WASHKAJI WANAOKOTA MTOTO KWENYE GARI LAO, KILICHOTOKEA KINASIKITISHA SANA | A FATHER'S LOVE
Vložit
- čas přidán 8. 08. 2024
- ⚠️CREDITS:
NATIVES FILMWORKS
Directed by Sebastian Ukwa
Watch Full movie on : Prime Video
Book Us Now Via Email: lifelakitaa@gmail.com
Hit Us Up: +255624944364
Follow Us On Socials :-
Facebook Page: profile.php?...
Twitter: x.com/izkonka/status/15454891...
Instagram: e7bits?igsh...
Tiktok: tiktok.com/@e7bits
Telegram Channel: t.me/E7BITS
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka
Snapchat: Izkonka
Twitter: x.com/izkonka/status/15454891... - Zábava
hii story ni kali Sana kaka.😢😢 nimeludia na sasa ni mala ya pili, chukua maua yako.🎉🎉🎉🙌
Hili ni bonge la movie japo hamna mwanaume wa hvyo
Dah hii movie sio poa repac yake tu imenitoa chozi lazima niitafute. Wanigeria wanajua sana aisee
Mwandishi wa hii story anajua sana plus msimuliaji ni balaaa sanaaa
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas babaaaaaas
kaka we ni mbuzi🐐🐐 kwenye huu upande hakuna kama wewe
Nimelia Sana sababu hata me nalelewa na Baba mlezi jmn popote alipo ajue kama na mpenda Sana anh❤️❤️❤️❤️
Comment yako inanitoa machozi
nimelia kwa uchungu
Unyama KONKAAA🔥🔥🔥🔥🔥🔥
E7 bits iyi ni kali sina, uzidi kutupa movie nyingi sana, kwa araka
From state of America I'm the first 😊😂😂😂hamtaki au
bonge la movie
Hiki kigongo kinahuzunisha sana bro,dah! nawe unasimulia vizur bro🎉🎉🎉🎉🎉 asante
Oya weee like yako
Boss napenda kazi yako Sana 😊😊😊
Ogopa sana kuambiwa mtoto sio wako ina umiza sana kwenye haya maisha
Wale wanaoomba like mnapataga sh ngap
Sasa konka eb piga na hii A TRIBE CALLED JUDDAH N MZIKI HATARI 🙌🙌
Kwan Leo walio kuwa wa kwanza wapo wangapi😂😂
Dah leo nimekua wakwanza ten 😂 like zangu jmn
mungu atusaidiye sisi wanaume amina
Kaka tupigie ile ya South Africa ya madance Kam amapiano hujui pisi upati👌
Nimechelewa jamaniii 😢daah asante mwamba tunainjoi tuuu unajua ❤😂😂
mwanangu unajua sanaaa tuko nyuma yako 💯💥🙌🙌🙌🙌🙌
Nakubali sana kakak❤❤
Aweee👊👊👊
Mimi natokeya Rdcongo movie ni kali sana
Mwana mboka, TUKO pamoja... Lakini mimi Niko Tz
Dah yani broo mbaka nanunua bando kila siku kwaajili ya video zako🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mm ss hivi nacheka konka anavyotusimulia,,viiiiiiibeeeeeee😊😊😊😊❤❤❤
Hii nimeikubali sana jmn nzr mnoooh❤ mpk nimeirudia😂😂😂
Wakwanza apewe like zake 😂
Umetisha mkuu nakubaliana na wew buy the way story ilikua tamu san ya kusisimua
Oya konka nakubali unavyochagua hizo movie zote ni kali
Movie nzuri.. ila sio unyama aliofanyiwa na huyo mke wake.
