ya kutosha .. angaleni maokoto pia
Mm mwenyewe nampenda mno
Sema mtoto nanaa mzuri kinomaa yaaaan
Uyo mzee jauu sana aisee izo kelele apn daah anavunja watu kwenye uroda😂😂😂Haha 😂😂😂😂😂
izkonka unatishaaaa sanaaaaaaaaaaa hiii kitu ni hatariiiiiiiii iko interesting sanaaaaa, shuka na nyingine tena
Kijana unawezaa.
Nimekubalii kazi yakooo.
**** Nice ****
DJ ongeza mdundiko
Masaa mawil t. Jaman nimechelewa. Ila hmn shida. Movie ni nowmaa.
Wa kwanza
🙌🙌🙌
Watu mnawahi xana
Hatimae nmekoment hata kama meazma cm una good voice 🎉🎉🎉
Umei2pa atar❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nzur sanaaaaaa
Mimi hapa wa mwisho nipeni like zangu 😂😂😂😂
7:09 😂😂😂😂😂 Mzeee Kapiga woyeee
Nmeisubil sanah hii move
Huna baya dady❤ waonesheeeeee😊
😂😂😂😂❤🎉yani huyu kaka napenda movie zake sijui nimfate uko alipo
Napenda sana move za huyu mwamba ANAJUA
Story anazocheza huyu dogo zinatachi kinoma hapo mwisho nimelia mzee
Nyie Nana analips nzuri 😍
😁😁😁 jaman
Saf sana kazi zako nazisubiriaga sana broo hongera sana 👏👏
Asante sana
Oyaaa konkaa ee,, long life brooo
❤❤ Nyie watu munawai saana daaa
Wow wow 👏👏👏❤❤❤❤
Hhhhhhhh nime chek mzeeee alivyo sem heeeeeeeee😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂
😂😂😂😂
3:43 @@user-br4tl7jv9j
Mwanang usitucheleweshee mzigooo yaan me nasuniri notifications zako tuu broo
Sema big up vitu vyako ni vikali kinoma🫡🫡
Haina noma viongozi🙏🙏
Napenda sana move zake maana nibalaa hajawaji kukoseaa kwakweli🙏💪❤️❤️❤️❤️💯💯💯💯💯
Wakwanza
🙌🙌🙌
First 😂
7:04 Heeee 😂😂
Nime chelewa kucoment ❤
We jamaa nakupenda bureeee
Wa 35 From oman ❤❤❤
🇴🇲🙌🙌🙌
😂😂😂
From Dubai hapa
@@user-py4xj9cw8r 😍😘
Bro inaonekan uyo dogo unapenda sana movies sake
Kaka macopy kibao huko lakin hawakukuti hata robo u the best
Nimerauka leo
😂🙌
Mimi nampendaga huyu Mkaka hanayevaa miwanii
Iyo kelele😅
😂🙌
Chuma la moto san🔥🔥
Nakubali
Likes
🙌
Alooooo nilijua nimewahi kmb nimechelewa😅😅
Wakwanzaaa like zanguu
🙌
Uyu baba 😂😂😂😊
jaman mapenz upof daaa jamaaa kadataa na bint❤❤
Mi nkiona Kipande TikTok mbio CZcams 😂😂😂😂
nazipenda sana mov za huyo kijana
M natoa like
Wakwanza Mimi leo
🙏🙌🙌
Tamu sana
Kaka nakupongeza kwa kazi nzuri ombi langu ni moja. Uwe unachanganya na movies za kizungu na zingine tofauti wengine sio shabiki sana wa hizi asante.
Joshua Clinton anajuw San huyo mwamb🎉
Familia Konka ✌🏼
Movie akiwemo huyo dogo naikubal kichizi
Unachelewesha sana Mzigo ndugu yanguu. Watu tunakuzungukia kila muda afu bado kimya
Msijali, nipo live sasa hivi
Kiukweli hua naangalia video zako pindi tu nikimuona huyu jamaa ndio kazigiza basi maana anajua sana
Nmecheka ile eeeeeeeehh ya yule mzee😂😂😂
Me pia 😂😂😂😂😂😂
Kaka ni siku ya pili sasa hujatoa mzigo tuko boad isee😅😅
Nimeweka tiktok mzigo mpya
CLINITON JOSHUA WAMOTO, mefanya Tufatilie NigerianMovie
Fanya REVIEW ya THE BOY NEXT CLASS
Okay okay
10😂
😂
Yaaan uyu mkaka mcute😘😘
Mashaallah
Like zangu kama mwana 7 bits 🎉
🙏🙏
❤
Yaan ni yeeeaaaaahh
Notification on, naku kunali mzee
Wuuuuuw 🙌🙏
Nimecheka sana pale alipopiga kelele jamani amenichekesha kwel
First 😂😂
🙌
Hizo kelele za baba mtu baada ya kuona binti anataka kubusiwa😂😂😂😂
Nakwambia😂😂😂😂😂
😂😂😂
😅😅😂😂😂😂😂
Mzee kapiga ukunga wagafula😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
All the way from Zenji#Marashi ya karafuu🔥🔥🔥🙌❤
Asanteee
😂😂😂😂😂nmecheka sana wallah tena uyu mzee amenifuraisha
kila jioni napita kutembelea page hii nikifika nyumbani
Goood
Ila umechelewa ze la town 😂😂😂
Kak ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mambo vipi wadau wangu❤
Bro huyo jamaa anaitwa nan kwa jina lake la uhalisia mbali na jina la uigizaji
Clinton Joshua
Oi nakubali mwanangu kaza buti tufike mbali
Nampenda huyu jidena jamaniiii❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊
HUWA NAFUATILIA SANA VIDEO ZAKO KAKA ILA CJAWAHI KUKOMENT LEO NDO FIRST TIME
💯💯💯🔥🔥🔥
Ahsante kaka mzuri