CHECHE ZA ALI KAMWE BAADA KARIAKOO DERBY/SIKIA MWANZO MWISHO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024

Komentáře • 189

  • @subiraibrahim8100
    @subiraibrahim8100 Před měsícem +58

    MAX MUNGU amzidishie anampenda Mungu na kumtegemea yy Masha Allah

  • @SalimuRamadhani-nl7bp
    @SalimuRamadhani-nl7bp Před měsícem +82

    Wananchi kama tunaikubali yanga
    Pigs keleleeeee,
    Naombeni like zenu

  • @ZuhuraNassoro
    @ZuhuraNassoro Před měsícem +35

    Max mchezaji wangu bora wakati wote, daima kila jema likawe upande wake.

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 Před měsícem +14

    Yanga oyeeeeeeee raha kama zote tumefurahi ALLY KAMWE. MUNGU AKULINDE NA MABAYA NA AKUJALIE MEMA NA AFYA NJEMA DAIMA INSHAALAH

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 Před měsícem +24

    Jamani yanga ndiyo tim pekee duniani iliyojaza viwanja viwili kwenye utambulisho wao

  • @user-ug1nv3xl4d
    @user-ug1nv3xl4d Před měsícem +17

    Max akili mingi nakupenda bureee💛💛💚💚

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py Před měsícem +17

    Weeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉 twende tukabebe mke young Africans 💚👍 laha sana

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 Před měsícem +21

    Max Mpia nimekuekewa brother unamkumbuka MUNGU hakika wewe ni Moja kati ya wachezaji wakubwa

  • @geraldndosi2083
    @geraldndosi2083 Před měsícem +14

    Alikamwe MUNGU azid kukuinuaa kaka huna baya

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Před měsícem +12

    Hii tishet aliovaa semaji kaliii mno😊

  • @SakinaSeif-tt6hf
    @SakinaSeif-tt6hf Před měsícem +16

    Ahsanteni sana wapambanaji wetu kwa kutupatia furaha

  • @ZillaMgaya
    @ZillaMgaya Před měsícem +15

    Mwijaku kautakaaa atupe mke wetuuuuu...

  • @mohchifu
    @mohchifu Před měsícem +11

    Nazidi kukukubali san Max Mpia Zingeli❤

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py Před měsícem +6

    Asante Asante sana max mungu akupe umli mlefu baba🙏

  • @mussamtimbinya
    @mussamtimbinya Před měsícem +8

    Ukimtegemea Mungu unadhinda kila jaribuo

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc Před měsícem +8

    Asante Mungu, asante wachezaji wetu 💛💚

  • @user-jj4ge5xg3u
    @user-jj4ge5xg3u Před měsícem +9

    Mtoto Kalilia wembe kapewa 1-0.Wananchiiiiiii! Makalo rudini kambini mkajifunze zaidi kwa League yetu!

  • @pappilonfar
    @pappilonfar Před měsícem +19

    Mbn anajua vzur kiswahili

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn Před měsícem +12

    Huyu kijana max ni mtumishi wa yesu angalia siku xote anapo kaa anapoingia uwanjani ansalili popote au labda kalelewa kwa watu wanaomjua mungu mungu amtunze ,kwa yanga ni kama daudi alie muuwa goliathi leo

  • @user-ig8iq1ho4o
    @user-ig8iq1ho4o Před měsícem +7

    Ohhhhh yanga tamu

  • @chichinizzy7174
    @chichinizzy7174 Před 29 dny

    Mchezaji mwenye nidhamuu ya hali ya juu nampemda sana Max mie 💚

  • @neykidoti102
    @neykidoti102 Před měsícem +2

    Weeuweeee 💚💛💚💛💚💚💚💚💚💪💪💪

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 Před měsícem +1

    Halafu maxi Sio mtoto wa Mwl kweli! Maana Ile chomekea Na ile nidhamu😅😅😅, Yanga Hoyeeee......

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz Před měsícem

    Mungu akupe kila haja ya moyo wako🎉max mpia nzengeri

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f Před měsícem

    Ally Mzee wa kero💚💛💚🔥🔥

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie Před měsícem

    Yangahii hatali ❤❤❤

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn Před měsícem +1

    HONGERA ALLY KAMWE KUPATA MKE BILA KUTARAJIA , SHEREHE IKO MAKAO MAKUU JANGWANI!

