TAMAA ZA KUPATA PESA NA MADARAKA ZINAHARIBU MAISHA YAO | AFAMEFUNA
Vložit
- čas přidán 17. 04. 2024
- JIAJIRI KWA TSH LAKI MOJA NA NUSU TU (150,000)
1. UONGEZE KIPATO CHAKO.
2.ANZISHA BIASHARA KWA MUDA WAKO WA ZIADA.
3.WEWE NI MUELEWA NA UNAPENDA KUJIFUNZA JUU YA KUANZA BIASHARA HASA KWENYE UPANDE WA AFYA.
4. AU KUINUA TU UCHUMI WAKO KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE
●SASA KAMPUNI YETU INAPANUA WIGO WA SOKO LAKE HAPA JIJINI
●HIVO TUNATAFUTA WATU AMBAO WAPO CHANYA WANATAKA KUONGEZA KIPATO CHAO NA KUANZA BIASHARA
●NI NINI TUNAFANYA?, TUNATUMIA MFUMO WA USAMBAZAJI WA BIDHAA UNAOMPA MTU NAFASI YA KUKUZA KIPATO CHAKE, KAMA NI WEWE AU UNAMFAHAMU MTU AMBAE ANAHITAJI KUKUA KIUCHUMI BASI USISITE KUTUTAFUTA
FIKA OFISINI
-Dar es salaam, Ilala Boma
-Dodoma,majengo independence square
-Arusha,Mega comple
PIGA SIMU NAMBA - 0758665268
Au tutafute kwenye mitandao ya kijamii @biashara inalipa
⚠️DIRECTOR:- KAYODE KASUM
Movie name : AFAMEFUNA
Genre : Drama
Year : 2024
Follow us :-
Instagram- e7bits?igsh...
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka - Zábava
Asante kwa kuja hapa, Enjoy….!❤
Bro naomba toa recap ya movie inaitwa DRISHYAM aisee bonge la story
We zera nataka niwe wakwanza kuangalia muvi nifanyejee???😊
Uwakika 🎉
Maryam uwe unaenda gheto kwa zee la kutune before hajatupia mzigo huku #youtube. 😂
@@Maryam-lc7xw1dy5t turn on notifications Bell 🔔 utakuwa wa kwanza kupata taarifa punde tu pindi video mpya inapo postiwa 😊
Leo nimeotea kwakwanza naombeni like zangu wapenz❤
❤
Maranyingi ending zinakua mbaya Ila hii Imeishia vizuri sana
Unajua sana kwenye recap, kwan radio na TV hazikuoni
Duuuh binge la story hili Amaka nae pisi kariiii😂🎉😂🎉
We jamaa UNAJUA kuchagua movie Kali zenye mafunzo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 E7bit forever ❤❤❤
Unyama we ni nomaaaaa!!!!!.... Izkonkaaaaaaa
Huyo Afande kumbe yupo 🔥🔥🔥
Mapemaaa leoooo🎉🎉 naomben likes❤
AFAMEFUMA MNYAMA SANA MITANO TENA🖐🖐🤣🤣.
