What do I see......Love without a channel.......Reason what did life became of....fetching things you don't of....... Thanks to music you became part of consolation. Taarab oyeeeeeeeee!!!!!!!.
Dada sakina habari za uzima,samaha naomba unisaidie maana nipo nje ya maada, naomba unitumie namba ya sheikh mmoja hivi ulifanya nae kipindi cha nyuma kama niaka 3au4 nyuma,aliongelea kuhusu dawa ya kusimamisha maziwa,nisaidie please
What do I see......Love without a channel.......Reason what did life became of....fetching things you don't of....... Thanks to music you became part of consolation. Taarab oyeeeeeeeee!!!!!!!.
Allah Amuongoe Layla aishi na mumewe kwa amani na awe muislam mwema. Hakika ya Allah Anasamehe na ni mwingi wa kurehemu
Amyass Yassin p
nampenda sana Leyla.kweli mwanamke sura.Mimi ni kipenzi cha nyimbo za Leyla mamii we ni qni hasa
Hiki ndicho kilichomfanya bwana mkubwa kurudia taarab!
Mung awaondole maradh na awatunzie ndowa yenu nimependa sana
Mtangazajiii unayaweza👌.💔
napapenda hapo akishikwa kichwa😂😂😂eti sakinaaa unanitafutaaa
nimewapenda sana,hao wandugu
Jamani nampenda sana Bi Leila Rashidi
Oooh so sweet! hii ni poa sana, I like it!
Nampendaga sana Leyla jmn.
Nirazima kujiongeza
Pambee kweli kweli👌mwaaaaaaaaaaah🥰
Nawapenda bure Mimi mwaaaa
Leyla mzee huyo mwingne hamna kitu
nampenda leila jaman..mzurijee
sanae nampenda pia
the reporter is very charming
mzee yusuph angekua comedian ..interview zote nacheka
Napenda saana mumetoka safi
nice
mungu awajalie mzidi kupendana
Zamani sana
pongezi mzee yusuf na wake zako kwa raha zako bb
.
Reyla uko vizuri adi raha ongera mfalme nakukubari sana
kiini cha kuachana ni nini
mashallah Leyla malkia
oh mke wa pili huyo chombooooo
Agness Navua Hata wee juma
What do we call it?......"Love, without directions.... Meaning Lamenting span.
Ngaringari inatishaaaaaa
bro unatisha uwamuzi na chaguo lako ni zuri
apo sawa
wamependezana
round table decoration
Dop musica
Leyla bravoo mama my name sake mtunze Yusuf lov u two
uzuli wa Mke ni tabia penda sana Leyla
2020
Hadi raha
yaani niki waona hawa natamani kuolewa
Wanawake acieni wanaume wenu wajiongeze
Nitafute!!
penda sana junio
huhuhuhuhuh santaaaa
Hahahaha maneno hayo
Mtangazaji upo vizuri hadi nimekupenda
pendeza Dada kujistiri muimu
asiya
Dada sakina habari za uzima,samaha naomba unisaidie maana nipo nje ya maada, naomba unitumie namba ya sheikh mmoja hivi ulifanya nae kipindi cha nyuma kama niaka 3au4 nyuma,aliongelea kuhusu dawa ya kusimamisha maziwa,nisaidie please
Khaaa jamani
Safii
Mzee yusuph
Katka wake wa Mzee Yusuph hiki chombo wengine hawapandi hapo
Nawapenda sana
Naupenda huo wimbo unaitwaje
whats the name of the song behind?
Faiha Mohammed wimbo ni wa amigo lkn jana lake nimelisahau ila upo mzurii
Fungu la mungu sikosi Leila Rashid i think so
What's the song in the background
Mashallaah
Bintialieolewa namajini