  • @mohamedikisinga9714
    @mohamedikisinga9714 Před 29 dny

    Tumekumisi sana Demaji la mabingwa❤

  • @moseschalani
    @moseschalani Před měsícem +10

    Wa kwanza

  • @AMOSYMGIMBA
    @AMOSYMGIMBA Před měsícem

    Sana owa afisa habari la young africans

  • @user-tb3xq2cu3o
    @user-tb3xq2cu3o Před měsícem +7

    Nakupenda pia ally kamwe mpolee sana mashallh❤😊😊😊 nimefurahii ku❤❤

  • @JumaMngumba
    @JumaMngumba Před měsícem +4

    Tushawashenyentaaa🎉🎉🎉💚💚💛💛💛

  • @yoelmickaj4049
    @yoelmickaj4049 Před měsícem +4

    Hii ni ubuyu ubweha😂😂😂😂😂kolo ameutaka

  • @aziziwailu7531
    @aziziwailu7531 Před měsícem

    Mmetisha

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem +6

    😂😂baleke si alipita imekuaje kurud anaongea ujinga

  • @mwajumampokileomckapela7541

    Nawapenda sana chama langu 🫶🖤💛💚

  • @DegratuasJulias
    @DegratuasJulias Před měsícem +6

    Mwijako tupo mke watu ally ajienjoi na mke wake

  • @AshaMohamedi-re4yy
    @AshaMohamedi-re4yy Před měsícem +3

    💚💚💛💛

  • @suddytele3692
    @suddytele3692 Před měsícem +2

    Perfect man

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před měsícem +2

    Mwijaku kautaka mwijaku kautaka mwijaku kautaka mwijaku kautaka

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 Před měsícem +1

    Wewe hatari kabisa.

  • @user-gn8hr1db3m
    @user-gn8hr1db3m Před měsícem

    Max kashajua kiswahili jaman😊😊

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před měsícem +1

    Hao MAKOLO haooooooo.... MAKOLO wameutaka.... MAKOLO wameutaka....🤣🤣🤣🤣

  • @user-yk7ff9ks6q
    @user-yk7ff9ks6q Před měsícem +1

    Hatariii

  • @user-pl6gf8vu2k
    @user-pl6gf8vu2k Před měsícem

    Yanga for life

  • @samweledward7664
    @samweledward7664 Před měsícem

    Yanga Bingwa ✅

  • @BoniphaceSamo
    @BoniphaceSamo Před 29 dny

    Oko sawa

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b Před měsícem +1

    Kipanduka umeanza kupandikza ujinga kny kichwa cha gamondi 😅😅😅😅😅😅😅

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Před měsícem +1

    Bora manara kuliko kamwe maana kamwe anakera kuliko manara 😂😂😂😂

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f Před měsícem +4

    Ww ali kamwe unalaha san jmn ndio mana tunakupenda san

  • @semkasha
    @semkasha Před měsícem +5

    Ali yule mke wa mwijaku si wako ni wayanga wote

  • @marysaimon2213
    @marysaimon2213 Před měsícem +1

    Hahahahahahaaaa, hao makolooo wameutaka, wameutaka

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Před měsícem

    Alhamndulilah Tunashukuru sn M/Mungu anavyotuwezesha na asante Vijana wangu nawapenda Allah awazidishie Kheir kwenye kazi zenu Inshaallah

  • @ZainabuMatanza-gr2ec
    @ZainabuMatanza-gr2ec Před měsícem +1

    Woyoooo

  • @AishaNgoyi-vi2ku
    @AishaNgoyi-vi2ku Před měsícem

    Huyu max n moto kila daby anafunga ❤❤❤

  • @user-fm3ix8pv9t
    @user-fm3ix8pv9t Před měsícem

    yanga bibgwa 🙏🙏🙏🖖⚽💪

  • @suddytele3692
    @suddytele3692 Před měsícem +2

    Tupange zamu ya kulala na mke wa mwijaku ebu tujuane kwanza tupo wangap alafu tupange cku ngapi ngapi.

  • @Jr17Kazz
    @Jr17Kazz Před měsícem +3

    Nzengelii 🤜🤜🤜🤜🤜

  • @joycefaida6548
    @joycefaida6548 Před měsícem

    Licha ya Ushindi,,,Max I love you 💚💚💛💚💚💛💚💚💚💛💛💛,,,Unampenda Mungu💛💚

  • @MatswelopeleMphela
    @MatswelopeleMphela Před měsícem

    Max hongera sana.

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Před měsícem

    Nice

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 Před měsícem

    DAIMA MBELE NYUMA MWIKO 💚💛💚💚

  • @ErenestElias
    @ErenestElias Před měsícem

    Ally bwana nakuelewa sana na sana broo we ndo msemaji mwenye akiri mantiki sana nenda kachikue goma lipige pumpu mrudishie fala uyo

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi5046 Před měsícem

    Max be blessed my brother kwa kumtumania MUNGU kwa kila jambo!!!! Endelea hivyo hivyo UTASHINDA KILA HATUA

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi5046 Před měsícem

    MASHIMO MASHIMO hebu kaa ktk neno la MUNGU tu sasa ACHA KABISA MAMBO YA MPIRA NAKUONYA kama MGANGA WA KIENYEJI VILE!!!! ONA unabii uluotoa unalitukanisha jina la Yesu!!! Acha kama mtumishi

