ANAAMUA KUJIUZA ILI AWEZE KUIHUDUMIA FAMILIA YAKE | FULL RECAP | EPISODE 1- FINAL
Vložit
- čas přidán 7. 08. 2024
- ⚠️CREDITS:
Watch Full movie on : Prime Video
Movie name : GRIND
Genre : Drama
Year : 2023
Book Us Now Via Email: lifelakitaa@gmail.com
Hit Us Up: +255624944364
Follow Us On Socials :-
Facebook Page: profile.php?...
Twitter: x.com/izkonka/status/15454891...
Instagram: e7bits?igsh...
Tiktok: tiktok.com/@e7bits
Telegram Channel: t.me/E7BITS
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka
Snapchat: Izkonka
Twitter: x.com/izkonka/status/15454891...
SEGMENTS
0:00 - 6:49 - EPISODE 1
6:49 - 14:56 - EPISODE 2
14:56 - 23:26 - EPISODE 3
23:26 - 32:59 - EPISODE 4
32:59 - 40:43 - EPISODE 5
40:43 - 48:14 - EPISODE 6
48:14 - 54:26 - EPISODE 7
54:26 - 01:02:26 - EPISODE 8
01:02:26 - 01:12:14 - FINAL - Zábava
Nitakuwa mnafki km sitakupa hongera kwa kaz nzur, nmeanza kukufuatilia Facebook 🎉🎉
Nim penda Sana Jisi Ulivyo Tuwekea Yote Nita Kufatilia Mpaka mwisho Asant Na Nim Jifunza kitu❤❤❤
Kumbe unatupenda na hausemi😂 ukaamua kutuwekea yotee
❤🎉❤ndy ila 2 Umhh
Unajua sana we chiz nakupa % 100 kwa kutafsiri movies
Nimeipenda,japo hawakumalizia,alaf kuna jamaa ameanza kukuiga ila hawakuwezi ww bado n°1
Konka ni mnyamwezi kishenzi ana kipawa cha kueleza mambo. Mimi naipenda sana
Daaah kweli wame zingua picha kali sana mtafsiliji nawewe ume tulia kinoma huna mapepe
unyama sana aixee
Mama Tale aliomba aliemeoga mwanae afe ndio amekufa sasa ni tam sana ebu tafuta bac muendelezo
Liveee😂😂😂😂
Nmeikubal mzee baba da ingekuwa na mwendelezo.
Ooooooh tuleteye ep zingine akii move kali mno big up saaana tuko pamoja 5/5
😂😂😂😂😂😂 nimeinjoy napia nitaimis sana kwani hakuna uwezekano wa mwenderezi ❤ Kaz nzr sana 🎉
Mafuta ya mwamposa 😂😂😂😂😂 kaingiaje sasa😂😂
Izikonka 😅😅🎉🎉🎉🎉eti ilkashika mafuta ya mwamposaa😂😂😅 daah bro unajua sanaaa🎉🎉🎉🎊👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Wanajua wanachokifanya hao lazma watatoa season 2 ndo maana imeishia hewani ili kuwatia hamu
Dah kuwa na bimkubwa kama huyu kipengele 😂😂
Yeye akiokota huyoo kwa kiboko ya wachawi 😂
Uyu mama angu kabisa😅
😅😅😅😅😅 wapi likes zangu
Yani natamani iyendeley isiishi jamani Yani DJ kilamuvu ungekuwa natufuraisha ivyo ungekuwa rah
Me sijapenda ilivoishia pia
Daah dj unazingua mbona aijaisha kipenzi
Mungu akubaliki mama
Ello kiukweli uyujamah anaweza kiukweli
Safi kabisa kaka iyo nimeikubali😊😊😊
Hadithi nzuri sana nimeipenda ila kama imekatishwa kidogo imetuachia fumbo kua baada ya kuuawa yule binti kingetokea kinini?
Nimeipenda mnooo japo imeisha vibya🙏🙏🙏
😢 😢🎉 ...😆🙉🙉🙉🙉
Haijaisha mwamba ndo kaimaliza..
