Mbiu ilipigwa - Mkemwema choir (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 18. 08. 2018
- #mkemwema #gospelsongs #liveperformance #umeingiaje #album
Wimbo wa injili kutoka Kwaya ya Vijana, F.P.C.T Kasulu Mjini - Kigoma. Tunaamini ukiusikiliza kwa makini wimbo huu, Utabarikiwa zaidi. Asante na MUNGU wa mbinguni akubariki. Amen!
_________
Song: Mbiu
Artists: Kwaya ya Vijana, F.P.C.T Kasulu Mjini - Mkemwema Choir
Video Album: MKE MWEMA
_________
►Tazama nyimbo nyingine kutoka katika Album ya Video ya MKE MWEMA👇🏽👇🏽
🔘Dunia isikuhadae ~ • Dunia isikuhadae - Mke...
🔘Kwa Maana ~ • Kwa maana - Mkemwema c...
🔘Yeriko ~ • Yeriko- Mkemwema choir...
🔘Njoo Kwangu ~ • Njooni kwangu - Mkemwe...
🔘Upewe Sifa ~ • Upewe sifa - Mkemwema ...
🔘Wema ~ • Wema hauozi - Mkemwema...
🔘Mke mwema ~ • Mke mwema - Mkemwema c...
🔘Heri Sifa Njema ~ • Heri sifa njema- Mkemw...
_________
►Tufikie kupitia Kurasa zetu za Kijamii
🔘Instagram ~ / mkemwemachoir
🔘Facebook ~ / mkemwemachoirtz
🔘Twitter ~ / mkemwemac
_________
►Mawasiliano Zaidi
📞 Simu: +255 755717519
📩 Barua Pepe: mkemwemachoir@gmail.com
_________
Haki zote zimehifadhiwa©2018. - Hudba
nyimbo nzur sana
Nzur Sana nakumbuka mbali
6nnnjnnnnnb. 76yrds. Knbgbsqqq
?
?
C. '' x z. Zx b
Baba Mungu utujaliye kupanda mema bado tungaliki duniani. Mubarikiwe sana kwa hii karama ya uimbaji, mtalipwa msipo zimia mioyo.
Hii nyimbo ni nzuri
Waooooo...
Kama Bado unaEnjoy wimbo huu gonga line kubarikiwa zaidi
Naupenda sana huu wimbo I remember one day tulienda uimba kwa church it was an amazing day coz huu wimbo una ujumbe mzuri especially mavazi wengine walikua wamevaa hivyo vimini wengine nguo za kubana ndani ya kanisa so uligusa watu wengi sana alafu tulikua at a very young age ni wimbo mzuri sana
2024 bado naangalia huu mwimbo mzuli hauchuji
Kwa wimbo huu, una vigezo vya ngazi ya juu sana kiroho, kwa kutumia nyimbo hizi utaona kanisa limeanguka na kuporoka kimaadili kbs,
Yaani kwa Leo tupo uchi
Mbiu ni bonge la wimbo Aise, wameimba ki ufundi zaidi
Hizi ndo zilikuwa nyimbo sasa. Sijui sasaivi wanakwama wapi.... Nimemic nyumbani, nimemic kanisa langu, Huima ipo damuni, fpct ipo damuni na Yesu yupo moyoni mwangu daima.
Kweli
Kabisa
Aaaaaah kumbe wa kwetu ee wap
Umeona kwa sasa mengi ni mangerengere
Yaani wimbo mzuri sana huu… nani mwingine anasikiliza leo?
Nasikiliza kutoka dar es salaam
Yani hizi nyimbo zilitoka nikiwa na miaka 13 now I have 25 yaani I proud of them course wanatoka kwetu..
I was 12 ...It brings fresh memories..
Mke mwema barikiwa saana, yaaani nyimbo zenu hazichuji big up.
played this song maybe 1000 times during the pandemic. Thank you for sharing it took me through that hard time in America.
Hizi ndo nyimbo zangu
Nabarikiwa saana nikisikia nyimbo za vijana wetu Mungu azidi kuinua kazi yenu.
Amen.
