JOHA KASSIM: LEILA RASHID HANISHINDI KUIMBA/WASAFI FESTIVAL NA FIESTA HAWATUPI NAFASI KWENYE KUIMBA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 03. 2024
  • Msanii wa taarabu Joha Kassim amesema kwamba Leila Rashidi hamsindi kuimba kutokana na uzoefu alionao katika kuimba kwa muda mrefu kwa hiyo hapa leo kwenye jukwaa hatonishinda.
    Aidha ameeleza kuwa kwa sasa muziki wa Taarabu unaenda kufa kwa sababu wasanii hatupendani na hata hivyo majukwaa ya muziki kama Fiesta na Wasafi Festival hayatupi fursa ya kuimba kwenye majukwaa hayo.
    #njaromedia #johakassim #Dodoma #wakaliwaupdates
    @magozi

Komentáře • 12