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 Před měsícem

    Kamweeee🎉🎉🎉🎉🎉

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 Před měsícem

    MAX NI MTU WA MUNGU SANA

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem +3

    😂😂😂😂😂yanga

  • @user-kr2zi7du7y
    @user-kr2zi7du7y Před měsícem +3

    😅😅😅 ally

  • @MtashobyaJosia-wt9jq
    @MtashobyaJosia-wt9jq Před měsícem +2

    mtashobya josia nikiwa Kenya nawapata kwauzuri naiponza yanga pore ubaya ubwera

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před měsícem

    Jaivah itabidi aimbe remix maalum kwa yanga😂

  • @HalimaPeter-mb4ei
    @HalimaPeter-mb4ei Před měsícem

    Max anamjua mungu hongera sana mungu ndo yote

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Před měsícem

    Jibu la max juu kumuachia MUNGU kilakitu ndio binaadamu wote wanapaswa tuishi hivyo

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz Před měsícem

    Max anajua sana alaf anajitoa sana,anapambana sana..max❤❤❤ Allah akufanyie wepesi nakutakia afya njema❤❤💪💪💪

  • @HellenPhilipo
    @HellenPhilipo Před měsícem +1

    Yangaaa

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Před měsícem

    Aamina Inshaallah

  • @user-bz9fs7zy5b
    @user-bz9fs7zy5b Před měsícem

    Tumepata mke wajameni 😂😂😂semaji nenda kavute goma la mwijaku😂😂😂😂

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 Před měsícem

    Na mnajisahau tu simba kesha wafanya mbaya sana sasa tuonane kwenye ligi

  • @belindalowasa2819
    @belindalowasa2819 Před měsícem

    Dah max adi raha Mungu ndo kila kitu

  • @MaryMangowi
    @MaryMangowi Před měsícem

    Ally kamwe una bayaa broo

  • @sulleymanjimmy2214
    @sulleymanjimmy2214 Před měsícem

    Nzengeli kiswahili kishatakata hongera zake mwalimu wake Nkane

  • @paulobanzi5962
    @paulobanzi5962 Před měsícem +1

    Goli moja na make mmoja Toka kwa mwijaku hongera yanga hongera wananchi slogan Yao yaubaya ubwela maana yake nikwamba ubaya ubwela niyale yaliyotokea mwaka wa jana yatarudi Tena ndiyo maana halisi ya ubaya ubwela wamechagua ujumbe mzuri sanaaaaaa!!!

  • @S2kizzyZombi
    @S2kizzyZombi Před měsícem +1

    We mwijaku atupe mke we2 ela ya ukumbi akachukue kwa godlove 😂😂😂😂

  • @MauBonde
    @MauBonde Před měsícem +3

    Maiti katoa shahada kabla hajafa ,☝️tumeszika sanda mahala pake.

  • @kijanisaini5688
    @kijanisaini5688 Před měsícem +3

    Tunachukua mke na tunamfanyia paredi

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey Před měsícem

    Mungu ambariki max jamani😢

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Před měsícem +2

    Kachukue mke man

  • @LeonardNtiama
    @LeonardNtiama Před měsícem

    Wazee WA UBAYA UBWEGEEEEEEEEEE😂😂 amefumuliwa kwenye mshono mara tatu , mar ya nne tutakata kizazi bila kumpa taarifa yoyote

  • @danielbenard9053
    @danielbenard9053 Před měsícem +1

    ❤❤❤

  • @haidarngoyogo-wi8wu
    @haidarngoyogo-wi8wu Před měsícem

    Kamweeeee lete rahaaa

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Před měsícem

    Kasim Mpanga yule linseman aliyekataa goli la Aziz ki ni shabiki no. 1 wa Simba achana na goli la dube zilikuwa Tatu clear goals.

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před měsícem +1

    Adi Master Gamondi anasema mtoto kautaka

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem +1

    Baleke yeye ni fujo tu😂😂😂😂 kuongea aaaahhhh

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Před měsícem

    Asanteni kwa raha jamani ❤❤❤

  • @VIVIANMUKULU-kr8xp
    @VIVIANMUKULU-kr8xp Před měsícem +3

    😂😂😂😂😂😂

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul Před měsícem +2

    C mlisema mnawafungia wasemaji vituko?

  • @user-ok3bc8of5q
    @user-ok3bc8of5q Před měsícem

    Maxiiii ni mtu na nusu

  • @GenelivaSylvester
    @GenelivaSylvester Před měsícem

    Ali kamwe jmn ka katoto vile sema unanipa raha mieee ,hlw wananchi wherever you are it's just hi to you!!!

  • @sumailsumail9789
    @sumailsumail9789 Před měsícem

    Makolo mwaka huu mbona 6:24 watakoma aijalishi niko mbali kiasi gani lakni nafaatilia sana Young africans🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @user-un6bn5jo3i
    @user-un6bn5jo3i Před měsícem

    Dah! Jaman nzengeli ni mtu na nusu ni vile Basi tu hai mbwi hongera Sana dogo unajua ball