Kaka, unajua🎉 yaan unaaaangalia movie mpk roho inapenda, uwe unatoa Kama is kaka🎉
Wakwanza apa nipeni like zangu
Siku izi una chelewa sana kutowa movie sijuwi umekuwaje
❤❤nachanganyikiwag na hzi movie akiii
Unajua mpk unakela jamaa angu❤❤
Mwanangu sasa hivi ndio naelewa kwanini huwa unachelewa ku drop mzigo na hata ukishauleta unaenda mbali kulikoni na hawa wadananda wantoa kazi kila baada ya masaa 3. Umenikumbusha mbali sana . Kanayo O kanayo watoto wa 2000 hawawezi nielewa
Unavineno fulaniii iviii vyakufurahisha
Usiwe unatucgelewwshea sana bas nazipenda sana hz
Kaz nzuri ubarikiwe
Dah jamani 2ache masiala uyu mwamba anajua🎉🎉
Jman na me mgeni nipen like
Kaka ww unajuaa sanaaah baba salut
Story inatuhusu sanaa sisi wafanya biashara I like it
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuuu....🔥🔥❤❤🙌🙌
Wa kwanza mimi leo nipeni likes zangu
Mipinduko is typing 😂😂😂
Tangu nimeanza kufwatilia huu ukurasa hii ndio muvi bora kwangu❤
Nimewahi na sikusema chochote like apo wapenzi
E7 inabidi unipe tuzo haiwezekani kila siku Niwe wakwanza konka❤
Kazi nzuri kaka
Paul, but afan ana moyo true love never Dead
Kaka unasimulia vizur 😊😊
Story nzur ila usijelewe kutoa jmn😢
IKO VERY SMART SANA vraiment
TJR PHILANTHROPE FROM RDCONGO UVIRA 🇨🇩 NOUS SOMMES ENSEMBLE VRAIMENT
Like Kwa bitzs bhn❤❤
Huyu jamaaa anajua sana
Nilimiss hii voice 😝
Kama utamua nyani kwa sababu ya hela,pesa zitaisha nyani atabaki😂😂😂😂
Kuna funzo hapa, kuna wale watu wanakuwaga wana connection ya mtu then anakuwa anakutishia uwe unampa hela la sivyo ataisambaza kwa watu... Basi ndugu yangu usirogwe ukajaa huo mtego maana atakugeuza wew ndio shamba lake la kuvuna hela na siku ukisema huna bado ataivujisha tu hiyo connection kwa watu na ukute ushampaga hela nyingi sana huko nyuma. 😂
bongeee mojaaa la move
Bado kdg tu ufike 100k upate silver award
More love more life guy KONNNNKA ❤😂❤ BY
Dah hii noma sana kuna namna inagusa sana hisia
uko vizur broo ❤
My brother @e7bits_tz
Always nasubir notification ya unyama
Sahv unenda vzr. ❤❤❤ Mungu akupe afya njema
Daah movie Kali sana aisee
Leo nimewahi nimekuwa wa 41 asante mwamba tunainjoi tuuu unajua sana kutufurahisha mwamba ❤❤❤
Sautiii tuuu❤❤❤
Kaka we wamoto mzee, hongera!
Afamefuna ndo mwenye makosa😢
Aise n bonge la movie aise kaka
Asante sana❤❤
Unajuwa sana
Bless kak
Broo thank you so much kwa movie
Wa kwanza jamn
Hii kitu ni noma
Wakwanza leo
Wahi kutoa broo wenginetunaboeka sana
Mungu abariki kazi za mikoni yako kaka yangu
Salute sana bro
Asante dj
Nkali afemefuna unyama mwingi
nikiwa kama mwn family wa E7 na E7 max hamna baya wakuu 🙌🙌
Asante tamu kwel
Wakwanza
❤❤❤❤❤ Asante
Huu mzgo nimeuelewa san
Huu unyama asikwambie mtu mzee wangu..
We ndo konkaaaaaa vitu amazing xanaaaa
Nmesikiliza movie nying hat e7bits Ila hii imeua
Nomaaa hii
Unyama huo 😂😂😂
Wa Nigeria 🇳🇬, wametuacha mbali sana
Jaman nikitazama hiz ki2 huwa nasahu shida zangu zote😂😂
Nice
Mmh hili noma sana. 🔥🔥🔥
Huu unyama konka
Hakika mwamba uko vizuri
Unyama xana zee la ku tun zee la town ❤🥰
Hujawahi kuniangushaa byee🖐️👍🤣
Dah kal bro🎉
Afamesia unyama
Kazi nzurii 🤗🤗🤗🤗
Movie nzuri😊
Wa kwanza leo naomba like zangu
Wow❤
kipajii hchoo kk👏👏
Ķongaaa saut ya gharama hii❤❤
Really 🎉
Good
Napenda sana kukufatilia
Mapema sana
story nzuri sanaaa
Tunaenjoy sana kaka
We jamaa ni nomaaaaa Kwa cmulizi
Dah hii movie ni ya moto sana
Unatisha Sana mwanangu❤
❤