sauti ya watu- Mkemwema choir (official video)
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2024
- #mkemwema #gospelsongs #official #sautiyawatu
Karibu usikie na kutazama wimbo SAUTI YA WATU wenye kumsifu MUNGU na kukujenga kiroho kutoka kwao MKEMWEMA CHOIR.
KARIBU SANA TUMSIFU MUNGU
Usisahau ku LIKE, COMMENT na SUBSCRIBE
Phone No.:0624405955
Email:vijanachoirmkemwemakasulu@gmail.com
Subscribe ''Mkemwema Choir'' kutazama Video Zaidi: / mkemwemachoirkasulu
_________
Song: Sauti ya watu
Artists: Kwaya ya Vijana, F.P.C.T Kasulu Mjini - Mkemwema Choir
Video Album: UMEINGIAJE?
_________
►Tazama nyimbo nyingine kutoka katika Album ya Video ya UMEINGIAJE?👇🏽👇🏽
🔘Hapana ~ • HAPANA- Mkemwema Choir...
🔘Umeingiaje? ~ • UMEINGIAJE- Mkemwema c...
🔘Tutafute Kitambulisho ~ • Utafute kitambulisho -...
🔘Ingolane ~ • INGOLANE- Mkemwema cho...
🔘Maisha bila lengo ~ • Maisha bila lengo- Mke...
🔘Tukae tutafakari ~ • Tukae tutafakari- Mkem...
🔘Mwanamume ~ • Mwanaume - Mkemwema ch...
🔘Ni faida gani ~ • Ni faida gani- Mkemwem...
🔘Wewe ni Mungu wetu ~ • Wewe ni Mungu wetu Mke...
_________
►Tufikie kupitia Kurasa zetu za Kijamii
🔘Instagram ~ / mkemwemachoir
🔘Facebook ~ / mkemwemachoirtz
🔘Twitter ~ / mkemwemac
_________
►Mawasiliano Zaidi
📞 Simu: +255 755717519
📩 Barua Pepe: mkemwemachoir@gmail.com
_________
Haki zote zimehifadhiwa©2018.
Naendelea kuenjoy na nyimbo nzuri 💪💪💪💪
Hongera sana watumishi wa mungu nimebarkiwa sana na wimbo huu hakika saut ya watu ni saut ya mungu
Asante sana mtu wa Mungu kutufuatilia endelea kuwasaidia wengine njia ya kutufikia ni hapa CZcams tunaboresha mifumo Ili Kila huduma yetu iwafikie Kwa karibu hivo usiache kusubscribe na kushera link
Hongera sana waimbaji.
Mhezagigwe chane
Enock Nyumbi, hakika nawakubali, lkn kumbukeni mna vita ktk kumtumikia mungu, mgeuke nyuma wangapi mmebaki nawako wapi hao niwaombe mudumu ktk maombi.
Amina. Ubarikiwe sana!
Hongereni kwa huduma ninabarikiwa mno na mahubiri kwa njia ya uimbaji
Amen may God bless you my parents ❤️🙏
Nabarikiwa nikiwa kenya.
Barikiwa zaidi ndugu!🙏
Nimewamiss jaman karibuni tena sumbawanga
Asante watumishi wa Mungu kwa huduma nzuri ya uimbaji.niko Bujubura,ni na barikia Napo sikiriza nazi yenu!mbarikiwe saaana.
Napatikana dar,0684592969/0753532241 nawapendaa mno mungu awazidishie vpawa
Safi sana watumishi wa BWANA.Mungu awabariki sana kwa kazi njema.
Mungu awabariki sana
hongela sana kwa wimbo mzuli sana
Ni kweli kabisa. Mubarikiwe sana
Duuh mbarikiw xana
Nabarikiwa sana na huduma yenu watumishi,mbarikiwe sana.
mbarikiwe Mungu awatangulie
Kasulu Wapo waimbaji wapya tu siku hizi wameenda wapi akina Esther?
I love a lots this song🙏😁🙉
Be blessed all mke mwema
B
Hongera sana waimbaji.