Hakuna namna ya kumsamehe
wa kwanza dj dady
Nigeria wanastory za kusisimua sanaa
Hiyi storia inanileteya machozi😢😢😢
LADY ni mke bora sanaa 😅
Panshan pia ni rfk wa kwel❤
Aloooh ety ana namb yk uyu e konka... Apa kuna buku lina zagaa zagaa😅😅
😂😂😂
Guys 😂😂
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuuu....🔥❤🙌
Uyoo Mwanaumee AMEPATA BARAKA ZAKQ KWA MUNGU MAANA NGUYU ALIZO ZITOA Kwa Aowatoto NA uyo alie muokota MUNGU AmemfunguliA
Huo ni usenge
Good job🎉
Kubabaaaabaaaakeeeeh... mim siwezi weeew watoto watatu wote sio wanguu .😅😅😅😅😅😅 mungu atanisamehe ,,
sasa kama huna uwezo wa kumpa mwanamke ujauzito utafanyaje kaka
Siwez kuwa na moyo km wa uyo jama watot wote wa 3
sasa kama huna uwezo wa kumpa mwanamke ujauzito unabidi ukaushe tu uheshimiwe kuwa anawatoto
Etiii mchizi akakitupia ndaniii 😂😂😂 yaani wewe dah
Kwann usitaflis full movie
Mchizi nae akakitupia ndani😅
Saaana 🎉🎉🎉🎉🎉
Daktari nae kama alishasolve hali ya junior kuna ulazima gani kumwambia mchizi kua sio mtoto wake😢
Wanawake oooyeee😂🎉
oyeeeeee😂😂😂
Baba waleziii tupo wengiii sana😅😅😅
Ulizeni sisi yaliyotukuta kwenye haya maisha kuambiwa mtoto sio wako
Doctor Bora angekausha tu
Vitu kama ivi bruh dk za kutosha 🙌🏾🙌🏾
Kwahyo ujumbe wa hii muvi tukubali watoto wa wanaume wenzetu au😅😅😅😅😅
😂😂😂😂 acha bc
Inauma
Izkonka sauti makin sana
Toka nimeanza kuchek movies zako, leo ndiyo nimelia kama mtoto eti duu
kwanini ulie
@@AshuraMaulid imeniuma tu maisha walopitia japo story
Kaka unajua sana hongera 🤗🤗
Bt msichelewe nyingine tafadhali ❤❤
Iyoo muvi tu usiombe likukute
Hii ngoma ni noma sana mzee👍
kaka 15 utakiri dakika mbili ety daaah unatisha
izkonka unachelewa sana mkuu saiv
Mmmh watatu wote aiseeee
Uko vizuri sana konka
inauma sana wanaume tumebeba vitu vingi vinavyo umiza mioyo. HEE MWENYEZI MUNGU TUJARIE TUWE NA MAAMUZI SAHII KAMA YA UYU MWAMBA
Oya mwanangu nakuona mbali sana miaka ijayo muhimu kaza sana mtu wangu unakitu kikubwa sana ndani yako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Unatisha brother kaz nzur
sema we msenge unajua mamaee
Konkaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥 kalii sana hii ndugu yangu
Upendo wa kwl❤, ila konka jmn jthd uwahi wiki nzima inapita jmn😢
Leo hakuna watu nn
Nice but very sad good job
E 7bits I love forever
Vipi e7bits naomba like yangu
Izkonka eeeeeeh akuna kama wewe mwamba ❤❤❤
Thanks 🙏❤
Nimeipenda iyoo madam embuu kaachini😂😂
Mwanamke pekee ni mama aliekuzaa tu hao wengine mmmy😂😂
Kazi kazi baba💪🏻💪🏻💪🏻🙏🙏👏👏☝️☝️
Leo wa kwanzaaaaaaaaa😊
Asante sana
Wa like huwa wanapewa chochote kitu🤑🤔
Huwenda wanalipwa 😂
Me naomba konka utusamaliiz movie ya (In love again)
Goosebumps
Nimeelew sanaaa
Mimi wa kwanza 🔥🔥🔥🔥😂
Kaka nakukubar sana
Yeah! 1#
Rd Congo tunakufata Safi kabisa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Waoooo Mr mipinduko
Nakubal 👍
Story tamu sana
Daaah unyamwezi
E7bit tutafsirie Ile series ya blood sister 🙏
kabiiisaa
Mhhh huyu mama noma sanaa
Nice
Nakukubali jamaaa
Kali sana umeua mkali
Kaka imeishaa kwel mbona hii ngoma tamu ivyooo aahh nmeielewa kichiz 😂