FINAL | BAADA YA KUMUOA TU AKAANZA KUDHARAULIKA NYUMBANI | FRESH START
Vložit
- čas přidán 17. 05. 2024
- ⚠️CREDITS:
Watch Full movie on :
Movie name : FRESH START
Genre : Drama
Year :
Follow us :-
Instagram- e7bits?igsh...
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka - Zábava
Tazama series mpya ya Konka hapa
Link: czcams.com/video/4cRHjscjYFw/video.htmlsi=VBxaa8E4W_ZhfeUn
Asante saaan 🙏 ♥️
Mbona me sipati mwendelezo wa hiyo move jaman
@@Gabrielah-rq7wkamesema inaendelea bado haijaisha
Mwendelezo wa sweet16
🎶👍
Yaan ni move iliyo na mafunzo ndani yake ❤
Sema huyu shangazi wa ogechi ananipa raha😅😅😅
Kama kweli we ni shabiki wa E7bit gonga like hapo chini Kisha comment E7BIT
Kaka umetisha sana
Unajua san kubabake🎉😂🎉🎉
Ni siwe muongo moyo wa uyooo jamaa sinaa
@izkonkaaaaa mnyama mkali AmBae anakubali muvi nzuri❤gonga like twende woteeee🎉
Noma Sana ebwana eeee daaaa!!!
Nimeupenda sana huu unyama kk unajua 👊
Oyaa konka ee mm sisemei kwa ubaya Ila kwenye hii recap ya Leo hii Kama ni mm ndo ningekua ogona wallah huyo demu angekoma labda Kam sijazaliwa tanga pangani Yani anisaliti halafu arambe na kila kitu dukani aah wee kudadeki pangani simu zingeitika
😅😅😅😅😅dah umeongea kwa uchungu sanaaa
Sema kwavile ni movie ila kama ndo mm huyo dem simtak tena hata kumuona duniani
Naikubali sana
Kimemlamba shenzi 😂😂😂 safi kabisa chukua 🎉 yako bhana
Hii stori inauma sana na inamafunzo day nimelia😭tujifunze kuwa na mapenzi ya dhat wallah
BROO MI NISINGEMRUDIA KUDADEK KHAA, MMBWA HUYU ATAKUJA KUPTA TAMAA KWNGNE ANIKIMBIE MAMAE ZAKE
Sio kila ushauri niwakufwata
❤🎉🎉🎉
on fire bro
Mwanamke mpumbavu anavunja ndoa yake kwa mkono wake
Uko Sahihii Madam
Aiseee kauza ad fagio
Mshkaji ana unique soul ni movie ya pili ssyup na roh safii🎉 the one who act afamefuna😊❤
Daah😢 imenigusa sana yani hauwezi kulipiza kisasi kwa makosa ya mtu mwingine
😂😂Sema ukiwa huna asili ya kusaliti siku ukisalit unajihc kama kil mtu kajuaau kakuona aiseee
Unyama mzee wa mipinduko
Unyama KONKAAA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Izkonkaa hupoi walaa huboiii😂😂 my all time fav❤
Huu moyo walikuwa nao mitume co binadamu sisi WA kawaida
Watu mko fasta sijapenda😢😢😂
Wanaume tuko tofaut Sana,elewa nazungumzia wanaume sio wavulana>
Uyo kaka nataman angekuw mume wang jmniii
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
Nakubalii maniga funiko
Nc🎉
Watu mnawahi mmmh huw mnalalag uku ila anyway nimewah leo 1mints ♥️
❤ konka 🔥
Mtu asiguse comments yangu akigisa comments yangu napinduka na wewe usiku wa leo😂😂😂
I love you
@@RenatusJames-cc2xi I love you too 😘
😅😅😅😅😅😅dah
😅😅😅😅
Ia wanawake mungu anawaona
Kazi nzur san konkaaa
Umetisha mwamba move nzr sanaaa
Nimependa❤ stroy
jamaa unajua sana
Good job
Like mnaperekaga wapii
Watu wanawah jamn
