JOHA KASSIM: LEILA RASHID HANISHINDI KUIMBA/WASAFI FESTIVAL NA FIESTA HAWATUPI NAFASI KWENYE KUIMBA.
Vložit
- čas přidán 8. 03. 2024
- Msanii wa taarabu Joha Kassim amesema kwamba Leila Rashidi hamsindi kuimba kutokana na uzoefu alionao katika kuimba kwa muda mrefu kwa hiyo hapa leo kwenye jukwaa hatonishinda.
Aidha ameeleza kuwa kwa sasa muziki wa Taarabu unaenda kufa kwa sababu wasanii hatupendani na hata hivyo majukwaa ya muziki kama Fiesta na Wasafi Festival hayatupi fursa ya kuimba kwenye majukwaa hayo.
#njaromedia #johakassim #Dodoma #wakaliwaupdates
@magozi
Huyu mdada namkubali kinoma
Masha Allah Jokha umenenepa umekua mzuri
Yupo huyo dajoha sijui kapotea wapi❤❤❤ nampenda
Mashaallah, c kwa kupendaza uko jamani❤❤😊
❤
Nimekumiss dada joa
MashaAllah umenenepa ila sauti ileile❤❤❤
Hakuna mtu mwembamba duniani😂
Tamfosi mume wangu talaka yako utapewa❤❤😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪
Kabadilika❤❤❤❤
yan ataimba kote ila kwa leyla atii maguu asilan
Leila anapiga tuu kelele kwasie tunaojua taarabu haswaa joha anaimba vizurii