Hata Mimi nazipenda hizi nyimbo hizi napenda siku moja mfike mbeya revival tample kadege kwa mchungaji amani mwasote mtakuwa mmehubiri Sana
Amina ,nyimbo zenu huwa zinanipa faraja sana
23/07/2023 @8.56 p.m Kikuyu town, Kiambu county.... I feel blessed
Asante sana mbarikiwe
Nyimbo hizi hazichoki. Nilizisikia nikiwa primary sasa hiv Nina 30 bado tamu. Mungu awabariki Sana
Mungu akubariki Pia. AMINA
Salama moyoni when singing this song. My sister used to like it
30/5/2022 MUNGU ni mwema
Wimbo ule unaitwa Wanafunzi walijificha na ule unaitwa Yesu ziko wapi 🙏
Naipenda sana hii nyimbo YESU awatunze
Hata mm naipenda pia mungu awa punguzie azabu kwaman imebak nifungisho kwe2
Amen amen
Mbarikiwe sana
Safi sana Mungu aendelee kuwapa moyo wa uinjilishaji
Wamama vaeni hivi
Son And Daughter Of ZION Alafu muko ba zuri n’a Mafuta Télé Kitchuani Tanzania Gospel ! Shalom
Walikua wanavaa nguo za heshma had raha,sio saiv wanavaa vitu vya ajabu
Imependezwa saanaaa ndugu zanguni mungu aendelee kuwapa nguvu zakumuimbia sifa nizake yeye pekee yake kabisa 👍
Amen
Asante sana mubarikie namungu
Wanawake wacheni kuvaa mavazi ya wanaume na mavazi ya kubana jifunze kwa hawa😊
Vivyo wanaume mpo jifunze kuvaa kitakatifu jifunze kwa hawa
Hizi nyimbo ndo zilikuwa nyimbo zetu nyumbani madogo alinunua albam yote nakumbuka mbali sana
Haleluyaaa!
Mbarikiwe na Yesu Kristo wa Nazareti
Hii ilikuwa arbamu bora kabisa, barikiwa sana 2020
Asatesana
Hata mm sielew
❤👏
Old is good
Halleluuuuuuuyaaaaaaaaa aiseee nabarikiwa mnooo
🙌🙌kweli kila apandacho mtu ndicho atakacho vuna
Powerful message this song reminds us to remain clean before
God all the time:
Nzuri mnooo
kiukweli mbarikiwe sana kwani mmeiwakilisha kasulu
Good song
Ah aisee wimbo huu naukubali Sana,,,toka 2008 live performance at makere fpct church
2020 bado zinanibariki cn
Nakumbuka zilizo pendwa
Nyimbonzuli sana waimbaji Nawapendapia
Asante sana Mungu akubariki
Mnanibalik sana Mke mwema Kwa hizi nyimbo za zamani
J'AI aimé
Nakumbka ome kabx
Jaman wapi umekumbuka?
@@Mkemwemachoir kasulu na Kila nikisikiliza nyimbo Nyumban Kuna zao la uimbaji mahili
penda san mavaz
Nawapenda sana mno!
Enjoying this songs from Nairobi🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thank you. Be blessed more!
Amina taifa teule la Bwana
Amen
Niko nanyi nawasikiliza Agost 2019 nabarikiwa na nyimbo zenu
Nakumbuka kigoma sana Kasulu Mjini mbarikiwe
Home hapo kaka dah kitambo sana
Mubarikiwe sana wapendwa mufike mbali sana kuitangaza injili
Ujumbe mzuri sana
Mnajua vitu hivi sikuhizi hakina
Nawapenda mpaka bassi
Anyone 2019🙂
I'm here
Utukufu kwenu hii ndiyo faraja yetu dunian
Mko Vizuri xana
Mubalikiwe sana
Nice song 👍🏻
C'est super et simpa
Mungu awabariki chane kwakwel
amina
Mungu awabariki
Hii kwaya inanibariki sana sana
Barikiwa sana wapendwa
Amen barikiwa sana
kile apandacho mtu ndicho atakachovunaa!!
Mbarikiwe wapendwa
You
Powerful Choir
May the lord bless u all
Mbarikiwe sana
Amen God bless 🙏🙌
Santé
Barikiwa
Nzuri
Blessed 🙏🏽❤️🙏🏽
Amen.
Jamani October 2020 tujuane. Pls....
Blessed 🙏🏽🙏🏽
Amen.
Barikiwen san
Waha wote oyeeeee
Mbarikiwe Sana
asanten sn jaman tulikumweee chane
Tafadhali tunaomba nyimbo zote za album ya mke mwema
My mom still bumping in 23
I Like kwaya
Mweeh nimekukumbuka mbali sana
Vyema
Mungu ni mwema yaani mlinigusa sana na hizo nyimbo
naupenda sana wimbo huu
GoD S CHILDREN Inc is bless to everyone else in yorre assemble the leglize la jesus Chris is bless to everyone else in yorre assemble the leglize la jesus Chris is bless to everyone
Amen 🙏
Imagine having the time to dislike
0
Rhg
Good song
Amen
Beautiful singing pitty no subtitle in English!
Barikiwa
nzur sana mim nimeanza kuzisika nammiaka mitano
Amen
Amen