Daaah huu unyama ungeendelea kidogo nikamshuhudia shangaz
😢😢
Aisee unyamaaa huu n atar San issues as normal 🎉
Wa kwanza leo naomba like
Ila hyu aunty mbaya snaaa, ogona mwanaume wa ki pekee snaa
Kaka kma ndo me wala nicngeweza
Nkafumba machk na kufumbua miak 30, kila mtu kashaa pga mar kafunga mach na kufungua tena ana miak 60 na bad yupo single alooh..! Hatar san
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Yaani umenichekesha mpk nimejikojolea😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅dah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakaanza kulitafuta busuu😂😂 nakapendag hako kamsemo bala❤🎉❤😂
Number one ❤❤love from Burundi 🇧🇮 ❤️ 💕
Anti ya ogechi
Mm sisamehi 😂😂kwakweli
Huko vzr tuandarie kitu kingine
Nmelia sana
Naombeni like zangu wazee
Tukupe wew au E7bts
Leo Sasa Ukigusa comment yang nakuweka ,,nakufanyia mipinduo ,,Kisha naweka tena😂😂😂😂
😂😂😂
🤣🤣🤣 hii kwl movie dadeq 🙌 yaan uyo Jamaa ana Moyo w pkee yk
Sanaa
Ni movi tu
Konkaaa
Huwa unapiga hadi za watangazaji wengine zuri lakini hawajui kutangazaji
konkaaaaa
Mpo fasta😅😅😅😅
ugona mwehu tu
Unyamaa wa moto sanaaa
Huna baya zee la mipiruko
,❤
Nzuri
Unaweza mpka unaweza tena
Nmelia halafu ata cjui nmelia nn😢
Anza sasa kucheka alafu usijue unacheka nini
Leo nimekuwa wa kwanza
Wallah mapenzi hayashauliki mamae
Nakuelewa sana mwamba uko juuuuu
Sharautii broo🎉
Mmh ana moy
Kazi nzuri sana
Hapana kwa mm hata iweje yan hata malaika washuke cto msamehe ng'oooo kenge kbs uyo
Ivi kwanini kwenye movie ni rahisi sanaa kupata dem😢
Unachoma chief😂😂😂
Huna akiri 😂😂😂😂 wewe
Kwasababu ndio ilivyotungwa na mtunzii 😂😂😂😂😂
Hata kupata mwanaume kwenye move ni rahisi
😂😂😂
Me sio wa kwanza na staki like zenu 😂
Kwanini lakini umefunguwa account mbili e7maxs Mimi siiyagaliii lakini nime angali hiyo movie ulio sema tu kwasababu sauti yako bas
Kule series huku single movie
Ahhhhhhhh lakini mbona sauti Kule ime badilika
Konka unajua sana mdogo.angu
Mmmmmmhhh mpuuzi sana we demu
Sijapenda mwisho haujaniga Yani wabaya hatahatujaona mwisho wao mbaya😢,ila muvi ni Kali mno 🎉❤😊
Asa anamsamehee vp,,au ndo muvi 😢 tuseme
Daah ebwanaa hii qalii hizi tamaa za kidunia ni balaaa . Wenye akili husema yakuambiw changany na yako , ebwan dullakid tup pamoj huwa sicommet lkin hiii daaah hatar 🔥🔥🔥🔥🔥
Sio Dulle kid mzee huyu ni Konka aka Zee la kutune zeee la Town
Sweet 16 kali
Leo Sasa Ukigusa comment yang nakuweka ,,nakufanyia mipinduo ,,Kisha naweka tena😂😂😂😂 0:47
Baba umeuwaa🙌🙌🙌🔥
Jamvi la wageni😅
Kaliii 😍
🎉🎉🎉🎉❤
Jmn nakupend San ujawai poa
Nikafumba macho nakufumbua miaka 30 iyo nikafumba macho nakufumbua miaka 60 iyo dah na kila mtu kashapiga 😂😂😂😂 shangazi umejua kunivunja mbavu aise hatari sana E 7bits upo vizuri chukua 🎉🎉🎉🎉🎉yako
You did well
Asante ❤❤❤❤
Jama Unajuwa Sana
We ni nomaaaa
Nice❤❤❤❤❤
Ahhhhh sijapenda kamsamehe😅