Nzur sana isee tafuta muelendelezo mi pia sijapenda ilivo isha
Imeisha yaaani iznkoka umecheza bro
Daaaah finish Wamezinguaaa ilaa kal Mnoooo
Uko vzr na mzur kabisa nimeipendaaaa
Hii movie ni Kali sana manzeee
Aisee ni unyamaa mitupio2 natamani iendelee ❤
Finishing mbovu stori nzuri sna lkn mwisho wameharibu
IZKONKA . ni moja Tu Tz nzima napenda Sana sauti yako Mzee babaa
Movie kali xna lakin story yke nzur n ngumu xna...ambayo imebeba audhui mimgi xna mazito jumlisha na miasha halisi ya actors....lakin imeisha vby cjapenda.... muna tuachaje achaje xaxa😅
Aaa movie tamu sana bana lkn imeisha so bad 😞😞 sjapenda bana
Imetisha xana MTU wangu harafu ume tafasiri ile greate
Kwan mwamba anameza sangap mate yake😂😂😂😂😂
Dah imeisha vbya sana jmni ila ni nzuri nitaimic sana
Nimependa san hongera
Sijapenda ilivyoisha😢😢
Nyumba za wachungaji ziko kwenye shida 😢
Kweli ime isha mbaya sana
Dah dada Zetu wanapitla magumu sana😢😢😢😢😞😞😞😞
Noma Sanaa man fany tuwekee season 2
Sumulizi nzuri sana
Best quality 👌 👏 🙌
Jamani story tamu sana iendelezen jaman ❤❤❤
Et kashika mafuta ya mwamposa, alloo😂😂😂
Nimzuri kabisa
Wow wow wow hongera sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nimeipenda sana ❤
Bro unajua sana 😂😂😂😂
Kabisa iko sawa sana
Kweli ingeendeleya ilikuwa nzuri sana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Dah 😂😂😂😂mipinduko kwel
Let nyingne nzuri
Mimi naona waendelee maana nini mwisho wao baada ya huyu kufa
Nimeipend san
Mm wamenibo warivomariza ira kazi mzuri san
Maisha ayatabiriki...nikama story tu lakini,..ni really one 🕜 it's happening.....
Leo wakwanza miee naomba LIKE zangu 10 jamaniii mipinduko tu 😂😂😂😂asante mwamba tunainjoi tuuu unajua
Umependa mipindukoo tuu
Et mipinduko...😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 lazima apende kwa sababu ni moja ya starehe @@kidenya
@@adamkessy485 mipinduko ni tamuu sanaa tena cha asubuhi kinakuwa kitamu hicho balaaaaa 🤣🤣🤣
@@SarahRichard-iv2dl anajua hakuna asiependa mipinduko 🤣🤣🤣🤣
wakwanza leo nipen maua yangu
Amazing movie
Ikosaw nime erew
Mom mshenzi sana
Ndyo boss imeishia pabaya lkn iko poa kinyama 💪💪💪💪
Nzuri sanaaa
Mipinduko tuu kwenda mbele 😂😂😂
Tumalizie hii DJ wetu
Jaman story kali ila mwisho sio mzur
Hii move ndo maish y dad zetu bongo kbc an saf sn mwana 😂😂😂😂
Hongera kwa kutuwekea full recap mzuri
Amependuka kimoja 1😂😂 mshikaji njaa
❤❤❤ nimeipenda sana
Jamani mbona haijaisha kiuzuri
IKO POA KABISA.
Unyama ni mwingiii😋
Mipinduko sas uwiiiii mpk assssssssss😋❤️❣️
konka unaweza mwambaaa wengin wanatuchezea ty ww ni🎉🎉🎉 noma san nakubar san mwamb
Asnte dj kw akzi nzuri😅
Kalii mnoo pamoja na mtangazaji anasauti nzurii
❤ sanaaaaaa
Daaaah wamemaliza kishamba kweliiii 😢😢
Mwambaaa unajua sanaaa💯✅
Nmezipenda sana❤
Tuyirindirany igishik gus warageragej kubary
Naoma like 10 wachumba
Nitayi miss sana
Mafuta ya mwamposa got me😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Laiti mama angejuwa fungu la Kumi linatoka wp
Muendelezo kaka❤
Imekuw tam sn mzee
Nzuri sana❤❤❤
Tamu sana
Mama kama mama❤❤❤❤❤
Nzuri sana
😂😅😅 Sem uyu mother ni anapga dua😅
Mama tiwa kazi yake kuu ni kutoa sadaka tu
Nic nizuri sana nawapenda
Sijacherewa sana ❤🎉like zang
Wachungaji wamebombea Sana kw kula mali za waumini