ALIKUWA ANADHARAU WAZAZI WAKE ANAGALIA KILICHOMTOKEA | MISS BAMIDELE'S GIRLS
Vložit
- čas přidán 30. 04. 2024
- ⚠️CREDITS:
Watch Full movie on : IBAKA TV
Movie name : MISS BAMIDELE'S GIRLS
Genre : Drama
Year :
Follow us :-
Instagram- e7bits?igsh...
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka - Zábava
Tuliku miss sn jamn🎉🎉🎉 we love you from burundiii❤❤ nipen like moj bas😢
Wa Kwanza mie gonga like hapa 🥺🤗🤗
Wakwanza mm leo like apa
Wa kwanza mimi Leo naombeni Mauwa yangu 😊
Alafu return of madam koi koi mkuu
Ngoma anaanzia mida fulan usk😅😅😅👏👏👏👏
Wakwanza Leo jamani nipeni likes zangu❤❤
❤
Konkaaa kila siku naingia kutafta movies sion ulienda wapi😢😢😢😢
Noma sana mzee ❤
Wakwanza leo❤❤❤
Leo,me,wa kwanza
Yaani kila nikisikia sauti hii hata nikiwa na huzuni moyo wangu unajaa amani love you so much konka mwenyezi Mungu akuweke salam jamani
Mapema sana
Wa kwanza leo😂
Wa kwanza 😅 mm
Unyama mwingiii
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas babaaaaaas
Namba moja kazi nzuri🎉
@izkonkaaaaaaa gonga like siku ya wafanyakazi duniani nipeni like zangu jmn 🎉
Guys Kila siku mm wamwisho Leo wa kwaz like bas 🎉🎉
tatizo wewe ni mzembe sana 😂😅
Lakin zinawasaidia nn 😢
Anaitwa kunde alafu@@mayowwjj
Wew unasema wa mwisho lakin yupo mtu atakuja kuangalia hii video mwaka 2040 huko😂
Mi nimeku like
Hatari konka unaweza
Wa Kwanzaa Leo nipen like zangu
Nice baba japo matangazo mengi ina maana unapata liziki kaka mungu aenderee kukuletea lizki matangazo yawe meng tu
Mwanetuuuu🎉🎉🎉🎉
Unyama KONKAAA ✨🔥🔥🔥🔥
Leo Kila mmoja anadai wa kwanza haha nam wa kwanza
Mhh mnaharaka ya kukoment mpaka mnakera
Jamani wapili mimi❤❤
Kwa mala ya kwanza Leo wa kwanza😅
Mijitu mizima ovyo kbsaa cjuh mkoje badala mumpe DJ pongez Kwa Kazi nzuri mmekazan like like mfyuuuuuu ovyo ovyo tu
safi we una akili.... nakupataje mama
I'm the First today like please
Iam the first..like za kutosha🔥
Wakwanza leo jama watu wa Burundi 🇧🇮 plz 🙏 like zenu apa
WA KWANZA NAOMBA LIKE ZENU 😂😂😂😂😂😂😂
Jmn kidogotu mmejazana🤣🙌
Mi ndo wakwanza leo😅😅
Hivi hizo like zanini 😂dah
Ivi nyie mnatakaga like za nini maana kila siku mnaomba like a acheni utotot
Hatr sana
Kaz nzur zee la town izzokonkaaa🎉
Mwamba unajua sanaaa kusimulia
Like anapata alooandaa mzigo WA moto nyie wengine tulietu tu jamn mtizame Kazi Kali kotoka Kwa mr Konka 😂😂😂
Ila we jamaa unakitu asee move hata ikiwa mbaya sauti yako inashawishi
Yaaani sauti yake tu mimi inanibamba na anasimulia vzur kwelii me wengine hata siwaelewagi😅😅😅😅😅😅😅
Love this
nikiwa kama mwn family wa E7 bt na E7 max hamna baya wakuu 🙌🙌..
naon muitiko umekuw mkbw maxaa mchch views km zot hongr zee la town a k a KONKA bigp xn blood 👊
Umetish sn ila mim ni wa 647 baad ya kuachiw ndani ya dakik 11 tangia iwekw❤
All the way From Zenji#Marashi ya Karafuuu....🔥🔥❤🙌🙌
Unajua kaka
Msijifanye amuoni wa kwanza n mm E7bits anipe maua yangu
🎃❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤hapo napo taka mm movie ju watum
Yaani tangu nimegundua wew konka ni katoto ka 2002 na ndo unatufanya tuione CZcams ni home shout-out kwako dogo😘
Wa 5 Leo aiseé nipeni na mimi like zangu 😂🎉🎉
Kumbe ka Ezekiel ni ka kibaka bhanaa 😂😂😂😂
Unyama tu it's Konka like pls
umekawa sani week mbili kama sio tatu shida nini kipnz cetuu❤❤🎉
Nakupenda unavyoo jua kuadhitia mbio mbio😊
Nilishaa toa taarifa ila Leo narudia tu ""USIGUSE COMMENT YANGU"" Ukigusa ntkupindua😂😂
Unanipindua Kama samaki ama kama nn ndio nishagusa comment 😅
Safi sana mzee wa mipinduko❤❤❤
Goma kali saàaaaan
❤❤😂😂 daaaa na kukubali sana
Unyama mwng ❤
Kukatika kukazingatiwa😂😂😂 I salute you
LEO ZAMU YANGU NIPEN LIKE ZANGU PLZ 🙏
Noma sana
Kali sana🎉
Mbongo mnaijeria 😂❤❤
❤❤❤ good job man
Nakupenda kinoma❤
Yaaani unajuwa sana kusimulia ❤
Kaka una saut nzur mnoo ❤❤
😂😂😂kumbe kaezekiel ni kakibaka bhn😂😂🙌
Napenda sana move zako
Ni nzuli sana ❤❤❤
Kaka pamoja sanaaa
mwamba nakukubali sana
saf kaka, baada ya interview yako sasa ni kupinduka tu.🎉🎉😅😅
m ndy wa mwish jmn😂😂😂😊
Konkaaa🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤
ni muvie nzuri sn kali
Wakwanz leo ni pen maua yang😊
#wewe Jamaa umeumbwa kwa ajili hii😂
Nice
bonge la move nimelikubali
Kounkaaa zee la kutune zee la town
Mwamba mbona unatukosesha utamuu jamaniii kulikumis sana mwamba wa mipinduko 😂😂😂😂😂
Hahahahaa mipindukoo
@@liylahahmed829 mipinduko tu😂😂😂😂😂😂😂😂
Umeuwaa kaka
Kali sans🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Blood hapo kwenye matangazo ndio unazingua asee
Ndo yanao muweka mjini
Unachelewa san boss lakin umetisha kw hii
Nakubal
Watu wanaopenda like humu, sasa mnatuchanganya tulike video za uyu mwamba anaetuletea movie au tulike comment zenu😂. Natania
Mzee wa ngoma inaanziaaa
Daa Wang nimemuona mwanang isaya
Nausauti tamu jmn ❤
Oya weee😂
Tulikumissss mwambaaaaa wa mipindukoo😂😂
😂😂😂😂😂😂
Wakwanza leo kam unakumbali hii channel like twende saw 🎉🎉🎉❤
❤❤❤